JE DOKTOOR IS'LAMU ALLAH AMUHIFADH AMETOLEWA KATIKA SUNNAH.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2022

КОМЕНТАРІ • 139

  • @user-wl9gg6km7u
    @user-wl9gg6km7u 3 дні тому +1

    Sheikh Allah akuhifadhi. Hakuna kingine ni hasad tu. Doktor Islam hafidhahu Allah ana durus za riyadhuswalihina na tafsir ya Quran na nyihinezo. Nyinyi ni mafattan .

  • @ngayonga417
    @ngayonga417 Рік тому +4

    Shekhe upo sawa kabisa ktk mazungumzo yako.

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 Рік тому +1

    Jazaaka llahu ya shaikhana allah akujaze ghilmu na hekima na akupe umri mreeefu wenye kheri na ww

    • @AbuuSaad-ut4fd
      @AbuuSaad-ut4fd 11 днів тому

      Ameshafariki juzi jumamosi baada sikukuu ya mfungo 3 mwelimu wetu huyuu Allah amrahamu

  • @bahashachembea6922
    @bahashachembea6922 Рік тому

    Safi sana nimeipenda sana MashaAllah

  • @yazidbafunda5092
    @yazidbafunda5092 Рік тому +3

    Mmmh......, Jibu maswali kwanza usitukane waislamu watakucheka wanajitambua

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg Рік тому

    Baaraka Allaahu fiik

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 Рік тому

    Jazaaka Llaahu khayrah.

  • @abuuawadhassalafy1594
    @abuuawadhassalafy1594 Рік тому +2

    Ama kweli shk Allah amuhifadhi anaona mbali na ndo akasema sikilamtu ajibiwa Kuna majaahil na mahasid kama Hawa cwakujibiwa maskini kabisaa cjui Yemen miaka yote alkua akufanya nn akiuza asali ama akisoma

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 10 днів тому

      Wewee ni hizbi kjana

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 10 днів тому

      @@HassanHamad-rf9tq au sio alhamdulilah alama za mahizbi za julikana na alionazo anaonekana mahizbi na maikhwan WA fuyush nyny

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 10 днів тому

      Wewee kijana una taasub na huyo shekh wako mafuta bin oil unamfanya kama vile hakosei hali ya kuwa Ana mambo ya kihizbi ​@@abuuawadhassalafy1594

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 10 днів тому

      Hizbi LA pongwe @@abuuawadhassalafy1594

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog2188 7 місяців тому

    Barakanllah fiik

  • @mussarashdy7923
    @mussarashdy7923 Рік тому +2

    Shekh nadhan haujaskliza kwa uzur radd zake, naomba nkwambie kuhus kwemda ktk miskt...shekh hakusema kwenda ktk miskt ya ahlul-bida'a haifai bal kasema yafaa may b kwenda kutoa muhadhara, darsa, khutuba n.k....

    • @abuuayman4737
      @abuuayman4737 Рік тому +2

      Siyo kusikikiza huyo uelewa wake ni mdogo na hajui manhaj

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Рік тому

      Sasa si utahira .ifae kuingia msikitini na isifaye kutoa darsa? #salafy mna laana mmetukana sana waislamu sasa nyie kwa nyie

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Рік тому +1

    Duh!!Kumbe kuna watu wanazo daraja za kuwatowa waislamu ktk Sunnah?! Wonderful enough!!!

  • @sleimaanbuda7996
    @sleimaanbuda7996 Рік тому +2

    sasa ndio unaongea nini, WEW upo pamoja na Barahiyani jielewe wew

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Рік тому +1

    Iyyakum wal hasadi.

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 Рік тому +3

    Umeishiwa kaka

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi8631 Рік тому +1

    Heeeee! Wewe umepinda kweli kwa maneno haya

  • @mengihashimu1081
    @mengihashimu1081 Рік тому +2

    Km ulisikiliza radd Kwa Dr Islam Mohamed salim (Allah amuongoze Sisi na yeye) basi ujaelewa.

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 10 місяців тому

    قال الشيخ ربيخ المدخلي حفظه الله.
    ٱذا خالف شيخك على الحق فاترك شيخك وتمسك بالحق هذه هي السلفية الحقة

  • @ahmednurhussein3872
    @ahmednurhussein3872 Рік тому +4

    Kazi yako kuwatetea mahizbi

    • @mohdmmanga7304
      @mohdmmanga7304 Рік тому

      Hizbi gani??

