The Story Book : Kweli Kula Nguruwe Ni Haramu Au Uzushi Tu !?
Вставка
- Опубліковано 27 кві 2023
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
No one comes close to this guy in this field. You are a professor bro. You are doing a great job; a lot of investigation and research goes into this! Kongole from Kenya!
Professa Jamaal una toaga mafunzo mengi sana katika stori zako hakika Mungu awe na ww kwa kila jambo ulifanyalo uwe na afya njema akila kukuchapo ili uendelee kutufundisha Life ya vitu mbali mbali ambavyo tulikuwa hatuvijui
Hii inanifunza vitu vingi huwa najitidi sana kufatilia jamal April unajua sana
@@enosscolonely7629 sio ww peko yako kiti kizuri lazima watu wajifunze wengi kuna kubadilishana mawazo ya hapo na pale life ina zidi kwenda
Waislamu wengine tu wasiowahi kula nguruwe kabisa ,ila wanakifafa
Ni uongo tu
Nimekupa big up vile ambavyo umebalance story nilidhani utaegemea upande wa imani yko lkn umenyoosha namna ambayo mtu mwenyewe anachagua upande wa kufata!!!
Kazi iendelee
Elema neno professor😂
Story nzuri sana naenjoy nikiwa Kisumu Kenya.
Tafadhali utuletee uhondo kamili kuhusu huu mchezo wa Wrestling sababu hatuelewi ni kweli ama uwongo. Big up Man,🙏🙏🙏
Wrestling imeandikwa na mshindi hujulikana hata kabla ya mchezo
Wrestling ni scripted kila kitu wanaigiza
Siku ukijua wrestling ni acting kama tu movie zingine utaacha kupoteza muda kuangalia wrestling
Wrestling ni kama video za ngono tu
Kitu alichokikataza mungu lazima kiwe na madhara
Mwamba wew ungekuwa mwalimu wangu .....nisingekuwa hapa nilipo yaan nakuelewa sana
Wanao sikiliza hii story nzuri uku tunakula ngulue tujuane apa
Tamu sana
Tena rost ndo usisemee
Kavu bhanaa na kachmbariii uwii
🤣🤣🤣
Mtakuja kupata magonjwa kwa uroho wenu
kwa wale tunaomuamini Mwenyezi Mungu,Mtume wake na Siku ya mwisho basi hatuna budi kujitahidi kuacha yale tuliyokatazwa na Mwenyezi Mungu.
Usiache kufanya hiki kitu ni vzr sana na upo vizuri sana kiukweli 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
5. AL - MAIDA
3. Mmeharimishiwa nyamafu, na
damu, na nyama ya nguruwe
na mnyama aliye chinjwa si kwa
ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye
kufa kwa kunyongeka koo, na
aliye kufa kwa kupigwa, na aliye
kufa kwa kuanguka, na aliye
kufa kwa kupigwa pembe, aliye
liwa na mnyama, ila mkimdiriki
kumchinja. Na pia ni haramu kula
nyama aliye chinjiwa masanamu
Na ni haramu kupiga ramli. Hayo
yote ni upotovu. Leo walio kufuru
wamekata tamaa na Dini yenu; basi
msiwaogope, bali niogopeni Mimi
Leo nimekukamiliishieni Dini yenu
na nimekutimizieni neema yangu
na nimekupendeleeni UISLAMU uwe
ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa
na njaa, bila ya kupendelea dhambi,
basi hakika Mwenyezi Mungu ni
Msamehevu na Mwenye kurehemu
Amin, but hatutoacha hii 🪑🔥.....😁😁😁
@@waynekennedy9521 nyinyi endeleeni kula ndugu zanguni hamuwakomoi waislam wala yule alieharamisha.
@@waynekennedy9521 hakuna tetizo we kula bibi zako tu
@@waynekennedy9521 kabisa👌
Makafiri hawataki kuelew
Watu wenye fikira ndogo huwa wapinga ukweli hata wakiona dhahir, You did your part thanks lecture 👏🏾👏🏾👏🏾 watakaosikia watasikia watakao bisha wabishe haujalazimisha mtu.😎
Jamal always makes my day by just listening to him, feel ranked from Kenya
Ubarikiwe hapa umeokoa wengi Mungu akupe maisha marefu zaidi.
