EXCLUSIVE:MJUE LUHAGA MPINA MBUNGE MZALENDO ANAYEWASHAMBULIA MAWAZIRI na KUIKOSOA SERIKALI BILA UOGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024
  • Makala hii inalenga Maisha Halisi ya Mbunge wa Jimbo la kisesa Mhs; LUHAGA MPINA hapa utajua Yote usiyoyajua katika Maisha Yake , Vilevile utajua Kwanini anapigwa vita Sana na MAWAZIRI na wabunge mashuhuri Tanzania
    Fuatilia Makala hii mpaka mwisho Kisha Comment tuyafahamu mawazo yako kwenye hili
    #dullysantz #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #exclusive #efm #history #dullysantz #millardayo #ccm #santzmedia
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 186

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 9 днів тому +21

    😢 hongera sana mheshimiwa mpina wewe ndiyo kiongozi wa kweli

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 9 днів тому +1

      Kweli kabisa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 днів тому

      Sahihi ☑️

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 днів тому

      🤝🇹🇿

    • @FredyKabotola
      @FredyKabotola 11 годин тому

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤​@@wadeelegbogun3015

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 9 днів тому +15

    Mpina oyeeeeeeee, your the best, time will tell.

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb 9 днів тому +15

    Jibu hoja Bashe mpina tunamfuatilia sana uko safi

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 6 днів тому +2

    It's great Men, let him be and God bless him and protect him,

  • @Dominaevance
    @Dominaevance 9 днів тому +18

    Hongera Sana Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina, Uonevu WA Spika Juu Yako uko hadharani, Piga Moyo Konge Sisi kama Watanzania tumeona, Ni Bora wakufukuze kuliko kukubali Uonevu Huu WA hadharani.

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya 9 днів тому +1

      Mashaalah mungu akulinde

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 8 днів тому +1

      Wapiga makofi hapo Bungeni na huyo spika wao 99% watabaki kupiga makofi mitaani 2025 hawawakilishi wananchi ila wanamwakilisha spika ambaye nae hakuchaguliwa na wananchi

  • @AmosKachatiro
    @AmosKachatiro 9 днів тому +4

    Nakukubali mheshimiwa

  • @hadijatwahadossa
    @hadijatwahadossa 9 днів тому +6

    Hongera mpina,,, hata ukiandamwa, ,wasema kweli selikarini tunawajua...endelea
    Mungu yupo pamoja na wewe

  • @gracesage989
    @gracesage989 6 днів тому +1

    Mpina Mungu akubariki usikate tamaa songa mbele Mungu yuko na wewe.

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t 9 днів тому +3

    Viva LUHAGA MPINA

  • @julianamasunga3458
    @julianamasunga3458 9 днів тому +7

    Acheni hizooo jibuni hoja zake,,,,mpina ❤

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 7 днів тому +4

    Hatuna chakukusaidia Ila tunakuombea jembe,

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 7 днів тому +3

    Huyu ni Traule wa Tanzania

  • @manawamarco6511
    @manawamarco6511 6 днів тому +2

    viva luhanga mpina tunakuombea we ni jembe

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z 6 днів тому +4

    Mpina apewe nchi, awe rais

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 9 днів тому +4

    MZALENDO

  • @bahatidamiani561
    @bahatidamiani561 5 днів тому +1

    Viva Luhaga Mpina mzalendo wetu

  • @Haroonlguo
    @Haroonlguo День тому +1

    Www utakuwa mtetezi wetu mpina

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 9 днів тому +15

    Tanzania nzima hakuña mbunge mwenye akili na uthubutu kama luhaga Mpina, yaani CCM yote hakuna

    • @frankmaeda4284
      @frankmaeda4284 9 днів тому +1

      Mpina the Great

    • @tumainimayala8187
      @tumainimayala8187 9 днів тому +1

      Hakuna..yamejaa machawa wakiongozwa na kupe wao Speaker🤯

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 7 днів тому

      ​@@tumainimayala8187😂😂😂😂😂😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 7 днів тому

