The Story Book: KITABU Cha Siri Za Mungu / WANEFELI na MALAIKA WAASI / ALLIEN NA SAFARI YA MBINGUNI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 1,5 тис.

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter6182 5 місяців тому +106

    Najua atujuani ila popote ulipo katika dunia hii mungu akubariki na pia akufanyie wepesi kaktika kila jambo nawapenda ❤❤❤❤❤

  • @CharlesMwanyika
    @CharlesMwanyika 4 місяці тому +25

    Kiukwel kaka unatujuza mengi sana kwa ss tunaopenda history ya kujua mambo mengi .god bless you

  • @StaceyNyambura-ks7wr
    @StaceyNyambura-ks7wr 5 місяців тому +57

    Who is here in 2024? Don't pass without a like. We thank God for life and everything he has done for us...be blessed 🙏🙏🙏

  • @DexterPlaysTZ
    @DexterPlaysTZ 5 місяців тому +31

    Nimeisubiria hii since last year....finally 🔥🔥

  • @VictorMsuya
    @VictorMsuya 5 місяців тому +47

    kaka nashukuru sana ombi langu umelitimiza🎉

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 4 місяці тому +17

    Asante sana Kaka Jamal kwa Story nzuri...
    Kila mtu atachambua stori hii kutokana na Imani yake ya Dini.
    NAOMBA UTULETEE STORI YA MUHAMMAD (AMANI IWE JUU YEKE) KWENDA MBINGUNI.
    KISA CHA ISRAA NA MIRAJI.
    ASANTE.

  • @ndayikengurukiyemandalene7027
    @ndayikengurukiyemandalene7027 5 місяців тому +184

    Wewe kijana nimekuombea baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu maana haunaubaguzi wowote kuhusu dini wewe nimtu wa Mungu kabisa.Mungu azidi kukulinda nakukuongezea ufahamu zaidi from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮and 🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @hesbonk254
    @hesbonk254 5 місяців тому +115

    Finally❤❤,nipeni like from Kenya

  • @funzone5795
    @funzone5795 5 місяців тому +12

    I have Being a great follower for Jamal and listened to many stories from the story book bt for today was fantastic, am even now motivated to search for the book of Enoch and read it all.

  • @JacksonMaro-y6q
    @JacksonMaro-y6q 5 місяців тому +16

    Mtumishi ubarikiwe kwa neno lenye mafunuo tunabrikiwa na kuguswa pia❤😊🙌🙌🙌🙌🙏🙏

  • @EfraziaNtinda-fd4rg
    @EfraziaNtinda-fd4rg 5 місяців тому +11

    Ukuu wa MUNGU n wa milele jamn, Ee bwana yesu naomb unipe Ujasiri kama mtumish wako HENOKO, AMEN,,🙏🙏

  • @B.whaite
    @B.whaite 5 місяців тому +196

    From Burundi 🇧🇮 nipeni like zangu

  • @robjigger9791
    @robjigger9791 5 місяців тому +11

    Professor jamal salute kwako

  • @David.baby1
    @David.baby1 5 місяців тому +313

    Ooh Leo angalahu nime comment 180 toka nianze fatilia wasafi sijawahi kupata ata like moja😢😢😢

    • @MackdonaldAudifas
      @MackdonaldAudifas 5 місяців тому +4

      Asa ukishapata izo like unalienable au😢

    • @NashonMakazi
      @NashonMakazi 5 місяців тому +1

      @@MackdonaldAudifas bro fata yesu niongo huyojamaa muongo paka akubali yesu ndio nitamskia

    • @AfricanBae-nm9yp
      @AfricanBae-nm9yp 5 місяців тому

      😂😂😂

    • @ilovejesus666
      @ilovejesus666 5 місяців тому

      ​Kumbe auna akili 😂

    • @NashonMakazi
      @NashonMakazi 5 місяців тому

      @@ilovejesus666 ilovejesus666 oya rada ya namba

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 5 місяців тому +39

    Yaani sjui ni zambi gani kubwa iliyotuondolea hofu ya MUNGU kwetu wanadamu na kumfanya MUNGU awe mbali na mwanadamu. EEEEH MUNGU me nimwe zambi nyingi ila unikumbuke me na kuniweka kwenye himaya yako kabla ya umauti wangu maana naamini katika wewe na wewe ni jana ,leo, na hata milele 😭😭😭🤲🙏

