DIVA Amuomba MSAMAHA Mumewe/BADO NAMPENDA/Nilikosea/Anatakiwa ABADILIKE"
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- Ikiwa ndoa yake ipo kwenye hali tete ina teteleka Mtangazaji Diva The Bawse amefunguka kuwa yupo tayari kukaa chini kuyamaliza na mume wake Abdul kama Mwanaume huyo ataamua kubadilika. Lakini pia Diva ametumia muda huo kumuomba radhi mume wake kutokana na mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni kuhusu mumewe
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#DivaTheBawse
Watu wenye Upendo wa kweli/dhati huwa wanapitia changamoto kubwa sana Kwa mahusiano! DIVA ni mtu calm, anajitambua, waelewa tutatamuelewa, Binafsi ninamkubali, Yuko makini, ana msimamo na mambo yake Kwa future yake💪🥳
Maskini!
Nimemuonea huruma.Mungu amsaidie ,hvi vitu vinachanganya!.pole sana Diva,tabia ya mtu haibadiliki.
She is very depressed
With abdul his big problem ni tamaa yake kwa wanawake anatamaa sana. Angetulia tu na mwanamke mmoja akafanya maisha mana umri unaenda sio kijana mdogo tena. Diva you are right and what you did is for your own good and don't let anyone tell you otherwise
Beautiful interview 👌
Am with you gal what you said is totally true 👍
Hao wanaosema hawakuelewi for real hawako timamu😂.
Mwamdishi unaakili sana, and Diva still love Abdul Allah awafanyie wepesi
Inshallah 🤲
Diva bado moyo,akili na utu wako haujakubali uhalisia wa kuachana na huyo bwana!
Kaa kimya achana na hizi interviews zinakupunguzia heshima. Tuliza akili yako muda ukifika utaamua kwa uzuri! Mtu habadiliki sbbu umetaka au umemshauri kwa maoni yako dear stay silent 😶
He is narcissistic and he Will never change for you.History inajirudia.
Itafute thamani, furahaa na amani yako then pendo la kweli litakutafuta lenyewe kwa muda usioutarajia. Stop feeding his ego huyo ni vampire yuko king'ang'anizi sbbu ana furahia mateso Yako and he doesn't luv you!!! Come on amka mwanamke, umepuuza hizo red flag and now they are turning 🖤🖤 ukijipoteza kwenye hili tope ni hasara Yako! Hana cha kupoteza huyo mpuuzi!
My ex husband ni narcissist na Huwa haoni akikosea ni hupoint mistakes za mwingine au wengine tuuuu. Yeye hata akikosea atasema because of you ulimfanya akoseee. Watu aina hii wasioona makosa tao ndiyo narcissist na Huwa milele hawabadiliki.
Kila sik apendae anaonekan mjinga kun sik utaelew ninacokiongelea
@@HappyMwaigwisyamimi kutwa na deal na narcis men. Ni watu wabaya sana wanakuharibu kisaikolojia totally. Ukiendelea nao unaishia kuwa depressed kwa kuchitiwa, kudharauliwa, kusingiziwa kila kitu nk
Kwa kifupi diva ajawahi ishi kweny mahusiano ya kweli kayaanza Kwa huyo mumewe na wanaonekana walionyeshana mapenzi fire❤️🔥 sasa hizo fujo ZOTE za diva nikuona Kwa nn yy na anateseka ndyo maana anakuja mitandaoni kupooza machungu but sio sehem salama ila muhimu utulivu ndani ya nafsi upooza moyo taratibu huku ukiilinda heshima yako Kama mwanamke
Dia Plamoz 🇹🇿🦁
Your voice tone say it all, you still love that man and you're hurting and bleeding inside
Pole diva, just close your eyes and MOVE ON❤❤❤mr right will come for you
😅😅😅😅
For the first time nimemuelewa Diva! Kanyoosha sana maneno, na kama mtu ukimskiliza open mindedly utamuelewa.
Kabisa once upon atime I had a relationship like this but Alhamdulilah I separate with the guy and now am well and fine be strong my dea diva 💖
Nimemhurumia masikini anampenda sana mumewe
Dini tofauti ndochangamoto hapa. Umelelewa kama Christian woman huwezi kuishi kwa amani na huyo jamaa, nijambo lakiroho usilizarau unless uamue kuteseka hivi maisha yako yote.
