The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 655

  • @abuubilal2646
    @abuubilal2646 2 роки тому +43

    Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 місяці тому

      kwani wareno walitawala Tanganyika ?

    • @FahdiSultan
      @FahdiSultan 2 місяці тому

      Walitawala Kwa muda mfupi hapo kilwa na Nchi za Kusini mwa Africa ​@@magigesabai8674

    • @husnakalumba2578
      @husnakalumba2578 2 дні тому

      Waleno 😂kasome tena historia

  • @mahamudumbwana382
    @mahamudumbwana382 2 роки тому +53

    Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

    • @perujumah1422
      @perujumah1422 2 роки тому +1

      Ameen thuma ameen

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 2 роки тому

      @@perujumah1422 Allahumma Aaaameen

    • @SamirBSam
      @SamirBSam 2 роки тому

      Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 2 роки тому +22

    Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia.
    Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 6 місяців тому +1

      Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.

    • @sarastephano3409
      @sarastephano3409 2 місяці тому +1

      ​@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu

  • @yohanamhagama8975
    @yohanamhagama8975 2 роки тому +54

    Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale

  • @michaelliungo7811
    @michaelliungo7811 2 роки тому +52

    kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu

  • @perujumah1422
    @perujumah1422 2 роки тому +12

    There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲

  • @arapninja_things
    @arapninja_things 2 роки тому +13

    Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 роки тому +26

    Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia

  • @hassansaidhajji001
    @hassansaidhajji001 2 роки тому +55

    Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother

  • @abdallahmwanjile471
    @abdallahmwanjile471 2 роки тому +9

    M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah

  • @hassanpande9915
    @hassanpande9915 2 роки тому +18

    Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍

  • @kingkittah6748
    @kingkittah6748 2 роки тому +17

    PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏

  • @samwelthomas239
    @samwelthomas239 2 роки тому +8

    Professor you are the best historian I never had,ila uwe unawasiliza hao sources alafu unasimulia mwenyew ,maana wakiongea wanapunguza ladha ya story book, we need your real voice only✊

  • @Sautiyamajini
    @Sautiyamajini 2 роки тому +7

    Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed

  • @dieudonnejohnson5200
    @dieudonnejohnson5200 2 роки тому +37

    Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌
    Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪
    Ila, nina ka advice kadogo.
    Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili.
    Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi.
    Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy.
    Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo.
    Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!!
    Congrats guys!💪💪💪
    MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤

    • @philipbonhour4987
      @philipbonhour4987 2 роки тому +5

      Wajifunze kiswahili

    • @muxxerju7532
      @muxxerju7532 2 роки тому +6

      my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 роки тому +2

      @@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....

    • @sadanahimana7193
      @sadanahimana7193 2 роки тому

      wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 роки тому +1

      @@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...

  • @leonardpeter3953
    @leonardpeter3953 2 роки тому +9

    Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.

  • @Homeofrhumba
    @Homeofrhumba 2 роки тому +8

    Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.

  • @HusseinAllih-Arsenalke
    @HusseinAllih-Arsenalke 2 роки тому +2

    umenielimisha sana kakangu.Serikali za africa zafaa kuikuza zaidi kwa manufaa ya wananchi

  • @rubenmatley9552
    @rubenmatley9552 2 роки тому +23

    🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 2 роки тому +3

    Blo nazani allah amekushusha iwe msaada kwetu blo nakubalisana nakuombea kwamungu uwe namalifazaid utufunulie zaidi ishallah

