Mtiga proud of you my brother am from in Tanzania African my brother, jamani tujivunie kuwa mtiga, hapa Tanzania nipeni like za mtiga, mtiga I wish you all the best of your life, 🙏👏👏👏❤️🙏❤️❤️
Kama movie za kibongo zingekuwa simulizi...na mtiga ndie anaesimulia baas ata uongo ungekuwa una sound kama ukweli...big up bro nazikubali simulizi zako sana tu🇰🇪
Ndio maana ndege zinapotea angani mashetani yanachukua ndege daaha mungu atulinde kwenye safari zetu za anga.. Kama Malaysia Air lines haijaonekana mpaka Leo hata mabaki wala kamba za viatu hawajaziona
Hakuna linalishindikana kwa MwenyeziMungu, ukifuatilia vizuri unaona historia, kuna vijana walipotea miaka zaidi ya 300, na wakarudi dunia. Kikubwa kila tukio wanadamu hatuna budi kujifunza.
Tunao irudia 2024 hii story like zenu hapo
Tupo nayo
😮😢
😢
Tupoo hapa
Mtiga proud of you my brother am from in Tanzania African my brother, jamani tujivunie kuwa mtiga, hapa Tanzania nipeni like za mtiga, mtiga I wish you all the best of your life, 🙏👏👏👏❤️🙏❤️❤️
Hiyo ndio mungu.....ukisoma kisa cha watu wa pangoni katika suratul khaf....uwezi shangaa na hili mungu ana miujiza mingi.
Mtanganzaji niombeee mungu nkishika hela in sha Allah ntakupa mil 1 kama zawad 🙏🙏🙏
Peter Drury of stories...Gonga likes za jamal .. Watching from Austria
kumbe kuna sayar watu hawafi na hawazeeki dah kweli dhambi ya dunia imetutafuna ee mungu inusuru dunia yetu.
Moja ya watangazaji bora kabisa Tanzania Mtiga Abdallah salute sana kaka
So true jamani Mtiga Abdallah ana namna ya kufanya the story kuwa na mvuto wa kipekee..amefanya the story book iwe ma best program in 88.9
iko kitu akiwez kuwa ukukweli cz iyo ilienda na haikuweza kurudi tenaah
Going balaa
Msikiliz ananis ndio utaelew yupoje, yule ndio namuelew mm
American supernatural drama television series.
manifest
the story book naipenda sana tena sana kazi nzur san wasaf limited oyooo wcb for life
Mko vzr sana
I will be back again
mmmhhh huu uongo unaofanana na ukweli any way fresh mm nimeinjoy bhna maan ximuliz n nzuri
Love historical event keep on from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya tuko locked in💪💯💯 🇰🇪
Eeee Dunia iko na mambo kabisa 😱😱
Asante kwa istoria 🙏
big up mtiga abdallah unajua sana bro nazikubali story zako, km naww unamuelewa mtiga kushinda mm gonga like twende sawa
Tunaosikiliza #The story book 2021 tujuane 🚶🚶💯💯
Nipo nawe
Kama movie za kibongo zingekuwa simulizi...na mtiga ndie anaesimulia baas ata uongo ungekuwa una sound kama ukweli...big up bro nazikubali simulizi zako sana tu🇰🇪
Nakubali Kazi nzuri
kwa nini?
Suleiman Mbwana from u.s.a 🇺🇸 doing great job b. Low-key
@@kyataonline5262
Kachumbald
@@paschalsiso4431 nini hiyo?
kwa story zako nitakufuata mpaka unichoke Niko na mwanachuo line Nakupenda Sana bro
Tuna subili sana kazi mnachelewa kuziachia
kama unapenda sauti ya mtiga gonga like hapaa,sauti yake inahamasishaa sanaa
sana maansha Allah,kwakeli amejaliwa sauti mzuri yenye mvuto
Haki sauti yake inapendeza
Winma Zachariah
@@ameenaoman7416 h
ako sawa
Daaah nimeamini ni kweli cyo mara ya kwanza kuckia hii nakubali sanaaaaa
Mungu wangu fanya urudiye 🤦♀️🤦♀️🤦♀️ Asante sana myiga 🙏🙏🙏
P
,
Maajabu ya mungu mungu nimkubwa
Wanao sikiliza na kusoma comments wakiwa na head set gonga like yako apa.
