Usiku wa Maombi by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 18 чер 2020
- Huu ni usiku wa maombi kwa ajili ya kuutafauta uso wa Bwana.
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
Nakataaa Kila roho ya uharibifu katka family yangu Kwa baba yangu na Kwa upande. Wa mama yangu mungu achilia ukombozi juu ya hizi familia za pande nzote mbili yesu naomba ushindi juu ya hil
Navunja nguvu zote sa Giza nguvu za uchawi nguvu za umasiki navunja katika jina la yesu kiristo
Naomba rehema na toba kwajili ya prudences naomba umsamehe kila dhambi anayoijua na kutokujua msahem bwana nirehemu bwana nisamehe bwana 😢😢😢😢nirehemu bwana😭😭😭😭😭
Ameen Ameen mungu akinariki naumwa nina maumivu makali sanaa mtumishi
Amina mtumishi bwana yesu nipe neema ya. Kukujua wewe zaidi nipe nguvu ya kutembea na wewe mungu
Navunja roho za kichawi za kutofanikiwa na kutangaza kibali Cha kufanikiwa kwa jina yesu amiiin
Nakataa roho ya uaribifu ktk jina la yesu.damu ya yesu inene mema juu yangu usiku huu
Navunja nguvu za giza kwa jina la yesu
Nakataaaa kila roho ya uharibifu katika famille yangu
Ameeen mungu nibaliki na uniweke kwenye mafanikio na nimempendae awe sawa na afunguke katika matatizo yake na dada zangu kaka zangu mama na baba angu
Mungu nipiganie katika afya yangu na kazi yangu na biashara yangu na mahusiano yangu na dalia zumba
Nakataaa Kwa jina la yesu
Ameen
Bwana yesu mguse mahusiano yangu mie na dalia zumba
Eeh yesu andika jina langu kweny kitabu cha uzim🙏
Bwana Yesu tenda jambo jipya kwa mwanangu
Ameen mtumishi naumwa tumbo toka satano uck ad saiv nasndwaata ku kulala
Naomba Mungu anifungue kiuchumi
Nakupenda bwana yesu asante sana bwana yesu
Hee mungu nipe nguvu ya uvumilivu mi familia yangu
Amen 🙏 🙏 🙏 nakupenda Bwana Yesuu
Amen napokea kwa jina la yesu
Tunafunguliwa na maombi haya ya usiku wa manane amiina sana
Ameeeeeeen 🤲 mtumishi ubarikiwe nimefualoa maombi haya usiku nimota nakimbizwa na ng'ombe joke mkubwa, niombee mtumishi.
Bwana yesu okoa wazazi wangu
Amina tumebarikiwa,na wewe ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu,mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza
Ameeen
Ni samehe Bwana Yesu
Amen nyota yangu imerudi kwa jina yesu kristo
Amina mtumishi kwa maombi mazuri
Amen amen tuokoe Bwana
Napokea kwa jina la yesu
Aminaa mungu akubarik mtumish
Naomba ndoa yangu na uchumi wetu
Mungu niponye mimividonda vya tumbo
Ameen Ameeen tumebarikiwa sana.Asante kwa maombi
Ameen
Tuna kushukuru ww bwana yesu
Bwana simama uniongoze popote niendapo yesu nisimamie
Kwa jina la yesu christo
Asante yesu 👏
Amen I received the holyness pow in Jesus name irecieve 🙌🙌🙌🙌😂
Asante Bwana Yesu KwaAjili YaNguvu Unayompa Mtumishi Wako Katika Usiku Huu EBwana Uhimidiwe Asante Yesu Mtumishi Mimi Niko Maputo Msumbiji Nakufatilia Sana Naomba Mawasiliano Mtumishi Wa Mungu.
BWana yesu apewe sifa naomba yesu aingilie Kati kesi yamarehemu mume wangu
Ameen
EYesu naomba unisamehe
Navuja roho yote ya uchawi mungu mguse baba angu amjuwe yesu mfuko wa uchawi autupe kwa jina la yesu
Amen amen I received i received in Jésus Christ name amen amen amen amen amen amen
Ameen ameeen ameeen
amen
Tawala ndoa yangu roho mtakatifu niwewe tu utawale kila eneo la maisha yangu ukitwala wewe na maisha yangu yatakuwa huru 🙏🙏🙏🙏
Ameen bwana yesu nakuomba ukamsaidie mtt wangu Norah ambaye jumatatu ataingia kwenye chumba cha mithani yake ya kidato cha nne
Okoa ndugu zangu
Bwana seyu nisamehe nifute jina langu
Amen amen asante saana
Nakataa kuchukiwa mimi namtoto wangu
Nisamee yesu
Mungu wangu naomba niwe nanulu niwe kibali Cha kazi yamikono yangu
Amen amen amen mtumishi wa mungu ubarikiwe Sana, tumejua faida ya maombi ya usiku mapepo na wachawi wanaokuja kwa njia ya ndoto wameungua Woote kwa damu ya yesu amen
Bwana akubariki na BWANA akutendee mema
Ameen
Akubariki nawe pia mtumishi , Amen .....❤✝️✝️🙏
Asante Yesu
Oh God for givi me for everything
Ameen
Barikiwa mnoo mtumishi.mafuta zaidi yawee juu yako
Ameen mtumishi
Okay baba na mama
amen 🙏 amen
Ameen
Amen amen amen amen amen amen amen
Amina ....
Ni wewe tu bwana yesu unayesitahili kutukuzwa na kuabudiwa
Ameen
Amina 🙏
Nimejiunganisha
Linachipuka jambo jipya kwa jina la Yesu
Ameeen.🙏🙏🙏
Amina
Amen Amen Amen
Amen Amen.
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
I receive the power of holy ghost
Ameen
amina
Asante Sana mtumishi mm nipo pemba lakin nimepokea miujiza nasema Asante Sana mtumishi
Ameeen
Ingllia kati roho mtakatifu
Amen amen
Tuko pamoja
Ameena 🙏🏽
Amen Amen
Nakataa roho za kuchukiwa mimi na mwanangu emanuel
Najiunga Nisha na maombi hayo
Amen 🙏🙏🙌
Ameen
Ameen
Amen
Ameeeeen
Ameeeeen Ameeeeen in Jesus Name 👏
Amen
I received the power of Jesus your with me🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️
Mwenyezi mungu nifungulie milango ya kazi
Aminaaa
Jehova nisamehe
Ameen
Navunja roho zote za ulevi kwa mwanangu bangi hazina mamlaka
Amen I receive
Ameen
Amen.
Amen 🙏🏽🙏🏽
amen
Damu ya yesu inaponya umetuponya bwana
Ameen
Ameeen Ameen
Amen Amen
Pastor pray for me pls, im addicted to smoking and i live a life that is not pleasing at all..whenever i try to pray the devil overpowers me
I will pray for you
It’s not a prayer matter
Amen Amen 🙏
Ameen
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!;
Amen🙏🙏🙏
Amen