The Story Book : Kweli Kula Nguruwe Ni Haramu Au Uzushi Tu !?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 кві 2023
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 1,9 тис.

  • @NicholasOuta
    @NicholasOuta 3 місяці тому +6

    No one comes close to this guy in this field. You are a professor bro. You are doing a great job; a lot of investigation and research goes into this! Kongole from Kenya!

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 Рік тому +63

    Professa Jamaal una toaga mafunzo mengi sana katika stori zako hakika Mungu awe na ww kwa kila jambo ulifanyalo uwe na afya njema akila kukuchapo ili uendelee kutufundisha Life ya vitu mbali mbali ambavyo tulikuwa hatuvijui

    • @enosscolonely7629
      @enosscolonely7629 Рік тому +3

      Hii inanifunza vitu vingi huwa najitidi sana kufatilia jamal April unajua sana

    • @jumannemohamedy1456
      @jumannemohamedy1456 Рік тому +1

      @@enosscolonely7629 sio ww peko yako kiti kizuri lazima watu wajifunze wengi kuna kubadilishana mawazo ya hapo na pale life ina zidi kwenda

    • @frankmfuse6990
      @frankmfuse6990 3 місяці тому

      Waislamu wengine tu wasiowahi kula nguruwe kabisa ,ila wanakifafa
      Ni uongo tu

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 Рік тому +43

    Nimekupa big up vile ambavyo umebalance story nilidhani utaegemea upande wa imani yko lkn umenyoosha namna ambayo mtu mwenyewe anachagua upande wa kufata!!!

  • @nicholasokoth7666
    @nicholasokoth7666 Рік тому +39

    Story nzuri sana naenjoy nikiwa Kisumu Kenya.
    Tafadhali utuletee uhondo kamili kuhusu huu mchezo wa Wrestling sababu hatuelewi ni kweli ama uwongo. Big up Man,🙏🙏🙏

    • @AntonyStarboy
      @AntonyStarboy Рік тому +1

      Wrestling imeandikwa na mshindi hujulikana hata kabla ya mchezo

    • @aminata3702
      @aminata3702 Рік тому

      Wrestling ni scripted kila kitu wanaigiza

    • @servantofallaah4865
      @servantofallaah4865 Рік тому

      Siku ukijua wrestling ni acting kama tu movie zingine utaacha kupoteza muda kuangalia wrestling

    • @user-fc6tk6ht6s
      @user-fc6tk6ht6s 10 місяців тому

      Wrestling ni kama video za ngono tu

    • @user-fc6tk6ht6s
      @user-fc6tk6ht6s 10 місяців тому

      Kitu alichokikataza mungu lazima kiwe na madhara

  • @goodluckmwagubili6713
    @goodluckmwagubili6713 Рік тому +16

    Mwamba wew ungekuwa mwalimu wangu .....nisingekuwa hapa nilipo yaan nakuelewa sana

  • @LtW2-om6yj
    @LtW2-om6yj Рік тому +301

    Wanao sikiliza hii story nzuri uku tunakula ngulue tujuane apa

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Рік тому +42

    kwa wale tunaomuamini Mwenyezi Mungu,Mtume wake na Siku ya mwisho basi hatuna budi kujitahidi kuacha yale tuliyokatazwa na Mwenyezi Mungu.

  • @taajirimwanaharakati7392
    @taajirimwanaharakati7392 Рік тому +12

    Usiache kufanya hiki kitu ni vzr sana na upo vizuri sana kiukweli 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Рік тому +137

    5. AL - MAIDA
    3. Mmeharimishiwa nyamafu, na
    damu, na nyama ya nguruwe
    na mnyama aliye chinjwa si kwa
    ajili ya Mwenyezi Mungu, na aliye
    kufa kwa kunyongeka koo, na
    aliye kufa kwa kupigwa, na aliye
    kufa kwa kuanguka, na aliye
    kufa kwa kupigwa pembe, aliye
    liwa na mnyama, ila mkimdiriki
    kumchinja. Na pia ni haramu kula
    nyama aliye chinjiwa masanamu
    Na ni haramu kupiga ramli. Hayo
    yote ni upotovu. Leo walio kufuru
    wamekata tamaa na Dini yenu; basi
    msiwaogope, bali niogopeni Mimi
    Leo nimekukamiliishieni Dini yenu
    na nimekutimizieni neema yangu
    na nimekupendeleeni UISLAMU uwe
    ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa
    na njaa, bila ya kupendelea dhambi,
    basi hakika Mwenyezi Mungu ni
    Msamehevu na Mwenye kurehemu

