KATAA KUPUNGUKIWA,OMBA MAOMBI HAYA KWA ANDIKO HILI...
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Zaburi 23:1
BWANA ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
AIRTEL MONEY+255 684 988722. INNOCENT MASHAURI
TIGO PESA +255 717 031609. INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Neema yako inatosha Mungu,nikikupata wewe nimeyapata yote Asante katika Kila jambo,Nakupenda Mungu wangu, Amina 🙏
Asante Mungu ninakwenda kupata ongexeko ktkt maisha yangu mimi na familia yang
Siku hii ee mungu naiweka wakifu mbere yako ukaongezeke ww Mimi nipungue mtumishi nakushukuru kwa maombi haya Leo yangu naamini itakua siku njema na yenye baraka mungu azidi kukupa maarifa kwa jina la yesu amina
Katika yote na yote Bwana Yesu Asante Kwa wakati huu katika Madhabahu hii. Amen
Eee Bwana Mungu naomba unipiganie ktk vita nlivyo navyo za paprpo za roho na Giza simama Mungu wangu wangu unipiganie, ktk haya matabahu nasimama ktk Sara ya Toba na rehema unisaidie Mungu wangu
Mungu naomba anikumbuke na Mimi naendelea kumshukuru Mungu kwa kua yeye ni mwema🙏🙏
Najiungamanisha na hii ibada japo nimechelewa maombi yangu ya mfungo naomba Bwana Mungu wetu uyapokeee Aminaaa
Ee mungu naami ww ndiyo kila kitu katika maisha yangu Sina chakutegemea ila ww tu mungu naomba unikumbuke katika mapito yangu unapogusa wengine nami uniguse nikafunguliwe amina
Amen
Asante kwa neema yako yesu
Asante kwa kupewa neema ya kuskia neno lako mda mrefu nimekuwa sisikii ibada kupitia mchungaji wetu Pastor Innocent Mashauri 🙏
Asandee bwana
Nakataa roho ya hofu, uoga, aibu, kupungukiwa, kushindwa, magonjwa, umaskini, kukataliwa Bwana tusipungukiwe ktk jina lako Yesu
Asante Bwana, naomba unifungulid madirisha ya mbinguni, Mimi na watoto wangu. Kukawe na mafanikio Wala tusipungukiwe
Asante MUNGU wangu kwa kila jambo. Ninakuomba usiniitupe, kukimbilia kwangu kuwe kunusurika kwangu,familia,ukoo na watu wote wenye mwili!
Sylvia amen amen amen asante bwana wewe ndiwe muchungaji wangu sitapungukiwa Na chochote katika Maisha,uchumi,huduma,patato langu naamini litaongezeka Kwa Jina la yesu🙏🙌❤️
Amen amen Bwana neno lako lisikurudie bure timiza malengo na makusudi ya neno lako kwangu
Amen mtumishi nkumbuke kwa maombi tangu asubuhi kichwa kinaniuma sana na joints zote na mwili uko moto sana na matiti yangu nahisi uchungu kiasi hata nkivaa nguo najitahidi nsiyaguse
Bwana Yesu tenda kwa ajili ya utukufu wa jina lako
Hata Sasa wewe ni Ebenezer,nilipofika hapa SI Kwa ujanja Wala nguvu zangu, nina Kila haja ya kusema Asante Yesu, nakuabudu kwakua uliniumba nikuabudu, wastahili sifa za moyo wangu, shughulika na shida zangu! Naamini utatenda hujawahi kushidwa,siku zote umetamalaki Mfalme wa Amani 🙏🙏🙏
Ameeen Bwana napokea baraka zako kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth 👏👏👏🙏 🙏
Asante Mungu
Bwana yesu naomba ubavu wangu ulio sahihi
Asante Yesu Amen Amen 🙏🙏🙌
Asante Mungu wangu wewe ni mwaminifu kwangu hata milele.
Asante kwa uhai wa siku nyingine
Najiungamanisha na madhabau hii takatifu ee mungu naomba ukawe Nami na family yangu
YESU MWANA WA DAUDI UNIREHEMU NA UZAO WANGU TUNAKUTWIKA FADHAA ZETU BABA
Asnte Mungu wangu kw kunipa kusikia neno lako usiku wa leo🎉
Amen 🙏🏾 Asante kwayote baba
Neno lako Bwana limeniponya na kunitoa katika maangamizi,,,Nimevushwa
Ameeen🙏🙏🙏
Mungu naomba ongezeko kwenye kila eneo la maisha yangu
Asante mungu kwa kunipa roho ya maongezeko Kila eneo la maisha yangu
Asante Yesu
Ibada ya leo nimepata nguvu kubwa sana tofauti na siku zote na kila wakati nilijisikia kunena kwa roho tu.
