DIVA Amuomba MSAMAHA Mumewe/BADO NAMPENDA/Nilikosea/Anatakiwa ABADILIKE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024
  • Ikiwa ndoa yake ipo kwenye hali tete ina teteleka Mtangazaji Diva The Bawse amefunguka kuwa yupo tayari kukaa chini kuyamaliza na mume wake Abdul kama Mwanaume huyo ataamua kubadilika. Lakini pia Diva ametumia muda huo kumuomba radhi mume wake kutokana na mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni kuhusu mumewe
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #DivaTheBawse

КОМЕНТАРІ • 616

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 4 місяці тому +39

    Watu wenye Upendo wa kweli/dhati huwa wanapitia changamoto kubwa sana Kwa mahusiano! DIVA ni mtu calm, anajitambua, waelewa tutatamuelewa, Binafsi ninamkubali, Yuko makini, ana msimamo na mambo yake Kwa future yake💪🥳

  • @jaziramwimbo9145
    @jaziramwimbo9145 4 місяці тому +40

    Maskini!
    Nimemuonea huruma.Mungu amsaidie ,hvi vitu vinachanganya!.pole sana Diva,tabia ya mtu haibadiliki.

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 29 днів тому +2

    With abdul his big problem ni tamaa yake kwa wanawake anatamaa sana. Angetulia tu na mwanamke mmoja akafanya maisha mana umri unaenda sio kijana mdogo tena. Diva you are right and what you did is for your own good and don't let anyone tell you otherwise

  • @kileohemed4958
    @kileohemed4958 4 місяці тому +5

    Beautiful interview 👌

  • @Sam_me01
    @Sam_me01 29 днів тому +1

    Am with you gal what you said is totally true 👍
    Hao wanaosema hawakuelewi for real hawako timamu😂.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 4 місяці тому +12

    Mwamdishi unaakili sana, and Diva still love Abdul Allah awafanyie wepesi

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 4 місяці тому +61

    Diva bado moyo,akili na utu wako haujakubali uhalisia wa kuachana na huyo bwana!
    Kaa kimya achana na hizi interviews zinakupunguzia heshima. Tuliza akili yako muda ukifika utaamua kwa uzuri! Mtu habadiliki sbbu umetaka au umemshauri kwa maoni yako dear stay silent 😶
    He is narcissistic and he Will never change for you.History inajirudia.
    Itafute thamani, furahaa na amani yako then pendo la kweli litakutafuta lenyewe kwa muda usioutarajia. Stop feeding his ego huyo ni vampire yuko king'ang'anizi sbbu ana furahia mateso Yako and he doesn't luv you!!! Come on amka mwanamke, umepuuza hizo red flag and now they are turning 🖤🖤 ukijipoteza kwenye hili tope ni hasara Yako! Hana cha kupoteza huyo mpuuzi!

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 4 місяці тому +5

      My ex husband ni narcissist na Huwa haoni akikosea ni hupoint mistakes za mwingine au wengine tuuuu. Yeye hata akikosea atasema because of you ulimfanya akoseee. Watu aina hii wasioona makosa tao ndiyo narcissist na Huwa milele hawabadiliki.

    • @user-ds9gc3wx4n
      @user-ds9gc3wx4n 4 місяці тому +1

      Kila sik apendae anaonekan mjinga kun sik utaelew ninacokiongelea

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 4 місяці тому

      @@HappyMwaigwisyamimi kutwa na deal na narcis men. Ni watu wabaya sana wanakuharibu kisaikolojia totally. Ukiendelea nao unaishia kuwa depressed kwa kuchitiwa, kudharauliwa, kusingiziwa kila kitu nk

    • @beauty2239
      @beauty2239 4 місяці тому

      Kwa kifupi diva ajawahi ishi kweny mahusiano ya kweli kayaanza Kwa huyo mumewe na wanaonekana walionyeshana mapenzi fire❤️‍🔥 sasa hizo fujo ZOTE za diva nikuona Kwa nn yy na anateseka ndyo maana anakuja mitandaoni kupooza machungu but sio sehem salama ila muhimu utulivu ndani ya nafsi upooza moyo taratibu huku ukiilinda heshima yako Kama mwanamke

    • @user-bu6vo4jb3w
      @user-bu6vo4jb3w 2 місяці тому

      Dia Plamoz 🇹🇿🦁

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 4 місяці тому +27

    Your voice tone say it all, you still love that man and you're hurting and bleeding inside

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 місяці тому +1

    Pole diva, just close your eyes and MOVE ON❤❤❤mr right will come for you

  • @raheemaal-hady9328
    @raheemaal-hady9328 4 місяці тому +9

    For the first time nimemuelewa Diva! Kanyoosha sana maneno, na kama mtu ukimskiliza open mindedly utamuelewa.

