HOJA KWA KUNDI LA MASALAFI WANAOMSEMA VIBAYA SHEIKH ABUU MUA3WIYAH ALLAH AMREHEMU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 чер 2024
  • ⚠ KHUTBAH YA IJUMAA
    🕌MASJIDUL BUKHARY🕌
    [ MAGOMENI - UNGUJA - ZANZIBAR ]
    MNUSURU NDUGU YAKO MWENYE KUDHULUMU AU MWENYE KUDHULUMIWA
    Yaliyomo
    ▪️Raddi kwa vijana wa markaz omar na mann yao walio ya zungumza kuhusu shekhe abu muwawiya.
    ▪️Utofaut wa usalafi na hizbussalaf ya tanzania.
    ▪️Kuthibitisha usalafi wa shekhe abu muwawiya kwa hoj za kielimu.
    ▪️Salamu kwa haddadia wa tanzania.
    ▪️Tutamchapa yoyote bila ya kumuogopa mtu.
    ▪️Na mengine kibao yalokuwemo ndani yake.
    TAREHE
    ٢٢ ذو الحجة ١٤٤٥هـ
    28 JUNE 2024M
    🎙 AL AKHY ABUU NU'AYM AKRAM RASHID حفظه الله ورعاه
    •┈┈•◈◉✹❒📚❒✹◉◈•┈┈•

КОМЕНТАРІ • 35

  • @mbjunior166
    @mbjunior166 4 дні тому +1

    Allah amrehemu sheikh Abou Muawiyah na umnyanyue daraja za juu ktk pepo yake! Na atuongoze sote ktk haqqi

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq 5 днів тому +1

    Allah amhifadh ostadh abuu Nuaym

  • @HassanMrisho-j2i
    @HassanMrisho-j2i 5 днів тому +2

    Hamna shaka shekh wetu amekufa katikanjiayahaq Allah Amrehemu

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm 5 днів тому +4

    Allah amrehem abuu muawiya niliwaza nani atakae tufichuliya msing ya kihadiya halafu nikasema kama allh alimleta abuu muawiya basi allah katuzihilishia huyu abuu nuaym allah amuhifadhi endelea kutuelimisha biidhinillahi

    • @DhuicTz
      @DhuicTz  5 днів тому

      Amiin! Allah atuhifadh sote!

  • @LautaroIshak
    @LautaroIshak 4 дні тому

    Mbona wakali sana😮

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 3 дні тому

    SI katika uislam kuzungumza mabaya ya maiti labda kama ameacha shari ni bora kuwahadharisha m2 ile shari sio kumsema vibaya

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 3 дні тому

    Amefundisha ameelimisha pale alipokosea ss tupaache tuendeleza mema alitoyaacha

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 4 дні тому +1

    HAKUNA SALAFI BALI NI KUNDI LA MAWAHABI, NA HAO WANAJIPA PEPO NA KUWAINGIZA WAISLAM WASIOKUWA WAO MOTONI, AMALI ZAO KUABUDU KWAO NI KUJIONYESHA, KAMA KUNA SALAFI BASI NI KILA MUISLAM ANAEFUATA WEMA WALIOTANGULIA, LAKINI POTE LA KIWAHABI WANAJIONA WAO NDIO WEMA KULIKO WENGINE, JAMBO AMBALO HATA MTUME HAKUWAHI KULIFANYA

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 4 дні тому

      Lakn maulidi mtume alifanya, na akafanya khitma kwa ajili ya wake zake na watoto wake,
      Kama aliyafanya haya basi masufi mko katika haqq lakn kama hakuyafanya mtabakia kuwa wapotevu mpaka mtakapo Rejea katika njia ya Sawa.

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 2 дні тому

      Ssasa mtume atafanyaje wakati zama zake akukuwa na makundi kilikuwa na waislamu na makafiri na. Wanafiki atafanyaje hayo huwezi I kukaa haki na batwil wema waliotangulia mnafata ninyi wepi mbona tunaona wema waliotangulia hawakufanya maulidi ninyi mnafanya

