Hii nafasi ya kanda ilimfaa mwambija msigwA na huyo mwana mdogo ktk nafasi ya uwenye.kiti wa kanda sio sugu sugu mpelekeni bungeni ngoja tuwambie kuwa kanda ni msemaji mkuu lazima awe na nguvu ya maneno bwembwe research lazima tume nguvu ya mtuu kuongee na ujanja wa kuongea ndio sugu anauwezo lakini mwambija muongeaji mzuri hata huyo bwana mdigo yuko vizuri sana tusiangalie pesa tuangalie kipaji cha mtuu
hivi vyama vingine vilivyosajiliwa kama vyama vya siasa viko wapi??!! kiukweli ningekua ni uwezo wangu ningevifuta kibakie CHADEMA kwani kila kona ya Nchi kinapiga kazi
Kamanda sugu waue kisawasawa
Safi sana Mh. Paulo
Daah kaka mwambigija unakipaji brooo
Kazi nzuri
Pambana huyo dada Yuko vizuli
Asañte chandema tegemeo la watanganyik
Mimi ni ccm lakini kwa ndaga naikubali chadema paulosi apewe nafasi
Unasubiri nini huko ccm
🎉🎉🎉
Hii nafasi ya kanda ilimfaa mwambija msigwA na huyo mwana mdogo ktk nafasi ya uwenye.kiti wa kanda sio sugu sugu mpelekeni bungeni ngoja tuwambie kuwa kanda ni msemaji mkuu lazima awe na nguvu ya maneno bwembwe research lazima tume nguvu ya mtuu kuongee na ujanja wa kuongea ndio sugu anauwezo lakini mwambija muongeaji mzuri hata huyo bwana mdigo yuko vizuri sana tusiangalie pesa tuangalie kipaji cha mtuu
hivi vyama vingine vilivyosajiliwa kama vyama vya siasa viko wapi??!! kiukweli ningekua ni uwezo wangu ningevifuta kibakie CHADEMA kwani kila kona ya Nchi kinapiga kazi
Kazi nzuri