Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa
Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh
@@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!
Jamani wito wangu tupambane tupate vyetu huo wote ni uvivu wa kujituma Waziri pongezi kwako Allah akupe umri wenye kheri
Allah akufanyie wepes bibiangu upate haki yako
VIVA MH. WAZIRI WA ARDHI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
Huyu mama akili yake safi sana.Wajukuu hao ni machizi😮.Matapeli wakubwa😢
lakini pia mzurii
Sasa hiv watu wa Yakima kununua nyumba au ardhi kiholela. Good job mh waziri
Wajukuu wasiopenda kujituma na kufanya kazi,mkalaaniwe kabisa
Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH mungu akulinde Sana
Naungana ww kwa asilimia 100
Nampenda sana huyu wazir kwakaz anayoifanya
Ameni Asante mh wazili
Waziri upo vizuri sana mungu akulinde jamani maana wanyonge wanapata haki yao
Dah! Wanaweza hata kumuua hao
Mungu akulinde waziri akuongezee siku za kuishi
Vijana wa hovyo baada yakutafuta vya kwao kazi yao ni kukimbilia kuuza mirathi
Pole sana bibi yang Allah yupo atakurejeshea haki yako
Jembe la Kaz mungu awe nawe
Waziri wetu mungu akutunzee naomba sana hutatue mgogoro WA aridhi WA wanamchi WA mbezi GOBA
Pole Sanna,jambo hli sikia tu kwa jran
Pole sana bibi
Ila silaa anapiga job balaaaa
Kazi nzuri wazili
Hongera waziri kwa kutetea wanyonge mungu azidi kukulinda ❤🙏
Ubarikiwe
Pole bibi
Bibi anahitaji pia ulinzi kwani hao Vijana walichofanya wanaweza kuorganise crime nyingine kwa bibi yao, ikiwezekana serikali iwashughulikie kikamilifu ili wapate funzo kubwa
😅
Upo sahih
ukovizurimwishimiwa asantesana
Bibi Pole sana...
Mungu wa Bwana yetu Yesu ,akufanye Uwe Raisi wa JMT .Pia waziri uwe na kipindi cha tv kutoa elimu kwa watanzania wote ,wengi wanaonewa na mahakhama
Safari hiii chiii matepeli wa ardhi na myumba waitaisoma namba
Bora mimi sina hata cha kurithi kutoka kwa wazazi wangu
Haya kama lipo usimtumie maanani kupambania Chako
Bora sana kwa kweli
Duh wajukuu Wana laana kabxa
Mnooo yani wanakata mkono unaowalisha. Wanalaana sana tuu
Pole sana mama
Alooh aloooh alooooooooooooooh heeeeee basi bwana ninyamazetu
Mtegemea cha ndugu hufa angali masikini. Bora yangu sina chakurithi zaidi ya jina la ukoo
BIBI HUYO HAJACHANGANYIKIWA ILA WATOTO HAWAJAMTENDEA HAKI.
Mama mungu akusaidie izo tabia hata huku kwetu wapo wanapenda kuvamia vitu vya ulisi
Mambo ya urithi hayo.,.,yanagombanisha sana familia
Waziri shujaa kabisa kuwai kutokoea mungu akutunzee kabisaa
Ameen ya rabb
Kama kuna m2 nampenda serekalini bas huyu wazir nimoja wapo
Anaitendea haki kaz yake
safisana nimefurah kumuwona. Wazirisilah
Hao wajukuu wachukuliwe hatua kali sana😢
Polesana bibi
J.Silaa jembe kazini💪💪💪
Kwa kumwandikia kuwa eti anaumwa akili,pekee hilo ni kosa tayari,mamlipe fidia.
Duuuu kweerii duniaa yamwishoooo
Hapo wajukuu hawnaa lakwao mazal mwenye mali bado yupohai ikitokeya mazee wamefariki basi watoto wamarehem watarithi malihiyo .Ivi nyinyi wajukuu munawashwaeeeeeh
Majudge Mungu anawaona jamani yani mna kiti chenu jehanam
Jina linaumba jmn
Yani watu wavivu huwa wabafikiria ujinga tu pole sana bibi
Msiba huu dah 😢
Jerry Slaa tafadhari Ingilia hilo kati
Waziri wa Ardhi Slaa
Hiyo makama kama imetoa mamuzi hayo wame zingua sana hapa waziri wa aridhi anahusika hapa
Mahakama ilithibitishaje umento wa bibi, hii nchi na hawa watu MUNGU ndie atajua atuhukumuje..
Hatakama hanaakili mjukuu unapata wapi mamlaka ya kuuza mali isiyokuwa yako jmn
😢
Mm ninacho ridhi ni majina ya wazazi wangu
Hao wajukuuuu wapuuziii kabisa Yani wamewapindua Hadi Baba zao, hawa watakuwa wajukuu wa 2000
😂😂😂wa 2000 wakoje
Kweli kabisa vitoto vya mwaka 2000 vina tamaa sana
Baba zao nao washenzi sanasana, ningekuwa karibu,nawaroga kabisa😂😂
😢😢😢
Majina yanaumba bibi tabu
Kweli
Mama hio ni haki yako.nenda BAKWATA au hata SERIKALINI.vipi itauzwa nenda Mahakamani..Serikali ingemwita Mmiliki..
wajukuu tuna nini lkini,, tutafeni vya kwetu
Bibi kaona isiwe shida navaa na nguo za ccm kabisaaaa
Halafu eti huzai unalalamika Wakati Mwingine unamshukuru Mungu.Hii sasa hivi imekuwa Tatizo kwa mitoto ya sku hizi.