    • @AnithapaulKarugaba
      @AnithapaulKarugaba Місяць тому

      Ameen🙏

    • @floraflora5717
      @floraflora5717 Місяць тому

      Apana Mungu Baba anatupenda sana àjawai kwenda mbali na sisi tungekuwa tunaishi ivi

  • @bosirebosire5620
    @bosirebosire5620 4 місяці тому +11

    Napenda jinsi unajizatiti sana kwa utafuti wa mambo na nadharia mbali mbali

  • @elviceshabani6875
    @elviceshabani6875 3 місяці тому +8

    Drc Congo mungu akuzidishiye kwenye ume pungukiwa

  • @EzekiaSanga-d7o
    @EzekiaSanga-d7o 5 місяців тому +24

    I wish umpokee yesu awe BWANA na mwokozi WA maisha yako Jamal.. kwakuwa unaukweli wote kuhusu habari za Mungu wetu tunaemtumikia

    • @Habasramadha
      @Habasramadha 2 місяці тому +1

      Mungu kwanza halafu yesu

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 5 місяців тому +78

    Biblia ni primary source ya taarifa na mafundisho yote ya Mungu na dini ya kikristo
    Ambayo hayapo n wasomi wa dini wanajarbu kuwa na akili zaid lkn uwezo wa Mungu n mkubwa zaidi yao

    • @davidshinje6379
      @davidshinje6379 5 місяців тому +1

      Hakika barakiwa sana Mtu wa Mungu.

    • @azormatthew7813
      @azormatthew7813 5 місяців тому +1

      Uthibitisho?

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 5 місяців тому

      @@azormatthew7813 uthibitisho wa nn

    • @gildasnyaki3812
      @gildasnyaki3812 5 місяців тому

      Biblia ina vitabu vingi ambavyo vingetakiwa viwepo humo lkn vimeondolewa ikiwemo kitabu cha enoko, vyote vipo kwenye library kubwa zaidi duniani pale vatican. Chunguza mambo

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 5 місяців тому

      @@gildasnyaki3812 kipi kilitakiwa kiwepo hakipo nambie

  • @ishaqally444
    @ishaqally444 5 місяців тому +829

    Kitabu cha Enoch, kilitolewa miongoni mwa vitabu vya biblia kwa sababu kinazungumzia viumbe vinavyoishi sayari zingine waitwao Annunaki na ndio waliomchukua kwenda kumfunza teknolojia na sayansi yote unayoiona katika dunia hii, Kanisa la Roman waliokua watawala kipindi hicho hawakutaka elimu hiyo itoke kwani itashindwa kukita utawala wake wa kuitawala dunia, na ndio maan kwenye biblia ya Wethiopia baadhi ya kurasa ya kitabu hicho bado kipo, Waromani ili kupotosha taarifa hizo waliamua kuita hivyo viumbe malaika ila uwepo wa viumbe nje ya dunia waishio safari zingine zipo na ndio huitwa Aliens. Na wakaamua vitavu vipi viwepo na vipi visiwepo.Teknolojia inayotumika sasa elimu yake inatolewa katika vitabu hivi na mataifa yanayotawala wanaficha na ndio maana nchi kadhaa ndio wanaoongoza katika ulimwengu wa sayansi.

    • @jumamaganga5064
      @jumamaganga5064 5 місяців тому +40

      ukitaka kukipata hiki kitabu unakipataje mfano......

    • @HamidSimu
      @HamidSimu 5 місяців тому +12

      Umemaliza kiongozi

    • @pilladtradersupdates6568
      @pilladtradersupdates6568 5 місяців тому +6

      Bright man👏👏👏

    • @KemmyPrince-r4l
      @KemmyPrince-r4l 5 місяців тому +5

      ​@@HamidSimu kamaliza bado we 😅 elezaaaaa kwa upanaaaaaaaaaaaaa

    • @AgaMatumla
      @AgaMatumla 5 місяців тому +4

      👏👏

  • @djumasheby3549
    @djumasheby3549 5 місяців тому +28

    {Siku ambayo kipofu ataona basi chakwanza kabisa ataanza kutupa fimbo yake iliokua ikimuongoza } Daaah bonge la fact bro tunahitaji ufafauzi zaidi kwa hilo