    • @waynekennedy9521
      @waynekennedy9521 Рік тому +1

      Amin, but hatutoacha hii 🪑🔥.....😁😁😁

    • @mistasaa9214
      @mistasaa9214 Рік тому +3

      @@waynekennedy9521 nyinyi endeleeni kula ndugu zanguni hamuwakomoi waislam wala yule alieharamisha.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Рік тому

      @@waynekennedy9521 hakuna tetizo we kula bibi zako tu

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Рік тому

      @@waynekennedy9521 kabisa👌

    • @Blaze_media_Tv
      @Blaze_media_Tv Рік тому +1

      Makafiri hawataki kuelew

  • @daisybelle6485
    @daisybelle6485 Рік тому +9

    Watu wenye fikira ndogo huwa wapinga ukweli hata wakiona dhahir, You did your part thanks lecture 👏🏾👏🏾👏🏾 watakaosikia watasikia watakao bisha wabishe haujalazimisha mtu.😎

  • @victormuskato61
    @victormuskato61 7 місяців тому +6

    Jamal always makes my day by just listening to him, feel ranked from Kenya

  • @BonifaceChaula-gx7xb
    @BonifaceChaula-gx7xb Рік тому +5

    Ubarikiwe hapa umeokoa wengi Mungu akupe maisha marefu zaidi.

  • @josphatwambua3475
    @josphatwambua3475 Рік тому +18

    A well researched narration.

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 Рік тому +3

    Unachagua kumsikiliza Paolo au Mungu.?hongera sana Jamaal,napata élimu nyingi sana kwa kufuatilia makala zako.Tatizo ni Paulo na bible kupingana na magizo ya vitabu vya kale,Yesu hakuja kutengua maandiko yaliyo pita ila kukamilisha yaliyobakia.

    • @chikwela
      @chikwela Місяць тому

      Hakika. Hata yeye alisema sijaja kutangua tolati bari kuitimiliza

  • @MozesKalikumbi
    @MozesKalikumbi Місяць тому

    As a Tanzanian i'
    m very proud of you prof. Jamal April your very talented brother

  • @etengedavid7297
    @etengedavid7297 Рік тому +4

    Siyo Nguruwe tu ndo ina mahazara. Hata ngombe,mbuzi,kuku, mahana ukila ahina ya nyama moja kila siku au kila mara lazma ugonjwe. Mzee baba tupe story book yenye mazara ya kula nyama ya ngombe mara kwa mara usi bakiliye ku nguruwe tu kwasababu hata mbuzi ukimla mara kwa mara lazma ugonjwe.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому +7

    Hongera Sana umejuwa kutuelewesha vizuri ndugu jamari

  • @businesstanzania
    @businesstanzania Рік тому +46

    Wewe Jamaa Unatisha Sana🙏
    Ukipata Muda Tuletee Bomu Lililowafanya Wajapani Kuwa Wafupi, (Au Tuliongopewa)

  • @dianandabirorere6365
    @dianandabirorere6365 Рік тому +2

    Asante kwa story nzuri umetuletea🙏wenye kuelewa wameelewa

  • @alibinjuma793
    @alibinjuma793 Рік тому +45

    Jamal always talks about facts, the choices is ours

    • @jacksonkabede7929
      @jacksonkabede7929 Рік тому

      Vipi nyama ya ngamia siyo haramu

    • @khadijazungu8627
      @khadijazungu8627 Рік тому +1

      ​@@jacksonkabede7929 kwa kweli nyama ya ngamia tumeneemeshwa Nayo nasi Waumini tunasema ALHAMDULILLAH ❤❤❤❤

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w Рік тому

      @@khadijazungu8627 si amesema kati ya wanyama walikatzwa ngamia pia ni mmoja wapo

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 Рік тому

      Ngamia,Sungura,Kunguru na Kambale HARAMU usiikaribie wala usiiguse ni chukizo kwa Bwana.