    • @MimaMummy-zk2qi
      @MimaMummy-zk2qi 4 місяці тому

      Kabisa once upon atime I had a relationship like this but Alhamdulilah I separate with the guy and now am well and fine be strong my dea diva 💖

    • @zakiashauri
      @zakiashauri 4 місяці тому +1

      Nimemhurumia masikini anampenda sana mumewe

  • @johnsosy3128
    @johnsosy3128 4 місяці тому +32

    Dini tofauti ndochangamoto hapa. Umelelewa kama Christian woman huwezi kuishi kwa amani na huyo jamaa, nijambo lakiroho usilizarau unless uamue kuteseka hivi maisha yako yote.

    • @user-dn7gn6ib4k
      @user-dn7gn6ib4k 4 місяці тому +1

      Johnsosy thats not true you're lie here my friend marriage other religion but they're still together until now

    • @sakinaomary7207
      @sakinaomary7207 4 місяці тому +1

      Huyo diva haeleweki dini yake ni ipi

    • @johnsosy3128
      @johnsosy3128 4 місяці тому

      @@user-dn7gn6ib4k Haya mambo yakiroho my friend yapo real kuliko tunavyo Dhani,ukiona wanaishi kwaamani basi Kuna mmoja kaamua kuamini upande wa mwenzake100% au Kila mtu kakubali kulainisha sana Imani yake ili kumridhisha mwenza wake Tena hapo mtaishi Kwa kuvumiliana sana maisha yenu yote.

    • @sabrinamwampiki6456
      @sabrinamwampiki6456 4 місяці тому +3

      Hakuna jambo la kiroho wala kimwili ,huyu kaka ni mshenzi sana , mbona aliowa wanawake wa kiislamu na wakamshinda ,huyu dada ndio akili hana

    • @kiri5807
      @kiri5807 4 місяці тому +2

      Jambo la dini ni imani . Huwezi kubadili dini kwa kufata ndoa tu ni unafiki , ndio huyu Diva .

  • @vero57
    @vero57 4 місяці тому +6

    Ndugu za huyu dada ebu msaindieni Ndugu yenu divaaa tafadhali!!!

  • @TRUEHUBBY
    @TRUEHUBBY 4 місяці тому +8

    Too much talking my dear. Its so tough for a normal man to deal with you. May be you should be married with an Angel 🙌🙌

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 місяці тому +10

    Diva na mumewe bado wanapendana watu wacheni kuaribu ndoa za watu sio vizuri

  • @user-yk5gm5qj4u
    @user-yk5gm5qj4u 4 місяці тому +1

    Nice speach diva kweli Abdul aamue watu wa kuwa weka pembeni ni ufanisi pia

  • @zipporahwayua9498
    @zipporahwayua9498 4 місяці тому +5

    Diva, is this really what you want? You can leave marriage cz of infidelity, why are you entertaining this man? Ain't you tired?? Pls decide once and for all the life you want. I know it's not easy, but pls drop this man.

  • @user-rh8bu7dq4q
    @user-rh8bu7dq4q 4 місяці тому +5

    Diva utateseka sana na uyu abdul na hatobadilika, uyo Hana mapenzi ya dhati naww yupo naww kwa sbb zake akishakamilisha yake hutomuona Tena kwako, ni ww unakubali kuendelea kupoteza mda, ni kweli si rahisi kuachia na inauma sana ila jua tu apo ulipotea bora usikilize ushauri wa mange uwa anashauri ya kweli na ya kuwatakia mema japo anaonekana mbaya

