Mchungaji nahomba unisaidie niliota ndoto nipo nyumbn. Kwa baba baba hangu alikuwa na mama mdogo achan namama hangu mahan mzehee alikuwa na wake wawili Sasa alishann na mama hangu Sasa nikahota ndoto mama mdogo ananiambia ningize godoro ndann nikaingiza like godoro ndann nehee kaleta godoro lake akaingiza ndan like godoro aliloingiza mama mdogo lili kuwa kubwa kuliko like lakwangu bahadae yahapo ndoto iyoiyo ikabadilika nikawanipo na baba nilibeba kuni kichwan bahadae nikatuwa zilekuni kuweka chini zilekuni zilibadilik na kuwa miwaa akajitokeza moto mojaa nikamgawia miwaile nikamwambia ampelekehe baba mahababa alikuwa amekaha kwenye pikipik bahayaapo moto akarudy nikamega Ile miwaa kummenyea ilemiwa Kisha nikabeba miwaa zilezingine nakazifunga vizury kishaa nikabeba kichwan bahadayahapo kumbuka nindoto iyo ikabadilika nikahona mlima kilimjaro jinziulifyo nikawa nimeamka kwaiyoo Mchunga zijuwi atamahan yaiyo ndoto nanimarakibaho nahota mlimakilimanjo nasijuwi kwann iyondoto inajirudia ifyo...?
Bwana asifiwe! Na ukiota mpenzi wako wakitabo anakupeleka kwa hotel na anakununulia supu na nyama! Alafu unasikia io supu ikiwa tamu sana! Inamaanisha aje?
Unafanya kazi nzuri sana mtu wa Mungu endelee mbele zaidi.
Asante mtumishi WA mungu
Nimepata nakula dagaa kavu msikitini naugali
Mchungaji nahomba unisaidie niliota ndoto nipo nyumbn. Kwa baba baba hangu alikuwa na mama mdogo achan namama hangu mahan mzehee alikuwa na wake wawili Sasa alishann na mama hangu Sasa nikahota ndoto mama mdogo ananiambia ningize godoro ndann nikaingiza like godoro ndann nehee kaleta godoro lake akaingiza ndan like godoro aliloingiza mama mdogo lili kuwa kubwa kuliko like lakwangu bahadae yahapo ndoto iyoiyo ikabadilika nikawanipo na baba nilibeba kuni kichwan bahadae nikatuwa zilekuni kuweka chini zilekuni zilibadilik na kuwa miwaa akajitokeza moto mojaa nikamgawia miwaile nikamwambia ampelekehe baba mahababa alikuwa amekaha kwenye pikipik bahayaapo moto akarudy nikamega Ile miwaa kummenyea ilemiwa Kisha nikabeba miwaa zilezingine nakazifunga vizury kishaa nikabeba kichwan bahadayahapo kumbuka nindoto iyo ikabadilika nikahona mlima kilimjaro jinziulifyo nikawa nimeamka kwaiyoo Mchunga zijuwi atamahan yaiyo ndoto nanimarakibaho nahota mlimakilimanjo nasijuwi kwann iyondoto inajirudia ifyo...?
Mimi nimeot natafuta Kivuli kila Kivuli nilikuwa natak kukaa bado kuna jua badae nikaja nikapat Kivuli chenye utulivu tukaa pale tukal chakula
Shalom mtumishi wa mungu
Asifiwe mtumishi
Shaloom Dady sauti iko sawa
Amina mtumishi barikiwa sana
Nisaidie maana nimeota nikawa shuleni halafu niko naviazi vitamu
Asante ubarikiwe
Amen n ukiota mkiwa wanne n mnakula cake
Pastor Namba za simu
+254706945821
Asifiwe daddy
Shalom 🙏🙏
Shalom
Bwana Yesu asifiwe mtumishi. Mm niliota mama yangu amenipa mafuta nikanywa nikameza, nn maana ya hii ndoto?
Jamani me nimeota naambiwa Nile nikimaliza nitayona ufale wa mbingu na nilikuwa na engine nikawa anakula haraka ili nimalize mapema
Shaloom Leo nimeota kijana mmoja yupo mtaani kwetu mwendawazimu kdg akinipa gift iko kwenye box ,,nkaamka na furaha sana nn maana yake?
Bwana asifiwe! Na ukiota mpenzi wako wakitabo anakupeleka kwa hotel na anakununulia supu na nyama! Alafu unasikia io supu ikiwa tamu sana! Inamaanisha aje?
Bibi ya Ex wangu aliangusha funguo ya nyumba ya Ex kwa ndoto nikaokota inamanisha Nini prophet?
Bwana asifiwe baba