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Taja uhizbi wake,nyinyi vipi,nyinyi ndo mnajiona mmetakasika sanaa

    • @ibnomar8144
      @ibnomar8144 Рік тому

      Leta dalili kuhusu ayo maneno yako

    • @AbuuSaad-ut4fd
      @AbuuSaad-ut4fd 11 днів тому

      ​@@ibnomar8144hana dalili huyoo na hatojibu kwa neno lake hiloo

    • @AbuuSaad-ut4fd
      @AbuuSaad-ut4fd 11 днів тому

      Uhizbi gani alonao Abuu muaawiya.. ni chuki tuu sababu anajua mambo nao hawapendi

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Рік тому

    Shetani anafuraha kubwa waislamu wanavoitana majina mabovu ya kukejeliana. ALLAH SUBHANAHU WATAALA. Anaona. Kiraaman katibiina wanaandika. Na ALLAH SUBHANAHU WATAALA Anawajua wakweli zaidi miongoni mwetu. "Man swamata naja."

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg Рік тому +2

    Raadi yenye uadilifu na inswaaf

    • @simbaramadhan1882
      @simbaramadhan1882 Рік тому

      Mm na mpenda huyu shekh anaongea ukwli mahaddaad huwa Wana penda kulindana ukweli hawausemi wakikosea kwanin

  • @zuberibaharia7662
    @zuberibaharia7662 Рік тому +3

    We unamteteaje mtu anayemtetea barahiani (allah amuongoze) ambaye amewakosea adabu wana wachuoni ndani ya kitabu chake (kijarida cha udaku)

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 10 місяців тому

    كان الامام أحمد بن حبل رحمه الله.
    اللهم من كان من هذه الأمة على غير الحق وهو يظن أنه على الحق فرده إلى الحق ليكون من أهل الحق

    • @khalidjuma5530
      @khalidjuma5530 6 днів тому

      والله صحيح، ولاكن شيوخنا يمازجون ويطعنون بينهم بلا فائدة, ولو كانو ينقدون على خير لكان خيرا لهم وخيرا للعام

  • @HamkingCompanyLimited2023
    @HamkingCompanyLimited2023 Рік тому +3

    shekh mbona inaonekana umekurupuka sana,
    inaonekana hujakaa ukasikiliza vzur, au hujasklza kwa makini hzo rudud za dr islam.
    mbona manen ya shekh yapo wazi kabsa.

    • @ibnomar8144
      @ibnomar8144 Рік тому

      😂😂😂😂😂 uyo Qassim mafuta bado saaana yeye kazi kupigiya watu fujo yeye kama ni mkweli amuite Dr wakanaye chini amradi maana uwislam ni ule ule na vitabu ni vile vile tuone kama atacharuka zamani nimekuwa nikipenda sana kumsikiya Qassim mafuta ila nimeona sio sheikh wakufata kwa sababu ana hasada na chuki na ma sheikh wengine wa sunna utasikiya kila mtu ni hizbi ivi unaweza kuleta ayah wala hadith kuwa Mtume swallalahu alayhi wa salam aliwayi kuzungumziya mambo ya hizbi ima salafi ao alitwambiya tufate coran na sunna?

  • @husseinazizi1275
    @husseinazizi1275 10 місяців тому

    قال لي عبدا لله بن السري رحمه الله.
    ليس السنة عندنا آن ترد على أهل الاهواء ولكن السنة عندنا أن لا تكلم أحدا منهم

  • @mussafadhilmussa1673
    @mussafadhilmussa1673 Рік тому

    Ndo asharudi

  • @abuuothaymini5224
    @abuuothaymini5224 Рік тому

    Shenz

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому

    Mm nna audio zako tngu unafundisha magengeni Amani, salafi kwako alikuwa Sheikh Rabi'i tu hkn mwngne

  • @MusaChambi
    @MusaChambi 7 днів тому

    Kua salfi ndyokua mwi isilmu au utakua umetoka katika wisilamu

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому +1

    Watu wana shughuli zao, watu hawana habari na ww.

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +1

    Em rudia kweny rudd alizo radiwa ndio ujibu

  • @abrahamansaidi8631
    @abrahamansaidi8631 Рік тому +1

    Watu wengine mpaka kwenye fitna ndio tunawasikia nao wanasema lakini darasa zao hatuwajui

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому

      Mama ako ana darsa wapi

    • @ibnomar8144
      @ibnomar8144 Рік тому

      😂😂😂😂😂 shida ni pale mnaleta ushabiki katika dini ebu acha nikulize kati ya Bilal ibn Rabban na Abu khuraira na ( Allah awaridhiye ) nani kapokeya hadith nyingi katika ya hao wa 2 na nani aliye ingiya mbele katika uwislam katika ya hao wa 2 mweye mnataka kila mtu asikiye maoni ya Qassim Mafuta hakawa na nani katika dini iyi ya Allah ? Tuko na Coran n Sunnah ndio muongozo wetu sasa uyo mafuta abaki na majina yake yaki safi tuone kama atazibiya kuangiya mtu Jannah.

