LIVE: MABAYA YASIKUPATE WEWE // MAOMBI YA USIKU
Вставка
- Опубліковано 28 лис 2023
- Zab 91:10
Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Eee mwenyez MUNGU nipe moyo wa uaminifu kwenye maisha yangu pia Mama angu umupe maisha marefu umuepushe na vikwazo pamoja na nimpendaye
Asante sana mutumishi wa mungu Nami sita acha kusikiliza kile ambacho mungu amekutuma kwethu naitaji usiku wa Léo naitaji mungu anifundishe kuomba n'a kukesha katita roho asante mungu kwakunilinda Siku nzima n'a jamii langu popote walipo mungu wangu nakuitaji usinipite usinisahau katika atuwa ninazo pitiya katika maisha yangu mungu uni chunge kwausiku waleo piya sita acha kukiri zambi namakosa eeeeeh mungu nisamehe kwayote kimetenda kwasikubya Léo eeeeeh mungu usiniesabiliye wingi wamakosa yangu lakini ki esabiliye wingi warehema zako mungu wangu sikiya maombi yangu piya n'a maitaji yangu bwana asante mungu pigana nawanao pigana Nami kwausiku waleo nichunge n'a uchunge mama yangu muzazi naumupitishiye kikombe kyamateso umuulize teteye eeeeeh mungu wangu asante sana Amen Amen Amen Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Mungu kwa kuendelea kunilinda na familia yangu ktk changamoto zote ninazopitia
Ee mungu nipe Amani nautulivu katk magum yang
UWE KIRA KITU KWANGU YESU WANGU 🙏🙏
UBALIKIWE SANA MUCHUNGAJI WA MUNGU
🙌🙌
Ee MUNGU nakuomba usipite
mm na familia yangu
Ee Mungu naomba nipiganie tena mm nimeugua mda mrefu bila kupata nafuu naomba uponyaji wako Baba
Ee mungu naomba Fanya wepesi kwenye kazi ya mikono yangu.
Asnte Mungu uzidi kunipa maarifa ya kuzidi kukujua na kutembelea mapenzi yako na rehema yako itufuate na upendo wako uniongoze
Na asante kwa kutuumbia mchungaji mwema anae tufadha kufunguka zaidi pastor Innoncent Mashauri uzidi kumuinua na kumukinga kwa kila hatua ndni ya neno lako❤
Namshukuru Sana Mungu kwakunikutanisha maombi haya Niko morogoro kinguruwira ninakuskia vizuri Sana saa hizi saa Tisa na dakika Tisa.
Mungu nisaidi nikujue wewe zaidi roho mtakatifu ni saidie
Asante mungu kwa wema wako nakupenda sana mungu hata kama napitia kipindi kigumu na changamoto nyinngi ee mungu unitetee mimi na familia yangu maana shetani kajiinua pekeyangu siwezi bila wewe
Ahsante sana Mungu kwa kunilinda dhidi ya adui zangu.ahsante kwa silaha ya neno lako..nakupenda sana Mungu
Mungu akuinue Sana kwa viwango vya juu zaidi.ukahifadhiwe Sana
Bwana YESU asifiwe Asanty sana nakusikiliza mtumish nikiwa Omani
Naomba ibada ya leo bwana anapo zuru wengine namimi asinipite namimi zamu yangu
Naomba uniombee mume wangu aludi nyumbani
Asante yesu wangu kwa yote.
Amen mtumishi niombe mi ni mgonjwa niko oman
Ee mungu naomba ubadili istory ya maisha yangu
Unasikika vzr mtumishi wa MUNGU ubarikiwe sana
Ee mungu najua unatupenda sana basi mungu naomba family yangu ikujue ww mungu .
Ubarikiwe mtumishi nakupata vizuri hakika mungu ni mwema
Mungu Azidi kukubarik mtumishi
Mungu naomba ulinzi kwa watoto wangu
Barikiwa sana mtumishi tunakupata vyema bwana awe nawe na familia yako
Roho mtakatifu nisaidie urafiki wangu na kristo mwovu asiingilie kati
SIKIYÀ MAOMBI YETU YESU❤
Kenya nakupata vizuri sana
Asante mungu kwaku ni ponya
Amen mungu wangu fungua macho yangu na masikio yangu nisikie na Macho ya ndani mungu wangu niko gizani 😢😢yes wangu nifungulie njia zangu na nyota yangu ika angaze mwaga
Nakushukuru MUNGU kwa neema ya wokovu ulionipa
Mungu sikia sauti yangu mwanao naitaji uwe karib yangu😢😢❤
Mungu baba wanijua jinsi nilivyo nitakase huu Moyo uliopondeka kwa damu ya Yesu kristo wa Nazareth
MUNGU naomba uniongezee imani naona inapungua.
Naitwa elizabeth john najiungamanisha kwenye maombi haya naamini mungu amenitendea amen
Asante mungu akubaliki nakupata nikiwa Kampala uganda
Jehova Mungu wangu, ninaomba unipe amani ya moyo,ondoa hofu ndani ya moyo wangu,nipe kuliamini neno lako bwana Mungu,wewe watosha bwana
Hasante mtumishi ubaliki kwa neno) _nimekula chakula chabwana🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nakupata mtumishi Amina
Asante sana Mungu amenipa kibali katka hii mazabau naitaji msaada sana na mwoongozo wa ibada na kumjua sana Mungu
Mtumishi wa Mungu, sielewi hii somo ambayo inafundishwa.
