Bwana yesu Asifiwe mtumishi Mimi ni mtanzania nanimeollewa Kenya nimota nimokota pesa nyingi mno za Kenya na tz nanikapata bag hapo hapo . Nikaona nyumba ya miti.na udongo nikawaza nikasema nitaibomoa nijenge nzuri zaidi nikaondoka nikawa naelekea kwa brother kumwambia Ambaye Anaishi dar nikaamka naomba uniambie Nini mtumishi
Asante mchungaji nimekuelewa vizuri ila leo tarehe 14.2 2024 saa 11 alfajiri nimeota nyoka mweusi yupo chumbani kwangu na dada wa kazi ndio kamuona kisha akaniambia nilipoingia sikumuona badala yake nikaona kuku mweusi mdogo akitoka ila alipoingia mwanangu wa kike chumbani akang'atwa na nyoka huyo kidole cha pete kulia nilipokuwa namsaidia akawa anaishiwa nguvu ghafla nikashtuka nakuanza kuomba.naomba nifafanulie mtumishi
Nyoka wananitembelea saba ndotoni ila mara nyingi ikifikia wakati wa kungatwa na okolewa na mtoto ambae simjui, ila sasa imezidi nimemezeshwa nyoka na wenzangu hapa maisha ya chuo
Good morning pastor, naomba kujua kuusu ndoto ya nyoka niliota nayo. Niliona kwa hio ndoto nilikua maali kichakani na nikama nilikua nimelala,kuamka niliona nyote yenye rangi yenye si nyeupe wala nyekundu,vile niliiona ilikua inaenda zake lakini nikachukua kibasket kilikua na maji nika mumwangilia yule nyoka kisha nyoka akapinduka,mara hio nikamtupia kile kibasket akaingia ndani nami kwenda kufanya nikama nachukua hicho kibasket yule nyoka alikua ana taka kuniuma but akuniuma,naomba kujua inamaana ngani plz
Nimeota nyoka wawili wadogo mmoja yuko dirishani na mwingine yuko ananinginia kitandani alafu ni warefu wembamba nikastuka usingizini niliomba sana ila inanisikitisha sana mchungaji na imeninyima raha sana leo
Leo asubui nimeota nafanya mapenzi na nyoka na hio nyoka anaongea after mapenzi akaanza kunifuata huku akinimbia nipee mimba yangu, bona unatoroka na mimba yangu
Pasta naomba nisaidie..mara ya kwanza niliota nimeumwa na nyoka mkononi mimba yangu ikahalibika lakini nimeota tena nimeumwa na nyoka pale pale mkononi nisaidie jamaniii nabaraa yaniepuke mm😭
Na kama hukujua maana zake hadi xai kama n magonjwa uko nayo kama n maisha yako ivo hayako vizur yaan najihisi nimeisha kwa hizo dalili zote niko naxo nitafanya nn
Niliota ndoto msaidizi wa kazi nyumbani amevaa joka kubwa kama chatu la kijivu madoa madoa kama chui shingoni limeshuka mkono wa kulia na kishoto kama mtandio
Pastor tafadhari naomba kuelewa ndoto hii, nimeota nimeona nyoka amejiviringisha nilipoenda kuwaambia watu waje kumuona nikakuta Mwanaume kijana ameshamkata vipande viwili. Kipande Cha kichwa kilikuwa kinatapatapa lakini Cha chini kilikimbia.
Pastor niombee sababu niliota na nyoka nimekua nauoga kwanzia hiyo siku na pia nikiota nanyoka na kua na hasira yenye sielewi na sikua nimeona huu ujumbe kuelewa maana yake🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana asifiwe Pastor,,me niliota nyoka kubwa ya colour nyeusi na nyeupe then kwenye hio ndoto kuna MTU alikufa nnamjua ni yeye aliipiga but mamangu alipokaribia hapo ikageuza mdomo inataka kuumuma then mamangu akaambie Yule mfu nimedhani umeua pastor please nitafakarie aki please
Bwana yesu Asifiwe mtumishi Mimi ni mtanzania nanimeollewa Kenya nimota nimokota pesa nyingi mno za Kenya na tz nanikapata bag hapo hapo . Nikaona nyumba ya miti.na udongo nikawaza nikasema nitaibomoa nijenge nzuri zaidi nikaondoka nikawa naelekea kwa brother kumwambia Ambaye Anaishi dar nikaamka naomba uniambie Nini mtumishi
Mungu akubariki Yani nimekuelewa vizuri saana Asante sana pastor
Amina mm nimeoya nyoka amemeza kitu lkn alikuwa anapigana na mwanamke alivyo niona akakimbia akamwambia nn maana yake
Mungu wetu mwema atulinde sote kutoka kwa majoka na watu wabaya waliotuzunguka maishani mwetu.