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому +1

    Kwa maneno yako ht kwa Yahya Hajuri inafaa kurejea kwake?
    Maneno ya Sheikh Muqbil sio wahyi, kw wakati wake inawezekana ilikuwa hvyo ila km mtu katoka kwnye usawa hatuwezi kushikamana na hayo.

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +1

    We umepindaa

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому

      mama ako hajapinda

    • @ibnomar8144
      @ibnomar8144 Рік тому +1

      😂😂Qassim mafuta njoo kanyoka akoseyagi ni malaika 😂😂😂😂😂 bala hili hata maswahaba walikoseya checheme itakuwa yeye

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 19 днів тому +1

      Kassim oil hizbi mkubwa

  • @baarutmazrui5186
    @baarutmazrui5186 Рік тому

    Mmetuchosha

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +2

    Kuwaradi ikhuwani musilimina sio wajibu kuwatetea ndio wajibu au ? Unaongeya pumba

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    #HIZB_TAHRIR hamna uwezo wa kuiradd labda kuitukana
    Na haina time na nyinyi #MBWA_KOKO_majasusi

    • @ibnomar8144
      @ibnomar8144 Рік тому

      Ngo nayeye ni Muislam sasa wakutukana watu Muislam mwengine ao njoo usalafi unavyo wafunza ? Mswiba hajuwi kuwa ni haramu kumtukana mwislam mwenzake wala hujuwi kuwa Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema kama hauna njema la kusema kaa kimya sasa sijuwi ni dini gani ya kutunana ivo sio uwislam huyo labda ni dini nyingine ya usalafi

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 Рік тому

    Wewe umeishiwa tu saa hv, kaa na kimolo mufanye yenu.
    Abul Fadhil humewezi, tafuta kazi ufanye.

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +3

    Hauna hoja sheikh muhawiya sheikh kasim mbona kaweka wazi juu ya makosa ya Abuu Islam

  • @hassanhamid4359
    @hassanhamid4359 Рік тому

    Huyu nishekh gani?

  • @therealyrm6674
    @therealyrm6674 Рік тому +1

    Huyu jamaa mnamuelewa lkin mbona kama anaanza tamheed ?

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +1

    Hahaaaaaa😂 we umepinda hata ukatae

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 10 днів тому

      Huyo mafuta alosema usiende kusoma markaz omar bin Khattwaab kariakoo dar es salaam harafu yy ameenda kutoa darsa 😂😂yy tumuite nani maan anaruka ruka tu haeleweki

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +1

    Kwakwel kumtetea dr islam hali yakuwa yeye ka mtetea barahiyani na uyo barahiyani anateteya jitu moja muhamadi sururi nimefatilia uyo sururi wana wajuoni wa sunna wa memtaadharish afu barahiyan ana mtetea abuu muawiya sasa unadhirisha kupinda kwako

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 Рік тому +1

    huja elewa babaa nzi hakai ktk kundi la nyuki .... thibitisha

  • @UB40X1
    @UB40X1 Рік тому

    Wewe ni nani?

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI Рік тому +1

    We hauna hoja

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому +1

    #salafy akili zenu hata #Iblisi anaweza kuingia usalafy

  • @amirmikidad6380
    @amirmikidad6380 Рік тому

    UJINGA MTUPUUUU,,WAISLAMU NYINYI HAMNA CHA KUONGEA ZAIDI YA KUKATANA MAPANDE NA KUJIONA BORA KULIKO WENGINE??
    HUO NI UJINGA ACHENI TUANGALIE MBELE JAMANI,,
    MBONA ELIMU ZENU HAZINA TAQWA WALA HIKMA..

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    #NABADO! mtagombama sana
    Saud anataka kuandaaa salafy mpya inayo halalisha mpaka music
    Leo #mashia misikiti yao inafaa? Si mwaona mashia bora mayahudi? Je ukipewa nafasi ya da'awa ndani ya sinagogi utatoa?

  • @nathanmadata3511
    @nathanmadata3511 Рік тому

    Zungumza kwa haki na utumie lugha inayfaa kama unavyowanasihi wenzio nn maana ya utumbo??? Alama ya Kassim mafuta kwny Daawa haifutiki na itabaki na we Fanya jitihada kama upon kwny haki itaonekana tu. Lkn hasira,hasad na kumkamia sheikh haitakusaidia! Tayar ameshajenga huwez ww kubomoa.