    • @simbascdailysimbasctanzani2835
      @simbascdailysimbasctanzani2835 Рік тому

      ​@@khadijazungu8627 Kula nguruwe weww hata Mtume MSW alimla huyu kiumbe

  • @mercyogolla8633
    @mercyogolla8633 Рік тому +28

    Jamal Asante kwa story zako nzuri, Kenya 👏

  • @LucksonEdwardmgallah-tf5nc
    @LucksonEdwardmgallah-tf5nc Рік тому +4

    Napenda sana kipindi hiki kwakuwa kinatoa funzo na kutukumbusha ❤ don’t quit

  • @maiwiwiABC
    @maiwiwiABC Рік тому +1

    Well done! Professor, Jamal Mustafa.
    Nimepata uelewa mzuri kuhusu uzuri na ubaya wa mdudu

  • @KaisamFredrick
    @KaisamFredrick Рік тому +10

    “A true educator always act as a facilitator of learning” your a true educator. Mungu awe nawe man

  • @limitationmachinery5714
    @limitationmachinery5714 Рік тому +3

    Sababu za wengi kutetea kula humu sijaona zaidi ya utamu. Ok ila utamu wa pipi mate yako mwenyewe. Ila mimi naona magonjwa mengi yanasababishwa na vyakula tunavovipenda au kula chakula kingi. Mimi kuna ndugu yangu anasumbuliwa na kujikuna na kuota vipele kwa sababu ya kula nguruwe. Walimwengu wanaelewa na kufanyia kazi

  • @sanchodybala4580
    @sanchodybala4580 Рік тому +6

    Ahsante mwanangu boraa unifarijii kwa storii book nipate walau ahuenii

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Рік тому +70

    "Indeed ,It's not the eyes that are blind, but the heart.''
    Quran 22:46

    • @odoyo2553
      @odoyo2553 Рік тому +1

      Note the heart it is the core al-qalb sio moyo ni core...sijui core inaitwaje kwa kiswahili

    • @paulpeter9655
      @paulpeter9655 Рік тому +1

      Uhalali wa Kila kitu ni kwa Mungu maana yeye ndie Alie umba Kila kitu. Kula au kutokula ni juu yako.

    • @mohamediomari1614
      @mohamediomari1614 Рік тому +1

      @@paulpeter9655 kama ndo hvyo mle wale nyoka porini, mkalee na mende wa chooni, msisahau pia mijusi na kenge wa vichakani, na kuna wale nyani pia pamoja na sususungu pia kuleni, mana aliyeviumba mungu vyotee ni halali kula na pia mnaweza kula nyama ya waanadamu wenzenuu mana ni uumbaji wa mungu pia.

    • @BEN10_-
      @BEN10_- Рік тому

      @@mohamediomari1614 🤣🤣aah nyani babu zao hawawez kula

    • @mukrimmohd8954
      @mukrimmohd8954 Рік тому +1

      @@paulpeter9655 kakataza kwenye maandiko

  • @TristanKevin
    @TristanKevin Рік тому +11

    Wow my best series ever 💯

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Рік тому +9

    Jamal keep on my son I love your story

  • @avilapetro6179
    @avilapetro6179 Рік тому +5

    Ukitafiti zaidi tunaweza sama.kilakitu nisumu Mana wengine ndio hawali lakin wanamagonjwa Kama hayo Mimi nakula tu alichokiumba mungu sio halam halam matendo mabaya.kufa nikufa tu ata ule sisimizi itakufa tu

    • @FemasDanny-si5gw
      @FemasDanny-si5gw 2 дні тому +1

      Sana wanao leta ni uzushi tu😂 kilicho umbwa na mungu sio halamu

  • @yuzzleskillsm3054
    @yuzzleskillsm3054 Рік тому +6

    GOAT Jamal you're the best

  • @japhetfisha6299
    @japhetfisha6299 Рік тому +5

    Incredible Jamal. MARVELOUS

    • @machaliakulima76
      @machaliakulima76 Рік тому

      Mimi ni mkristo sili kwasababu ya afya ya mwili, minyoo wake wanafika zaidi ya mita moja.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Рік тому +20