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 4 місяці тому +4

    MASKN DIVA WANGU.❤❤❤ MIE YAMENIKUTA HAYO. NILKUA KILA LEO NAONGEA. JAMAN DIVA SIO KICHAA KUONGEAAA. KUNA MENGI ANAPITIA😢😢😢IPO SKU MUNGU ATAKUVUA SALAMA NA HUTOONGEA TENA UTAKAA KIMYA NA NDIO MWSHO WA HYO MALAYA ABDUL. WANAUME NYOKO ZENU MNATUMIZAA KENGE NYIEEE

  • @EllyMarua-ge8rf
    @EllyMarua-ge8rf 4 місяці тому +4

    Yan diva anapenda kuishi kizungu wakt ni mwafrika ishi km mwanamke wa kiafrika afu usione wanandoa wowote wapo wanafuraha ukadhani hawapitii misukosuko ukiwa mwanamke unastaimili mambo huku unaomba Mung amtengeneze mmeo awe Kama unavyotaka usikimbilizie mambo mitandaon wanaokupa sifa uko mitandaon wanakudanganya

  • @mwanajeiothmanhabeeb91
    @mwanajeiothmanhabeeb91 4 місяці тому

    Siyo rahisi kumuelewa Diva kama hutomsikiliza kwa makini. Namuelewa sana huyu Dada na alikuwa na real love kwa mumewe

  • @Ruu974
    @Ruu974 4 місяці тому +12

    Diva akipinguza mdomo mambo yake yatakua sawa she talks alot

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 місяці тому +16

    Abdul ni Mume wa wote

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 4 місяці тому +3

    Diva ni mzuri bila kuvaa miwani. Na anajua kujieleza vzuri.

  • @MohamedAli-mv6dk
    @MohamedAli-mv6dk 4 місяці тому

    Good interview, keep on with life, when one door closes,another one opens, no need of taking each other in public

  • @johnmalisa9373
    @johnmalisa9373 4 місяці тому +14

    Huyu demu anaongea sana..mshikaji sijui alikua anakaaje naye

  • @FouzHaroon
    @FouzHaroon 4 місяці тому +13

    Mwandishi leo kapatikana maana sio kwa mohojiwaji huyo maana ataki kuulizwa Swali..😀😀😀

    • @mwajumalubunga1534
      @mwajumalubunga1534 4 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @RahabuLyogo-cq5yu
      @RahabuLyogo-cq5yu 4 місяці тому +1

      😂😂yeye ndo anajpangia maswal ya kujbu,hakun mwanaume anaependa mwanamke mjuz wa kla jamb

    • @hyy4114
      @hyy4114 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @Misrest710
      @Misrest710 4 місяці тому

      Hahahaha kabaki sure sure 😀😀

  • @josephinenavin6299
    @josephinenavin6299 4 місяці тому +5

    Wanawake kama Diva ndo wanasababisha maisha yanakuwa magumu hela zinapotea Tanzania

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 4 місяці тому +24

    Huyu dada nimkichaa bado anapenda mwanaume aliyemuita bibi,mara mie muislamu ohoo Nina mchungaji wangu,ohhh sitakosa mwanaume wa kunioa nuna mzungu mara ohh naweza kurudi mara ohh talaka mkichaa sana huyu

  • @btylove1870
    @btylove1870 4 місяці тому +75

    Aibu naona mimi! Diva please unahitaji kutumia dawa za ugonjwa wa akili hauko sawa upstairs. Ndugu wa diva wako wapi jamani?

    • @user-th6df3mb5x
      @user-th6df3mb5x 4 місяці тому +1

      😅😅😅

    • @user-eo4hd8xu6d
      @user-eo4hd8xu6d 4 місяці тому +2

      Kwakwel 😢😢😢dah,,mara maex wasifiwe mara mzungu mara MUME apondwe mara apongezwe Yaan MUME anataka umaarufu anautaka.dah

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 4 місяці тому +4

      Huyu madawa ya abduli mganga yanamzuru jaman khaa😂😂

    • @asyakhatib7942
      @asyakhatib7942 4 місяці тому

      Kwanin haihitaji kutumia madawa yoyote tu aache kiromoromo ndo kinamonza na kufata watu wanataka nin na kuendekeza ustar tu Hana maradhi huyu

