Yani wasafi ninacho wapenda mnajua sisi wengine hatuna time na t.v sasa mkatuletea the story book kitu ambacho wengi tumependa coz anytime nikiboeka haina haja nikaomune Diva na gigi money wakichambana Bali nazama zangu you tube nakujifurahisha, hakika tunawependa na tutazidi kuwapenda. happy 1 million subscribers😘 WCB fans tujuane jamani😍😍
Aisee we jamaa unavyohadithia hizi hadithi bwana kah kweli MUNGU kakujalia aisee dah umekuwa role model wangu brother maana sijawahi sikiliza the Stori book nusu Wala robo kwakweli brother upo vizuri sana I hope ipo siku tukutane MUNGU akipenda
NIMEJIFUNZA dunia ni uwanja mpana sana...yawezekana wewe ukawa unaijua dunia ROBO kuna mwingine anaijua dunia NUSU na kuna mwingine anaijua dunia robo TATU rakini kuna mwingine haijui kabisa dunia ye mladi amelala ameamka sarama basi anasema ISHALAH rakini dunia INAMAMBO.
Hata kama Wasafi FM haisikiki huku Kenya basi mtandao wa You Tube imekuwa rahisi kwangu nisikilize The Story Book ambapo imenisaidia kielimu na kujua kufumbua mafumbo. Mtiga Abdallah saluti kutoka kwako from Johnation Johnny 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Show yako inapendwa sana huku nchini Kenya.
Mungu aliwafisha watu baadhi kwenye history ya Qur an nakuwahuisha baada ya miaka tofauti tofauti, kwahiyo ndani haya kuna ukweli. Hivyo aminini Quran itabakikua ya ajabu
Yes this is real story, This incident happened on 14 th of July 1911 in Italy. it disappeared with the passengers as soon as it entered into the tunnel.
Ndio. Kitu kinaweza kusafiri Kwa kurudi mda ulio pita au ujao. Kasome theory ya mwanasayansi anaitwa Albert Einstein. Theory yenyewe inaitwa theory of relativity ndo utakutana na Mambo ya time travel
Tutaambia nini watu???😥😥😥😥😥 Mawingu media na eatv wanazeeka ikiwa hata 700k subscribers hawawajui Lakini wasafi media ikiwa ya 2018 tu tayari ina more than 1M subscribers! Congrats 👑💎
Yani wasafi ninacho wapenda mnajua sisi wengine hatuna time na t.v sasa mkatuletea the story book kitu ambacho wengi tumependa coz anytime nikiboeka haina haja nikaomune Diva na gigi money wakichambana Bali nazama zangu you tube nakujifurahisha, hakika tunawependa na tutazidi kuwapenda. happy 1 million subscribers😘 WCB fans tujuane jamani😍😍
Hakuna kama wasafi media
Congrats Mond for those 1M subscribers ndan ya mda mfupi!🎆🎆🎆🎆🙈🙈🙈😍😍😍💎👑🙏
kweli
musa mpate nikweli
musa mpate
Yaan mimi damu yangu yote WCB🔥🔥🔥
Love you wasafi hichi ndicho kipindi bora sana kuliko vyote
Haifa
Haifa
mko njema xana
Like...like jaman tuwe pamoja wote wazee wa story book
Maajabu ya Dunia ni funzo kwa wanao ishi tuko hapa leo ya kesho aijuaye MAULANA,Allah,Yaweh,Ama jina yoyote Apewayo Mwenye NGUVU .Amen
Kama bahat Mimi ndio wa kwanza nipeni like zangu
Bn
I listen to story book while doing my house chores and I love it.. makes my chores much more bearable
story ziko sawa 2 sana endelea kutoa zingine
Mtiga nambari moja.
2021 ambao tunaiskiliza like kwangu tafdhar🤗
Pend kipind chako Abdalah Mtiga much love you brother 🙏
Story ipate anaejua kuhadithia, hata kama ni mbaya utaipenda tuu
Aisee we jamaa unavyohadithia hizi hadithi bwana kah kweli MUNGU kakujalia aisee dah umekuwa role model wangu brother maana sijawahi sikiliza the Stori book nusu Wala robo kwakweli brother upo vizuri sana I hope ipo siku tukutane MUNGU akipenda
Kali San .. nakubali The Story book
Wah !!!Maaajabu,,,,
Sasa like zanini xaxa ogy kwa story nzuri
The story BOOK...!! nakubali sana hik kipindi daah
gonga like kwa story book kama unakipenda hiki kipindi❤️
selemansaid said sana
Noma sana
Poa sanaa
Nimeipenda
@@mremifredy9386 nice
Wewe kaka unasauti nzuriiii mpaka nakutamani
NIMEJIFUNZA dunia ni uwanja mpana sana...yawezekana wewe ukawa unaijua dunia ROBO kuna mwingine anaijua dunia NUSU na kuna mwingine anaijua dunia robo TATU rakini kuna mwingine haijui kabisa dunia ye mladi amelala ameamka sarama basi anasema ISHALAH rakini dunia INAMAMBO.