    • @malickyhussein9032
      @malickyhussein9032 День тому

      @@ibnayub2374kama maulidi ni haramu lete dalili akhy..
      Na kama dalili yenu ni kuwa hayakufanywa na mtume wala maswahaba basi pia leteni dalili kuwa kama jambo halikufanywa na mtume wala maswahaba basi hua ni haramu kulifanya..
      Hakikisha unakuja na dalili katika kitabu na sunnah..
      Maana haramu iko wazi na halali ipo wazi kwa mujibu wa hadithi ya mtume swallah Allahu alaiyhi wasallam.
      Na kama hoja ni bidaa, basi ifahamu vizurii taarifu ya bidaa, kutoka kwa shekhe yeyote unamtegemea halafu atuletee hapa.
      Na akikufundisha arejee kwa ufahamu wa wema waliotangulia na sio kwa anavyofahamu yeye..
      Na kama ni kwa ufahamu wa mashekhe zenu wa karne hizi kama vile bin-bazz au utheymin na hata kama ni ibni-tayymiah basi atoe dalili kuwa huyo shekhe kaitoa taarifu hiyo kwa ufahamu wa mwema gani aliyemtangulia kama hao wema waliotangulia..
      Na mwisho chukua maneni haya akhy..
      Haliwi haramu jambo kwa mtazamo wa mtu, bali haramu kwa kuharamishwa na Kitabu na sunnah..
      Allah akuwezeshe

  • @nasirdinmohammed8741
    @nasirdinmohammed8741 5 днів тому +2

    1*😂😂😂"Alikuwa akipinga uhizibya wao na misingi yao ya kihizbiya lakini alikuwa anakiri kama ni watu WA sunna" mtu amejitengenezea kundi akaanzisha na misingi ya uhizibya afu bado awe ni salafu? Inawezekanaje hebu mahizibi tulizeni akili zenu mbona mnajigonga gonga
    2* mmenukuu sheikh uthaymeen kasema kuwa watu hawa hawana usalaf kitu na nyinyi nikasema masalaf wahapa wanazo sifa hizo lakini bado mnaamin wao ni masalaf hamuoni kama mko mbali na maneno ya sheikh yeye kasema hawana usalaf wowote nyie mnasema ni masalaf lakini waharibifu tuchukuwe maneno yenu au ya sheikh uthaymeen

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 5 днів тому

      Ww zuka ALLAH akuongoze

    • @nasirdinmohammed8741
      @nasirdinmohammed8741 5 днів тому

      @@abbaspaziaog2188 hiii ndio shida ya ushabiki ninejenga hoja jibu hoja sasa unaanza Mimi zuka tukikuukiza kwa misingi upi uliyouwona nimeuhalifu mpk nikawa zuka Allah atuongoze

    • @DhuicTz
      @DhuicTz  5 днів тому

      Akhuy... Allah akuhifadhi wewe na sisi,
      Ikiwa kama ungeamua na uiawafiqiwa kusikiliza hoja hizo kwa lengo la kujifunza hakika tunaamini ungefaidika sana, badala ya kuwa na mtazamo wako kwanza na kisha ndio ukasikiliza audio!
      Sikiliza audio hiyo, na zinginezo zitakazofuata katika munasaba huu, huenda ukabainikiwa biidhn'llah.
      Allah atuongoze na atujaalie mwisho mwema!
      Baarakallah fiyka!

    • @nasirdinmohammed8741
      @nasirdinmohammed8741 5 днів тому

      @@DhuicTz Allah atuongoze wewe na Sisi nilisikikiza kwa lengo la kuelimika ila nilichoshuhudia ni chuki na kutaka kuwatowa kwenye njia ya sawa sawa "hakika hii elimu ni dini tutizame wapi tunachukuwa dini yetu" tusighuruke na hawa jamaa wallah wenye kujisifu na kutaka kuwapak uchafu MASHEKH hakika walium wetu Kwa kadri ya uwezo WA Allah aliwajaalia wanfanya kazi kubwa ya kutusomesha na tunajifunz mengi walillah ilhamdu hatusemi kuwa wapo sawa Kwa asikimia 100 lakini siyo mtu kuja akaanza kuwabedha siyo wasomi mara sijui ni hadadiya wamekuja na usalaf feki afu yeye akiambiwa hizb anune na kufura katolewa kwenye usalaf hivi nyinyi mkitwambia ni kikundu chenye misingi yetu atoghalif siyo katika Sisi mnakuwa hamjatutowa kwenye usalaf kwa maneno haya ? Watu wansoma siyo wajinga kwamba kila anaeropoka mtandaoni kwa jina la salaf tukaghurika nae Allah atuongeze

    • @MwinyimvuaOmary
      @MwinyimvuaOmary 4 дні тому

      Kwani maneno ya shekh UTHEYMINI ni wahy?