    • @annakbunga8377
      @annakbunga8377 4 місяці тому +1

      Kabisa kabisa kweli

  • @bavanmusictz6771
    @bavanmusictz6771 4 місяці тому +2

    😀😀😀ww ni mbongo hzooo yugareeee yunooooo zann..nenda kwenye point😀😀

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 4 місяці тому +2

    Mmmh hayuko sawa jnm yaani hii sasa ni kujidhalilisha na huyo mganga wake anamuongelea kwa dharau kbsa kuwa ameoa binti mbichiii .Maskini Bibi analazimisha. Ndoa😳😢

  • @gracemathias6082
    @gracemathias6082 4 місяці тому +9

    Diva unatuangaisha ujue em just move on bana 😢😢

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 4 місяці тому +2

      🤔Huyu kashadata Chizi muongo sana na Hana Ujancha Tenaaa kwishaaa.

    • @noelobed12
      @noelobed12 4 місяці тому

      She can’t, unfortunately 😂😭💀

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 місяці тому +1

      Kadata jamani, anahitaji maombi, huyo mganga kamloga

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 4 місяці тому +11

    Mtoto akililia wembe,uliambiwa ww hyu sio mwanaume ukawa unachamba watu haya umejionea sasa😂😂😂😂

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 4 місяці тому +17

    Diva kapewa uzuri sauti nzuri kanyimwa akili pole mwanamke mwenzamgu akuna mwanaume atakaye kupali kuongelewa Kila siku ata kama masikini

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 4 місяці тому +10

    Diva hataki kuachwa. Anaingia huku akitoka hataki kujibu direct. Sasa si unyamaze? Mbona kusebu sebu kingi? Diva is like a child ata hajui anataka nini. She needs to see a therapist for sure 😊

  • @farijala1
    @farijala1 4 місяці тому +2

    Suala la Kujistiri ni la Kiimani. Kama uislamu Unasema Kujistiri, Huwezi kuwa na Option yako kwamba Unaweza Usijistiri na Ukabaki Kuwa Safi. Huwezi kuwa Jambazi halafu halafu useme mie ni mtoa Sadaka Mzuri

  • @sund2553
    @sund2553 4 місяці тому +29

    Huyu bado anampenda mganga na mganga atamchezea sana huyu mdada hajielewi haki

    • @EsterMsafiri-nx9cd
      @EsterMsafiri-nx9cd 4 місяці тому +3

      Katakua kamemroga😂😂

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk 4 місяці тому

      Hajawajua bado ukipenda ushilikina matokeo yake nihayo unakua combo chakutumiwa tu

    • @LuluMushi-tu7jd
      @LuluMushi-tu7jd 4 місяці тому

      😂😂 mbona mganga

    • @rihannaahmed
      @rihannaahmed 4 місяці тому

      Ndoa hufungwa mbinguni na wakuachanisha ni mungu pekee

  • @asnathcharles9842
    @asnathcharles9842 4 місяці тому +6

    Mumuache sheikh jaman mbn yy yuko kmya na anamtetea sana diva akin diva ndo hampi heshima mumewe ....yeye analeta ustar ndani kwake analeta u diva akiwa na mumewe ..............ukiskilza mahubiri ya pastor rose shaboka anasema akiwa na mumewe uchungaj anaeka pembeni anakua mke na yy anatakiwa awe hivo ampe heshima mumewe

    • @pengefeza2563
      @pengefeza2563 4 місяці тому +1

      Hamuna ameisha fanya interview.
      Yule mme ana visa ni kweli Diva alimpenda ao anampenda bado ila jamaa yule hajatulia.

    • @user-pb8kc1lv9t
      @user-pb8kc1lv9t 3 місяці тому

      Na ustar ndo unawaponza hakii amuulze fahyma alifanya Kim kardashian mbona alivopelekewa paula sahv akili imemkaa sasa huyu kibibi nae mwache akilambe

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 4 місяці тому +1

    Huyu Diva sidhani kama anajielewa, hana msimamo katika maongezi . Anaulizwa kama bado anampenda hajibu yes or no, mara anataka divorce, mara anataka kuolewa, mara akikaa sawa watayamaliza...yaaani hajielewi

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 4 місяці тому +10

    Mke hamna humu.