A well researched narration.
Unachagua kumsikiliza Paolo au Mungu.?hongera sana Jamaal,napata élimu nyingi sana kwa kufuatilia makala zako.Tatizo ni Paulo na bible kupingana na magizo ya vitabu vya kale,Yesu hakuja kutengua maandiko yaliyo pita ila kukamilisha yaliyobakia.
Hakika. Hata yeye alisema sijaja kutangua tolati bari kuitimiliza
As a Tanzanian i'
m very proud of you prof. Jamal April your very talented brother
Siyo Nguruwe tu ndo ina mahazara. Hata ngombe,mbuzi,kuku, mahana ukila ahina ya nyama moja kila siku au kila mara lazma ugonjwe. Mzee baba tupe story book yenye mazara ya kula nyama ya ngombe mara kwa mara usi bakiliye ku nguruwe tu kwasababu hata mbuzi ukimla mara kwa mara lazma ugonjwe.
Hongera Sana umejuwa kutuelewesha vizuri ndugu jamari
Wewe Jamaa Unatisha Sana🙏
Ukipata Muda Tuletee Bomu Lililowafanya Wajapani Kuwa Wafupi, (Au Tuliongopewa)
Kweli tuleteye tunatamani kujiwa
Weee wajapani gani hao ?? 😂😂😂🙌🏻
Aliwahi kugusia kwenye stori ya Nyuklia ipitie
🤣🤣🤣🤣🤣
Naunga mkono hoja
Asante kwa story nzuri umetuletea🙏wenye kuelewa wameelewa
Jamal always talks about facts, the choices is ours
Vipi nyama ya ngamia siyo haramu
@@jacksonkabede7929 kwa kweli nyama ya ngamia tumeneemeshwa Nayo nasi Waumini tunasema ALHAMDULILLAH ❤❤❤❤
@@khadijazungu8627 si amesema kati ya wanyama walikatzwa ngamia pia ni mmoja wapo
Ngamia,Sungura,Kunguru na Kambale HARAMU usiikaribie wala usiiguse ni chukizo kwa Bwana.
@@khadijazungu8627 Kula nguruwe weww hata Mtume MSW alimla huyu kiumbe
Jamal Asante kwa story zako nzuri, Kenya 👏
How
Napenda sana kipindi hiki kwakuwa kinatoa funzo na kutukumbusha ❤ don’t quit
Well done! Professor, Jamal Mustafa.
Nimepata uelewa mzuri kuhusu uzuri na ubaya wa mdudu
“A true educator always act as a facilitator of learning” your a true educator. Mungu awe nawe man
Sababu za wengi kutetea kula humu sijaona zaidi ya utamu. Ok ila utamu wa pipi mate yako mwenyewe. Ila mimi naona magonjwa mengi yanasababishwa na vyakula tunavovipenda au kula chakula kingi. Mimi kuna ndugu yangu anasumbuliwa na kujikuna na kuota vipele kwa sababu ya kula nguruwe. Walimwengu wanaelewa na kufanyia kazi
Ahsante mwanangu boraa unifarijii kwa storii book nipate walau ahuenii
"Indeed ,It's not the eyes that are blind, but the heart.''
Quran 22:46
Note the heart it is the core al-qalb sio moyo ni core...sijui core inaitwaje kwa kiswahili
Uhalali wa Kila kitu ni kwa Mungu maana yeye ndie Alie umba Kila kitu. Kula au kutokula ni juu yako.
@@paulpeter9655 kama ndo hvyo mle wale nyoka porini, mkalee na mende wa chooni, msisahau pia mijusi na kenge wa vichakani, na kuna wale nyani pia pamoja na sususungu pia kuleni, mana aliyeviumba mungu vyotee ni halali kula na pia mnaweza kula nyama ya waanadamu wenzenuu mana ni uumbaji wa mungu pia.