Asante kwa story nzuri 🔥🔥🔥
Gonga like na kucomment hapa km unamkubali Mtiga Abdallah
Noma sn!!
I like your stories they are very clear. . Truly wewe una kipaji.
I love the story book so much,mtiga naomba story ya Dr.Sebi
Kama unapenda the #storybook gonga like
Nimejifunza mambo mengi sana kupitia the story book kiukweli hii ni safi sana naipenda mno
Hata kama Wasafi FM haisikiki huku Kenya basi mtandao wa You Tube imekuwa rahisi kwangu nisikilize The Story Book ambapo imenisaidia kielimu na kujua kufumbua mafumbo. Mtiga Abdallah saluti kutoka kwako from Johnation Johnny 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Show yako inapendwa sana huku nchini Kenya.
Daah mnatisha sana the storybook hakuna kama nyie
Nakupenda Sana wewe unayesimulia, Napenda Sana Sauti yako, Natamani ungekua Mume wangu ❤️❤️❤️❤️❤️
Nasrah Samwely niwe mim mumeo
Ucjl nakupnd pia
Nichek 0718595686
Gonga like twende sawa Kama tumaipenda na iko poa
Mungu aliwafisha watu baadhi kwenye history ya Qur an nakuwahuisha baada ya miaka tofauti tofauti, kwahiyo ndani haya kuna ukweli. Hivyo aminini Quran itabakikua ya ajabu
The story book kwa kweli kweli mnatuhabarisha vizuri bigapu Sana wasafi mpo juuuuuuu
Naipenda sana the story book inatujuza tusivyovijua ila sijuhizi mnaleta story fupi mnoo na hammalizi......msitufanyie hivyo wadau wenu jaman
Wow congratulations for wasafi 📺
Napenda sana simlizi wew nimtu makinisan
Cjawahi kupata like hata moja jamani! Naombeni like zenu kama mnaikubali the story book ya wasaf media
Nakubal
Sawaa ni nzurii
Haya umepata likes zimekusaidia nini?
Hizo like zinakusaidia nn
@@kadramohamad6162 nakubali
Yes this is real story, This incident happened on 14 th of July 1911 in Italy. it disappeared with the passengers as soon as it entered into the tunnel.
Michael Hyungim how do you know that this is a really story
It can neither be proven as a fact nor be disproved if it occurred.
Do you Understanding swahili?
How do you know it?
How sure you are?
Bro embu agiza soda daaah😁 I wish kipind kiwe kila sku THE STORY BOOK
Keep it up," uko vizuri " a good narrative voice and true stories
We mkaka nakupenda jmni sauti yako tu😘😘
Kipindi bora huwa nakimiss sana kazi nzuri mtiga
Story tamu aisee
Keep it up!!!! Very good and wonderful narration
I love your voice... Be blessed
really
Wallah saut yako nzur....sichoki kukusikiliza
Dha polen xn
Cjawahi kupata like 😊
Bro unatupa maneno mazuri raha sana kusikiliza ila kwa imani ya dini ya kislam uwongo mtupu haiwezekani time travel hamna
Gonga like kama unaikubali THE STORY BOOK
Naikubar
,😁😁😁😁😁
Wasafi raha sana story nzuriiiiiii
Wasafi muko poa kwa story book mm nimingoni mwa wasikilizaji wenu
Kazi nzur sana uchambuzi maridadi inanikosha sana jamn
Watu weng wanapotea aisee
Time travel is real but it is difficult not impossible to practice that
Daaah naenjoy sana nikisikiliza story zenu yaaan bundle langu linaishia kwenye story zenu
Mungu atulinde
Wow i love story book
Wasafi mnaweza big up kweni
Treni iliyopotea mwaka 1911 NA kuja kuonekana mwaka 1845 kwel mko vizuri NA story miaka inarudi nyuma sawa
True Story piaa hii story kwa site ya BRIGHT SIDE wameelezeaaa dunia haiachi kutushangaza
Gustodius zuberi na kwenye bright side imeadithiwa miezi 6 ilopita
Jamal naipenda snaa saut yko haichosh kuckiza ....hongera...wassaf pia hongeren mupo na watangazaj mahir
Kama huwa unammiss huyu jamaa gonga like❤️
Huwa napendaga sana hizi simulizi za mambo ya kale na matukio ya ukweli.