    Alhamdullilah sili hii kitu🙏🏼🥰 Ila Unazani hao watu watakuelewa juu ya my wao hawawezi ata useme inaleta corona wao watakula tu 😂😂😂

    • @jentomwawa7228
      @jentomwawa7228 Рік тому

      Hahahaaahah

    • @jentomwawa7228
      @jentomwawa7228 Рік тому

      Tuache kidg apo apo mzeee

    • @ivankinabo1226
      @ivankinabo1226 Рік тому +1

      Ww fanya yako na ya dini yako yasiyokuhusu achana nayo

    • @frankfrancis5736
      @frankfrancis5736 Рік тому +1

      Tafiti zauongo izo kwaio walio pata Kansa ya utumbo dunia wamekula Nguluwe

    • @allyshabani4151
      @allyshabani4151 Рік тому +4

      Aliyekataza nguruwe ndiye huyo huyo aliyekataza Ngamia, sungura, kambale nk. Ajabu ni Kwa Nini anakazaniwa sana nguruwe kuliko hao wengine?

  • @cammackmarck
    @cammackmarck Рік тому +7

    Mungu haHaramishi ispokua kisicho bora kwenu sisi

  • @user-fc1im3uf8i
    @user-fc1im3uf8i 4 місяці тому +1

    Asante Kwa elimu nzuri , Kwa mwenye akili atang'amua kweli

  • @user-vo4jb8ln9c
    @user-vo4jb8ln9c Рік тому +3

    Your Genius Mr Professor Jamal

  • @user-il6ui8em5l
    @user-il6ui8em5l Рік тому +28

    Iam proud to be a Muslim...Allamdhulillah

  • @assateke7199
    @assateke7199 Рік тому +24

    Better to be informed not influenced~ Judge on what you understand! Keep it up~Jamal-deen🇹🇿

  • @captainb.o.b568
    @captainb.o.b568 Рік тому +1

    Story nzuri sana professor jamal.keep it up nimejifunza kitu 🙏👍

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 Рік тому +1

    Jazzaka Allah kheir brother jamaal keep up bro

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому +6

    Hongera Jamali profesa mim naitwa Jamila,,like sister and brother,,unazo akili nyingi Sana professor Jamali,Kwa makala hii najua wengi wataacha kula nguruwe,,ama kwer dini ya kislamu ndo din ya haki mana haidanganyi

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 Рік тому

      kwani dini ni tiketi ya kwenda peponi au ni uaminifu na moyo watu? namaanisha who he follows Gods commandments shall inherit the heaven!!@

    • @gilmangeorge366
      @gilmangeorge366 Рік тому +1

      Mbona mm nakula huku nasikiliza???hakuna dini bora kama ukristo kima ww upo busy mitandaoni baada ya kutulia na mume ahahah ahaaa nimekumbuka mmeo yupo kwa mke mkubwa ahahahahah

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 Рік тому

      @@gilmangeorge366 ni anazngua uyoo

    • @ramlanassoro538
      @ramlanassoro538 Рік тому

      @@christonchristian7448 ndio kumbe ujui 😂 din yakiislam ndio din yakweli ata wew unajua sema unakaza tuu👐

    • @Jeff-vs3oc
      @Jeff-vs3oc Рік тому

      U Muslims u prove to be special more than other humans as if others are animals u need to understand we are equal in the eye's of God

  • @noru9028
    @noru9028 Рік тому +52

    The story book 📚 Jamal April ambao wiki Ile atujaona the book tujuane❤😊

  • @yunusmussa7980
    @yunusmussa7980 Рік тому

    “Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho haramishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hivyo ni uchafu; au kwa upotofu kimechinjwa kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.” (al-Anaam, 6/145)

  • @jean-Robert
    @jean-Robert Рік тому +26

    Mimi nitaendelea kula nguruwe hadi mwisho wa maisha yangu nakupenda sana kiti moto ivi unajuwa utamu wa nyama yake ?❤❤

    • @mahadboy5124
      @mahadboy5124 Рік тому +1

      Mungu ajalie utakapo kula tena kwa mara nyengine ayo madhara yote yalotajwa apo uyapate