  • @JanethChambo-me6ku
    @JanethChambo-me6ku Місяць тому

    Diva yupogo real bac Tu nyota Ake haipendwi na watu

  • @SitheyCuteradhia
    @SitheyCuteradhia 3 місяці тому

    Namuelewa sana huyu dada,,..hauezi elewa km halijakukuta

  • @jumakuswa715
    @jumakuswa715 4 місяці тому +2

    Diva mm nimekulewa abduli hayuko sawa na hana elimuu ya ndoa hebu arudi darasani a some mtume kaelekeza nini kuhusu ndoa,

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 3 місяці тому

    Wote wanapenda tuwaache na ndoa yao! Mahusiano mengi ndivyo yalivyo Abdul mpende mkeo mfanye maisha

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t 3 місяці тому

    Hii story ilivoanza tu inaonesha kalogwa how mtu hampo kwenye mahusiano anakwambia akuoe ghafla tu mungu akufanyie wepesi sis utoke katka hiko kifungo

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 2 місяці тому

    Majina yetu yanashida mm nimeteswa Sana na haya maneno

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 4 місяці тому +1

    Da mungu msaidie madam wetu atachanganyikiwa

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t 3 місяці тому

    Yani mwandishi kaenda kuhojiwa yeye agh ila divaa 😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @chaurembo9379
    @chaurembo9379 4 місяці тому +8

    Kumbe Abdul nae ulikua unamuelezea matatzo yko ya Mahusiano kama yule hacker 😂😂😂

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 місяці тому +11

    Already mganga amefanya interview na Manara TV. Amesema atapaswa kupata medali kwa kuishi na Diva alivyo mgumu

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 4 місяці тому +2

      Tapeli😂😂😂😂😂 mganga gani

    • @asnathcharles9842
      @asnathcharles9842 4 місяці тому +1

      Kabisa diva akatibiwe

    • @hyy4114
      @hyy4114 4 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 4 місяці тому

    Diva punguza Interview ,maneno mengi hayasaidii kitu ,nakupenda Diva

  • @emmatryphone6921
    @emmatryphone6921 4 місяці тому

    Diva. Usifamye interview tena. Kaa kimya hao wanauza na wewe ni brand. Kaa kimya na fanya mambo yako kimya kimya waone tuu

  • @aj-gw1rl
    @aj-gw1rl 4 місяці тому +8

    Diva wewe huna nia ya kumuacha mganga. Unatoa ushauri wa nini tena😂

  • @3Dshoez
    @3Dshoez 4 місяці тому +2

    Swali simple Do you still ❤ Abdul mmmmmm heeee hiiiii hana jibu,asituchoshe

  • @MadamVee-im4px
    @MadamVee-im4px 4 місяці тому +1

    Dada achana na huyo mpuuzii ana roho ya ibilis utapata mwingne we mzuri

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 2 місяці тому

    SHELHE WETU DIVA NI BABA YAKE HUYO NI MTOTO WA SHEKHE ANAESHIMIWA KWAJILI YA BABA YAKE TENA SHEKHE MKUBWA SANA HAKUPENDI ATAJWE BILA SABABU

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 4 місяці тому

    Anadeka sn wanaume walionwengi waafrica wapo busy au hawajui mwananmke anaedeka anapenda kubembelezwa sn aiseee

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 4 місяці тому +2

    Wewe diva hio miaka yako na huyo Abdul wako munadanganya umri wenu wewe diva umezaliwa baina 1984 - 1986.

  • @khadijasaidy6468
    @khadijasaidy6468 4 місяці тому +7

    Yaan diva kapendaa mpaka kapitiliza pole sana mapenzi shikamoo

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 місяці тому

      Yule mganga nasikia haachwagi

  • @user-pd1wp6my1q
    @user-pd1wp6my1q 4 місяці тому +2

    😂😂😂😂dada kiukweli anampenda bado shem shem

  • @zedylui4861
    @zedylui4861 4 місяці тому

    Dah! Nimejisikia huruma sana, Diva sio wa kumshambulia saizi ni kumtia moyo, Kwa kifupi Hana ujanja Kwa Abdul, sura yake tu anapojib maswali inaonesha anampenda mwamba na anamuhitaji ila anashindwa Cha kufanya, I feel sorry for her😢😢

  • @user-py8kr6rx7c
    @user-py8kr6rx7c 4 місяці тому

    I dont believe when u said if u want to marry marry your best friend !!. Because i married my best friend and it was a horrible

