Mi maranyingi naota niko safari na mmewangu ye anashuka njiani, mara hii nimeota kashuka njiani nikaendelea na safari pekeangu nikapata shida kwa muda mfup nikaenda china wanajui kiswahili nikapelekwa darasa kujifunza kichina mara hiyo hiyo nimefundishwa wakashangaa nimeandika vizur kuwazid wenyeji, nyingine niliota tulikua kwenye usafir wa tren mimi na mme wangu tumebeba mfuko wa hela tuliopata kwa shida kuna mwanamke akachukua kitu changu akashuka nikamfata kuongea nae ile nashuka treni ikaondoka ikaniacha kati kati ya safari na mmewangu akiwa ndani ya treni inamana gani naomba kujua
Naota nafanya vizuri na pia na jibu Mtihani halaka Sana kwa Usahii, Tatizo Linakuja Mimi najua nimemaliza Ila Akija Msimamizi Naona kuna kalatasi Sijajibu Afu naziweza kujibu ila Out of time.
Duuh ndoto kama yangu nilieota jana sikumaliza nikasaidiwa na rafiki yangu tena walimu walituletea majibu na me ndo nikiwa mgawaji wakugawa viboot kwa siri darasani
Mimi naota napenda kwenye mtihani sijajiandaa Niko worry sana maana sijui chakufanya au nipo kwenye mtihani nikaa tu au nahangaika tu sijui Cha kuandoka Hadi muda unaisha
Naomba mnisaidie hili,nimeota nimemaliza kidato Cha nne na ninafanya sherehe lakini kwenye sherehe Mimi nilijitenga na wenzangu maana yake Nini nisaidie
Nisaidie mtumishi nimeota leo nipo na watu nawahimiza tusome kwa bidii kuna mtuhani mbele..nikawa natafuta matirio kwa juhudi zote ili nisifeli maana tafadhari
Aki Mimi nliota tuko wengi tunafanya mtihani lakini wenzangu wanapewa majibu na mwalimu ila Mimi pekea yangu ndio nangangana Kisha nikakasirika nikampiga mwalimu na sikumpa karatasi yangu
Mimi naonaota nipo university nataka kufanya mtihani lakini naacha .juzi nimeota nimefanya mtihana zaidi ya 70%nikacha nikaenda kwenye activities nyingine sijakusanya hata huo mtihani
Nimeota nafanya mtihani lakini ambao ni geography lakini kuna hesabu nyingi nikasema kwa nini una mahesabu mengi alafu pembeni yangu kuna mtu akawa hawezi kufanya mtihani akawa anaangalia kwenye daftari nikamtetea wakamfutia ila mimi niomba nifanye special huo mtihani kwa kuona ni mgumu
Ninaotaga nafanya mtihani lakini siwezagi kupata jibu hata la swali hata moja mpaka muda unaisha maana yake ni nini naombeni mniombee hiyo hali ikae sawa
Me niliota tupo kwenye chumba cha mtihani,tupo madarasa manne yaaan darasa la saba,form 2,form 4 na chuo tumepewa mitihan ila wakangu naona karatasi jeupe ila maandishi sikuweza kuyaona nikashituka,
Aki sikufanya mtiani wa form 4 lakini nliota naarakishwa niende kufanya uwo mtiani . Sasa vnye nlikua njiani nkielekea darani nkashtuka kwa ndoto ilikua na maana ngani tafadhali naomba nijue maana yake
Jimeota nilikuwa na watu nisio wajua tukaingia kwenye chumb kilicho wazi tukiwa tunaongea na kucheka akaja mtu akaleta mitihani ila nilipokuwa naangalia mtihani wangu nikaona majibu ya mashwali ya mtihani yapo kwenye kalatasi ya pili kabla sijaanza kufanya mtihani nikashituka nn maana yake nisaidie
@Mwamini Salingo ina maanisha utapitia magumu maishani itakuwa siyo rahisi kufaulu kwa kile una fanya. Napia inaweza ika kufanya kupitia shida kwa kipindi kirefu maishani
Naota nafanya vizuri na pia na jibu Mtihani halaka Sana kwa Usahii, Tatizo Linakuja Mimi najua nimemaliza Ila Akija Msimamizi Naona kuna kalatasi Sijajibu Afu naziweza kujibu ila Out of time.