  • @oswaldmwihavapaul8517
    @oswaldmwihavapaul8517 2 роки тому +13

    Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz

    • @bonita329
      @bonita329 2 роки тому +2

      yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽‍♀️

    • @richardlucas2275
      @richardlucas2275 2 роки тому +1

      Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 2 роки тому

      Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid

  • @teaminfinity4995
    @teaminfinity4995 2 роки тому +53

    Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built

  • @MWEGOHA
    @MWEGOHA 2 роки тому +3

    Nilikuwa nikiisikia historia ya Kilwa ila sikujua kiundani hivi kama ulivyonielimisha leo @Prof Jamal, umenifanya niendelee kutafuta makala mbali mbali kuhusu Kilwa ila zaidi nahitaji kuutembelea nikajionee kwa macho mji huo ambao ni hazina kubwa sana Tz na Africa, Hongera Wasafi Media, Hongera Professor Jamal kwa kazi nzuri, "The Story Book" forever 💥

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 роки тому +2

    Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏

  • @alimzee
    @alimzee 2 роки тому +5

    Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe

  • @jaypmunyamaofficial3488
    @jaypmunyamaofficial3488 2 роки тому +20

    I really like your storytelling

  • @bakaryCMD
    @bakaryCMD 2 роки тому +10

    The great professor of all time

  • @lotilazaro8845
    @lotilazaro8845 2 роки тому +5

    Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 роки тому +7

    Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania

  • @athuman6223
    @athuman6223 2 роки тому +7

    from Philadelphia watching storybook 👏

  • @selemannaoda2027
    @selemannaoda2027 2 роки тому +4

    Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.

  • @brunokalunga4552
    @brunokalunga4552 2 роки тому +8

    Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.

  • @naslee1010
    @naslee1010 2 роки тому +12

    our country to be greatly blessed by god congratulations brother for declaring our country 🙏

  • @blasiusrweyemamu5052
    @blasiusrweyemamu5052 2 роки тому +6

    Respect prof Jamal April.......wewe ni icon ya marifa

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 2 роки тому +7

    Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.

  • @mishekimbuba8260
    @mishekimbuba8260 2 роки тому +2

    Asante sanaaa umetuelemishaaa

  • @awadhbuya9649
    @awadhbuya9649 2 роки тому +15

    U always inspire me prof.

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 2 роки тому +4

    Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja

    • @zamzamabdi5279
      @zamzamabdi5279 2 роки тому +1

      Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 2 роки тому +8

    Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.

  • @robinmuganda7690
    @robinmuganda7690 2 роки тому +22

    You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 роки тому +2

      Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....

    • @masupildula
      @masupildula Рік тому

      @@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali
      Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 Рік тому

      @@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....

  • @asaadboy
    @asaadboy 9 місяців тому +1

    Kwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.

  • @littletv3177
    @littletv3177 2 роки тому +2

    Nimefurahi sana kusikia simulizi hii sababu inatuhusu Moja Kwa Moja wa Tanzania nimejifunza mambo mengi ila kikubwa ni kwamba hakuna Cha kudumu Duniani Kila kitu kitapita.

  • @shabaniramadhani714
    @shabaniramadhani714 2 роки тому +2

    Nimefurahi sana na nimejifunza mengi kuhusu mji wa kulwa

  • @ismailkizito5692
    @ismailkizito5692 2 роки тому +9

    Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Рік тому +3

    Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo

  • @user-dk7ss3xq4f
    @user-dk7ss3xq4f 2 місяці тому

    Asante sana akika wewe n professor

  • @josephatmarko6155
    @josephatmarko6155 2 роки тому +12

    Nimejaribu kutembelea majengo ya zamani barani ulaya hasa katika nchi ya uswiss na Italy, kuna utofauti mkubwa sana majengo yao pamoja na kwamba yameishi miaka zaidi ya elfu bado yapo vizuri japo si kwa mwonekano ule wa awali lakn wanajitahidi sana kuyatunza.Nchi yetu imeyatelekeza hayo majengo wangeweza kuyafanyia ukarabati kama wanavyofanya wenzetu ili angalau majengo yetu yaweze kuendelea kuonekana kama majengo kwa watalii na vizazi vijavyo.