  • @naimakhamis8748
    @naimakhamis8748 4 місяці тому

    Pole sana diva unaonekana unampenda sana Abdul anakutesa mno

  • @jestinaluvanda-jm4tc
    @jestinaluvanda-jm4tc 4 місяці тому +2

    Jamani mbona huyu anapata shida waganga sio wazuri ona anavyoteseka awe anakaa na Dida hizi mambo hazimpagi shida😅😅

  • @user-xt5rn7kw3p
    @user-xt5rn7kw3p 10 днів тому

    Kweli huna kifua diva kwanini unamtaja dulvan huna Siri kabisa

  • @user-pb8kc1lv9t
    @user-pb8kc1lv9t 3 місяці тому

    Divaa maskini kujionaga Kim kadarshian ndo kuna mponza wakati hata huyo Kim mwenyewe alitulia kwenye ndoa akuleta u star 😢😂

  • @ashahassan7414
    @ashahassan7414 4 місяці тому +2

    Huyu Dada hayako sawa kabisa Diva kuanza unaongea sana hata huyo mtangazaji hutaki kumpa nafasi ya kuongea aulize maswali jmn khaaaa wewe Dada

  • @raishahatibu7095
    @raishahatibu7095 4 місяці тому

    Diva mungu anakuona, hivi unaijua vizuri familia ya Abdul?

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 4 місяці тому

    duuuuu ila unaaongea sana mwanamke mwenzetu khaaaaa wanaume kweli hawapendagi kelele mm tu nimeboreka anaongea pekeake😅😅😅

  • @user-iq8xt7th4m
    @user-iq8xt7th4m 4 місяці тому

    Allah awaraisishiye waweze kumalizana izo tofauti Zao waweze kuishii kwaaamanii

  • @beatricekemirembekiwanuka7768
    @beatricekemirembekiwanuka7768 4 місяці тому +3

    Hata sielewi anaongea nn jamani 😅😅😅😅😅watu wake wa karibu wamsaidie ana ugonjwa wa afya ya akili 😂😂😂😂

    • @Misrest710
      @Misrest710 4 місяці тому

      Namuona anazunguka jamani anajielezea San Kama anatafuta muafaka jamani

  • @AISHAYAHYA-pd8kl
    @AISHAYAHYA-pd8kl 4 місяці тому

    Kila neno lazm abdul iwepo hmmm hatr mapenz😢😢

  • @sophiemohammed9961
    @sophiemohammed9961 4 місяці тому +3

    Jibu swali unampenda Abdul 😂😂😂

  • @ZaharaSamgweno
    @ZaharaSamgweno День тому

    Tatizo sisi wanawake huwa tunajisahau ebu siri za ndani tumalize ndani hii nitatizo

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 4 місяці тому +12

    Diva kachanganyikiwa, dada achana na media. Alafu sio "on public" ni " in public"

  • @razzaqdavoo9697
    @razzaqdavoo9697 4 місяці тому +1

    😅😅😅😅😅😅 duuuh mwenyez Mungu nifundishe kunyamaza

  • @Mnankale11
    @Mnankale11 4 місяці тому

    True but agree to disagree

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 4 місяці тому +5

    Diva yule muzungu ulimtoa Google 😅jamani harafu unaongea sana eti bland duh muganga mwaka huu kazi unayo utajuta mpaka unakufa

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 4 місяці тому +1

    DUH POLE SANA DONT GO BACK

  • @Keyjop
    @Keyjop 4 місяці тому

    Diva we nimzuri bila kuvaa miwani ...pole saana

  • @user-th6df3mb5x
    @user-th6df3mb5x 4 місяці тому +1

    Kweli diva ana akili zakitoto mambo mengine hayafai kuyaongelea katika mitandao

  • @winnieexavery3304
    @winnieexavery3304 4 місяці тому +3

    Diva needed this platforms to talk out ya moyoni Wala Sio interview hii jamani.. alitaka tu ayaongee Ya moyoni mwake!!! SMH…

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 4 місяці тому +1

    Mwanamke aki kupenda lazima awe ana kusimulia hadithi za wanaume wanao mtongoza 😄