Johnsosy thats not true you're lie here my friend marriage other religion but they're still together until now
Huyo diva haeleweki dini yake ni ipi
@@user-dn7gn6ib4k Haya mambo yakiroho my friend yapo real kuliko tunavyo Dhani,ukiona wanaishi kwaamani basi Kuna mmoja kaamua kuamini upande wa mwenzake100% au Kila mtu kakubali kulainisha sana Imani yake ili kumridhisha mwenza wake Tena hapo mtaishi Kwa kuvumiliana sana maisha yenu yote.
Hakuna jambo la kiroho wala kimwili ,huyu kaka ni mshenzi sana , mbona aliowa wanawake wa kiislamu na wakamshinda ,huyu dada ndio akili hana
Jambo la dini ni imani . Huwezi kubadili dini kwa kufata ndoa tu ni unafiki , ndio huyu Diva .
Ndugu za huyu dada ebu msaindieni Ndugu yenu divaaa tafadhali!!!
Too much talking my dear. Its so tough for a normal man to deal with you. May be you should be married with an Angel 🙌🙌
Diva na mumewe bado wanapendana watu wacheni kuaribu ndoa za watu sio vizuri
Hata Huyo mumewe still love her
Wanapendana kweli
Nice speach diva kweli Abdul aamue watu wa kuwa weka pembeni ni ufanisi pia
Diva, is this really what you want? You can leave marriage cz of infidelity, why are you entertaining this man? Ain't you tired?? Pls decide once and for all the life you want. I know it's not easy, but pls drop this man.
Diva utateseka sana na uyu abdul na hatobadilika, uyo Hana mapenzi ya dhati naww yupo naww kwa sbb zake akishakamilisha yake hutomuona Tena kwako, ni ww unakubali kuendelea kupoteza mda, ni kweli si rahisi kuachia na inauma sana ila jua tu apo ulipotea bora usikilize ushauri wa mange uwa anashauri ya kweli na ya kuwatakia mema japo anaonekana mbaya
MASKN DIVA WANGU.❤❤❤ MIE YAMENIKUTA HAYO. NILKUA KILA LEO NAONGEA. JAMAN DIVA SIO KICHAA KUONGEAAA. KUNA MENGI ANAPITIA😢😢😢IPO SKU MUNGU ATAKUVUA SALAMA NA HUTOONGEA TENA UTAKAA KIMYA NA NDIO MWSHO WA HYO MALAYA ABDUL. WANAUME NYOKO ZENU MNATUMIZAA KENGE NYIEEE
Yan diva anapenda kuishi kizungu wakt ni mwafrika ishi km mwanamke wa kiafrika afu usione wanandoa wowote wapo wanafuraha ukadhani hawapitii misukosuko ukiwa mwanamke unastaimili mambo huku unaomba Mung amtengeneze mmeo awe Kama unavyotaka usikimbilizie mambo mitandaon wanaokupa sifa uko mitandaon wanakudanganya
Siyo rahisi kumuelewa Diva kama hutomsikiliza kwa makini. Namuelewa sana huyu Dada na alikuwa na real love kwa mumewe
Diva akipinguza mdomo mambo yake yatakua sawa she talks alot
Na anampelekesh san mwanaume utadhn ni super
Abdul ni Mume wa wote
Na ww ni mumeo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Jamaniiiiii 😅
Diva ni mzuri bila kuvaa miwani. Na anajua kujieleza vzuri.
Good interview, keep on with life, when one door closes,another one opens, no need of taking each other in public
Huyu demu anaongea sana..mshikaji sijui alikua anakaaje naye
😂😂😂😂😂kama kameza kanda
Mwandishi leo kapatikana maana sio kwa mohojiwaji huyo maana ataki kuulizwa Swali..😀😀😀
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂yeye ndo anajpangia maswal ya kujbu,hakun mwanaume anaependa mwanamke mjuz wa kla jamb
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaha kabaki sure sure 😀😀
Wanawake kama Diva ndo wanasababisha maisha yanakuwa magumu hela zinapotea Tanzania
😂😂😂😂😂
Huyu dada nimkichaa bado anapenda mwanaume aliyemuita bibi,mara mie muislamu ohoo Nina mchungaji wangu,ohhh sitakosa mwanaume wa kunioa nuna mzungu mara ohh naweza kurudi mara ohh talaka mkichaa sana huyu
Aibu naona mimi! Diva please unahitaji kutumia dawa za ugonjwa wa akili hauko sawa upstairs. Ndugu wa diva wako wapi jamani?