Amen mtumishi wa Mungu, barikiw sana, unasikika vema
Mungu ni mwema unasikika kigoma
Asante MUNGU 🙏 nakupenda sana ❤ wewe ni furaha yangu na faraja yangu siku zote za maisha yangu, nakupenda sana sina Mungu Mungu mwingine zaidi yako baba,, hakika wewe ni Mungu upasae kuabudi 🙏
Thankyou Lord janet germany
Amen mtumishi wamungu naomba nipate mke nahangaika mtumishi
Kampala nakufata vizuri sana mtumishi wa Mungu
Asante mungu kwaupendo nauruma kwetu nakutujar Mimi nafamiria yangu tunakukabizi usiku huu tunaomba urinzi na damu yayesu ituzingire kwenye miili yetu nachumba chetu amina
Mungu ni waajabu sanaa faraja ya moyo wangu ❤️
Asante mungu ni mwema ktk maisha yetu
Wew ni mungu mwenyew rehema
Ni kweliiii bila mungu siwezii chochote naomba unilonde mungu wangu
mungu apewe sifa
Bwana yesu asifiwe nakupata vizur nikiwa saud🙏🙏
Mwenyezi Mungu naomba amani itokayo kwako.
Shalom mtumishi. Fides. Kutoka arusha
Tunawasikia vizuri naomba nguvu zakiroho
Mungu akubariki mutumishi wa mungu umefanya nimejua mengi yenye ckuwa natambua
Unasikika vizur nipo kibaha bwana yesu asifiwe
Eee MUNGU naomba unirehemu mrehemu mume wangu warehemu watoto wangu. warehemu wazazi wangu.warehemu ndugu zangu
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, nashukuru sana nimebarikiwa na hili neno
Hasante mtumishi wa bwana naamini wewe nichombo cha bwana naamini maumivu yangu yamekwisha niombee nimjue kirsito AmINA
Mungu naomba use me na moyo wangu leo
Baba kutana na mahitaji yangu kulingana na maoenzi yako
Nabarikiwa mno mchungaji
Mungu usku wa leo kaa ndani ya moyo want I uniponye Kila aina ya magonjwa na usikie kilio Cha uchumi wangu ameen mtumish was mungu
Mtumishi tuko pamoja sana jina La bwana kuu sana
Ameen 🙏 ubalikiwe
Amen mtumishi wamungu nakufata kila Mara nikiwa Bujumbura Burundi una sikika kabisa ubarikiwe pia kwakazi unayofanya
Mungu nimwema tunakupata vizuri
Mungu ni mwema
Unasikika sawa barikiwa Sana
Mungu naomba nikujue sana wewe Ili niwe na amani
Mungu fungua ufaham wangu
Asanti yesu
Eee Yesu Usinipite Mimi na Familia Yangu Usiku huu make adui ni wengi, ila wee Bwana Unaweza Yote Tushinde vita make pekee Yetu hatuwezi ila wewe tuu
Mungu naomba uifanikishe harusi ya mwanangu Noel itakayo fanyika leo saa nane mchana asante Bwana Yesu
Amina sana mtumishi nimejifunza kitu kikubwa sana
Mtumishi unasikia vizuri sana chalinze
❤❤❤❤tunasikia vizur Sana na unamtangaza Muñgu Alie hai Siwa Kama wababaishaji nadema Muñgu alubariki wewe na kizazibchako niombee mtumishi wa Muñgu Mimi na familia yangu
Asante yesu nimeweza kuamka usiku huu nakusikiliza maombi
Asante kwamafundisho nakuelewa vizuli nafuwatliya sana vipimdi hivi
Hakika Mungu muweza wa yote katika ii dunia 🙏
Asante Baba kwa kutupigania hata pale maadui waliinuka kutukatisha tamaa na kuharibu mipango siku ya tarehe 25/11 lakini Mungu wetu ulitukingia kifua walishindwa nasi tukafanikisha shughuli yetu ya mahari ktk jina la Yesu Kristo alie Hai tuko chini ya miguu yako Baba ili wewe uinuliwe mfalme
Nakushukuru tu YESU wangu
Asante yesu Kwa baraka ,na wema na fafhili zako
Amen Amen and amen
Amen Amen I receive I receive
Ninakupata sana mtumishi
Ubarikiwe sana pastor kwa mafundisho
Roho mtakatifu niongoze nipate kukujua MUNGU zaidi Amen🙏🙏🙏🙏
Ameen ubarikiwe mutumishi
Amina 🙏 nabalikiwa sana Mungu akubaliki
Mtu wa Mungu barikiwa Sasa
Nakuskia vizuri kutoka Kenya, Nena nami Bwana
Amen Amen
Amen amen amen asante yesu.
Unasikia vizuri mtumishi
Nakupata vizuri Kisumu Kenya
Amen mtumishi
Ameen jina la bwana lihimidiwe