@@mohamediomari1614 🤣🤣aah nyani babu zao hawawez kula
@@paulpeter9655 kakataza kwenye maandiko
Wow my best series ever 💯
Jamal keep on my son I love your story
Ukitafiti zaidi tunaweza sama.kilakitu nisumu Mana wengine ndio hawali lakin wanamagonjwa Kama hayo Mimi nakula tu alichokiumba mungu sio halam halam matendo mabaya.kufa nikufa tu ata ule sisimizi itakufa tu
Sana wanao leta ni uzushi tu😂 kilicho umbwa na mungu sio halamu
GOAT Jamal you're the best
Incredible Jamal. MARVELOUS
Mimi ni mkristo sili kwasababu ya afya ya mwili, minyoo wake wanafika zaidi ya mita moja.
Alhamdullilah sili hii kitu🙏🏼🥰 Ila Unazani hao watu watakuelewa juu ya my wao hawawezi ata useme inaleta corona wao watakula tu 😂😂😂
Hahahaaahah
Tuache kidg apo apo mzeee
Ww fanya yako na ya dini yako yasiyokuhusu achana nayo
Tafiti zauongo izo kwaio walio pata Kansa ya utumbo dunia wamekula Nguluwe
Aliyekataza nguruwe ndiye huyo huyo aliyekataza Ngamia, sungura, kambale nk. Ajabu ni Kwa Nini anakazaniwa sana nguruwe kuliko hao wengine?
Mungu haHaramishi ispokua kisicho bora kwenu sisi
Asante Kwa elimu nzuri , Kwa mwenye akili atang'amua kweli
Your Genius Mr Professor Jamal
Iam proud to be a Muslim...Allamdhulillah
Better to be informed not influenced~ Judge on what you understand! Keep it up~Jamal-deen🇹🇿
Story nzuri sana professor jamal.keep it up nimejifunza kitu 🙏👍
Jazzaka Allah kheir brother jamaal keep up bro
Hongera Jamali profesa mim naitwa Jamila,,like sister and brother,,unazo akili nyingi Sana professor Jamali,Kwa makala hii najua wengi wataacha kula nguruwe,,ama kwer dini ya kislamu ndo din ya haki mana haidanganyi
kwani dini ni tiketi ya kwenda peponi au ni uaminifu na moyo watu? namaanisha who he follows Gods commandments shall inherit the heaven!!@
Mbona mm nakula huku nasikiliza???hakuna dini bora kama ukristo kima ww upo busy mitandaoni baada ya kutulia na mume ahahah ahaaa nimekumbuka mmeo yupo kwa mke mkubwa ahahahahah
@@gilmangeorge366 ni anazngua uyoo
@@christonchristian7448 ndio kumbe ujui 😂 din yakiislam ndio din yakweli ata wew unajua sema unakaza tuu👐
U Muslims u prove to be special more than other humans as if others are animals u need to understand we are equal in the eye's of God
The story book 📚 Jamal April ambao wiki Ile atujaona the book tujuane❤😊
Prof ana deni
“Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hivyo ni uchafu; au kwa upotofu kimechinjwa kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Anaam, 6/145)
Mimi nitaendelea kula nguruwe hadi mwisho wa maisha yangu nakupenda sana kiti moto ivi unajuwa utamu wa nyama yake ?❤❤
Mungu ajalie utakapo kula tena kwa mara nyengine ayo madhara yote yalotajwa apo uyapate
@@mahadboy5124 hakuna mungu wa ivyo hahahahahahahahahahahha
@@mahadboy5124 uko kwenu yupo MUNGU wa hivyo au una bahatisha naww 😅
@@mahadboy5124 hahahha na hayawezi nipataaa
😂😂😂😂😂
Baada ya mnyama kufungwa bora nije kujifuta machozo na the story book 🔥🔥🔥
We upo kama mm
Tupo wengi
Hahahahaaapoleni sana
@@aminasultan7287 tushapoa asee acha tu
Jamal we love you bro😭👋❤️😘🤗👍
Professor mwenyewe 🙌 you are always the best bro👍🥰
Harafu utafiti inawezekana kweli umefanya ukasoooma lakini logic si kurithi magonjwa kulingana na uukuwaji wa mnyama fulani mbona binadamu akila kuku ukuwaji wake huwa haudumai na kuwa mdogoo kama kuku kuna watu wanakula nyama ya tembo je? mbona hawawi wakubwa kama tembo huuu utafiti umezingatia nini kuniaminisha kuwa nikila kitimoto basi na mie ntakuwa mmbonge kama nguruwe vinginesvyo basi watu ni sawa kula baadhi ya sehemu za nguruwe ili wanenepe?