KWELI VYOO
Kuzaa mtihani usisazae mtihani tu ila M/Mungu austerity kwa kweli🙏🙏
Daah
Kaka uko sawa tetea mali ya mama yako
MUNGU akutunze Waziri
Sasa huyo aliyenunua haoni kinachoendelea jaman .bibi wa watu apewe haki yake
Chungeni watamuua uyo bibi ili kesi iwe nyepec
Sheria.😅yadini.nawao.wanarithi.kupitia.wazazi.wao.ila.wasingemnyima.bibi.yao.fungu.lake
Wajukuu apo wanahaki nn ujingaaa ! Huyo bibi ndo angeamua kuwapaa or not
Nawao Wamo
Nikwenu apo
Urithi wangu jina la ukoo sina kingine cha kurith
Mnao subili watu wafe mpate mali mna shida fanyeni kazi muache uvivu.
Mahakama gani hiyo isiyojiridhisha na huo umento?
Mmmh wamefimia hapo wanaweza hata ku. muua ulinzi muhimu kwa bibi huyo
Daaaaaaa maisha magumu haya😂😂😂
Maswala ya mirathi yanaumiza sana kichwa daaah pole sana bibi
Assalam alykum bro milad nakuomba apoitmenti ya kuonana na wewe naitwa anwary naishi kariakoo ninahabari nyeti
nenda DM huko au piga simu, huku nani atasoma comment yako?
Yaani wanalaana kabisa
Wajukuu hatari hao muwe makini jamani hasa wenye tamaa yakuwa hawajui babu au bibi hawajui njisi alivyo pata hiyo mali
yanihatahuyo hakim alikubalivipi bilauthibitisho
Kosa ni kwamba hawakumshirikisha.
Maana walitakiwa. Wagawane.pesa
lazima afikishiwewaxiri silaha huyokijananimtenda hakihanamchezo
Wakamatwe wawekwendani ukumu chap happy 15 miaka na uyo mm aludishiwe makazi yakee
Kwani.bibi.hakuzaa?
Nimetoa machozi
Bibi anajua mpaka mental 😅😅 Allah akusimamie
Bibi anaonekana ni msomi mzur sema umri2 unamrejesha m2 utotoni kiakili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa watoto wa 2000 huyu bibi akimaliza mwaka ana bahati watamuua huyo 😂😂😂😂
Yani watu wanapenda pesa hata hawaogopi laana kabisa
hao wajukuu wote wakamatwe wafungwe kabisa
Mitoto ya sikuhiz mivivu kujishughulisha inawaza urithi tu
Wanaopaswa kukusaidia wanskuibia tena!!! Maisha bhanaa!!!
Tena wajukuu,ndo maana mimi mali zangu hata mtoto hapati,labda Mungu anichujuwe ghafla,mpaka nyumba nitapiga bei watafute za kwao,pumbavu
Na wewe mtoto wa bibi pumbavu,mpaka watoto wenu wanauzaa umekaa tu kama zuzu,ukubwa wote huo,shame on you
@@israelkisaila8401 Nimekukosea Nini!!! Kitu Gani kibaya nimekiandika au hujaelewa nasema nini... Upumbavu wangu ni kusema wanaopaswa kumsadia Bibi wanamuibia...
@@israelkisaila8401 kwani wewe unavita na Mimi____??? Mimi nasemea wanaopaswa kumsaidia Bibi Yao wanageuka na kumuibia ni kosa langu kwako____??Duuh Binadamu bhana!!!!
@@festohaule9716 jamani soma vizuri jumbe zangu Mimi nakuunga mkono comments zako,soma vizuri uielewi kaka festo haule,mapembelo 😂😂😂😂
.
MAHAKAMA YA AARIDHII , AU YA JINAI?.😊
Bibi apatiwe ulinzi wanaweza kumdhuru
Mahakama nao wezi kwani mbona wakitaka lao wanajua kuchunguza mbona wasiwambie wajukuu naenda malate huyo bibi yenu mleteni mfayeni salala wa waaridhi
Ana uzee gan huyu bibi? kwanin lakin daah
Kwhyo anaoneka Binti au mzee!!!!,nidhamu ni msingi bora maishani
Huyu wazir anafaa awe kwenye maswala ya wafanyakaz. Kiukwel wafanyakaz tunateseka sana pamoja na kunyanyaswa
hv ww unajua matatizo ya nyumba.mirathi na ardhi????????
Hajui etii
Mbona huelezi vizuri wajukuu kivipi na unasema watoto WA kaka yake au watoto wa watoto WA kaka yake ? Na yeye hana mtoto au watoto
Anao watoto lakini hawakuhusika kuuza nyumba
Bibi kwani huna uchawi? Wachukuwe misukele wote
😁😁😁
P
P
Yani kuna mitoto ya ajabu kabisa, unauzaje Mali ambayo sio yako lol
Huyo alienunua pia ni non sense