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

    • @joshuaandrew386
      @joshuaandrew386 7 днів тому

      ​@@tumainimayala8187umetishaaa Sana et kupe wao spika😂

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 9 днів тому +9

    Mpina Yuko vinzuri sana anaitetea haki na ndiye tunaempenda yaani anasema ukweli mtupu

  • @Ambwene
    @Ambwene 5 днів тому +2

    Mpina ni Mwamba kuliko wapiga Makofi 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪 💪

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 6 днів тому +1

    ❤❤❤❤❤❤Mpina

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 6 днів тому +3

    Ukifanya kazi chini ya kivuri vcha 👹 lazima mtetezi wa haki atachhukiwa😥so badly,

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up 9 днів тому +1

    Well done

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 9 днів тому +1

    Ukirejea elimu yake, utajua kuwa masomo aliyosoma Mpina si masomo ya mtu mwenye akili ndogo, mtu mvivu na mtu mwenye afya mgogolo. Hivyo ili kumuelewa Mpina inakutaka uwe na vigezo sawa au zaidi ya vigezo nilivyo vitaja hapo juu. Wanasiasa wengi hawana vigezo hivyo na bahati Mbaya sana Nchi yetu haija zipa taasisi kuwa vinara wa taaluma na taaluma hizo kulindwa. Kinyume chake tuna haribu, dharirisha taaluma muhimu kwa maendeleo ya Nchi Kinyume na matarajio ya kitaalamu. Nchi ikielendelea kwa aina hii ya utendaji na utoaji maamuzi, ni vigumu kujikwamua ktk maendeleo shindanishi tuliyomo kama sehemu ya dunia. Sasa siasa ikiendeshwa kama porojo au funika jamvi twende, Tuna weka rehani maisha ya Vijana na viazazi vijacho. Pls STOP THIS FOR GOOD.

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 6 днів тому +2

    Hilo ndo bunge letu bwaana, hajasoma alicho kiwasilisha Mpina.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 9 днів тому +6

    Luhanga mtu mzuri sana jembe sana yaani wewe spka hufai kabisa wewe puuu

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 9 днів тому +4

    Mm nampenda kwasbb ni mapema kweli na anajalo maslah ya Nchi yake

  • @awadhkannah6587
    @awadhkannah6587 9 днів тому +3

    Kweli kweli, watu unapinga kuingiza sukari kwa wingi wakati Wananchi wanahaha na sukari, alitaka tuendelee kununua bei ya juu, anatetea wafanya biashara wanaoficha sukari,, mzalendo wake upo wapi?

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 9 днів тому

      Hapo hata mimi nashangaa mtu anayepinga kuingiza sukari kwa wingi ili bei ishuke anaonekana eti mzalendo ujinga mtupu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 5 днів тому

      Kuagiza sukari nje co shida, shida ni utaratibu uliotumika kuagiza umefuata utaratibu?! Au ni kwa faida ya wachache!!!

  • @user-ub3gy5od1m
    @user-ub3gy5od1m 9 днів тому +5

    Bunge lifanywe kuwa pango la wabunge kuwa chawa kwa ajili ya kujipatia kipato, kila atimize jukumu la kuwasemea wananchi kwa maslahi ya wote

  • @GizibetLameck
    @GizibetLameck День тому +1

    Ukimo wa ccm umefika kwahali hii

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 9 днів тому +2

    Msema ukweli ni Mpz wa Mungu peke yake tu.ila Duniani Kwa sisi binadamu inakuwa ngumu.but Tumuachie Mungu ndo muweza wa yote.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 днів тому

      Ahsante Sana kwa maoni yako Rafiki 🙏

  • @AnabElmi-kx6ml
    @AnabElmi-kx6ml 4 дні тому +1

    Luhaga mpina amekosea kufuta sheria angepaswa asubiri maelekezo ya spika hivyo sheria ifuate mkondo kumpa adhabu anayostahili

  • @RajabuSikabwe-rp1lj
    @RajabuSikabwe-rp1lj 9 днів тому +1

    Tatizo labashe nimadawa yakugandamizawatu wamsikilizetu hatamulikuwa munamsubili akiongeya wotekimya sioni sioni anachokifanya Bashe akikasikuoni ilawalewasiojuwa mutampongeza wakinamsukuma

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 2 дні тому +1

    Uingereza hakuna chuo kikuyu kinachitwa Scotland.