Jamil Mwinge mm apa
Kama nakuona vile
Kweli mm siamini
Hahahaha wanatuona watoto sasa
👋👋
Maaaan you need to start doing audio books. That voice is soothing
Nazipenda story za huyu jamaa acha mwenyezi Mungu ampee maisha Mingi🙏
Excellent 👍 ya mungu miujiza ya mwanadamu ni mayayi
You're a Legend Bro, keep it up bro
Strongest man inth world is the one who stands alone
Nampenda mtangazaji .. yuatoa maneno kikakilif
You are number one Kwa kutangaza....hongera
Kma unawachomolea berti wasimulizi wa channeel nyngne na unamkubal mtiga gonga like hapa
Hajamzid yule wa global tv
Kla mtu anauwezo wake lkn ananias Edgar ndo baba lao
Nuru Kymwager#,who's is Edgar the narrator of this story
We Ananias ana sauti nzuri ya kusimulia
Oz mask Wpa zlipo
Aboi 4rm Makambako respect mtiga abdala
Dah nakubaliii the stoRY Book 💙
Hiz story ni za kutungwa na kuaminishwa wa2 kuficha tukio flan, wazungu wako vzr kuanzisha story flan na kuziaminisha kwny jamiii
Wonderful job bro. Quran talks about this.
Yes
What does it say
Why your writing misteatk
@@kingray6691 in Suratul khaf a similar icident when men came out of caves with ancient currency 300yrs they said they had slept
Tunao sikiliza na kusoma comments tukiwa na headset tugonge like zetu hapa
MUNGU ndiye muweza👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏🙏🏆
Your voice is really amazing
what's the name of the narrator?BIGUP BRO,,ur voice captures the listener into the story
Mtiga Abdallah
@@aliandrew3537 mm
The narrator is🔥🔥🔥🔥
Duhuuu Nomah sanaaa sema mungu mwache haitwe mungu
Haipiti siku bila kusikiliza story zake napenda sana ❤❤
That's amaizing, historical event
Mtiga Abdallah❤, I normally like how narrate all the storie, incha yako yafutia Sana.
Da maajabu ya dunia hongera msimulizi upo vizuri
Niko hapa leo lkn jamaa Yuko vzr Sana kwenye simuliz, na hii historia inatufundisha kitu
Amazing story love it
Me too
Mwenyezi mungu yupo na sisi duniani tumuogope jamani
👏👏👏👏♥️❤️ Napnd sn the story book ♥️❤️🙌👌👍🙏
Huyu jamaaa ana sauti nzuri kwelii yaku sisimua
Kama unakubari hii sauti like hapa....
Una sauti nzuri nzito omba kazi BBC London..
Excellent waafi the xtory book
mtiga upo vzuri sana kwenye simulizi hata iwe mbaya,itavutia tuu hongera sana
Hawa wazungu Mungu anajaribu kuwaonesha yupo lakin ni wabishi tu
Mzungu gani asiyeamimini Mungu broo au unajifurahisha na maneno yako
Mash Allah am from Uganda but am really enjoying the wasafi radio documentaries big up to the king diamond platinum
Mungu anapenda kuhonesha wazungu kama yupo
Yan hii stor naiwatch kila saa gonga like hapa twende sawa kama na wewe unarudia rudia
Wangapi waliokuwa wakiisubiria youtube
👇
Samwel mimi
Mimi
Mm
Jamani Mungu ni mwema sana, lakini si amini tukio hili!
