DIVA Atoa ya MOYONI "MANGE KIMAMBI amefanya NIMELIA/Anatoa MACHAFU ya WATU/Kaniokoa
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- Mtangazaji wa Wasafi Fm Diva The Bawse amefunguka kuwa mwanamitandao ya kijamii MANGE KIMAMBI Amesababisha amejua machafu mengi yanayoendelea kwenye ndoa yake. Pamoja na kumsababishia machozi lakini anamshukuru sana
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#MangeKimambi #DivaTheBawse
me ngekushauri ukiwa tena na ndoa usiexpose uo uzungu ndo unaponza jaribu kueka private ndoa yako labda itakusaidia, Allah akujalie kila la kheri kwa kuupenda uislam akujaalie mume mwema inshaAllah
Ki ukweli Diva unafunja ndoa yako mwenyewe Acha ujinga mange ndio anakuchungia ndoa yako ndoa aiwekwi mtandao unawatu wakuwaeleza mambo yako na mumeo Acha ujinga ludi kwenye ndoa yako pumbavu
Kwa ndoa gani???unashindwa kumshauri aachane na huyo Abdul unasema arudi??huyp Abdul kila siku kudhalilisha we ungeweza??
@@LeeLian95 wewe ndio wale mnaoalibu ndoa za watu wenyewe walipendana nyingi vidudu MTU ndio mnaona kwa ndoa gani hiyo hiyo unayoiona si ndoa Diva anaweza akailudisha na ikawa ndoa iliyo Bora na mkabaki na nahamu ndoa inajengwa na mwanamke si kila kaungomvi kidogo Tanzania dunia mzima wanajuwa mwanamke punguza kutoa siri za ndani kwako
Yaan ndoa bwana achana nayo fikiria huyu dada anavyojifanyaga mahiri kwenye mapenzi na kinge kingi sauti ya kitandani lakini wanaume wanamuachaga vibaya tena kwa kejeli😅😅
MSIMSKILIZE UYO,,,ANAMCHEK JAMAA MWENYEWE.....NA MI NAMSIFU JAMAA KWASAB KASHAJUA DIVA NI DEMU MWENYE TEMPO,,,SO YUPO COOL TU😊,,,UKINIMIS NJOO NA NDO KINACHOFANYIKA
Sijui hata nacheka nini.😆😆🤣🤣🤣🤣
Aise kumbe kila zama na kitabu chake leo hii mtu anaejiita Diva leo amegeuka mswahili!
@@giztony2009 Yani ananishangaza sana jamani.Ila namuona kama hayupo sawa,anahitaji sana ushauri kutoka kwa watu wa karibu.
Umaarufu usikutie ujinga ww unajifanya umtaki mbona ulikua una mlilia kwenye cm acha uongo uyoooooo😂😂😂😂😂😂
Umemzomea Dada D😅😅
MwenyeziMungu akupe subira.
Mume wako ni mtu mwema kijana mtanashati na mtu anaeijuwa dini yake.
Aaah wapi, huyo Abdul ni kiwembe na pasua kichwa. Kwanini kila siku migogoro?
Itakua hauko sawa wewe, huyo mwanaume hafai hata kidogo sijui Diva anamng’ang’ania wa nin
@@LeeLian95 Diva karogwa
Diva wangu anapenda kuolewa... anasahau aso hili analile 😅😅😅 yaan ukikosa hilo kwa mumeo ukienda kwa mwingine utamkuta anahili
Acha ulimbukeni wew wenye majina ndo nni nyooo utachezewa saaan
😂😂😂😂😂😂leo diva kamkubari mange duuu😂😂
Mange amemshauri mara nyingi mno
Usipomkubali Mange ww ni kichaa
@@KassimAlly-xp4dz mwanaume una comment ivi duuu iyo atari kwa kudharulisha watu ndo Unasema hakili
Miss delulu in mange voìce
Huyu binti hayupo sawa kabisa kiropo
Ivi kuna dunia tunaweza kuwapeleka hawa watu wawili diva na mumewe ili tupumxike kdg
Bana wee!!!
ngumu😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Kabisa wakakae uko😂😂😂😂
Sasa mbona mtangazaji hapewi nafas 😂😂😂
Kukumbatia na kukiss si 7bu kwamba mnapendana
Huyu anajishaua tu leo ulikuwa unampigia mme wako akiwa kwenye interview saiz unajishaua apa kwenda
Sana mpk aibu
Chezea kutolewa maji ww😂
😂😂😂huyu mwanamke sio mzima wallah tatizo lako una mdomo sana halafu hueleweki mara upost Pete ya picha ya mzungu mara unataka kuolewa huku uko kwenye ndoa Abdul Ana mapungufu yake kama binadam mambo ya kimdhalilisha mitandaoni sio sawa punguza ngebe shoga na misifa
Huyu dada hana akili nzur JMN
Huyu mwanamke mjinga
Ila ni kwel jamani diva kazeeka tuache utani
😅hata wewe utazeeka
@@matridamwalyoyo1735 😂😂
Jamani ongea kisawhili tupate umbea huo
Mtakoma umbea kwa kiinglish
Kumbe hana akili huyu jamani tusimlaumu
Ila ili lizeeee linajiskia kwel 😭
Hahahaha
Tehe
Hivi huwa watu wengi hawajui maaana ya ndoa ndoa nibaina ya wa2 wa wili mliopiga got mkala Amin kwa mungu sa inakuaje mashabk ndio wakuiongelea ndoa yko dah
Wewe ni chizi na utaishia vibaya kuforce vitu. Huyo mwanaume hakupendi ndomaana kila siku matukio. Wewe since hutaki kukubali ukweli usipokufa coz ya hii ndoa basi utazidi kupata mental problems kuzidi now ulivyo
Diva, be consistent; you said you already have a German man! Leo tena unasema kama utawahi kuolewa?