  • @RR-dn3ph
    @RR-dn3ph 4 місяці тому +10

    Fala ety ‘’Aliniambia he loves me’’ huyu amerogwa I swear daim 😢sad

    • @CathyPeter-zu1jw
      @CathyPeter-zu1jw 4 місяці тому

      Yaani namuonea huruma uchawi mbaya sana

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 4 місяці тому

      yaan adi huruma 😂😂 angempenda angemfanyia hayo yote😂😂

  • @hopembeyu3376
    @hopembeyu3376 4 місяці тому +2

    Haha bado anapenda abdul maskini

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 4 місяці тому +1

    Yn. Abduli. Akiangalia hii atakucheka sn atajua tu kwake hupindui my dear. Hii ndoumearibu ss hata km unampenda. Ungejikaza. Angerudi tu. Hp ndo patakutesa sn mpezi

  • @lightouma477
    @lightouma477 4 місяці тому +3

    Unajua ndoa haikosi kikiri kakara,ila huyu dada anaitaji kupendwa sana,moyo wake umeumizwa, she need to be loved,she need huge....

  • @maryjohn2150
    @maryjohn2150 4 місяці тому +1

    Dada umeolewa na Toxic person He uses you, mentally abuse, saikology also physically abuse.cut off this Man my Dear .he will destroy your self estem , your Freedom and Financial. Hatokuja habadilike huyo mwanaume.ndio Maana unaongea sanaa pia inaonekana kila kosa lake wewe ndio unamuomba samahani.

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 4 місяці тому +2

    You Understand?😂😂😂 we Understand we Akili punguani......na Abdul pia Tapeli....sasa mumepatana

  • @ifferbae
    @ifferbae 4 місяці тому +3

    Dada punguza mdomo pyeeeee unaulizwa swali moja unasoma kitabu kizima 😅😅kwa maelezo hayo ww kwa mganga hupindui

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki5699 4 місяці тому +3

    Nimempenda mtangazaji yupo vizuri sana

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 місяці тому

    Basi mme wako ndo alikuwa anatoa information zako.Pole sana Diva lakini hakuna mme hapo ukweli usemwe.Umeona wapi mmw anaomba pesa na hasipopewa anampost mwanamke mwingine..Utoto mwingi hata umueleweshe vipi hakuna kitu hapo,hawezi,kubadilika.Mmh Diva umepitia mengi.

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 4 місяці тому +3

    eti i won't devoce you coz i love you😂😂😂 he is lying to you , anakataa kuku devoce ili wewe ndio umdivoce ili urudishe mali, and hapo haupo kwenye kipindi chako muache mwenye kipindi akiendeshe sio wewe kua mbele mbele mda wote unaonesha hata ndani unaonekana unataka kua juu ya mwanaume

  • @MohamedHussein-tj5eu
    @MohamedHussein-tj5eu 4 місяці тому

    This lady she is right

  • @annewanjiku5154
    @annewanjiku5154 4 місяці тому

    Diva umejishusha sana hapa, hou were supposee to be the bigger person here.

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 4 місяці тому

    mtangazaji kapatikana😅😅😅😅 hana hata nafasi ya kuuliza wala kuchangia chochote😅😅😅😅😅wooooi

  • @user-fo7db3xk1t
    @user-fo7db3xk1t 4 місяці тому

    Huyu dada hajitambui na hajui nini anataka. Ana hofu ya kubaki peke yake na hana uhakika wa kupendwa tena na yeyote.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 4 місяці тому

    Namuomba Mungu wangu, anisamehe sana😢 I used to judge this Innocent lady kumbe ulikuwa unapitia mengi mdogo wangu. Allah akupe mme mwenye hekma

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 4 місяці тому

      Dunia hii atatokea wapi kila binadam ana hila yake mke mume muhimu kupima tu huy naweza kuvumilia visa vyake bas tulia maisha yaende mkishindwana basi.

  • @DM_15
    @DM_15 4 місяці тому +1

    Ila diva anajiona bado dogo. Hajioni kamakwasasa nimmama, kilasiku brand brand brand brand . Hiobrandi wolpa aliikimbia akaamuakuish kawaida nsasa anamjengo na ako na kid. Nimawazotuu jamani kwasababu yupo kitambosana huyu dada. Am sorry kwa ninaye mkera kwa hii sms

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 4 місяці тому +2

    Zambi jamani anateseka sana