LIVE: JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA VITA NYAKATI ZA USIKU
Вставка
- Опубліковано 21 вер 2023
- 2 Tim 4:7
Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu naomba vita niliyokuwa nayo unipiganie yuko Mungu ambaye hashndwi na lolote.Amen
Mtumishi naomba maombi naumwa kichwa ni zaidi ya miaka 5 hospital hawaoni tatizo zaidi ya kunipa dawa za maumivu naamini Mungu wa Bwana wetu Yesu hashindwi
Nimekuwa nyuma sana juu ya net ,bwana nipinganie haijishi ni vita aina gani
❤❤❤Amina najiumanisha na hii mazabahu mtumishi ninavita nyīngi kiasi kwamba Kuna muda kuomba siwezi Ila nasemga Muñgu naomba msaada wako tu
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu. Samahani nakuomba nami uwe unanitumia ratiba vizuri nielewe,ninpofungua somo mara nasikia mko mfungo wa siku ya 17,mara 9 inanichanganya. Nitumie kwenye msm ratiba vizuri Nabarikiwa sana na maombi haya
Mungu simama nami pamoja nwatoto wangu mungu aturetee kwenye maisha yetu
Asante Mungu kwa kwa kunipigania katika vita yangu. Mbariki Mtumishi wako unayemtumia kutukomboa kutoka vifungo mbalimbali vya adui kupitia maarifa Yako.
Asante baba ulie mbinguni kwakutuletea mtumishi wako kutuokoa tuliotekwa nashetani AMINA
Amen
Amen
Amen
Nakushukuru sana maana kuna uwepo wa nguvu imeingia kwenye maisha yangu mimi napitia changamoto mbaya sana ktk maisha yangu ni Mungu tu na kwa maombi ninayoomba sana UBARIKIWE sanaaa Mungu aendelee kukutia nguvu ili uendelee kutuombea Amina🙏🙏🙏
Nashukulu mtumishi kupitia wewe mungu amenifungua vitu vingi
Damu ya yesu kristu ipite katika maisha yangu , ya familia yangu, kwa biashara zangu na kwa mahusiano yangu 🙏🙏🙏🙏
Asante mungu Kwa kusikiliz maombi yangu Ee mungu naomba unipe nguv nizidi kuku omba Asante mungu wangu mbariki mtumishi wangu azidi Ku ombe Kwa jina lako
Amen mtumishi wa Mungu vita ni nyingi lkn yupo Mungu mponyaji watu 😢
Asante Mungu kw utukufu wko.umenifanya kiumbe kibya katika Maisha yg
Asante mungu Kwa zawadi ya uhai nakuniwezesha kuyasikia mafundisho haya naomba nikainuke kiroho nanijitambue mm ninan na nipo hapa kwakusudi Gani eee roho wa mungu kaniongoze
Nimejifunza kitu, " vita ya kiroho haipiganwi kimwili" Asante mtumishi wa Mungu.
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa maombi mazuri.
Imekaa sawa mno maombi ni vita kama wakristo tungefanya vita namna hii shetani asingepata nafasi na mungu angetenda mambo makuBwa sana kwetu ❤❤
Asante sana mutumishi wa MWENYEZI MUNGu
Asante mungu kwa kunikomboa sitachoka kukutumikia eeh mungu wangu🙏🙏🙏
ubarikiwe mtumishi
Mungu wewe ninguzo sitaacha kukutumikia
Asante roho wamungu kwakunishindia vita yangu ya umasikini magonjwa uchungu huzuni mashaka kutokuamini upumbavu ujinga kuchanganyikiwa ukichaa uwaribifu tamaa hisia mbaya 🙏
Damu ya yesu ifunike maisha yangu na mume wangu na watoto wangu na familia yangu
Vunja babamilango iliyotengenezwa kwa ajili ya uchumi wangu mungu fungua
Mungu.wangu.najiunganisha kwa.maobi👏👏
Damu ya yesu inanena ❤
Ameen mtumishi wa Nungu
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
Naomba Mtumishi unitumie hivo vipengere vya maombi ubarikiwe sana
Utukufu kwa Mungu aliyekuwepo,yupo na atakuwepo🙏🏾🙏🏾
Naomba na Mimi nitumie haya maombi mtumishi, na Mungu akubariki.
Kweli mungu ulimtoa mtumishi wako Inno atufumbue macho mungu weka ulinzi juu yke👏
Asante Yesu kwa ukombozi kwa maisha yangu pamoja na familia yangu na watoto wote wa Siri za Bibilia ❤❤❤
Nakenea kila kilochonishikilia kuharibu imani yangu kwa jina Yesu
nakemea roho za chumaulete,kukataliwa,kuibiwa kila kilicho changu kwa mamlaka ya jina Yesu. Amen
Ameen
Mungu naomba unipe kicheko
Neema ya mungu itusaidie
Asante mtumishi kwa mafundisho yako mungu azidi kukupa hekima naufunuo ubarikiwe sana tuko pamoja
Very powerful prayer. Thank you Pastor!