  • @abuuawadhassalafy1594
    @abuuawadhassalafy1594 Рік тому +4

    Alafu we unsima katika alama za hizbi ni mtu kumtetea watu wabatil na je barahiyan hamtetei ibn Sina na hawatukani kina shkh rabii alafu huyu Islam amtetei barahayian au ile audio ya Islam ya Tanga hukuskua ww vizuri Bali yuke baba alivofanya taaliq akaponda masalafy yy hukumuona hapo chini akicheka na kueka kwa pge yake mbna hujipati ww au watafuta kujibiwa na abulfadhil sahau iyo

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 7 місяців тому +1

      Ww hujielewi kumbe unamatatizo ya akili kama shekh wako Qasimu mafuta abuu muawiya kasema hamtetei shekh Barahiyan

    • @AbuuSaad-ut4fd
      @AbuuSaad-ut4fd 11 днів тому

      Ahsanta....​@@abbaspaziaog2188

    • @abuuawadhassalafy1594
      @abuuawadhassalafy1594 10 днів тому +2

      Abu Muawiyah hamtetei barahian je yule ambae amtetea barahian ambae ni Islam inakuaje na je mbna yy amtetea Islam Islam yule ambae aunga mko o barahian kweli mahizbi akili zenu finyu sana

    • @user-pi4mv4vd5k
      @user-pi4mv4vd5k 6 днів тому

      Sahihi maneno yako mahizbi wote lazima wajichanganye wallah​@@abuuawadhassalafy1594

    • @kisomekiguwa3706
      @kisomekiguwa3706 6 днів тому

      Ukimuona mwenzako ana akili finyu basi hio ndio akili finyu ulokuwa nayo wewe.

  • @HamadJuma-es8pw
    @HamadJuma-es8pw 6 місяців тому

    Vp kuhusu barahiani naona dr islam ni barahiani .tunaomba clip ya kuhusu barahiani kwa msimamo wako je ametolewa katika sunna au bado.

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    #LAAANA_ZENU za kutukana sasa nyie kwa nyie

  • @abuuawadhassalafy1594
    @abuuawadhassalafy1594 Рік тому

    Ama kweli hasad hutumbua watu alafu eti huyu ajiita salaf ajigonga gonna kila nukta mara shk muqbil asema tuwalize kina hajuri butai na mhd Al imam aje hajuri yafaa kusoma kwake kama haifai kwann na yy pia katajwa au hajuri kwa sababu we humkubali lakini Mohd so imam una maslah nae wamkubali watu wakasome kwake

    • @abufirdaus4254
      @abufirdaus4254 Рік тому

      Abu awadh ....Sheikh yahya inafaa kusoma kwake naam
      Awe nawewe una hoja za kumtoa sheikh yahya katika safu?
      Kuwa na adabu na sheikh yahya ewe Jibwa la kihizbi!

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 Рік тому

    Mm nina ushauri kwa sheikh kwann sheikh asijifanye mjinga akamuendea sheikh kassim kwa ajili ya suluhu na kupatana kutupa ghilmu

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому

      yy ndo alofunga milango hizbiii mafuta

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 Рік тому

      Kwa hiyo wewe unamuona KASSIM ni sheikh mkubwa Sana mpaka afuatwe yeye Hana adabu ya kwenda kuwauliza kwa inswaaf ,acha ushoga wankumpenda KASSIM

    • @yahyarashid8038
      @yahyarashid8038 Рік тому

      Mm nimeshaur kwan wote si watu wa sunna ikiwa mmoja akijifanya kuwa mpole ili suluhu ipite hili jambo litakuwa zur kwelkweli

    • @yahyarashid8038
      @yahyarashid8038 Рік тому

      Mm nimeshaur kwan wote si watu wa sunna ikiwa mmoja akijifanya kuwa mpole ili suluhu ipite hili jambo litakuwa zur kwelkweli

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 18 днів тому

      ​@@yahyarashid8038hizbi mafuta kakataa kupatana

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    Halafu hizo alama za #uhizb mnazua tu na hazina dalili za kisheria hamtumii aya wala hadithi ispokuwa ujahili tu na akili zenu finyu

  • @abuuothaymini5224
    @abuuothaymini5224 Рік тому

    Huna jipya kaka tafuta kazi ufanye mbwa ww

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому

      mbwa mama ako nguruwe ww

    • @hishamawadh2447
      @hishamawadh2447 Рік тому

      Ww jina zuri wamuita mwenzako mbwa huna hayaaa

    • @jechasuleiman5532
      @jechasuleiman5532 Рік тому

      Mm nahisi sivyema kutumia lugha mbovu kwa mfano kumwita mtu mbwa sio sahihi

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      Halafu wewe ndo unajifanya MTU wa sunna mtu was salafi,pumbavu sanaa uliokosa adabu,utamwitaje muislamu sheikh mbwa,wewe mzima kweli au bangi ulivuya ikakuchanganya