Amaizing story
Kama wewe unapenda the story book kama mimi gonga like
Gonga like apa kama unakbal.story book
Second me from +255 the Story book baba laoo like tafadhal
Yaah nyie ni fire
Yaani boom munawakulisha kwa kila idara
Jamal Aprili story zako ni nzuri na ukafanya utafiti wa kina
Hongera sanaa mtiga abdallah
Napenda sana kipindi hiki cha the story book
Najikuta naipenda WCB sio kwa story hz kwakwel big up
Alafu. Mtiga hiki kipindi chako uwe ww km ww atutaki watu wengine na km watakuja wanakualabia kz yk mana wana saut mbaya kuwasikiliza adi kelo, 😣😣😣
Leo nimechelewa
Kama huwa unafatilia his story acha like hapa🙏
Kweli
Ni kwerekweche yani dingo ilo liwasafi TV linajua kunileta kinouma yan yani uuuwiiii naimanya
Historia ya yesu
Napenda kumwita mzee wa usia
mh unaweza kusema nimambo yakutunga
I like this show very much 🔥🔥🔥
Gonga like kama umeipenda story book
Nice Story book
Napenda sanaa story zako
Hiii treni nimeiona huku mtaani kwetu
😂😂😂😂😂😂
Mwandishi kuna sehemu kaniacha ndege iliruka mwaka1955 Na yule daktari kakuta sigara kwa mgonjwa 1907 au sijafahamu mm ! Naomba kufahamishwa
Fatilia story vizur ww
Ndio. Kitu kinaweza kusafiri Kwa kurudi mda ulio pita au ujao. Kasome theory ya mwanasayansi anaitwa Albert Einstein. Theory yenyewe inaitwa theory of relativity ndo utakutana na Mambo ya time travel
Sio naona sigara mwaka huo sema aliona sigara iliandikwa mwaka 1907 yani ilee sigara ndo iliyo andikwa sio ilioneka mwaka huko
r
Angalia tena
Your voice make me love you
God farst
Hujawahi niangusha mtiga. But naomba na story za watu waliofanikiwa maisha yao kabla ya kufanikiwa.!
Hiz story na picha hizi huwa unazipata wapi pamoja na picha zake?
Twende kama ivi......mtiga anasauti ya editing ndani yake kama unakubaliana na Mimi gonga like
Watu mna wivu had mnakera looh
Watu mna wivu had mnakera
Napenda story book
Wakwanza
It feels like God is sending a mesage
Ww ndo msimulizi bora wa mwaka 2019👊👊
Leteni story mmekuwa wavivu kutoa
Hatareeeee,sema the story book haina mpinzanii
Tuliyo soma Physics tujuane hapa
HII STORY INAMAFUMBO MAFUMBO SANA BILA KUTULIZA AKILI HUELEWI
Uakiaka wasafi TV p.long
Pole kwa mafua mtiga Abdallah
Jamaa uko vizuri kwenye simulizi
Tutaambia nini watu???😥😥😥😥😥
Mawingu media na eatv wanazeeka ikiwa hata 700k subscribers hawawajui
Lakini wasafi media ikiwa ya 2018 tu tayari ina more than 1M subscribers!
Congrats 👑💎
Hatarii nakubalii
@@user-lq8vi8bb1n
Pa1 mkalee
Bro mtiga...Samahani, iyo sehem inaitwa Lombardy sio Lambod, Hakuna sehem Italy inaitwa Lambod..The story is fascinating though 👍🏽
Hukuyi English bro ww
Yaani we jamaaa unajuwaa kutazungumziaaa kbsaa
WCB FOR LYF 1 MILION SUBSCRIBERS 🔥🔥🔥🔥🔥
Makini
SIJAWAHI PATA LIKE HATA MOJA JAMAN,,LEO NAOMBENI LIKE ZENU WAPENZI WA STORY BOOK
Chukua
Kama unamkubali huyu mtangazaji kwa voice na point acha like yako hapa chini
I like this story BIG UP sanaaaaaa
Jamal is the best
Ewe MWENYEZI MUNGU utusamehe dhambi zetu