Asante xana mtumishi wa mngu ubarikiwe umeniinua cz nlikua napitia hio hali
Amen 🙏🙏🙏
Thanks,,nimejua maana ya ndoto yangu ni ya confusion,, mungu nisaidie kutokapo Ili nifanikiwe
Mi maranyingi naota niko safari na mmewangu ye anashuka njiani, mara hii nimeota kashuka njiani nikaendelea na safari pekeangu nikapata shida kwa muda mfup nikaenda china wanajui kiswahili nikapelekwa darasa kujifunza kichina mara hiyo hiyo nimefundishwa wakashangaa nimeandika vizur kuwazid wenyeji, nyingine niliota tulikua kwenye usafir wa tren mimi na mme wangu tumebeba mfuko wa hela tuliopata kwa shida kuna mwanamke akachukua kitu changu akashuka nikamfata kuongea nae ile nashuka treni ikaondoka ikaniacha kati kati ya safari na mmewangu akiwa ndani ya treni inamana gani naomba kujua
Naota nafanya vizuri na pia na jibu Mtihani halaka Sana kwa Usahii, Tatizo Linakuja Mimi najua nimemaliza Ila Akija Msimamizi Naona kuna kalatasi Sijajibu Afu naziweza kujibu ila Out of time.
kama mambo unayapa nafasi sana katika Maisha yako na siyakumpendeza mungu 😂 ubarikiwe
Mm naota nafanya mtihani but kunamtu huwa wanisaidia maana yake ni nn
Hii ndoto inenirudia mara 5
Amina Amina
🙏🙏🙏 Ndoto hiyo inanijia sana na niliota nafanya mtihani na watu wengi nisio wajua na sikumaliza nikasaidiwa kumalizia mtihani
Duuh ndoto kama yangu nilieota jana sikumaliza nikasaidiwa na rafiki yangu tena walimu walituletea majibu na me ndo nikiwa mgawaji wakugawa viboot kwa siri darasani
Bora wewe uliesaidiwa mimi sikumaliza wala siku sub mit
Hallo mtumishi wa mungu na ukiota unafanya mtihani lakini unaibia inamaanisha aje
Mimi naota napenda kwenye mtihani sijajiandaa Niko worry sana maana sijui chakufanya au nipo kwenye mtihani nikaa tu au nahangaika tu sijui Cha kuandoka Hadi muda unaisha
Naomba mnisaidie hili,nimeota nimemaliza kidato Cha nne na ninafanya sherehe lakini kwenye sherehe Mimi nilijitenga na wenzangu maana yake Nini nisaidie
Bwana YESU asifiwe mtumishi wamungu, Mimi nimeota napewa ripoti ya mtiani. Nisaidie maana yake mtumishi.
Nisaidie mtumishi nimeota leo nipo na watu nawahimiza tusome kwa bidii kuna mtuhani mbele..nikawa natafuta matirio kwa juhudi zote ili nisifeli maana tafadhari
Mm naota niko darasani nawenzangu lakini kbl sijaufanya huo mtihani
Nina amka
Mtumishi Niliota ndoto niliulizwa swali nikajibu nikifaulu inaamanisha nini
Je,ukiota unapaa juu angani Kwa kasi Sana inamaanisha Nini.Nimeota ndoto hi Mara Mingi Sana.