Manifes tv series, kama umeifananisha na hiyo gonga like.
athumani issa ndo wanimeiga hii real live situation
Story Kama movie ya MAZERUNNER 3 wangap wameiona
Kama story hii umeanza kuisikiliza katika redio gonga like
Ndio maana ndege zinapotea angani mashetani yanachukua ndege daaha mungu atulinde kwenye safari zetu za anga.. Kama Malaysia Air lines haijaonekana mpaka Leo hata mabaki wala kamba za viatu hawajaziona
Bro thanks sana kutuelimisha zaidi mambo tusoyajua
Bro,"The Story book" hiki kipind unakiwezea kinoma....salute
duuuuh aisee mbn htr
Here before 1k views storybook ndo kiboko piga like 255 and 254
Mungu ni mwema
Mungu anatisha mno asante ziende kweke kaka Mtiga namungu akubariki
I love this story
Kaka hii hatar kabisa 😂😂😂😂😂😂😂sema MwAnangu mimi nakuelewa
Rocky vlogs 😂🤣
nambie
Napenda sana sauti ya mtiga√√
Naona videos zako sababu ya Kiswahili safi sana 👌
This looks like "The Manifst Series' HEHEHE
So true
Yeah, same story
Better DJ afro can take us from Kenya to Thailand within a second
Uyu anatupeleka mbio 😂 hata hatujajua streets za kuzimu 😂
secord
Its real story si za dj afro uongo tupu
@@legenddigale6025 watu wengine kuelewa ni ngumu🤣🤣🤣haja sema ni dj afro
🤣🤣🤣🤣🤣
Napendaah story ila unafanya nizipende zaidi ...hongera
I like this guy more
Hakuna linalishindikana kwa MwenyeziMungu, ukifuatilia vizuri unaona historia, kuna vijana walipotea miaka zaidi ya 300, na wakarudi dunia.
Kikubwa kila tukio wanadamu hatuna budi kujifunza.
maajabu hata kabs
Wewe kazi yako kuomba mungu tu
🎉😂true look up
wah kama movie kama drama so.ulinzi nzuri sana sauti safi hongera
Nzisa Kasau maajabu siamin kabs☺☺☺☺☺
@@neemapeter5870 kabisa maajabu
Makini sana mtiga mungu akubariki
Manifest au 😊😊
Moja Kipindi Bora Wasafi TV
Ni Wasafi Fm bro
there is a series Manifest dope stuff
Je hao watu walivyo ulizwa walisema walikuwa wapi ? Come back bro we miss you 🥰
kama imegundua mtangazaji anaumwa mafua gonga like
Dunia ina mambo ya kushangaza sana! usikute na sisi tuliopo hapa duniani tumepotea
😂😂aloo
Hahahaha kwa kweli
Haaaa
_Mtiga Unatisha Bro, Kazi Zako Zimesimama Unajua Kuamsha Amsha_
Muba Nassor ako ka muandiko vip
@@newforcejv9721 _Kawaida Tu_
Allah u akbar yote ni miujiza, Allah ndiye mfalme wa bingu na ardhi.....Sifa zote ni zake Allah..
ALLAHU AQQBBAR QABERAN YAKHLUKU KULL SHEY ALLAHU AQQBAR KHALIKU KULL SHEY WA YAARAAFU KULLU SHEY WA NAHNA MA NAAFF SHEY.SADAQA LLAHU L, ADHEEM
HIKI KISA KINATISHA KULIKO MOVIE YA INSYUKA😁😁😁😁
Teh
nahis iltoka mbinguni au c o
Munira Ahmed y
Yolanda
Rose mhando yelusalemu
Loooh ya mungu ni mengi 😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
😁😁😁😁
Kama unatambua Kenya,gonga like hapa
Hiyoo ni nguvuu ya mungu jmnii walikuwa watu wa mungu duuuuu
And thiz is amazing Grace that they came safely but the big question am left with where were they all that journey life
Mr abort my physics teacher onces told us if you move with speed of light huwezi zeeka utarudi kijana😂😂😂😂😂😂😂
Uongo njoo utam kolea😎🤔😃😃😃
Duuh mungu ndie anajua ndege hio ilikaawapi
God farst
Nyie unaoomba like kwenye post za watu zinawasaidia nin kwan?? Sijaelewa bado
Hahahaha
Kwenye hii ndege kulikuwa hamna mjamzito ???nafkiria tu hapa peke yangu sielewi
Ujauzito nao ulisimama
Bado ana mimba🙄
Hahah
Atari
Kila kitu ili stand still
Ilienda munguni naikarudi duniani,ndio maana wote hawakubadilika
Napenda hizi story your so creative wasafi
Miaka yote cjawai isikiia ndo nackia leo hii kali
Ulipo na mm nipo
Ningepata bahati hiyo ya kutozeeka