😅😅😅
Kwakwel 😢😢😢dah,,mara maex wasifiwe mara mzungu mara MUME apondwe mara apongezwe Yaan MUME anataka umaarufu anautaka.dah
Huyu madawa ya abduli mganga yanamzuru jaman khaa😂😂
Kwanin haihitaji kutumia madawa yoyote tu aache kiromoromo ndo kinamonza na kufata watu wanataka nin na kuendekeza ustar tu Hana maradhi huyu
Kabisa kabisa kweli
😀😀😀ww ni mbongo hzooo yugareeee yunooooo zann..nenda kwenye point😀😀
Mmmh hayuko sawa jnm yaani hii sasa ni kujidhalilisha na huyo mganga wake anamuongelea kwa dharau kbsa kuwa ameoa binti mbichiii .Maskini Bibi analazimisha. Ndoa😳😢
Diva unatuangaisha ujue em just move on bana 😢😢
🤔Huyu kashadata Chizi muongo sana na Hana Ujancha Tenaaa kwishaaa.
She can’t, unfortunately 😂😭💀
Kadata jamani, anahitaji maombi, huyo mganga kamloga
Mtoto akililia wembe,uliambiwa ww hyu sio mwanaume ukawa unachamba watu haya umejionea sasa😂😂😂😂
Diva kapewa uzuri sauti nzuri kanyimwa akili pole mwanamke mwenzamgu akuna mwanaume atakaye kupali kuongelewa Kila siku ata kama masikini
Diva hataki kuachwa. Anaingia huku akitoka hataki kujibu direct. Sasa si unyamaze? Mbona kusebu sebu kingi? Diva is like a child ata hajui anataka nini. She needs to see a therapist for sure 😊
It is natural process.
Suala la Kujistiri ni la Kiimani. Kama uislamu Unasema Kujistiri, Huwezi kuwa na Option yako kwamba Unaweza Usijistiri na Ukabaki Kuwa Safi. Huwezi kuwa Jambazi halafu halafu useme mie ni mtoa Sadaka Mzuri
Huyu bado anampenda mganga na mganga atamchezea sana huyu mdada hajielewi haki
Katakua kamemroga😂😂
Hajawajua bado ukipenda ushilikina matokeo yake nihayo unakua combo chakutumiwa tu
😂😂 mbona mganga
Ndoa hufungwa mbinguni na wakuachanisha ni mungu pekee
Mumuache sheikh jaman mbn yy yuko kmya na anamtetea sana diva akin diva ndo hampi heshima mumewe ....yeye analeta ustar ndani kwake analeta u diva akiwa na mumewe ..............ukiskilza mahubiri ya pastor rose shaboka anasema akiwa na mumewe uchungaj anaeka pembeni anakua mke na yy anatakiwa awe hivo ampe heshima mumewe
Hamuna ameisha fanya interview.
Yule mme ana visa ni kweli Diva alimpenda ao anampenda bado ila jamaa yule hajatulia.
Na ustar ndo unawaponza hakii amuulze fahyma alifanya Kim kardashian mbona alivopelekewa paula sahv akili imemkaa sasa huyu kibibi nae mwache akilambe
Huyu Diva sidhani kama anajielewa, hana msimamo katika maongezi . Anaulizwa kama bado anampenda hajibu yes or no, mara anataka divorce, mara anataka kuolewa, mara akikaa sawa watayamaliza...yaaani hajielewi
Mke hamna humu.
