SWALI LA UTATA LILILO ULIZWA MBELE YA SHEIKH HUSSEIN SEMBE.
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Changia uwendeshaji wa chaneli hii
kwa kutuma swadaka yako kupitia mitandao ya simu
Tigo - 0716 563 705 :- Jina:- Abdallah Abdallah
Airtel - 0789 699 235 :- Jina:- Abdallah Abdallah
JAZAKUMULLAH KHAIRAH
Alhamdulillah sheikh amejibu kiufasahs sana, muandishi punguza ukali wa uandashi, ttitle yako haina staha
Ahaha sawa
Nashkuru na wewe kuzidi kumkumbusha bali Hud Hud yeye yupo kuvuta hisia za Muangaliaji ili apate MB....tu yeye khalaas haangalii Maslah & Mafsad
Sawa akkhy tumekuelewa
Assalaam Alaykum warahmatullahi wabarakatuh akhi fanya ubadilishe kichwa cha habari hakipo katika misingi na nidham ya kiislam natumai ujumbe umekufikia Allah akuongoze
Amiiyn
Allah ambariki sheikh sembe ila kichwa cha habari kikali sana
sijui ni nani anaimiliki hii channel si mara ya kwanza kuandika vichwa vya habari ambavyo maneno yake si ya sawa
Mimi ndio ninayemiliki wewe UKITAKA iandikweje kwani
@@Hud_hud_Salafiydaah ni sawa ulichokifanya,lkn umetumia qauli kali sanaa,walau ungefanya tafsiidaah
Sio kikali bali bali hakina adabu na usalafi watulanwa kwa sababu ya mfano wa maneno kama haya , na hii ni tanfiyri katika dina na watu kujifunza dini yao na mie naweza nikafikia haddi ya kusema huyu akhiy kafanya qadhfu , kwa sababu si kila anae uliza kwa muundo huo wa swali anakua ajikusudia yeye , bali hukusudia tu kuyajua mas-ala au hukmu ya mas-ala fulani ila akiwa kajikusudia yeye ndie anafanya hivyo bado pia huna usawa ya kutitle habari hivyo au bango
@@Hud_hud_Salafiyungeliandika ukhti
Huo munaofanya si uislamu kumuita mtu mzinifu muna ushahidi mumekosa hekima kabisa
Mtu akiwa ni mzinifua anaitwaje
Nipe kichwa kizuri Cha habari
Niweke
Kumbe wee chizi eee hhh sasa sikakiri mwenyewe kwenye swali lake
Mtume swallallahu alaihi wasallam aliwahi kujiliwa na mwanamke akasema yule mke hakika yangu nimezini (alitaka kusimamishiwa hukmu)... hujakisikia icho kisa wewe? Yule mwanamke alikuwa na mimba mtume akamwambia akalee mimba yake mpaka atakapo jifungua ndio aje asimamishiwe hukmu Au kama alivosema Rasuul
Au kaadhirishwa katajwa kwa jina lake kwamba watu watamjua!!!! Nyinyi mnatabu sana Allāh awaongoze. Mumezoea kutujengea picha mbaya