Sheik umekosea kwa mujibu wa neno la Bwana ukimuta nyoka ujue huyo nyoka ni ibilisi soma ufunuo 12:1-10 uone unyodanganya watu ukimuota nyoka yeyete ujue nishetan nakeziyake nikuuwa TU
Mimi nililala nnje ya ofic yangu Leo majirani wananiambia nyoka Wa kijani kanitambaa mwilini alafu kaenda zake waliogopa kunistua wakamuacha aende maana yake Nini hii😢😢
Shekh samahani mimi nimeota nyoka wa kijani afu anakichwa cheusi yoka huyo alikua katika chumba cha mama yangu kitandani baada ya kuingia tu yule nyoka alikimbia katika dirishani na badae aligeuka na kuniangalia nilivyozidi kusogea nae alikimbia na kujificha huku akitoa kichwa chake na kuniangali hii inamaana gani nisaidiee
Nice
Asante
Sheik umekosea kwa mujibu wa neno la Bwana ukimuta nyoka ujue huyo nyoka ni ibilisi soma ufunuo 12:1-10 uone unyodanganya watu ukimuota nyoka yeyete ujue nishetan nakeziyake nikuuwa TU
Ustaz naomba nisaidie..nimepta nyota wa kijani mrefu nyumbani kwa mama yangu alipgwa hakufa akakimbia tumemfukuza akapotea.....nisaidie ustazi wangu Nini maana yeke
Sheikhe mie sio ndoto kaingia nyoka wakijan mchana
Shekh me nimeota nyoka wa kijani mkubwa sana alafu pembeni yake yupo nyoka mdogo
Mimi niliota nyoka wa kijani mdogo alikua ananifuata lkn paka akamla hii inamanisha nini shekh
Hata mmi nieota hivyo leo inamanisha nni
Mimi nililala nnje ya ofic yangu Leo majirani wananiambia nyoka Wa kijani kanitambaa mwilini alafu kaenda zake waliogopa kunistua wakamuacha aende maana yake Nini hii😢😢
hiyo tafsiri yake nitafute 0652286323
Mm nimeota mtu anamsukumia nyoka wa kijani miguuni kwangu Kila nikikimbia anakujanae na kumsukumia miguuniwangu
mimi nimeota nyoka wakijani ananifuata fuata namimi namkimbiza hapo ina maana gani shekh
Aa mimi nimeota nyoka wa kijani lakini walikua wengi nikawa nina hofu kubwa
Miye juzi nimeota nyoka wa kijani mdogo na mwembamba
Samahan ndoto binafsi nifate Whatsap 0652286323 shukran
Je. Ukimuona nyoka wa kijani yuko pembeni ya ulipo lala tafusiri yake ikoje
Ni uadui wa kijinni
Mimi nimeota nimeng'atwa na nyoka wa kijani sielewi kwann na hii ni mara ya pili naota hivi
Shekh samahani mimi nimeota nyoka wa kijani afu anakichwa cheusi yoka huyo alikua katika chumba cha mama yangu kitandani baada ya kuingia tu yule nyoka alikimbia katika dirishani na badae aligeuka na kuniangalia nilivyozidi kusogea nae alikimbia na kujificha huku akitoa kichwa chake na kuniangali hii inamaana gani nisaidiee