Diva yupogo real bac Tu nyota Ake haipendwi na watu
Namuelewa sana huyu dada,,..hauezi elewa km halijakukuta
Diva mm nimekulewa abduli hayuko sawa na hana elimuu ya ndoa hebu arudi darasani a some mtume kaelekeza nini kuhusu ndoa,
Wote wanapenda tuwaache na ndoa yao! Mahusiano mengi ndivyo yalivyo Abdul mpende mkeo mfanye maisha
Hii story ilivoanza tu inaonesha kalogwa how mtu hampo kwenye mahusiano anakwambia akuoe ghafla tu mungu akufanyie wepesi sis utoke katka hiko kifungo
Majina yetu yanashida mm nimeteswa Sana na haya maneno
Da mungu msaidie madam wetu atachanganyikiwa
Yani mwandishi kaenda kuhojiwa yeye agh ila divaa 😂😂😂😂🏃♀️🏃♀️
Kumbe Abdul nae ulikua unamuelezea matatzo yko ya Mahusiano kama yule hacker 😂😂😂
Si ujinga huo
Already mganga amefanya interview na Manara TV. Amesema atapaswa kupata medali kwa kuishi na Diva alivyo mgumu
Tapeli😂😂😂😂😂 mganga gani
Kabisa diva akatibiwe
😂😂😂😂😂😂😂
Diva punguza Interview ,maneno mengi hayasaidii kitu ,nakupenda Diva
Diva. Usifamye interview tena. Kaa kimya hao wanauza na wewe ni brand. Kaa kimya na fanya mambo yako kimya kimya waone tuu
Diva wewe huna nia ya kumuacha mganga. Unatoa ushauri wa nini tena😂
Swali simple Do you still ❤ Abdul mmmmmm heeee hiiiii hana jibu,asituchoshe
Dada achana na huyo mpuuzii ana roho ya ibilis utapata mwingne we mzuri
SHELHE WETU DIVA NI BABA YAKE HUYO NI MTOTO WA SHEKHE ANAESHIMIWA KWAJILI YA BABA YAKE TENA SHEKHE MKUBWA SANA HAKUPENDI ATAJWE BILA SABABU
Anadeka sn wanaume walionwengi waafrica wapo busy au hawajui mwananmke anaedeka anapenda kubembelezwa sn aiseee
Wewe diva hio miaka yako na huyo Abdul wako munadanganya umri wenu wewe diva umezaliwa baina 1984 - 1986.
Yaan diva kapendaa mpaka kapitiliza pole sana mapenzi shikamoo
Yule mganga nasikia haachwagi
😂😂😂😂dada kiukweli anampenda bado shem shem
Dah! Nimejisikia huruma sana, Diva sio wa kumshambulia saizi ni kumtia moyo, Kwa kifupi Hana ujanja Kwa Abdul, sura yake tu anapojib maswali inaonesha anampenda mwamba na anamuhitaji ila anashindwa Cha kufanya, I feel sorry for her😢😢
I dont believe when u said if u want to marry marry your best friend !!. Because i married my best friend and it was a horrible
Pole sana diva unaonekana unampenda sana Abdul anakutesa mno
Jamani mbona huyu anapata shida waganga sio wazuri ona anavyoteseka awe anakaa na Dida hizi mambo hazimpagi shida😅😅
Kweli huna kifua diva kwanini unamtaja dulvan huna Siri kabisa
Divaa maskini kujionaga Kim kadarshian ndo kuna mponza wakati hata huyo Kim mwenyewe alitulia kwenye ndoa akuleta u star 😢😂
Huyu Dada hayako sawa kabisa Diva kuanza unaongea sana hata huyo mtangazaji hutaki kumpa nafasi ya kuongea aulize maswali jmn khaaaa wewe Dada
Diva mungu anakuona, hivi unaijua vizuri familia ya Abdul?
duuuuu ila unaaongea sana mwanamke mwenzetu khaaaaa wanaume kweli hawapendagi kelele mm tu nimeboreka anaongea pekeake😅😅😅
Allah awaraisishiye waweze kumalizana izo tofauti Zao waweze kuishii kwaaamanii
Hata sielewi anaongea nn jamani 😅😅😅😅😅watu wake wa karibu wamsaidie ana ugonjwa wa afya ya akili 😂😂😂😂
Namuona anazunguka jamani anajielezea San Kama anatafuta muafaka jamani
Kila neno lazm abdul iwepo hmmm hatr mapenz😢😢
Jibu swali unampenda Abdul 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tatizo sisi wanawake huwa tunajisahau ebu siri za ndani tumalize ndani hii nitatizo
Diva kachanganyikiwa, dada achana na media. Alafu sio "on public" ni " in public"
Ww ndo hujui mwaya. 😂😊
Ww na Diva nani anajua kingereza? 😂
😂😂@@sikudhanimohammad7692
😂😂😂 true kiingereza chao needs improvement
@@BMboss108 kingereza cha nani sasa?