    • @mohatz7161
      @mohatz7161 Рік тому +1

      @@mahadboy5124 hakuna mungu wa ivyo hahahahahahahahahahahha

    • @festovenas502
      @festovenas502 Рік тому +1

      @@mahadboy5124 uko kwenu yupo MUNGU wa hivyo au una bahatisha naww 😅

    • @DanielMndeme
      @DanielMndeme Рік тому

      @@mahadboy5124 hahahha na hayawezi nipataaa

    • @merryjeremiah7533
      @merryjeremiah7533 Рік тому

      😂😂😂😂😂

  • @mdouharoon66
    @mdouharoon66 Рік тому +21

    Baada ya mnyama kufungwa bora nije kujifuta machozo na the story book 🔥🔥🔥

  • @letishiarespicius5440
    @letishiarespicius5440 Рік тому +7

    Jamal we love you bro😭👋❤️😘🤗👍

  • @michelinebosibori4027
    @michelinebosibori4027 Рік тому +3

    Professor mwenyewe 🙌 you are always the best bro👍🥰

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Рік тому +10

    Harafu utafiti inawezekana kweli umefanya ukasoooma lakini logic si kurithi magonjwa kulingana na uukuwaji wa mnyama fulani mbona binadamu akila kuku ukuwaji wake huwa haudumai na kuwa mdogoo kama kuku kuna watu wanakula nyama ya tembo je? mbona hawawi wakubwa kama tembo huuu utafiti umezingatia nini kuniaminisha kuwa nikila kitimoto basi na mie ntakuwa mmbonge kama nguruwe vinginesvyo basi watu ni sawa kula baadhi ya sehemu za nguruwe ili wanenepe?
    najaribu kupata ukweli uliofichika maana kuna watu tumefuga nguruwe walaaa akuuuu hatujawahi kupata influenza hata kidogo ingawa wanasayansi hao hao wanasema mafua ya binadamu haya tunayokuwa nayo toka wadogo yanatokana na wanyama hasa ngombe hii imekaaje?

  • @adamsimkonda4543
    @adamsimkonda4543 Рік тому +49

    Nimekula Kilo leo hakika hii ni nyama tamu zaidi Duniani😋😋

  • @eliashamis2765
    @eliashamis2765 Рік тому +7

    Asante Kwa story nzuriiii lkn tusamehe nguruwe mtamu aloo eb muonje Alf utaifuta hii story 😂😂

  • @samsonoundo651
    @samsonoundo651 4 місяці тому +1

    The very best jamal...❤

  • @hafidhouulamaa4262
    @hafidhouulamaa4262 Рік тому +3

    Jamal nakukubali saaaana illa natamani sikumoja nikutane nawe ili unifunze the story book Jamal Jamal Jamal huu niujumbe kwako I'm from Burundi 😊😊😊

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 Рік тому +3

    Neno:tufate wanasayansi watuongoze ni kosa kubw kweny dini yetu ya Kiislam. Sis hatuongozwi na sayansi bal tunaongozwa na vitabu vitakatifu. Allah akuongoze Jamal

    • @tanzanian8847
      @tanzanian8847 Рік тому +1

      Tatizo unakurupuka. Ni bora ujue sababu kwanini ametumia hoja hiyo. Alafu lazima ujue pia kuwa hiyo sayansi pia ni elimu ya Allah s. w.

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Рік тому

      We jinga ukitaka kusafiri unatumia nn iyo simu iliundwa na nani?

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 Рік тому +14

    Wazee wa Mdudu tujuane japo kwa likes. 👍

  • @tiffusumaiya1342
    @tiffusumaiya1342 Рік тому +2

    Asante jamal aliesikia kasikia so ni chaguo lako kula ama kuacha

  • @juicewrld5114
    @juicewrld5114 Рік тому

    Daa..... Izi Iman izi daa.... Sijuii tuamiin kipi APA 🤲🤲🤲

  • @macksonjuma5180
    @macksonjuma5180 Рік тому +20

    You always spit facts salute jamal

  • @user-bw1ys3jo2e
    @user-bw1ys3jo2e Рік тому +5

    I always like your findings Jamaal, you best in what you do salute..