najaribu kupata ukweli uliofichika maana kuna watu tumefuga nguruwe walaaa akuuuu hatujawahi kupata influenza hata kidogo ingawa wanasayansi hao hao wanasema mafua ya binadamu haya tunayokuwa nayo toka wadogo yanatokana na wanyama hasa ngombe hii imekaaje?
Kalagaho ndugu yangu ili mradi umeambiwa tuu
Nimekula Kilo leo hakika hii ni nyama tamu zaidi Duniani😋😋
Kitimoto tamu aisee kah
Hata umbile lake la nnje tu silipendi nguruwe ni kiumbe ambacho sikipendi kabisa
@@chafimabdulbacar9902 pole yako,
Nguruwe mtamu aisee na umbile lake zuri
😀😀
😂😂😂😂
Asante Kwa story nzuriiii lkn tusamehe nguruwe mtamu aloo eb muonje Alf utaifuta hii story 😂😂
Wewe kula tu
The very best jamal...❤
Jamal nakukubali saaaana illa natamani sikumoja nikutane nawe ili unifunze the story book Jamal Jamal Jamal huu niujumbe kwako I'm from Burundi 😊😊😊
Neno:tufate wanasayansi watuongoze ni kosa kubw kweny dini yetu ya Kiislam. Sis hatuongozwi na sayansi bal tunaongozwa na vitabu vitakatifu. Allah akuongoze Jamal
Tatizo unakurupuka. Ni bora ujue sababu kwanini ametumia hoja hiyo. Alafu lazima ujue pia kuwa hiyo sayansi pia ni elimu ya Allah s. w.
We jinga ukitaka kusafiri unatumia nn iyo simu iliundwa na nani?
Wazee wa Mdudu tujuane japo kwa likes. 👍
Asante jamal aliesikia kasikia so ni chaguo lako kula ama kuacha
Daa..... Izi Iman izi daa.... Sijuii tuamiin kipi APA 🤲🤲🤲
You always spit facts salute jamal
I always like your findings Jamaal, you best in what you do salute..
Bro uko vzr sanaa you always talk facts
Nguruwe ndio nyama tamu zaidi duniani haipingwi📌
Santiiii Sana Jamal. Tafadhali andaa story ya kuwaokoa Waizraeli kutoka Uganda wakati wa Idi Amin
Story book nakubali kaka from Mombasa Kenya 🇰🇪
Mambo ya Walawi 11:7-8
[7]Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
And the swine, though he divide the hoof, and be clovenfooted, yet he cheweth not the cud; he is unclean to you.
[8]Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
Of their flesh shall ye not eat, and their carcase shall ye not touch; they are unclean to you.
hello Mzee jamal tumesikiya unayo yasema kuusu nyama ya nguruwe , ila Mimi naupenda sana nasiwezi kuuacha , inawezekana wewe ni mwana dini ya Kislam ndiomaana unaongea ma negatif kuusu Nguruwe, nyama zote ni nzuri kwasababu Mungu ndiye aliumba , Nguruwe ni nzuri tena nitamu sana kushinda kila kitu.
Fière d'être musulmane 🥰😘😍❤
Proud to be Christian 🙏🥰🥰🥰🥰
@@aminata3702 l'objectif de choisir mon commentaire ? Tu veux quoi ?