    • @markmacharia7714
      @markmacharia7714 5 місяців тому

      Hapo nayo ni ukweli

    • @givenmgaya8889
      @givenmgaya8889 5 місяців тому +3

      Siku watu watakapojua siri za dini kwamba zilianzishwa tu na binadamu kwaajili ya kuwaongoza watu ndipo watakapoziacha izo dini na kuenenda na njia zao

    • @graxsamemmanuel3044
      @graxsamemmanuel3044 5 місяців тому

      Kama wanayofundisha ni mazuri basi yafuate na kama yanayofundishwa ni mabaya basi fuata njia zako​@@givenmgaya8889

    • @josephkamau2423
      @josephkamau2423 2 місяці тому

      Kama vile umesema kwely​@@givenmgaya8889

    • @Merrysp8tt
      @Merrysp8tt Місяць тому

      Kwakel ni Mungu tu atuongoze👏👏

  • @PatrickFrenkMbogo
    @PatrickFrenkMbogo 5 місяців тому +71

    Heri walio mwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wao! Atatuongoza kwenye uzima wa milele

    • @TitusSarkai-hg5uk
      @TitusSarkai-hg5uk 5 місяців тому +1

      Amen amen ❤

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 5 місяців тому

      Jidanganye tu 😂😂😂😂

    • @RizikiQueen
      @RizikiQueen 5 місяців тому

      Jmn 😂😂​@@fasterwalker1464

    • @RizikiQueen
      @RizikiQueen 5 місяців тому

      Jmn 😂😂​@@fasterwalker1464

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 5 місяців тому

      ​@@fasterwalker1464ukute wewe ndo unajidanganya be prepared for the second coming of Jesus be care

  • @CristianSaïd-u5p
    @CristianSaïd-u5p Місяць тому +3

    🎉nasi huku congo tuna fatiliya sana story book

  • @salumukatani03-u8b
    @salumukatani03-u8b 5 місяців тому +28

    Uchambuzi yakinifu kabisa 👍

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 5 місяців тому +14

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @Mr_Mawazo
      @Mr_Mawazo 5 місяців тому

      Hapa ni comment kuhusu story book sio kuhubiri 😄😄😄

  • @AyubuAlly-p9m
    @AyubuAlly-p9m 2 місяці тому +2

    MUNGU azidi kutupa Imani soto tuzid kumu amini

  • @kennedyprime3630
    @kennedyprime3630 5 місяців тому +9

    This is forbidden knowledge, Thank you,. I was afraid to go there alone. Big up Prof

  • @FURAHISHAMGALA
    @FURAHISHAMGALA 3 дні тому

    Ni za kweri izi story kaka ata mi pia namuomba Mungu atusaidie sanaaa

  • @geoffreychurchkayora1230
    @geoffreychurchkayora1230 5 місяців тому +11

    Umeelezea kwa umakini sana

  • @glody01
    @glody01 Місяць тому +1

    I really like this the story book 😊

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 5 місяців тому +4

    Safi sana mtumishi kwa kuendelea kutujuza habari njema,nafurahia sana story book

  • @jameskenny1808
    @jameskenny1808 Місяць тому +1

    Ubarikiwe sana kijana si kwa uwezo wako bali roho mtakatifu ame kufunza kama Enoch.

  • @NajimaJuma
    @NajimaJuma 5 місяців тому +43

    Wasafi never die
    Aisee hii elimu nikubwa sana Gonga like kama waamini umekuwa msomi kupitia hapa kwa professor jamal❤❤❤🎉

  • @carinahishimwe9581
    @carinahishimwe9581 5 місяців тому +5

    Love from burundi 🇧🇮

  • @Godfreymukiri
    @Godfreymukiri 4 місяці тому +5

    talented professor
    💌💌💌💌

  • @StanslausWakazi
    @StanslausWakazi 5 місяців тому +31

    Nime.ielewa sana hyo kauli ya kipofu na ndio maana saiv watu wame amka Sanaa kuhusu mambo ya din na me nasema endapo kizazi Cha mwaka 1900 kikiishaa na kupoteaa bas hakuna mtu ambaee atA ijua dini tenaa wana iacha na kuishi kivyaoo na ndio Yale walio yasema mpga kristo yata tumiaa kwasababuu ya muamko