Asante Sana mchungaji ,
God Bless you mightly 🙏
God bless you
my niliota na umwa na nyoka muguu wa kulia
Asante mchungaji nimekuelewa vizuri ila leo tarehe 14.2 2024 saa 11 alfajiri nimeota nyoka mweusi yupo chumbani kwangu na dada wa kazi ndio kamuona kisha akaniambia nilipoingia sikumuona badala yake nikaona kuku mweusi mdogo akitoka ila alipoingia mwanangu wa kike chumbani akang'atwa na nyoka huyo kidole cha pete kulia nilipokuwa namsaidia akawa anaishiwa nguvu ghafla nikashtuka nakuanza kuomba.naomba nifafanulie mtumishi
Nimeota na Pambana nae nikamuuwa nyoka Kwa kinu akafa ila aliacha sumu mkononi kwenye ndoto nikanawa na sabun Ila bado nikiwa nataka Kwenda hospital
Nyoka wananitembelea saba ndotoni ila mara nyingi ikifikia wakati wa kungatwa na okolewa na mtoto ambae simjui, ila sasa imezidi nimemezeshwa nyoka na wenzangu hapa maisha ya chuo
Good morning pastor, naomba kujua kuusu ndoto ya nyoka niliota nayo. Niliona kwa hio ndoto nilikua maali kichakani na nikama nilikua nimelala,kuamka niliona nyote yenye rangi yenye si nyeupe wala nyekundu,vile niliiona ilikua inaenda zake lakini nikachukua kibasket kilikua na maji nika mumwangilia yule nyoka kisha nyoka akapinduka,mara hio nikamtupia kile kibasket akaingia ndani nami kwenda kufanya nikama nachukua hicho kibasket yule nyoka alikua ana taka kuniuma but akuniuma,naomba kujua inamaana ngani plz
Mchungaji nmeota nyoka kama mwekundu anamabaka meusi anameza sungura ina maana gani
Mchungaji samahani Mimi nasumbuliwa sana na ndoto za nyoka naomba unisaidie
Nimeota nyoka wawili wadogo mmoja yuko dirishani na mwingine yuko ananinginia kitandani alafu ni warefu wembamba nikastuka usingizini niliomba sana ila inanisikitisha sana mchungaji na imeninyima raha sana leo
Yaan nikweli kabisa me niliota nyoka mara nyingi kilichonitokea baadae ni mungu anajua nimepitia machungu ambayo siwez hata kusimulia
Mchungaji nimeota ndoto nyoka ya kijani ameningata wenye mkono was kulia
Leo asubui nimeota nafanya mapenzi na nyoka na hio nyoka anaongea after mapenzi akaanza kunifuata huku akinimbia nipee mimba yangu, bona unatoroka na mimba yangu
Mtumishi ujambo Mimi nimelala muchana nikaota kuna nyoka mkubwa juu ya kichwa changu nailikua mzito sana inamaan gani pliizzz help me man of God
Pasta naomba nisaidie..mara ya kwanza niliota nimeumwa na nyoka mkononi mimba yangu ikahalibika lakini nimeota tena nimeumwa na nyoka pale pale mkononi nisaidie jamaniii nabaraa yaniepuke mm😭
Jitaidi kuoga chumvi mawe na ujipake mafuta ya Oliver oil dear n.a. kusali n.a. kukataa
Nimeota nyoka kasimama mbele yangu ana rangi nyeupe na nyeusi na mwingine kajificha pembeni mweusi wakubwa sana
Na kama hukujua maana zake hadi xai kama n magonjwa uko nayo kama n maisha yako ivo hayako vizur yaan najihisi nimeisha kwa hizo dalili zote niko naxo nitafanya nn
ua-cam.com/users/liveh6j4DtVcbTU?feature=share
Pastor na intersasors niombeeni nimeota nyoka zimejiviringa karibu nami
Nimeota ndoto nyoka mweupe na nyoka mweupe wamekaa juu ya meza
Pastor nisaidie niliota nyoka Yuko karibu na kitandan na vitu ulivyosema vimetokea naomba nisaidie
Nimeota natembea nyoka mwenye rangi ya kahawai akapita mbele yangu .. naomba unisaidie maana yake
Naomba msaada wako mchungaji
Ndoto unamezeshwa nyoka
Mimi nimeota mumewangu ananipa nyoka mkononi warangi ya krimu, nini maana yake mtumishi.
mimi nimeota nyoka lakin nikampiga akafa nimeamuka asbuh tumbo linaumaa
Niliota ndoto msaidizi wa kazi nyumbani amevaa joka kubwa kama chatu la kijivu madoa madoa kama chui shingoni limeshuka mkono wa kulia na kishoto kama mtandio
Pastor tafadhari naomba kuelewa ndoto hii, nimeota nimeona nyoka amejiviringisha nilipoenda kuwaambia watu waje kumuona nikakuta Mwanaume kijana ameshamkata vipande viwili. Kipande Cha kichwa kilikuwa kinatapatapa lakini Cha chini kilikimbia.
Naukiota ka haikuumi
Mimi naota nyoka lkn nipigananae lkn namuua uyo nyoka
Nahitaji maombi naota nyoka,jini mahaba, nikiolewa naachika naomba msaada plzzz
ua-cam.com/users/liveLxAw0ZSxfhk?feature=share
Mchungaji natafuta hiyo ndoto ya kuúmwa na nyoka mkononi ila siioni. Nahitaji sana kuelewa maana yake
Pastor niombee sababu niliota na nyoka nimekua nauoga kwanzia hiyo siku na pia nikiota nanyoka na kua na hasira yenye sielewi na sikua nimeona huu ujumbe kuelewa maana yake🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu atakupa ushindi na uoga na hasira zitakuachilia.
Amen
naomba kuongea nawewe kwa simu , naeeza pata mawasiliano yako mtumishi
+254706945821
Niliota mtoto ameumwa na nyoka
Mungu akubariki nilitaka number yako mtumishi
my name is Bonface, niliota nimeumwa na nyoka mgongoni?
Kuna nguvu za kichawi zina shambulia maisha yako . Yani kuna watu wanakusema nyuma yako vibaya
Kufukuzwa nanyoka
Kuna nafasi unaondooewa
Bwana asifiwe Pastor,,me niliota nyoka kubwa ya colour nyeusi na nyeupe then kwenye hio ndoto kuna MTU alikufa nnamjua ni yeye aliipiga but mamangu alipokaribia hapo ikageuza mdomo inataka kuumuma then mamangu akaambie Yule mfu nimedhani umeua pastor please nitafakarie aki please
@Clara sayo ua-cam.com/video/uKGmvWFAXYs/v-deo.html
Maana ya ndoto ya rangi nyeusi na nyeupe tazama kwa hii link .