EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA
Вставка
- Опубліковано 4 лип 2024
- Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
#dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia - Розваги
😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli
Kweli kabisa
Sahihi ☑️
🤝🇹🇿
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤@@wadeelegbogun3015
Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.
👊
Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi
It's great Men, let him be and God bless him and protect him,
Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.
Mashaalah mungu akulinde
Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi
Nakukubali mheshimiwa
Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
Mungu yupo pamoja na wewe
Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.
Viva LUHAGA MPINA
Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤
Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,
Huyu ni Traule wa Tanzania
viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe
Mpina apewe nchi, awe rais
MZALENDO
Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu
Www utakuwa mtetezi wetu mpina
Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna
Mpina the Great
Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯
@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂
Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu
Sahihi 🤝
Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪
❤❤❤❤❤❤Mpina
Ukifanya kazi chini ya kivuri vcha 👹 lazima mtetezi wa haki atachhukiwa😥so badly,
Well done
Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.
Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.
Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu
Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake
Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?
Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu
Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!
Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote
Ukimo wa ccm umefika kwahali hii
Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.
Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏
Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili
Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma
Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.
Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!
Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga
Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi
Komaa 0:50
Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma
NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI
Chadema
Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi
Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢
Unajua nakuelewa sana mpina ?
Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.
Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people
BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!
Viva mpina Wewe ni mwamba
The great
MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA
Mhh....?
Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama
Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.
Mpina bana Hadi penarty
Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅
Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.
Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,
Mama yangu wanajipigia makofi tu daa!
Tanzaaaani ndio nini
Hatuna spika hapo anatete uovu mpina wewe mwamba njoo upande wapili
" lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza
😆😆
Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza
Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina
😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona
Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno
⚖️ ndio tatizo
Mpina keep on
Mwanetu mpina kaza tuko nyuma yako
😢
Mpina ni mwamba pekee anaeishi
Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani
Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu
Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro
Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.
Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.
acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.
Agomee sasa urais.
Mbona miaka mnamuwekea michache sana
Miaka gani Rafiki
Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa
😥
Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu@@Santzmedia
ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA
Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????
Amewahi kupima samaki na rula huyu.
Hongera sana kaka yangu mung akusaidie
Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu
🤝🇹🇿
Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe
HuyoMpina niakilinyingi naujuzi nyie hamutaki wenye akili? nimaajabu.
Ila nyie
Wamebakia wachache sana hapa tanganyika
Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu
Kwanini??!!
Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.
🤝
Bc two
Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa
🤣
Jemedali wakweli
Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm
Ndiyo
Hata magu alikuwa ccm
Kwa hiyo inakuwaje sasa.
Elimu yake umechapia acha uongo.
Ukweli ni upi Mzee??!!
spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road
😆😆😆
Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda
🇹🇿
MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .
bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm
Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
Muongo wwewe
Ok sawa
😂😂😂😂😂😂. Uonevu huoooo
Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?
Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako
Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.
Mpina wanamwanza tukopamoja nawewe muache spika awalinde wahalifu
Mpina jembe
Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,
Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.