    • @kingrhino9472
      @kingrhino9472 4 місяці тому

      Ni kweli kizazi cha 90 kikiisha Dunia itakuwa na Shida sana

  • @EmmanuelPetro-i8m
    @EmmanuelPetro-i8m 5 місяців тому +18

    Mungu kakupa kipaji na sauti ya usimulizi isiyochosha masikioni,

  • @eliudminga6085
    @eliudminga6085 4 місяці тому +24

    Habar vijana wenzangu
    Naomba kutumia nafasi hii kuwavuta kwenye fursa kama wewe ni mhitimu wa elimu ya ufund veta kwa fani ya fund bomba, umeme na umeme wa magari tafadhar chukua Mawasiliano Yangu hapo chini na kama wewe pia unamoyo wa kusaidia wengine gonga like zako hapa

    • @bekayomashango7054
      @bekayomashango7054 2 місяці тому

      Kaka Habar yako naomba mawasiliano yako mm fundi bomba

    • @bekayomashango7054
      @bekayomashango7054 2 місяці тому

      Mm ni mtanzania ila npo burund kidgo namba tuwasiliane kaka

  • @rasoomwatela4281
    @rasoomwatela4281 5 місяців тому +4

    Nilikua nimesubiria hii sana kutoka kwa Jamali April mwenyewe ❤❤❤

  • @SalimMwendo
    @SalimMwendo 24 дні тому

    Asante .Nawe piya Baraka za mwenyezi mungu ziwe pammoja nawe

  • @EmmanuelMwakalinga-o1x
    @EmmanuelMwakalinga-o1x 5 місяців тому +5

    Mungu awaongezee maalifa watoa stoli

  • @WycliffeAlango
    @WycliffeAlango 5 місяців тому +4

    Asante Sana Jamal mwenye maskiyo askiye🙏

  • @EmanuelBoge
    @EmanuelBoge Місяць тому +3

    Nakubali sana brother unanifunza kuoitia oage zako usije ukaacha brother

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 5 місяців тому +15

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @Mr_Mawazo
      @Mr_Mawazo 5 місяців тому

      Kumbuka usipofanya dhambi maana yake yesu alikufa bila sababu

    • @BillyElia-nc8en
      @BillyElia-nc8en 3 місяці тому

      ​@@Mr_Mawazousihalalish dhambi then kumbuka ukifany dhambi makusudi ni kama unamrudish Yesu msalabani 😢

    • @AnithapaulKarugaba
      @AnithapaulKarugaba Місяць тому

      Yesu kashamkubali na anamtambua jamani, kuna sehem nilimsikiliza kuhusu mawe ya amri kumi za Mungu hayajulikan yalipo alimtamka Yesu kua ndie atakayekuja kutatua hilo fumbo, kwaiyo tusisahishe tusichokjua tumtege sikio tuelimike..

  • @freystar2684
    @freystar2684 5 місяців тому +58

    "siku ambayo kipofu ataona chakwanza kufanya nikutupa fimbo iliyokuwa ikimuongoza kwenye upofu wake" hii ni lugha yafumbo yenye maan kubwa zaidi kuja kuwahi tokea🙌

  • @KassimKhamisi
    @KassimKhamisi 5 місяців тому +6

    Respect broo tunamxhukulu Kwa kutufahamixha Kwa tuxiyoyajua broo. kalibu BAGAMOYO 🎉🎉

    • @Mr_Mawazo
      @Mr_Mawazo 5 місяців тому

      Why x instead of S

  • @JuxvatonOmmari
    @JuxvatonOmmari 5 місяців тому +123

    dah lahaaa sanajamani izi story naomba muniwekehe urumakidigo jamaleo naombeni like atamoja nitashukuru...................😭😭😭

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 5 місяців тому

      Umeandika vitu gani hapa wewe ndugu? Dah aisee

    • @denzaille
      @denzaille 5 місяців тому

      Kachukue chenji kutoka kwa mwalimu wako wa kiswahili... tutakupa like za kutosha

    • @happykhamsini1316
      @happykhamsini1316 5 місяців тому

      😅😅😅😅ameandika nn huyu

    • @WinifridaGregory
      @WinifridaGregory 4 місяці тому

      Makubwa haya 😂😂

  • @ZaleoFilmGroup
    @ZaleoFilmGroup 5 місяців тому +92

    Leo namimi nimewahi mapema sana, aya tunaopenda story book naombeni likes zenu namm