    • @leith87seif55
      @leith87seif55 2 роки тому +2

      Ile ni miji ta kiislamu na historia ni yabkiislamu hawawezi kufanya hivo katikabseheku ambayo serikali wamekusahau kwa Tanzania ni upande wa kusini mwa Tanzania kila kitu kibovu wewe angalia barabara ya kule tu utajua

  • @saidkaim768
    @saidkaim768 2 роки тому +11

    "tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 роки тому +1

      Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 роки тому +2

      @@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 роки тому +2

      Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 2 роки тому

      @@mpendakiswahili3053 mpango tu

    • @shaujimpota7202
      @shaujimpota7202 2 роки тому +1

      @@ahmedzahor2975 pashia ndo nini?
      Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k

  • @farajkibinda6151
    @farajkibinda6151 2 роки тому +10

    Love it kikwa boy

  • @alltanzania
    @alltanzania 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana Professor. Utafika mbali sana kwenye upande wa kuandaa Documentary hapa Tanzania.

  • @yusufumwasha548
    @yusufumwasha548 2 роки тому +2

    Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld Рік тому +3

    Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.

  • @richbird.123
    @richbird.123 2 роки тому +6

    Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 2 роки тому +2

    Jamaa yetu jamali ni Professor Aisee, Big Up bro

  • @nelsonbisi6499
    @nelsonbisi6499 2 роки тому +5

    Fantastic Professor J.April keep it up 💪🇹🇿

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 2 роки тому

    Kwamakala hii unstable kuponfezwaa na mama samia umetisha sana duh gonga. Like kam unakubalia na mim yakwambaa jama. Kaamzima Ananias edigr mtiga Abdallah yeye pekee ndiye ame baki aakiskika kwasimulizi tofauti tofauti

  • @rinirietransfomaorenge4309
    @rinirietransfomaorenge4309 2 роки тому +4

    Nafurahi ninapoona nko na dakika 44.nasikia the story book 😋😋😋😋

  • @salhandembo2480
    @salhandembo2480 2 роки тому +1

    Mashallah wangewacha warabu jaman

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 роки тому +2

    Hakika Tanzania tuna history kubwa sana Big up sna Bro kwa kuona mbali

    • @irenewile
      @irenewile 2 роки тому

      Hapo ndio maneno ya Kiswahili yapogundulika mwaka 17....

    • @ahmadsaid4878
      @ahmadsaid4878 2 роки тому

      @@irenewile 👩🏿‍💻Jambo zuri kuijua Tanzania yetu

  • @user-gu7kg3vt3w
    @user-gu7kg3vt3w 5 місяців тому

    Asante kwa historia ya kilwa

  • @mchenitv9703
    @mchenitv9703 Рік тому

    Home 🏠 sweet home Asante pr.april Kwa kuheshimusha kilwa

  • @haslyhasly7945
    @haslyhasly7945 2 роки тому +4

    Nice story big up prof. Jamali April

  • @bintrobert4952
    @bintrobert4952 2 роки тому +1

    Shukran kwa historia ya kilwa

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 роки тому +1

    Serikali iendeleze huu mji wa kilwa kisiwani iwe sehemu ya utalii inavutia sana vinginevyo history itapotea

  • @crispuskasanga8487
    @crispuskasanga8487 2 роки тому +1

    UTAMU WA HISTORIA.KONGOLE MWANAHISTORIA MSHUPAVU.FROM +254

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 2 роки тому +7

    Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla

  • @filbertivo1988
    @filbertivo1988 2 роки тому +3

    Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi

  • @shamilamuhamedi7904
    @shamilamuhamedi7904 2 роки тому +1

    Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo

  • @hassanilimbega9121
    @hassanilimbega9121 2 роки тому +9

    Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii

  • @oscarboniface9690
    @oscarboniface9690 2 роки тому +2

    Asante Jamal...this is among the best video you have produced

  • @abdallahmbwana4135
    @abdallahmbwana4135 2 роки тому +1

    Sofala ni mji uliopo Msumbiji na Monamutapa ndio Zimbabwe. Tukumbuke tulikotoka. Kazi nzuri.