@@lareineminah1353 unasema nini?sikuelewi tumia kiswahili au kingereza
@@aminata3702 we mwenyew umejibu na nimetumiya kifaransa
Naku uliza ulikuwa na ulazima gani waku jibu kwenye commente yangu? Lengo leko nini?
@@lareineminah1353 comment vas -tu madame?
Nimeisha mula naleo nime nunuwa nyama yanguluwe naipenda sana😢🎉😅😅
Jiliye tu baba wewe fata pumzi zako zinatakaje
Gonga nyama wewe haina madhara hiyo
Kumbu kumbu la tauurat 14:8 ni haramu ata kumgusa
Amuna sitakudia kula
@@dastopadady2402 mashallah Allah Mungu akuongoze inaonekana ni mtu ambae ukiijuwa haki huifuata ,Mungu yupmoja nawe insha allah
Asante sana prof, naomba utufanyie video kama hii inayoangazia kutumia miraa au jaba
hongera sana jamn kaz nzur thank U much very U
Kila mtu afate imani yake sisi kwetu haramu ambao imani yao wanasema halali basi wale hamna sababu ya kugombana kila mtu afate akili yake uzur ubaya wataona wenyewe
Hakuna kitabu ambacho kimesema sio haramu, vyote vinasema ni haramu
@@amanichanga3448 una uhakika? Nioneshe hilo andiko Kwa injili
@@madetetv6576kumbu kumbu la taurat ,14:8
@@ambarnelly6071uko sahihi man , hakuna bible iliyosema nguruwe ni halali
Iyo biblia inasema haramu......
#Nipenmauayangu
Leo wa kwanza Ku comment...
Like zangu buc wazee...
#Jamalkeepin it. Up....bro
Hebu nisaidieni kunijuza mimi naendaga kwenye mauridi mara nyingi huwa wanachinja ngamia hapo vipi na kumbe ngamia pia haliwi.
Elimu nzuri sana, ukweli watu huchimba kaburi zao na kujiletea madhara kupitia meno zao. Hebu tuletee ukweli kuhusu mpira na kampuni za kubet
😂😂😂
Xaw team konde umeeleweka😁😁😁
Leviticus 11:7,and the whole of chapter 11 has well explained on what animal a man should eat and what not to eat
hii vita huiwezi mjomba!!! acha kabisa kitimoto ❤
Hatuli nguruwe tunakula nyama ya nguruwe hakuna alichoumba muumba ni najisi mwanzo1:31 ila kwa matakwa ya imani ya mtu imetafsiliwa hivyo.
😂😂Nimecheka
Kaka jamali najua mm ni mtu ambae sijulikani sidhani kama comment itasomwa na ww ninaomba story ya msanii wa marekani lil uzi vert kama itaua gumu mm ntakulipa hata kiasi cha fedha kidogo nilizo nazo
Japo umechambua ila Sina imani maana ww mwenyew kabla ya kuchambua ni mpingaji wa nyama ya nguruwe.Naomba ulete uchambuzi kuhusu nyama ya kasa maana imehalalishwa lakini ndo inaongoza kwa kuuwa watu kila siku kwa kuwa ina sumu ila kwa aibu waliyo nayo wapinga nyama ya nguruwe hawajawah kuikosoa nyama ya kasa.Naomba ulete uchambuzi wa kula nyama ya kasa ili twende sawa
Kuna kit nmepata kwa upande wa Waislamu wao wamesema najisi binafsi wenyew bila sauti ya Mungu kwasababu zao kama ulizozitaja. Ila kwa Wakristo ile najisi ni iliwekwa na Mungu mwenyewe kwa wana wa Israel lkn pia ilitolewa na Mwana wa Mungu mwenyewe, tukumbuke agano jipya linawaweka wakristo chini ya Neema ya Mungu na sio chini ya sheria tena.