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 10 днів тому

      Hizbi mkubwa kijana wa mafuta

  • @abuurauzwat1006
    @abuurauzwat1006 Рік тому

    Hahahaha ety napiga kichwani pumbavuuuuu wee kumbe unajuwa kama icho kichwa ee na kinakukereketa icho kichwa ili kikujibu Sasa kama unavo ONA ww hutaki kumjibu Abul Abas basi nawewe pia icho kichwa hakita kujibu .

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Рік тому

    Huyu sheikh anaitwa nani na anaishi wapi?

  • @saidishalako
    @saidishalako Рік тому

    Mbona nimesikia ruddud mbalimbali za Mashekhe juu ya Dr Islam (Allah amuongoze na sisi pia) lakini wewe umeng'ang'ana na Sh Qasim Mafuta kwani kunani? Bado naendelea kukufatilia lakini bado sijakuelewa.Halafu wasemaje wewe kuhusu Salim Bahariyan(Allah amuongoze) na kile Kitabu chake?

  • @adenifuyuush4991
    @adenifuyuush4991 Рік тому

    Hahaha ndani ya bukahr bwana mkubwa kisha wajinadi salafi? Huo msikiti masalaf walitolewa. Baba watiaga huruma

  • @ahmednurhussein3872
    @ahmednurhussein3872 Рік тому +3

    Ebuu fundisha bas kaka uache kudhihir dhihir kwenye fitna mbona hatupati darsa zako

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому

      zipo hujazitaka
      mimi ndie nnaerikod katika iyo darsa

    • @ibnsalim3
      @ibnsalim3 Рік тому

      Mutazipata tuu darsa zake inshallah hivi karibuni

    • @abrahmankhalfan2947
      @abrahmankhalfan2947 Рік тому

      Kwanin yeye Dr Islam alitilia mkazo kuhusu maneno ya Barahiyani ila kuenda katika msikiti wa watu wa Bid aa na ukabainisha makosa yaoo

    • @abrahmankhalfan2947
      @abrahmankhalfan2947 Рік тому

      Hilo sio tatzo kuenda katika msikiti usio kuwa wa kisalafi ila unatakiwa ukienda ubainishee hakki na uzungumze ukweli

  • @user-wh4wd4qp1p
    @user-wh4wd4qp1p Рік тому +1

    الحديث عن طلق بن قيس عن النبيِّ ﷺ أنه سُئل عن مسِّ الذَّكَرِ فقال: وهل هو إلا بُضعةٌ منك.
    هذا الحديث منسوخ بحديث مَن مسَّ ذَكَرَهُ فليتوضَّأ
    ذكر ذلك شيخنا عبدالمحسن العبادي
    وقد ذكر الشيخ الشنقيطي في مذكرته أن حديث وهل هو إلا بضعة منك ضعيف
    ما اردت انتقاص من حقك بس رأيت حاجة أن أبين ليعم الفائدة وجزاكم الله خيرا

  • @damondhamonaizbadowangu4559

    mumeacha njia sasa uwahabi unakutufuneni

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Рік тому +1

      Ww baki na Dimond wako na harmonize wako UISLAMU WAACHIE WENYEWE WW KAKATE VIUNO NA ZUCHU

    • @abuusalama7584
      @abuusalama7584 Рік тому

      Wwe Ni hizbi Kwanza hauelewek haunyooki nyooka Wala wasinge kulid jiangalie utaulizwa siku ya huku

  • @saidimadzumba2266
    @saidimadzumba2266 Рік тому

    Mafuta doesn't see more than the End of his Nose Tip! How such a prominent sheikh to be led by instinct and just aligations! He is just total Failure! In Daawa!

    • @ankaldally2734
      @ankaldally2734 Рік тому +1

      Mind your words!!! Shykh kassim is not of your size and you don't have anything, this matter requires knowledge and wisdom.

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 10 днів тому

      ​@@ankaldally2734taasub kwa shekh lako qassimu hizbu

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    #HIZB_UT_AHRIR acha kupambana na nyie mbwa koko haipambani na miungu yenu wafalme wa Saud hizb inapambana na miungu wa miungu yenu Amerka Uingereza na wakoloni wengine

    • @ibrahimpesa30
      @ibrahimpesa30 Рік тому

      Aisha thabit mche mungu maneno yko utahisabiwa nayo