MUNGU nipiganie mm mana moyo umechoka mungu nisaidie yeyote aliye nidhulumu mungu namleta mbele Yako muone Amal ndoro Kwa chochote alicho nifanyie mm na dadangu😭😭😭🙏🙇🙇
Barikiwa mtumishi
Asante mungu unanitoa kweny vita biashara yangu kukosa wateja wenye fedha
Naomba kuwa huru kuanzia leo Mimi familia yangu kutokakatika vifungo vyote ogunga maisha yetu,faya zeta uchumi wetu ,kazi biashara,na hata katika elimu, Mungu Baba kwa jina la mwanao Yesu Naomba unikumbuke katika haya maombi na katika sala zeta za kila siku,
Mungu Asate Mungu Kwa kutuwezesha kufika apatulipo fikaleo ni kwauwezo wako nihondoleye mbipigamizi vaibirisi vinavyo nipotosha navivyojavyoja Kwa Damu YESU Kristo
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Mungu niludishie mausiano yangu🤲
ubalikiwe mtumishi napokea ushindi nakibali chahali yajuu
Namshukuru mungu kw kuona cku hii.ya leo
Kupitia maombi haya mungu nifulie njia.
Ufalme wa Mungu uzidi kutamalaki duniani na mbinguni
Oooo yesss ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Asante mungu wangu kwa kunipingania vita Kali sana.
Barikiwa sana mtumishi🙏
Asante mungu kwa siku hii ya leo na Asante pia kwa kunifikisha hapa nilipo amina Asante mtumishi
Amen 🙏
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙌🙏
Asante yesu kwa kuñipigania vita zangu
Nguvu ya Mungu iponye kazi yangu
Amina mtumishi nimbarkiwa
Hallelujah
Amina,ninaamini hata nguvu zikaongeke
Amen 🙏 🙏 Utukufuu kwa mwenyezi Mungu.... .
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Ameni ameni Wana wamungu
Amen. Nitumicnge na Mimi maombi
Ameen
Asante yesu,kwa neno lako.
Asantee Bwana yesu kwa maomb ya kumpiga shetan, tunaomba pia uzd kubarik. Mtumish wako uliemleta kwetu. Kwaajili ya kutufundisha nano lako
Imeni
Bwana kapigane katka vita iliyopo mbele yangu
Damu ya yesu ituokoe eeh mungu
Damu ya yesu ifunike family yangu ifunike kazi yangu
Mungu nisaidie kutoka katika sheria za kuzimu
maombi haya ya leo najiungamanisha nayo mm na uzao wangu tunajitoa huko kwa nguvu ya Damu ya Yesu Mungu tusaidie kutoka huko.
Mungu anisaidie ktk maisha yangu! Mimi na watoto wangu aniongoze na anifungilie mlango wa mafanikio
Asante mungu Kwa kunipigania kwenye vita yangu
Nimebarikiwa sana
Amen Amen Amen
Amen Amen
Asante yesu wangu kwaukombozi 😭😭😭😭🙏🙏🙏
Asante yesu wangu kwaukombozi
Asante Yesu Kristo
Nimebarikiwa baba asante sana
Asante Mungu wangu kunifungua
Asante mungu Kwa kusikia maombi yangu.
Asante Bwana Yesu
Damu ya yesu inifungulie biashara zangu zimefungw
Barikiwa sana mtumishi wa mungu na mwenyezi mungu azidi kukupa umri
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Nakushukuru jehova❤
Mm Ni Muislam but I thank Nmefunguliwa kutoka kwenye Mikono ya adui🥺🙏
Amen
asante kwa maombi ya vita ubarikiwe n'a mungu
Amina
Amina 🙏
Asante Yesu
Kaka.asnte.sana. Amina 👏👏👏
Amen amen
Amen 🙏🏼
Asante mungu kwa siku nyingine tena nakuomba baba fanya muujiza juu ya watoto wangu na mm mzaxi wao, mungu bila wewe mm siwezi.
Asante yesu
Asante YESU
Nimmejiungasha madthabau ya Siri za biblia
Ashukuliwe Mungu wa mbinguni Kwa muongozo wa maombi haya nateketeza na kuvunja nila zote za muovu shetani hazina mamlaka Tena Kwa damu ya Yesu...naachilia nguvu za Mungu zitawale kote pale niliposhindwa ,Mungu Baba ananipitisha na kunipa umiliki hallelujah 🙏🙏
Karibu bwana katika vita yangu nipe ujasiri wala imani yangu isitingisike kwa jina la byesu.Shalom
In jesus name amen🙏🙏