Mungu nikumbuke na Mimi mungu nikumbuke na mimi
Asante yesu 🙏
Sylvia asante mungu ,asante yesu,asante roho mtakatifu Kwa Neema nakibali chakutosha maana sikusitajhili baba ukanistahilisha mungu pokea sifa🙏🙏🙏❤️🙌
BWANA ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu chochote
Asante Sana mungu kwa kutuongoza umekuwa nasi kipindi chote 🙏🏻🙏🏻
Asante ewe Mwenyezi Mungu kwakuniwezesha kuwa kwenye ibada hii katika jina la Yesu Kristo Amen 🙏🙏🙏 AMEN 🙏 🙏 🙏 AMEN AMEN 🙏🙏
namunganisha promise munene na hii madhabau mungu mukumbuke
Mungu azidi kukuinua Mtumishi wa Mungu
Asante mungu wangu kwa kuniwazia mema 🙏🙏🙏
Naongezeka kwa Jina la Yesu
Amen Mungu abarikiwe kwa baraka zote na pokea leo
MAY PSALMS 23:1 AND ISAIAH 55:11,,, COME TO PASS IJMN 🙏🙏📖📖✝️✝️
Amen amen
Asante kwa neema yakoo hii 🎉
Nisepugukiwe tena mungu 🙏🙏
Kuna mtu ameziotea nyayo zangu! MUNGU wangu ,mtu huyu yu karibu sana nami , na ana kikosi cha uharibifu. lkn kwa nguvu,uwezo,na mamlaka yako UTAWAWAJIBISHA wewe mimi nanyamaza kimya zab,56:6
Asante yesu kwa kutupa wakati mwingine naomba Baba ukanena nami usiku huu wa Leo usinipite😢
Asante mungu kwa kunifikisha majira haya salama nashukuru umeniwezesha kumaliza mwezi salama nmeona utukufu ukinpigania🙏🙏
Asante yesu mwana wa Mungu katika masaa haya
Asante sana Mungu kwa kuwa pamoja nasi kwa siku zote za mwezi huu wa saba🙏🙏🙏
Asante kwa nehema ya kipekee
Asante yesu kwa kutuwazia mema kila iitwapo leo.....wew waona wadharimu wangu baba naomba upigane nao wanaopigana nami.
Asantee Mungu kwa wakati huu,Baba naomba ushughulike na familia yanguu
🙌🙌🙌
ASANTE YESU KWA KUNIPA KUWAHI IBADA LEO! GLORY BE TO JESUS
Nimepokea Neno limeniponya na kunitoa katika maangamizi
Asante mungu kwa kuniajalia síku nyingin ni wema wako tu bwaña umeñiajalia🙌🙌🙌🙌
YESU NAKUKABIDHI KILA KILICHO CHANGU NI CHAKO KANIFINYANGE UPYA YESU
Asante mungu napokea ongezeko
yeSU usinipugukie ktk maisha
Ameen.ubarikiwe.mutumishi
Amen 🙏 Amen 🙏!!!
Asante san mungu wangu
Najiunganisha kwa jina la yesu
Hakika nimekuona bwana! Hata Sasa wewe ni EBENEZER
Asente yesu
Najiungamanisha na ibada asante Yesu
Asante Bwana kwa wakati huu
Amen 🙏🙏🙌🙌🙌
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌
Ongezekà bwana kwa huduma yangu 🙌🙏 kazi yangu 🙏🙏🙌 ñauñgañisha to
Amen naungana pamoja
Nakataa roho ya kupungukiwa
Ee bwana niumbie moyo safi
Ameeen
Amen 🙏🙏
USINIACHE BWANA YESU, SINA MWINGINE ZAIDI YAKO.
ameen
Amina
nakataa kypungukiwa
Najua Bwana atatengeneza njia kwa ajili yangu na kupungukiwa tena katika maisha yangu hakutakuwepo tena.
Asante Mungu kwa maombi haya namuomba sana Roho Mtakatifu azidi kunitawala,kunilinda,kuniongoza,kuniimarisha na kunihudumia.
Ameen
@Daudi Mwangake njoo hapa
Asante yesu kwa kunipatia kibali cha kuingia ibadani
Atuna,mwingine,saidi,yako,baba
Ameni🙏
❤🎉🎉🎉
🎉ammen
❤❤❤❤❤❤
8:40
Amen
Asante yesu
Amen amen 🙏🙌
Amen 🙏
Amen