  • @kombo97
    @kombo97 Рік тому

    Bro uko vzr sanaa you always talk facts
    Nguruwe ndio nyama tamu zaidi duniani haipingwi📌

  • @SolomonMusembi
    @SolomonMusembi Рік тому

    Santiiii Sana Jamal. Tafadhali andaa story ya kuwaokoa Waizraeli kutoka Uganda wakati wa Idi Amin

  • @saddamhussein9054
    @saddamhussein9054 Рік тому +6

    Story book nakubali kaka from Mombasa Kenya 🇰🇪

  • @ismailahhassani2764
    @ismailahhassani2764 Рік тому +1

    Mambo ya Walawi 11:7-8
    [7]Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu.
    And the swine, though he divide the hoof, and be clovenfooted, yet he cheweth not the cud; he is unclean to you.
    [8]Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.
    Of their flesh shall ye not eat, and their carcase shall ye not touch; they are unclean to you.

  • @sergebarakaheshima6628
    @sergebarakaheshima6628 Рік тому

    hello Mzee jamal tumesikiya unayo yasema kuusu nyama ya nguruwe , ila Mimi naupenda sana nasiwezi kuuacha , inawezekana wewe ni mwana dini ya Kislam ndiomaana unaongea ma negatif kuusu Nguruwe, nyama zote ni nzuri kwasababu Mungu ndiye aliumba , Nguruwe ni nzuri tena nitamu sana kushinda kila kitu.

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Рік тому +8

    Fière d'être musulmane 🥰😘😍❤

    • @aminata3702
      @aminata3702 Рік тому

      Proud to be Christian 🙏🥰🥰🥰🥰

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 Рік тому

      @@aminata3702 l'objectif de choisir mon commentaire ? Tu veux quoi ?

    • @aminata3702
      @aminata3702 Рік тому

      @@lareineminah1353 unasema nini?sikuelewi tumia kiswahili au kingereza

    • @lareineminah1353
      @lareineminah1353 Рік тому

      @@aminata3702 we mwenyew umejibu na nimetumiya kifaransa
      Naku uliza ulikuwa na ulazima gani waku jibu kwenye commente yangu? Lengo leko nini?

    • @misagosylvestre3356
      @misagosylvestre3356 Рік тому

      @@lareineminah1353 comment vas -tu madame?

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 Рік тому +13

    Nimeisha mula naleo nime nunuwa nyama yanguluwe naipenda sana😢🎉😅😅

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Рік тому +2

      Jiliye tu baba wewe fata pumzi zako zinatakaje

    • @nasrimbaraka341
      @nasrimbaraka341 Рік тому +1

      Gonga nyama wewe haina madhara hiyo

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Рік тому +2

      Kumbu kumbu la tauurat 14:8 ni haramu ata kumgusa

    • @dastopadady2402
      @dastopadady2402 Рік тому +1

      Amuna sitakudia kula

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Рік тому

      @@dastopadady2402 mashallah Allah Mungu akuongoze inaonekana ni mtu ambae ukiijuwa haki huifuata ,Mungu yupmoja nawe insha allah

  • @toret8327
    @toret8327 Рік тому +1

    Asante sana prof, naomba utufanyie video kama hii inayoangazia kutumia miraa au jaba

  • @frankmayala4564
    @frankmayala4564 Рік тому

    hongera sana jamn kaz nzur thank U much very U

  • @aminaally7622
    @aminaally7622 Рік тому +216

    Kila mtu afate imani yake sisi kwetu haramu ambao imani yao wanasema halali basi wale hamna sababu ya kugombana kila mtu afate akili yake uzur ubaya wataona wenyewe

    • @amanichanga3448
      @amanichanga3448 Рік тому +27

      Hakuna kitabu ambacho kimesema sio haramu, vyote vinasema ni haramu

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Рік тому +11

      ​@@amanichanga3448 una uhakika? Nioneshe hilo andiko Kwa injili

    • @ambarnelly6071
      @ambarnelly6071 Рік тому +16

      ​@@madetetv6576kumbu kumbu la taurat ,14:8

    • @nouraynaasheikhunkabir3749
      @nouraynaasheikhunkabir3749 Рік тому +14

      ​@@ambarnelly6071uko sahihi man , hakuna bible iliyosema nguruwe ni halali

    • @bellalygeomecky1145
      @bellalygeomecky1145 Рік тому +9

      Iyo biblia inasema haramu......