  • @FranceWerner-4704
    @FranceWerner-4704 2 місяці тому +1

    Thanks much bro 🙏

  • @SafariNkana
    @SafariNkana 5 місяців тому +4

    Unatishaaa sanaaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @IrengeDavid
    @IrengeDavid 4 місяці тому +2

    Asante sana kutuambia u kweli ongera sana

  • @stanslausmajalla8896
    @stanslausmajalla8896 4 місяці тому +5

    Namwomba Mwenyezi Mungu nisionje mauti kama Henoki na Elia

  • @delacruzito360
    @delacruzito360 5 місяців тому +9

    Mwenyezi Mungu aendelee kukujalia uhai ili na sisi tuweze kupata elimu ya kujua mafundisho ya yake

  • @BrianPrudenceOngera
    @BrianPrudenceOngera 5 місяців тому +6

    This story book it's real facts God bless you 🙏🙏 Jamal April mustapha professor. Amen

  • @cosmaskioko3646
    @cosmaskioko3646 5 місяців тому +4

    This man is one of the biggest investigator ❤

  • @ulayanapinda7808
    @ulayanapinda7808 5 місяців тому +85

    Daah naipenda sana sauti yake wanaoungana na mimi like comment

  • @AlexMbangwa
    @AlexMbangwa 5 місяців тому +4

    Congrats Jamal

  • @ComboLee007
    @ComboLee007 5 місяців тому +11

    Daaa ebu tunaomkubali jamal wote gongeni like hapA

  • @ChristinaKija
    @ChristinaKija 10 годин тому

    Napenda sana simulizi zako❤

  • @jamesmurigi3391
    @jamesmurigi3391 5 місяців тому +3

    Excellent narration..

  • @johnpallangyo8815
    @johnpallangyo8815 Місяць тому

    Professor jamal kabali sana kaka

  • @OmolloCyprian
    @OmolloCyprian 5 місяців тому +56

    Nimetimia 😂 nipeni like pia Mimi jameni❤ naipenda sana storybook.
    Kutoka kenya

    • @michaelhaule-fb2vs
      @michaelhaule-fb2vs 5 місяців тому

      zinakusaidia nini izo like mjinga wewe😅

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 5 місяців тому +1

      Kenya nyie wajinga sana hizo like zinakusaidia nn Kama c ujinga tu

    • @OmolloCyprian
      @OmolloCyprian 5 місяців тому

      @@mustafamasudi8093 yakuuma Nini wewe ngeuzi kula la kwako Wacha mambo ya wivu. Masikini wewe

    • @ZablonLuttah
      @ZablonLuttah 5 місяців тому

      Kenya sisi sio wajinga kama nchi zingine, juzi kule Olympic Kuna majirani zetu walitoka huko bila medali yotote, kazi yao ni kusikiliza tu story book

    • @markmacharia7714
      @markmacharia7714 5 місяців тому

      Matusi haikufaidi kitu sisi wote ni wapenzi wa story book.yani storybook family ​@@mustafamasudi8093

  • @FrancisGeorge-z1e
    @FrancisGeorge-z1e 2 місяці тому +1

    Enock the one and only

  • @Moses-Modekai
    @Moses-Modekai 5 місяців тому +69

    Nategea from Kenya 🇰🇪 NAOMBENI LIKES

    • @robertlangat6934
      @robertlangat6934 5 місяців тому +2

      Kenya tupo site.

    • @Mr_Mawazo
      @Mr_Mawazo 5 місяців тому +3

      Enda uandamane

    • @Moses-Modekai
      @Moses-Modekai 5 місяців тому

      @@Mr_Mawazo audio🏹⚔️⚒️🗡️🛠️🤝

    • @JuniorKatukuru
      @JuniorKatukuru 2 місяці тому

      Acha kuomba like kwo kama upokenya🤺🤺🤺

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 5 місяців тому +2

    Mafundi wa kuandika wamenogeshwa na fundi wa kusimulia Jamal!! Such a beautiful story

