VISHETI VINALIWA NA KAHAWA SIKU ZA EID NA SIKU ZOZOTE ZELE PIA UNAWEZA KULA KWA CHAI UKITAKA PIA! LAKINI CHAI INA SUKARI NA VISHETI VINA NA SUKARI PIA! LAKINI KWA KAHAWA NI UZURI ZAIDI👌"
VISHETI LIWA SIKU ZA EID SIO MWEZI WA RAMADHAN! VINALIWA AS A TAQADUM NA KAHAWA SIO TEA SHAI) TEA) CHAI) ALWAYS VISHETI HULIWA KWA KAHAWA👌 VISHETI VINALIWA KILA SIKU SIO LAZIMA IWE EID" NI KAMA TAQADUMU KWA KAHAWA VINALIWA NA SIO CHAI! LAKINI UKITAKA CHAI UNALIA PIA!
Hiki ni kipindi cha maisha ya mtu sio mapishi 😂😂 yan watu wamejaa kwa comment hawajaelewa kipi kaeka wapi kiasi gani maana umebase kumuliza maswali kuhusu maisha yake than what she is preparing
JE UNATAKA KUPIKA NASI WASILIANA NASI (0765-92 64 58)
Nitakutafuta my dear
Mashallah Mashallah ❤❤❤
Munaongea sana, punguza maneno na huzingatie kupika
😂😂😂😂😂
Allah akulipe umeniongezea kitu Kuhusu kutokuchemsha siag maana ni kweli vinakatika kwenye shila❤🙏
ManshaAllah shukran uyu dada anafanana na Layla
Mapish au maisha ya mpishi duuh too funny
Mashallah Tabaraka Lwah ❤️
sukari sjaelew ulivotia👌
Na kg1 ngano, siagi robo ni nyingi. Inapunguzwa kdg.
Mashallah hongera sana
Mashallah shukrani tumepata mengi ❤
Siz. Pls jitahidi nguo. Yako mikono ikunje kidogo .
Nimeenda naomba unielekeze vizuri besti.
❤❤❤
❤
💖
Mashallah kazi za ndani uarabuni zimekusaidia kujifunza Mapishi ❤❤
Alikua arabuni
Pishi zuri ila zingatia kuvaa nguo ya mikonomifupi unapokuwa unapika kuzingatia usafi.
Miaka 5 watoto 5 😮mashallah mpemba wa dar
🙏👍😋
Upishi wa visheti, nimependa masha a Allah, ila ingependeza zaidi vikaliwa na kahawa
Hongera Sana
Safiii sanaa.💥💥💥 good job 👍🫶
Asante sana
Manshallah madam brembo
Shila😂
Siagi na Samli ni vitu viwili tofauti
Thanks
Asante mi itaniongezea kipato
Napenda visheti mno dada samahani naomba kujua ukiweka yai je vinakaa mda Gani bila kuharibika
Kwakweli maongezi nimengi kuliko vitendo
VISHETI VINALIWA NA KAHAWA SIKU ZA EID NA SIKU ZOZOTE ZELE PIA UNAWEZA KULA KWA CHAI UKITAKA PIA! LAKINI CHAI INA SUKARI NA VISHETI VINA NA SUKARI PIA! LAKINI KWA KAHAWA NI UZURI ZAIDI👌"
Huweki hamira ama magad soda
Umetumia maji moto au baridi
Asante sana hapo kwa baking likua sijui mimi likua naeka sasa nimejua
Kanaongea sn Acha wenye ujuzi waongeye ayo yakuliza watoto ayatuhusu
Mnaongea sana kuliko kufany tunachoangalia bwana
Siagi ya visheti inayeyushwaa.
Mm mtu ananikwaza akianza kusema meme 😡 kwan kula vishet lazm umpikie mume? Mm napika na nakula na wanangu uku tunachek move ni safi sana ❤
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂
Shila 😂
Aiseee mnaongea mpaka mnakera mmmmh
Acha kuongea fany a ukichiambiw Yanmhhhhhh 😢 mnaboa sana hmfai
Dada brembo maashallah... Dada asnath💜💜💜💜
Visheti kwa kahawa
Mgonjwa tupu sukari sukari,chemsha muhigo magimbi kunywea chai
MashaAllah kazi mzuri lakin kunja nguo yako
VISHETI LIWA SIKU ZA EID SIO MWEZI WA RAMADHAN! VINALIWA AS A TAQADUM NA KAHAWA SIO TEA SHAI) TEA) CHAI) ALWAYS VISHETI HULIWA KWA KAHAWA👌 VISHETI VINALIWA KILA SIKU SIO LAZIMA IWE EID" NI KAMA TAQADUMU KWA KAHAWA VINALIWA NA SIO CHAI! LAKINI UKITAKA CHAI UNALIA PIA!
Nauliza ukitia mayai haviharibiki kwa haraka
Sasa tusikue mazungumzo au?
Samahani kilo unauzaje
Sukari muka weka vipi ndani ya Visheti?
Sor sijaelewa, ivo visheti hujaweka baking soda wala baking powder?
Baking powder unaweka.
@@user-dx6dm6lh1i sawa na baking soda hauweki ?
@@ashurajengela3926 huweki
Nimependa usafi na mpangilio nzurii wa Kila kitu
Hiki ni kipindi cha maisha ya mtu sio mapishi 😂😂 yan watu wamejaa kwa comment hawajaelewa kipi kaeka wapi kiasi gani maana umebase kumuliza maswali kuhusu maisha yake than what she is preparing
Tuambie umetumia maji yamoto au baridi,lkn pia umetumia baking powder?
Baking powder unaweka
Maji kawaida
Hadi nguo inaingia kwa bakuki la ngano
😂
Mbona visheti na juice havi endani kabisa visheti mwenziwe ni kahawa
Haswaaa na Siku ya Eid ndio Vinaliwa Na Sio Mwezi wa RAMADHANI 😢... Visheti mwezio Kahawa
Hmn kila mtu na mapendekezo yake vpnz
@@asilahassan9965 Yaani Anasemea kuwa visheti mwenzake Kahawa Habibty
Kweli haviendi na juice muhimu kujua uhalisia wa vyakula
Siyo Kila mtu anakunywa kahawa
Hiki kipindi huwa kinaonyweshwa siku gani kwa wenye azam
Kila siku ya Jumatano Saa 11 Jioni, Jehova Jire Tv. Kingamuzi cha Azam kwenye Other Channel Namba 006
Too much talking mnaboesha
Mbadala wa siagi
❤
❤❤❤
Asante sana