ua-cam.com/video/6jVlNR-CEKE/v-deo.html
Aki Mimi nliota tuko wengi tunafanya mtihani lakini wenzangu wanapewa majibu na mwalimu ila Mimi pekea yangu ndio nangangana Kisha nikakasirika nikampiga mwalimu na sikumpa karatasi yangu
Ukiota watu Wenye unafanyia kazi ya nyumba kila mala
Mimi naonaota nipo university nataka kufanya mtihani lakini naacha .juzi nimeota nimefanya mtihana zaidi ya 70%nikacha nikaenda kwenye activities nyingine sijakusanya hata huo mtihani
Nimeota nafanya mtihani lakini ambao ni geography lakini kuna hesabu nyingi nikasema kwa nini una mahesabu mengi alafu pembeni yangu kuna mtu akawa hawezi kufanya mtihani akawa anaangalia kwenye daftari nikamtetea wakamfutia ila mimi niomba nifanye special huo mtihani kwa kuona ni mgumu
Inakuonyesha kuwa wewe ni mtu wakutaka mabadiliko fulani kufanyika haraka, (Geography) maths ina kuonyesha kuna old habit lazima ushugulikie haraka.
Ninaotaga nafanya mtihani lakini siwezagi kupata jibu hata la swali hata moja mpaka muda unaisha maana yake ni nini naombeni mniombee hiyo hali ikae sawa
Me niliota tupo kwenye chumba cha mtihani,tupo madarasa manne yaaan darasa la saba,form 2,form 4 na chuo tumepewa mitihan ila wakangu naona karatasi jeupe ila maandishi sikuweza kuyaona nikashituka,
Niliota sijasajiliwa mtiani wa mwisho nikaona naenda kwa mwalimu akanisajili lkn sikumpata mwalimu nikawa na hofu sana
Aki sikufanya mtiani wa form 4 lakini nliota naarakishwa niende kufanya uwo mtiani . Sasa vnye nlikua njiani nkielekea darani nkashtuka kwa ndoto ilikua na maana ngani tafadhali naomba nijue maana yake
@ valentine mideva ni kama ukumaliza mtihani ni failure in life.
Hallo sir , what about nikiota ndoto kukataa mtihani
Jimeota nilikuwa na watu nisio wajua tukaingia kwenye chumb kilicho wazi tukiwa tunaongea na kucheka akaja mtu akaleta mitihani ila nilipokuwa naangalia mtihani wangu nikaona majibu ya mashwali ya mtihani yapo kwenye kalatasi ya pili kabla sijaanza kufanya mtihani nikashituka nn maana yake nisaidie
Nmeota nafanya mthian lakn nkasahau kuandika jina,piah nmeota nafanya mthian Mara karatasi ikapotea nkarudia nkamaliza lakn nikasahau kuandika jina
Kila Mara nalotaga nafanya mtihani
Ukiota unakimbia kwenye njia yenye vilima na miteremko
Ukiota unafanya mtihani alafu unakosekosea Sana kuandika
Ukiota unafanya mtiahini na umesahau majibu yote inamanisha nini
@Mwamini Salingo ina maanisha utapitia magumu maishani itakuwa siyo rahisi kufaulu kwa kile una fanya. Napia inaweza ika kufanya kupitia shida kwa kipindi kirefu maishani
Nimeota nakimbia kwenye njia yenye milma na miteremko
Niliota nafanya mtihani tu wala sikujua niandike nn kwenye mtihani na niliusoma sikuelewa
Aky mm naota katika huo mtihani bc sielewi kabisaa maswali
Ni ishara ya kutofanikiwa katika Maisha yako 😢 ni muhimu kurejea kwa mungu na kutaka msaada bwana asifiwe
Nimeota nilifanya mtihani nikakosa yote 😢
Ha haaaa
Niliota niko shule na nimepewa kazi na mwalimu mkuu kuandika majina na namber yenyo wamepata inaaanisha
Naota nafanya vizuri na pia na jibu Mtihani halaka Sana kwa Usahii, Tatizo Linakuja Mimi najua nimemaliza Ila Akija Msimamizi Naona kuna kalatasi Sijajibu Afu naziweza kujibu ila Out of time.