  • @MrProsper_king
    @MrProsper_king 3 місяці тому +16

    Sijawahi pata like daah 🥺

  • @MedsonRugaimukamu
    @MedsonRugaimukamu 5 місяців тому +2

    Kwadalili hzi Kuna story Kali zinakuja ❤

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 5 місяців тому +18

    Mr jamal ndo mkali wa hiz kaz mashallah Mashallah Mashallah Mashallah mungu hazidi kukupigania kaka unatujuza mengi sana kwakwer❤🎉

  • @mirzaismail5579
    @mirzaismail5579 5 місяців тому +1

    THE GENIUS MAN IN THE HIDEN PLACE.. JAMAL I SEE YOU FURTHER

  • @AbdulMtausi-qi3en
    @AbdulMtausi-qi3en 5 місяців тому +5

    Elimu kubwa sana kuliko akili ya wasikilizaji wako,wengi wameishia tu kupenda sauti yako kuliko kuelewa,ahsante kwa elimu kubwa sana ila nitahitahidi kusoma zaidi ili nielewe,ila ni kweli kabisa kitu cha kwanza kabisa kipofu siku akifanikiwa kuona basi itakuwa ni kuitupa fimbo yake iliyokuwa ikimuongoza

  • @RoseMully
    @RoseMully 22 дні тому

    ♥️💯 shocking good😮😲

  • @THEATER008
    @THEATER008 5 місяців тому +26

    Hey guys... I like your narration Jamal... Love from kenya 🇰🇪

  • @AlexTilax
    @AlexTilax 5 місяців тому +2

    Jamar Apr kazii nzuri kak blessing..🙌🙌

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Місяць тому +3

    Saw nimeanza kukuelewa leta madini mengine

  • @PHilipoElisha-r7u
    @PHilipoElisha-r7u 2 місяці тому +1

    Iko powa sana hii

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 5 місяців тому +34

    Napenda sana the story book ❤🎉🎉🎉 always ili ni lale lazima nisikilize mpaka na lala❤

    • @princemushi9593
      @princemushi9593 5 місяців тому +1

      Jambo zuri ❤

    • @AbrahamIsingo
      @AbrahamIsingo 5 місяців тому +1

      Kkkk

    • @HasanatyHasanatyyusuf
      @HasanatyHasanatyyusuf 5 місяців тому +3

      Naipenda Sana story book na sauti ya Jamal inanikoshaga acha2 🙂🙂

    • @vicentedgarchipasula2393
      @vicentedgarchipasula2393 5 місяців тому +1

      Mim nmekua mlevi wa story book cwezi kulala bila kusikiliza huwa narudia had za nyuma

    • @Jacklinejohn7
      @Jacklinejohn7 5 місяців тому

      @@vicentedgarchipasula2393 inatokana na hadisi tulizo kuwa tuna hadisiwa utotoni mpaka tunalala me niko ivo mpaka leo

  • @DuzzyMsafi
    @DuzzyMsafi 3 місяці тому +1

    Nan amaiss the story book aweke like hapa... Jamali mbona kimya ukwap wew na shida nin umechelewa

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 5 місяців тому +30

    Story book ipo njema kiongozi Nafurai sana

  • @BigoIshanshu
    @BigoIshanshu Місяць тому

    Ubarikiwe boss

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 5 місяців тому +23

    Kusema ukweli mimi siitaji kuipinga dini yoyote wala mtu yoyote ila kwa uelewa Wangu,kifupi tu kwenda kwake mbinguni lazima kunaushuda Mbali Mbali aliyo shudia uyo enoki inamanisha yangetakiwa yawepo mpaka leo hii ili tupate kujuwa na kujifunza na kuemika maana mtu awezi kwenda mbinguni afu kusiwe na lolote ata linalohusu kule mbinguni liwe ni mbaya au nzuli kikubwa alikwenda na kujuwa yaliyopo uko kifupi kitabu chake au ushuuda wake aliyo uwacha apa duniani kuusu kwenda kwake tulitakiwa leo hiia kuwepo Katika dini zote maana uyu enoki anakitu ambacho tungetakiwa tukijuwe ila tu watu wa shetani wameficha ili tusielimike na kujifunza ili ujuwe chema na kibaya lazima ujuwe vyote ndipo sisi tungejuwa kitabu chake nibola au siyo bola sasa tutajuaje pasipo ivyo jamani sijapenda kwakweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Samsumah
      @Samsumah 5 місяців тому