  • @ElizaJoseph-bn7kc
    @ElizaJoseph-bn7kc Рік тому +21

    #Nipenmauayangu
    Leo wa kwanza Ku comment...
    Like zangu buc wazee...
    #Jamalkeepin it. Up....bro

    • @shabanisesoa
      @shabanisesoa Рік тому

      Hebu nisaidieni kunijuza mimi naendaga kwenye mauridi mara nyingi huwa wanachinja ngamia hapo vipi na kumbe ngamia pia haliwi.

  • @randabrenda4815
    @randabrenda4815 Рік тому +1

    Elimu nzuri sana, ukweli watu huchimba kaburi zao na kujiletea madhara kupitia meno zao. Hebu tuletee ukweli kuhusu mpira na kampuni za kubet

  • @saniyasanani1570
    @saniyasanani1570 Рік тому

    Leviticus 11:7,and the whole of chapter 11 has well explained on what animal a man should eat and what not to eat

  • @user-eo7fz8qi1q
    @user-eo7fz8qi1q Рік тому +3

    hii vita huiwezi mjomba!!! acha kabisa kitimoto ❤

    • @upyahalisi98
      @upyahalisi98 Рік тому

      Hatuli nguruwe tunakula nyama ya nguruwe hakuna alichoumba muumba ni najisi mwanzo1:31 ila kwa matakwa ya imani ya mtu imetafsiliwa hivyo.

    • @jackrenesanga3889
      @jackrenesanga3889 Рік тому

      😂😂Nimecheka

  • @jomiAfrica
    @jomiAfrica Рік тому +7

    Kaka jamali najua mm ni mtu ambae sijulikani sidhani kama comment itasomwa na ww ninaomba story ya msanii wa marekani lil uzi vert kama itaua gumu mm ntakulipa hata kiasi cha fedha kidogo nilizo nazo

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Рік тому +2

    Japo umechambua ila Sina imani maana ww mwenyew kabla ya kuchambua ni mpingaji wa nyama ya nguruwe.Naomba ulete uchambuzi kuhusu nyama ya kasa maana imehalalishwa lakini ndo inaongoza kwa kuuwa watu kila siku kwa kuwa ina sumu ila kwa aibu waliyo nayo wapinga nyama ya nguruwe hawajawah kuikosoa nyama ya kasa.Naomba ulete uchambuzi wa kula nyama ya kasa ili twende sawa

  • @vicentedgarchipasula2393
    @vicentedgarchipasula2393 Рік тому +1

    Kuna kit nmepata kwa upande wa Waislamu wao wamesema najisi binafsi wenyew bila sauti ya Mungu kwasababu zao kama ulizozitaja. Ila kwa Wakristo ile najisi ni iliwekwa na Mungu mwenyewe kwa wana wa Israel lkn pia ilitolewa na Mwana wa Mungu mwenyewe, tukumbuke agano jipya linawaweka wakristo chini ya Neema ya Mungu na sio chini ya sheria tena.

  • @alvinmandu6321
    @alvinmandu6321 Рік тому +6

    Naanzaaje,ooh Mimi naanzaaje..kuacha nyama ya nguruwe ..mwenzako siweezi😢

  • @reubenhizza
    @reubenhizza Рік тому +6

    Umeanza bangi tukanyamaza .. tusifike huku bro

  • @sirangoclassic9555
    @sirangoclassic9555 Рік тому +1

    Asante professer Kwa simulizi tamu

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa6413 Рік тому +1

    Mm ni mkristo ndio ila tangu nikuwe nakujitambua sijawai kutamani kula nguruwe wala kupenda wala kumfurahia ajarishi ni alali kuliwa wala ni aramu ila kamwe simpend nasto mpenda anda ndan mwanyumba yangu akika Mungu anisamehe2🙏🙏🙏🙏

  • @agakibelden
    @agakibelden Рік тому +17

    I am a student Nurse.
    The facts here are real.💯
    Big up Jamal.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +3

    Mmmmh kwani magonjwa yote haya yanatokana na nguruwe tu😂😂😂😂😂😂kazi ipo..walaji endeleeni..mtatupatia feedback,kama yaliyosemwa ni kweli😂😂