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 2 роки тому +1

    Uje na huku mbeya uielezee kaporogwe, daraja la Mungu, ziwa ngosi n.k maana tunavivutio Ving Sana Ila havtambuliki

  • @dullyhaleem6962
    @dullyhaleem6962 2 роки тому +2

    PWANI YETU🌴❤❤

  • @frankmsigwa153
    @frankmsigwa153 2 роки тому +2

    Good upo vizuri Mkuu umenipa raha sana

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 2 роки тому +2

    Asante sana professor

  • @mudarrisumuhangia7576
    @mudarrisumuhangia7576 2 роки тому +1

    ubarikiwe ndugu kwakazi unayoifanya

  • @kairatiswahilli7024
    @kairatiswahilli7024 Рік тому +1

    Kumefanana na pemba🥺🥰

  • @maquizonlinetv3150
    @maquizonlinetv3150 2 роки тому +1

    Najifunza vitu vingi kutoka kwako Mungu ukujalie

  • @PresenterSilah
    @PresenterSilah 2 роки тому +1

    This is the best educational channel walahi

  • @KIMSwahili
    @KIMSwahili 2 роки тому +4

    Wislam ni maisha

  • @bakaribakari9792
    @bakaribakari9792 2 роки тому +1

    Ni vyema mamlaka husika sikaendeleza haya majengo kwa kukarabati ikiwa pamoja na kuezeka na kirejesha muonekano wa asili, hongera Sana kazi nzuri

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 роки тому +2

    🔥❤️🔥

  • @jacquelinefrank6257
    @jacquelinefrank6257 2 роки тому +3

    Jamaal your so intelligent blessed

  • @gwakisamatingo4861
    @gwakisamatingo4861 2 роки тому +4

    Nakubali prof...

  • @ramadhanjaphet2976
    @ramadhanjaphet2976 2 роки тому +2

    Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET

  • @mustaphasayyid6740
    @mustaphasayyid6740 2 роки тому +5

    My home KILWA

  • @masoudsuleiman4623
    @masoudsuleiman4623 2 роки тому +3

    Naipenda Kilwa yangu

  • @hassanhamis7730
    @hassanhamis7730 2 роки тому +2

    We babaa wee hiv umesoma course gan mbon genius san

  • @muddytupa6688
    @muddytupa6688 2 роки тому +2

    Unatisha sana my Brother

  • @niikosomali0nly
    @niikosomali0nly 2 роки тому +7

    Much Love from 🇰🇪 Kenya💖

  • @abdallahomary6942
    @abdallahomary6942 2 роки тому +6

    Welcome home KILWA

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 роки тому +1

    ivi vitu kama tunavifanyia adivatazimet tena duniani tutapata turist wangi kupita Africa yoyote tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @salumkudrakihulo7613
    @salumkudrakihulo7613 2 роки тому +10

    Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,

    • @Mwamba67
      @Mwamba67 2 роки тому +1

      😂
      Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 2 роки тому +1

    Big up nakubali sana the story book

  • @thulanimashaba8491
    @thulanimashaba8491 3 місяці тому

    Historia nzuri

  • @platvinlover6508
    @platvinlover6508 2 роки тому +1

    Nimeipenda hii😃

  • @faustineelias2059
    @faustineelias2059 2 роки тому +5

    ningependa uendelee kuichambua nchi yetu

  • @nasramuhammad2404
    @nasramuhammad2404 2 роки тому +7

    Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani

  • @elrainswilson4820
    @elrainswilson4820 2 роки тому +1

    Amazing Thanks for this video

  • @emmanuelshija7032
    @emmanuelshija7032 2 роки тому +1

    Kaka huwa nakuelewa sana simlizi zako ila leo umenikosha mungu akulinde jamaali mustafa