      Upo sahihi ndugu mim ni muislam huwa napenda kuangaza nipate kujua dini yangu na dunia yangu na hata wanacho amini wasio wa dini yangu , sio kwa ubaya nimekuwa nikifatilia mafunzo ya biblia kwa uchache nimegundua kuna gap nyingi na hakuna details zote ni kama wanafichaficha baadhi ya vitu watu wasijue wakati tunahaki zote za kumjua mungu kwa upana na vile alivo taka yeye tuvijue , kama ikiwa mwanadamu amejua kitu kumuhusu mungu basi sio siri tena ya mungu ametupa funguo ya elimu juu ya hicho kitu ,

    • @ZakaliaMlelwa
      @ZakaliaMlelwa 4 місяці тому

      Hivi tumjue mungu jamani🎉🎉🎉

  • @JeanjoelNishimwe-rj9kb
    @JeanjoelNishimwe-rj9kb Місяць тому +1

    Respect baba

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 5 місяців тому +31

    Ngoma imeanza kwa kishindo cha clip kutoka "Jack the Giant Slayer" Twende kazi Professor

    • @kilanjatv
      @kilanjatv 5 місяців тому +1

      😂😂😂

  • @SamsonJaphet-v2u
    @SamsonJaphet-v2u 10 днів тому

    Nakukubali sana kaka❤❤

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 5 місяців тому +8

    Huku ni raha Sana 🔥🔥🔥

  • @Neema182
    @Neema182 28 днів тому

    Acheni kudanganya watu. Mnasimulia vitu tofauti na uhalisia

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 5 місяців тому +14

    Pamoja sana kutujuza

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs 3 місяці тому

    Haya ni madini sanaa kaka hongera sanaa jamal #wasafitv

  • @grayvanny8446
    @grayvanny8446 5 місяців тому +11

    Ukiacha jack the giant nisaidien hyo muv nyingne za kwenye vipande alivyoweka humo 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @GeeMatthew-x5y
    @GeeMatthew-x5y Місяць тому +2

    duh kwel dunia ina mambo mengi sana.

  • @LEONARDTUMWET-jx3qf
    @LEONARDTUMWET-jx3qf 5 місяців тому +15

    Nakuomba Ewe mwenyezi Mungu nipe macho ili Niweze kuyaelewa maandiko,Shallom.

  • @EstraEmily
    @EstraEmily 5 місяців тому +2

    Amina ubarikiwe sana

  • @fanikiwamtanzania6822
    @fanikiwamtanzania6822 5 місяців тому +14

    Hakika siri za haya maisha zimo katika vitabu. Tupende kusoma vitabu.

    • @kingrhino9472
      @kingrhino9472 4 місяці тому

      Ni sahihi watu tusome vitabu tuujue ukweli sio kusimuliwa na watu au viongozi wa dini

    • @BeatriceJoram-h3y
      @BeatriceJoram-h3y Місяць тому

      Ukiywsoma haya lazima udate

  • @LatifaMohamed-ij1sb
    @LatifaMohamed-ij1sb 2 місяці тому

    Asante kwakutujuz

  • @newbwejuu4302
    @newbwejuu4302 Місяць тому +3

    muda wa henoko ilikua mkombozi yesu hayupo na yeye henoko anasema anaeomba kupitia mwengine kafanya zambi hushtuki

  • @GideonNzige-k7i
    @GideonNzige-k7i 3 місяці тому

    Mungu akubariki endelea kutoa Elihu bila kumkosea Mungu

  • @GeorgeSonsi-q7k
    @GeorgeSonsi-q7k 5 місяців тому +6

    Kama mna mkubari uyu jamaa like app👍👍👉👉

  • @AtanasMnkondya-qq7vh
    @AtanasMnkondya-qq7vh 3 місяці тому

    Dhaa asante kwa kutupa elim yako nasadiki leo na kumupokea mwana nakuwa mokozi wangu

  • @MO12-b1q
    @MO12-b1q 5 місяців тому +18

    Siku zote nakosaga kufikisha Like 100 jamani sijui nimekosa nini kwenye THE STORY BOOK

  • @MohamedHalake-cy8bh
    @MohamedHalake-cy8bh 5 місяців тому +2

    Mola akulinde proffersor

  • @kakamkuu-n6c
    @kakamkuu-n6c 5 місяців тому +3

    Habari kaka ninaswali hapa