Ukiwa na Passport ya TZ, Unaweza kuingia nchi hizi bila Visa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 лис 2018

КОМЕНТАРІ • 68

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 місяці тому +2

    Safi sana serikal yetu sema kuna nchi sijawh sikia ndio kwnz kwa kamand

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 4 роки тому +6

    Tufanyieni izi za kiarabu na za kizungu tuingie bila vza. Mana paspot yetu wanaiona haina maana. Mungu ibariki tz. Idumu amani na Upendo wa watu wa tz amin

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams5761 5 років тому +6

    Saaafi sanaaa! Mchawi nauli tuuuu! Unakwea mwewe shaaaah!

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 5 років тому +6

    Alhamdulillah asante MUNGU wetu

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 5 років тому +4

    Asantee mungu

  • @user-lo5gg8jk8g
    @user-lo5gg8jk8g 14 днів тому

    Congo uvira

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 2 роки тому +1

    .asante

  • @jaypili7837
    @jaypili7837 5 років тому +2

    well sir

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 4 роки тому +7

    Kalibia zote mbovu. 😠

  • @shukuruilomo768
    @shukuruilomo768 2 роки тому

    Ahsante Sana nimepata mawazo

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 5 років тому +4

    Naomba usalama pia wa watanzania uzingatiwe ktk nchi hizo na hao wageni watakapofika hapa,na tusije tukatoa mwanya kwa wageni kukiuka vibali vyao kama walivyoomba na kuja kufanya kazi nyingine,

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis7200 4 роки тому +1

    Afande mzuri huyoo. Shikamoo afande

  • @fredrickmwegole7841
    @fredrickmwegole7841 2 роки тому

    Bila kuchanja et uwe na pasport tu

  • @user-lo5gg8jk8g
    @user-lo5gg8jk8g 14 днів тому

    Congo ni uongo mkuu maeneo ya bukavu watanzania wanalipishwa visa dolla 50 fanyeni uchunguzi mkuu bukavu na ivola tunalipishwa viza mkuu wanatuonea wale

  • @africanchocolate4216
    @africanchocolate4216 4 роки тому +7

    “Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!

  • @Mahdawiy
    @Mahdawiy 5 місяців тому

    Burunei hapo sawa

  • @EricsonNoah-uc7xn
    @EricsonNoah-uc7xn Рік тому

    Ello

  • @al.mansoor_baluch6647
    @al.mansoor_baluch6647 4 роки тому

    🇹🇿💪🏻😍😍😍😍😍😍😍

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 5 років тому +2

    Jamen na unyamwezni wekeni hta kumi na ughaibuni.5.

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 5 років тому

      Uko vizuri sana ughaibuni ndio kunatabu sana🤔

    • @africanchocolate4216
      @africanchocolate4216 4 роки тому

      Hamad Shein “Nchi yetu ikisha jijenga na kukua ki uchumi, hapo ndio mataifa makubwa yatakapo fungua milango yao bila visas, ila kwa sasa wana wasi wasi kuwa uki enda kwao ni kama ume kwenda kuomba omba na kuitia serikali yao mzigo”!

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 2 роки тому

      waarabu wana roho mbaya hawatotaka

  • @mdyoung5163
    @mdyoung5163 Рік тому

    Naitaji kwenda kenya🥺🥺🥺😱🎁

  • @user-rl5qu4zj9b
    @user-rl5qu4zj9b Місяць тому

    Naomba kuuliza colombia vipi unaweza kuingia bila visa au naomba mnijuze

  • @FredChaki-jb8zj
    @FredChaki-jb8zj 9 місяців тому

    Cyprus hiyo nayo kumbe ipo

  • @user-yh6lm7hj7y
    @user-yh6lm7hj7y 9 місяців тому

    Drs congo vp

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 2 роки тому +2

    uyu jamaa aliniongelesha kipare siku nimeenda kuchukua passport 😂😂😂

  • @asiasalim4634
    @asiasalim4634 4 роки тому

    A fande nchi mbovu hata kuzitaja unashindwa nawahoo

  • @sashaomary4982
    @sashaomary4982 26 днів тому

    Mbona UK wanalipa visa

  • @racheldauson9471
    @racheldauson9471 5 років тому +3

    Papua ata unipeleke bure aku siwez

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому

    Labda za Afrika sio ukaya na asia

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 4 роки тому +2

    macao..big deal

    • @vailethamin8439
      @vailethamin8439 2 роки тому

      Natamani kwenda lakini wanasema sometimes hua wanawarudisha

  • @nawihadj6674
    @nawihadj6674 4 роки тому +1

    Mm npo singapore nakula bagia tyu hkuu

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 2 роки тому

    Nchi mbovu 🤣🤣🤣🤣

  • @dollarjohn9292
    @dollarjohn9292 Рік тому

    Tupange mipango

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 3 роки тому +2

    Duhh mbn nchi za ulaya haxipo Apo tuekeeni japo Canada tu tukale Bata sio nchi ambazo hazina majina

    • @davidjohson8195
      @davidjohson8195 3 роки тому +1

      🤣😅😅🤣🤣🤣hahaha jamaa angu HV uko wapi Ata unywe soda yaani wanatuona sisis ni maboya Sana wanatuekea nchi za ajabu Sasa Ata ukienda hzo nchi unaenda kufanya😂😆 Nini mungu angu.ni kweli Wangetuekea tu Ata Canada jamaa angu🙏🧡💛

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      Singapore na macao ni nchi za ajabu 😭 aisee hatari sana

  • @saimonijonas1471
    @saimonijonas1471 Рік тому

    Passport inagharimu sh.ngapi kuipata?

  • @robinajohanssen697
    @robinajohanssen697 4 роки тому

    Je unaweza kutumia kitambulisho cha Taifa bila passport kwa nchi za Africa Mashairiki?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому

    Hizo nchi zinanuka shida na njaa unafanywa nini

  • @raniakhan5463
    @raniakhan5463 2 роки тому +3

    Nchi mbovu mbovu zote hizo za nini sasa?nchi hata hazijulikani 😆

  • @nemohos4885
    @nemohos4885 5 років тому +2

    ataukienda www.visahq.com inakuambia

  • @jacksonboma884
    @jacksonboma884 5 років тому +5

    Sema nchi karibia nyingi zaajabu ambazo watu wengi hawana mzuka wakwenda tufanyieni uko ma uk, canada, denmak

    • @msafiriiddy3135
      @msafiriiddy3135 5 років тому

      inchi zenyewe mbona fuckin countries

    • @racheldauson9471
      @racheldauson9471 5 років тому

      Hahahahaaa niwajanja kweli watekee at sweeden napatamani balaa

    • @habibarnabas7782
      @habibarnabas7782 4 роки тому

      Yeah wangeweka hizo nchi za uk ,Canada hata ukiwa mfanyakazi wa ndani unakuwa na life nzur tyu

    • @enyasilaurent8487
      @enyasilaurent8487 3 роки тому

      @@racheldauson9471 vip mzee

    • @sandra-ir7so
      @sandra-ir7so 3 роки тому

      wataenda vitukuu vyako