Diva huyu ana matatizo ya akili ila hajui tu coz umri unaenda ila yeye ana mambo ya kitoto na ya kijinga badala ya kufatuta mwanaume wa kumzika
🤣🤣🤣 uyu ni cega jmn
Amesema wakishindwana😂😂
Kwa hiyo mjerumani wetu yule kaishia wapi😅😅😅
diva kinachomtesa alisema mwanamme atakaetaka kumuoa atoe mahali m500.aliweka kama nadhiri sasa ameivunja kwa kuolewa bila mahari.ajifunze siku nyingine kuongea vitu kama kajiumba mwenyewe na hana hofu ya mungu.
Huyu ni majinun kbs😂
dada poresana naona haujamouve on kwamuganga na anaowa kirakukica so polesana dada uripofungwa one day utatoka
Ila kweli kwenye skendo ya umalaya haupo... Mungu atakupa wakwako nevermind
Her pride and arrogance is what kills her.
Kumbe watu wakubwa kichwa maji tu hakili ndogo ndoa yako umeyivunja.Mwenyewe ebu toka
Mmmmmmh makubwa haya ulikuwa wain mwez mtukufu au hujafundishwa nizam ya ramadhana au mwez mtukufu?
Hao wanaume walikuws wapi kabla Abdul hajakuona ongea na mme wako mwite mshenga muyamalize urudi kwa Abdul uzae na mtoto
Pumbavu kbsa. Eti unahama ukristo kwenda uisilamu . Jinga kbsa
Mzee mwenzangu anadhalilika 😢😢😢😢
😂😂😂😂😂
Wakristo hatuwezi kua mtu malaya na mpumbavu bora uende huko wanaokumbatia huo ushenzi
Niwaongo tu hata hao wanaokufata kwa sasa, walikua wapi, kabala Abdully hajakuoa ,nikweli wanataka kutumia umaalufu wako wajitoe kibiashara kama ulivodai, ni bora urudi kwa abdully bana umekua na imani ya dini
Ili kwel pumbavu kwan kwenye din yako ya mwanzo ulikua unazuiwa kufanya ibada na mtu?
Yaani kuna mganga alikuwa ananitongoza, kwakweli naona niachane nae, maana mganga anapaka mpaka dyudyu lake dawa, Diva sio bure kalogeka haswaaaa
This person are doing content
Ila anasauti nzuri
@mangekimambi umekubaliwa leo😂😂😂
Una sifa nyingi sn
mwanamke mrongo hana msimamo alafu amepata mwandishi fala wa kulipwa , ukiwachwa wachika sio kila kutwa uko kwa mtandawo
Diva acha kujipa matumaini na uyu mtu unapoteza mda wako bure hana mapenzi wala huruma naww kakuteka anavyojua yy utateseka adi ujute, Hamna kitachobadilika bora umtukane adi utoshe kwa machungu alokusababishia kuweka amani nae unajichosha lenyewe halijali linaendelea na yake
Kwann NAMPENDA DADA WA TAIFA. ANAWAFUNGUA WENGI AKIL😂😂😂DIVA NAKUPENDA ❤❤❤❤
Hili tatizo
Kuswali kote huko mara tano kwa siku na bado kuna madrama hivyo
Dada kweli kuwa na akili sio mwili umejaa upuzi mtupu shenzi
Jamani mahari m500 !😂
😂😂😂😂 embu tueleze. Diva kutoka ndani ya moyo wako unataka nn kwny mapenzi maan hujui unachotaka ww
Anataka dyudyu
@@judyngowi391 ss atafanya wanawake wamfate sn abduli kutaka kujua kuna nn kumbe hkn lolote
Yani wewe dada hujirlew kbsa
Diva umelogw au
Hiyo American accent inachefua wewe binti hujui tu. Najua wenye changamoto za akili hawana uwezo wa kuona aibu lakini jitahidi dada. Kwenye kila interview unachoongea ni upuuzi sasa imetosha. Tafuta msaada wa kitabibu kunyoosha kichwa chako la sivyo hivi karibuni utaokota makopo😢
Diva you are very smart❤ lady. However you don't know what you are doing. I would ask you to ask God to give you patience. The faith you have now allows you to be divorced.Pray to Almighty God to come out of those Dua that were done to you by your husband. And live peaceful life🎉😂❤ .Do you think you love your husband very much, for your information please not that your husband will not be able to live with other ladies. The way how he is or acting. You need deliverance prayers to be safe. it's a bad thing to expose your life in the media, now you see it's okay, This is my life but feature you will regret.
Dooo😂😂😂😂😂
😁😁😁😁
😂😂😂
😂😂😂😂😂