  • @user-lt3vu8cg4s
    @user-lt3vu8cg4s 7 місяців тому

    Am proud to be a Legion Maria of the Catholic Church Mission

  • @andrewmpangalla932
    @andrewmpangalla932 Рік тому +1

    I real like this broh... Your genious 👏

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Рік тому +5

    Hapo mwanzo ulipotamka katikatiyao kunawaumin walichanganyikiwa nimekuelewa sanaaa

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Рік тому +2

    Mungu akubariki kaka

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Рік тому

    Uongo. Mungu kaleta viumbe au wanyama tuwatawale. Kila kiingiacho si najisi Bali kitokacho..Yesu alikuja kulekebisha hayo🙏🙏

  • @LinusCheruiyot-kk8tv
    @LinusCheruiyot-kk8tv Рік тому +1

    I really like it.

  • @martinezkamau8668
    @martinezkamau8668 Рік тому +10

    Wakenya wenzangu wekeni tik🙂

  • @Officialtirosi
    @Officialtirosi Рік тому +5

    Mimi nimeanza kula nguruwe mwaka wa 1984 hadi 2023 mbona sijapata ugonjwa nguruwe mkubwa wa meze😅😅😅😅

    • @frankfrancis5736
      @frankfrancis5736 Рік тому

      Tafiti za Uongo Broo Canada American na Korea & China wanaongoza sana hasa China bro wangu alienda uko kwa Kozi ya jeshi alikula nyama hio miaka 3 na Yupo frexhi mmi pia Naipiga hasa na Hakuna nyama naipenda kama io

    • @bonifaceomallya9201
      @bonifaceomallya9201 Рік тому

      Nimekula nguruwe mwaka wa pili tatu huu hata hizo dalili sijawahi ziona

    • @MANHAJUL-HAQQ
      @MANHAJUL-HAQQ Рік тому

      Njooni tuwapime muhimbili

  • @IsayaMsigwa-qv3ol
    @IsayaMsigwa-qv3ol 3 місяці тому

    Nakuku bali broo

  • @davidmanoni3002
    @davidmanoni3002 Рік тому +1

    Warumi 14:2
    " Imani ya mtu mmoja inaweza kumruhusu kula kila kitu, ambapo mwingine ambaye imani yake ni dhaifu anakula mboga za majani tu."

  • @hosianalema7153
    @hosianalema7153 Рік тому +17

    hatumuachi my wetu😂😂😂😂

  • @kevinmakori7552
    @kevinmakori7552 Рік тому +37

    I was listening to this story ,when I was passing near a butchery I saw someone buying pork😂

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Рік тому +1

    Kwakifupi walanguruo nimashoja kwamuislam kula ngurue innaallih wainnaalillah rajun nimsiba

  • @issabaraka2850
    @issabaraka2850 Рік тому

    Wewe upo vizuri Mungu akulindi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Рік тому +13

    Jamal ukianza story zako mimi nafulai ata sijamaliza story Akuna Achoumba mungu Alam na wanakula minadam wazao?🙏✊🇹🇿🇬🇷

    • @judicateshuma3688
      @judicateshuma3688 Рік тому

      We acha porojo zake mbona mnaangaika na nguruwe sana, hakuna mnyama hambaye hana mazara kama ujatumia kwa uangalifu, nyie mna mapepo ndiyo sababu mnaangaika na mnyama, lakini hata ngamia maybe ni haramu kwa mujibu wa Biblia lakini nyie mnakunywa adi maziwa yake, hata kambale mnakula nae ninajisi hacheni kuwa namitazamo tafauti, hakuna mnyama ambaye hana minyoo hata bata ana minyoo hatari sana,

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 Рік тому +4

    Respect 🥶🔥

  • @Monstaramosi-vv3hw
    @Monstaramosi-vv3hw 10 місяців тому +1

    Nakubali kiongoz weka mawe juu y mawe

  • @mosesnafungo4595
    @mosesnafungo4595 Рік тому +1

    Asante kwa mafuso hao sana.kenya tunakusalimia sana.

  • @chandleissa3969
    @chandleissa3969 Рік тому +5

    Hakuna Aya inayosema nguruwe halali wameleta ujanja tu sasa nakala inahusiana nn mbele ya vitabu vya Mungu

    • @Chive594
      @Chive594 Рік тому

      Rudia tena kusikiliza utamuelewa ❤