😅😅😅😅😅😅 duuuh mwenyez Mungu nifundishe kunyamaza
True but agree to disagree
Diva yule muzungu ulimtoa Google 😅jamani harafu unaongea sana eti bland duh muganga mwaka huu kazi unayo utajuta mpaka unakufa
DUH POLE SANA DONT GO BACK
Diva we nimzuri bila kuvaa miwani ...pole saana
Kweli diva ana akili zakitoto mambo mengine hayafai kuyaongelea katika mitandao
Diva needed this platforms to talk out ya moyoni Wala Sio interview hii jamani.. alitaka tu ayaongee Ya moyoni mwake!!! SMH…
Mwanamke aki kupenda lazima awe ana kusimulia hadithi za wanaume wanao mtongoza 😄
Fala ety ‘’Aliniambia he loves me’’ huyu amerogwa I swear daim 😢sad
Yaani namuonea huruma uchawi mbaya sana
yaan adi huruma 😂😂 angempenda angemfanyia hayo yote😂😂
Haha bado anapenda abdul maskini
Yn. Abduli. Akiangalia hii atakucheka sn atajua tu kwake hupindui my dear. Hii ndoumearibu ss hata km unampenda. Ungejikaza. Angerudi tu. Hp ndo patakutesa sn mpezi
Unajua ndoa haikosi kikiri kakara,ila huyu dada anaitaji kupendwa sana,moyo wake umeumizwa, she need to be loved,she need huge....
Dada umeolewa na Toxic person He uses you, mentally abuse, saikology also physically abuse.cut off this Man my Dear .he will destroy your self estem , your Freedom and Financial. Hatokuja habadilike huyo mwanaume.ndio Maana unaongea sanaa pia inaonekana kila kosa lake wewe ndio unamuomba samahani.
You Understand?😂😂😂 we Understand we Akili punguani......na Abdul pia Tapeli....sasa mumepatana
Dada punguza mdomo pyeeeee unaulizwa swali moja unasoma kitabu kizima 😅😅kwa maelezo hayo ww kwa mganga hupindui
Sanaaaa....hadi anachosha
Nimempenda mtangazaji yupo vizuri sana
Basi mme wako ndo alikuwa anatoa information zako.Pole sana Diva lakini hakuna mme hapo ukweli usemwe.Umeona wapi mmw anaomba pesa na hasipopewa anampost mwanamke mwingine..Utoto mwingi hata umueleweshe vipi hakuna kitu hapo,hawezi,kubadilika.Mmh Diva umepitia mengi.
eti i won't devoce you coz i love you😂😂😂 he is lying to you , anakataa kuku devoce ili wewe ndio umdivoce ili urudishe mali, and hapo haupo kwenye kipindi chako muache mwenye kipindi akiendeshe sio wewe kua mbele mbele mda wote unaonesha hata ndani unaonekana unataka kua juu ya mwanaume
This lady she is right
Diva umejishusha sana hapa, hou were supposee to be the bigger person here.
mtangazaji kapatikana😅😅😅😅 hana hata nafasi ya kuuliza wala kuchangia chochote😅😅😅😅😅wooooi
Huyu dada hajitambui na hajui nini anataka. Ana hofu ya kubaki peke yake na hana uhakika wa kupendwa tena na yeyote.
Namuomba Mungu wangu, anisamehe sana😢 I used to judge this Innocent lady kumbe ulikuwa unapitia mengi mdogo wangu. Allah akupe mme mwenye hekma
Dunia hii atatokea wapi kila binadam ana hila yake mke mume muhimu kupima tu huy naweza kuvumilia visa vyake bas tulia maisha yaende mkishindwana basi.
Ila diva anajiona bado dogo. Hajioni kamakwasasa nimmama, kilasiku brand brand brand brand . Hiobrandi wolpa aliikimbia akaamuakuish kawaida nsasa anamjengo na ako na kid. Nimawazotuu jamani kwasababu yupo kitambosana huyu dada. Am sorry kwa ninaye mkera kwa hii sms
Zambi jamani anateseka sana