Naanzaaje,ooh Mimi naanzaaje..kuacha nyama ya nguruwe ..mwenzako siweezi😢
😆🤣🤣
😢😢😢
Umeanza bangi tukanyamaza .. tusifike huku bro
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Asante professer Kwa simulizi tamu
Mm ni mkristo ndio ila tangu nikuwe nakujitambua sijawai kutamani kula nguruwe wala kupenda wala kumfurahia ajarishi ni alali kuliwa wala ni aramu ila kamwe simpend nasto mpenda anda ndan mwanyumba yangu akika Mungu anisamehe2🙏🙏🙏🙏
Amna tatz Maan sio lazima kumlaa
I am a student Nurse.
The facts here are real.💯
Big up Jamal.
But you are not a doctor!
@@Gbril45 wisdom is important.
But you lack.
🙏🔥🔥👍
Asante
@@Gbril45 I’m reading comment 😂😂😂😂
Mmmmh kwani magonjwa yote haya yanatokana na nguruwe tu😂😂😂😂😂😂kazi ipo..walaji endeleeni..mtatupatia feedback,kama yaliyosemwa ni kweli😂😂
Am proud to be a Legion Maria of the Catholic Church Mission
I real like this broh... Your genious 👏
Hapo mwanzo ulipotamka katikatiyao kunawaumin walichanganyikiwa nimekuelewa sanaaa
Mungu akubariki kaka
Uongo. Mungu kaleta viumbe au wanyama tuwatawale. Kila kiingiacho si najisi Bali kitokacho..Yesu alikuja kulekebisha hayo🙏🙏
I really like it.
Wakenya wenzangu wekeni tik🙂
Mimi nimeanza kula nguruwe mwaka wa 1984 hadi 2023 mbona sijapata ugonjwa nguruwe mkubwa wa meze😅😅😅😅
Tafiti za Uongo Broo Canada American na Korea & China wanaongoza sana hasa China bro wangu alienda uko kwa Kozi ya jeshi alikula nyama hio miaka 3 na Yupo frexhi mmi pia Naipiga hasa na Hakuna nyama naipenda kama io
Nimekula nguruwe mwaka wa pili tatu huu hata hizo dalili sijawahi ziona
Njooni tuwapime muhimbili
Nakuku bali broo
Warumi 14:2
" Imani ya mtu mmoja inaweza kumruhusu kula kila kitu, ambapo mwingine ambaye imani yake ni dhaifu anakula mboga za majani tu."
Mmh sawa mchungaji
hatumuachi my wetu😂😂😂😂
Kwani umekatazwa mzee, Endelea tu kaka
😅😅😅😅😅
@@juniorbachelor8296 lengo la yeye kutuonyesha madhara tu bila faida zake ni nini?
😂😂🙌
na wapunguze bei sasa
I was listening to this story ,when I was passing near a butchery I saw someone buying pork😂
Hahahahahahahahahahahaaaa
😂
@@mr.africanatural-super_sta1130 I was even tempted to go and tell him nguruwe Ni mbaya
Pork is not Haram!!! Haram thing is man made😂😂😂😂
@@rogath_silayo Mmh
Kwakifupi walanguruo nimashoja kwamuislam kula ngurue innaallih wainnaalillah rajun nimsiba
Wewe upo vizuri Mungu akulindi
Jamal ukianza story zako mimi nafulai ata sijamaliza story Akuna Achoumba mungu Alam na wanakula minadam wazao?🙏✊🇹🇿🇬🇷
We acha porojo zake mbona mnaangaika na nguruwe sana, hakuna mnyama hambaye hana mazara kama ujatumia kwa uangalifu, nyie mna mapepo ndiyo sababu mnaangaika na mnyama, lakini hata ngamia maybe ni haramu kwa mujibu wa Biblia lakini nyie mnakunywa adi maziwa yake, hata kambale mnakula nae ninajisi hacheni kuwa namitazamo tafauti, hakuna mnyama ambaye hana minyoo hata bata ana minyoo hatari sana,
Respect 🥶🔥
Nakubali kiongoz weka mawe juu y mawe
Asante kwa mafuso hao sana.kenya tunakusalimia sana.
Hakuna Aya inayosema nguruwe halali wameleta ujanja tu sasa nakala inahusiana nn mbele ya vitabu vya Mungu
Rudia tena kusikiliza utamuelewa ❤