Maana 5 Ya Kuota Ukiwa Chooni Au Ukila Chooni! +254706945821
Вставка
- Опубліковано 19 лип 2022
- Katika channel hii, huwa ninakusaidia kujua nini maana ya ndoto zako nikitumia misingi ya Bibilia Takatifu. Subscribe na ubonyeze Kengele ya Notification ili uzipate video zangu pindi ninapoenda live. Pia ukitaka kuwa wa msaada kwa huduma hii kupitia matoleo unaweza nipigia simu kupitia/Whatsapp 0706945821
- Розваги
Bwana asifiwe.leo usiku nimeota nikiwa kwa choo bt naenda haja kubwa nzito sana.
Amen mch nimebarikiwa sana sana na mafundisho yako be blesses
Sarah Jackson from dar,
Asante baba kwa somo unatujenga kiroho. Julian hongera umefika hatimaye.Mungu akupe haja ya moyo wako.
Nimeotq najisaidia ktk choo kichafu kipo eneo lawazi .
Nyingine nili niliota nimeendq kukojoa sehemu ya kaka yangu anapofanyia kz yake ya kutengeneza tofali.
Ktk ule mchanga wake.
Mimi nimeona Niko chooni na nilipoenda kwa ajili ya haja kubwa nikajipata nimeingia choo za wanaumme badala ya wanawake na niligindua tu mvulana alipokuja chooni na nilikuwa Dani.Nikaona Niko pale chooni kwa muda na wavulana wananiagolia nikiwa Dani ya choo ,Tena mwisho tulitoka bila kwenda haja,imenikaza lakini tulitoka bila kwenda haja
Asanti sana mchungaji kwa mafundisho mazuri
Amen🇹🇿
AMEN AMEN, 🙏🙏twafurahii kumuona mgeni
Asant baba nimeifatilia vzur umenijibu Mungu akubariki sana
Habari za leo mtumishi mimi nimeota nimekwenda chooni nikadumbukia lakini kwa neema ya Mungu nilifanikiwa kutoka nikiwa salama maana yake nini?
Nimeota nimokota pesa nyingi Sana nikakuta nimekuwana begi hapo hapo nikaweka pesa zilikuwa za tz na zakenya nikaona nyamba ya matope mbele yangu nikawaza nitamwambia kakangu tubomoe tujenge block nikaenda .nikitakakwenda kwa kaka nikashtuka Mimi ni mtanzania bat nimeolewa Kenya Niko Kenya sahii
Naota nimelala chooni
Dad naona Huku soma yangu niliota tulikuwa Kwa room moja kubwa na kulikuwa na watu wengi sana mahali nilikuwa niketi kulikuwa na police mm nilikuwa nawakelelesha sana nikiwambia wasijaribu kukuja kushika mume wangu Tena na huyu mume tuliachana nn maana
AMEN
Nimepita mwanangu âme dumbukia choooni , nikaenda nikaingiza mkono nikamkogota
Nimeota nimelala na mume wangu mkojo ukanibana nikaenda chooni kukojoa nimepita vyoo 2 nikakuta vimejaa takataka nikashindwa choo cha 3 nikaingia kilikua kisafi sana na kina Tiles nikakojoa nikarudi tena kulala.
Nimeota tupo kanisan nikatoka nje vichakan kukojoa nikarudi tena kanisan nje ya kanisa kuna watoto wengi sana mlangoni.
Na pia niliota nakula Mua pia hiyoo inamaa gani
Naona hujaisoma yang baba niliota tuko kwa semina na mpenz Wang lkn kwa ndot tushakua Mume na mke pale kwenye semina hapakua na sehem ya kulala ikabid tuende polin tu ili tulale kln Ile sehem tulipolala km ni mganga ama sh hapo polin ikabid turudi kwa wenzet wakat huo nikajikuta na mimba kubwa yule mpenzi wang ananishikilia nitembee nisije anguka
@ATU MOSES Nilijibu labda uliondoka nikiendelea
Jambo mchungaji naomba tafsiri ya ndoto kuangusha simu chooni n'a ikapotea
Please pastor help 🙏🙏,nimeota Kama najisaidia kwa kasuku kwa nyumba choo mingi Sana.
Mimi huwaga naota najisaidia haja kubwa ila sio choon sjajuwa maana yake
Mtumishi wa MUNGU Mimi nimeota nimeagizwa kuchota maji bombani ila nikachota kwanza nikaoga ila wakati namaliza nikagundua kunawatu walikuwepo pembeni wamekaa wakinitazama wasio pungua 5 mmoja wao namfaham ni wakiumme basi mi nikavaa nguo zangu na kuchota maji na kuondoka
Amen
Ameni.Amen,Amen,ameni,nimeota
Mi nimeota mtoto wa boss wangu ameosha chooo akanibia nipigie sasa? nikangia nikajisaidia nimalize afafu nikaanza kupiga mswaki??? Nini maanayake
Mimi nimeota mtu mzee anaomba ajisaidie chooni kwangu ambacho ni choo cha ndani ina maana gani?
Nimeota Niko kwenye gari na rafik yangu Ila akawasha gari Mara akalala usingizi nikaanza kuangaika na ile gari nami kuendesha siwezi nikaendesha nikaipaki pembeni ilikuepusha ajari naye akawa bado amella tulikuw na watu wengine
Nimeota mwanangu amedumbukia choooni nika ingiza mkono nikamkokota akawa nimzima
Jamani me nimeota juzi ndoto kama hyo
Pia Mimi nimeota hivyo hivyooo but kumtoa ni mzimaaa