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 9 днів тому +2

    Angalia picha zote za bashe anatucheka watanzania kuwa hatuna akili!!!!!

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet2760 8 днів тому +1

    Visheria vya Tanzania ndio zinalitia umasikini wa mawazo na woga

  • @SuleimanMussa-x5i
    @SuleimanMussa-x5i 8 днів тому +1

    Nyinyi amuna lolote mama ana piga kz muasheni kisa ni mzanzbar endekuw mbara mwenzenu munge mpaa sifa zote ila ss wazanzbr muna tubagua kwanza muna tunyonya hatutaki tna kuw nanyi

  • @LeonardSiasi
    @LeonardSiasi 4 дні тому +1

    Komaa 0:50

  • @SaruniChristophersabaya
    @SaruniChristophersabaya 3 дні тому +1

    Nyie watanzania ni makuma sana ukweli unauma

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 9 днів тому +1

    NA MPINA ATAFUKUZWA KIMEZENGWE KAMA ALIVYOFUKUZWA NDUGAI

  • @patiellulu6063
    @patiellulu6063 3 дні тому +1

    Chadema

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 7 днів тому +3

    Namuomba mwenyezi Mungu yanayotokea kenya yasitokee kwetu. Lakini hali sivyo. Mpina anatetea wananchi

  • @abdallahmakange6173
    @abdallahmakange6173 8 днів тому +1

    Tanzania inchi ya ajabu sana mtu aneongea hukweli ndio mungo.😢😢muhongo ndio mkweli....😢😢😢😢

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 4 дні тому +1

    Unajua nakuelewa sana mpina ?

  • @MilloWamilonga-ft8ir
    @MilloWamilonga-ft8ir 7 днів тому +1

    Mpina hana ulaji ndio shida yote, mpeni uwaziri atulize kichwa chake cha ovyo.

  • @user-rm8fd3wh3w
    @user-rm8fd3wh3w 9 днів тому +1

    Tulia you you said nonsense.mpina he is done right to people

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 9 днів тому +1

    BASHE asikusumbue huyu watu wapo nyuma yake!!subiri muda si mrefu watajitokeza!!

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 9 днів тому +9

    Viva mpina Wewe ni mwamba

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 9 днів тому +2

    MPINA MZALEDO WA SAN TZ MEDIA ANATUMIWA NA MABEPARI WAKUBWA KILA MTU ANAJUWA LAKINI SASA HIVI KAKWAMA UJANJA UMEMUWISHIA

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 9 днів тому +3

    Spina atapigwavita vitality Sanaa kwakuwa mdadisi na watadharilika wengine kwa kumuhandama

  • @isayasimwinga2854
    @isayasimwinga2854 9 днів тому +1

    Spika hana kosa, amefanya sehemu yake.

  • @user-jm3ms2ry5v
    @user-jm3ms2ry5v 7 днів тому +1

    Mpina bana Hadi penarty

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 9 днів тому +1

    Nyaraka zilisemaje?tunataka hapo,usipotezee hiyo mada humo😅

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 9 днів тому +4

    Hakika mpina ni mwanga wa Taifa ila bashe ipo siku tutakuwajibisha.

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 7 днів тому +1

    Anayepingwa angali anaona ukweli basi yeye ajuaye ukweli atatenda yake ,

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 6 днів тому +1

    Mama yangu wanajipigia makofi tu daa!

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 7 днів тому +1

    Tanzaaaani ndio nini

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 9 днів тому +1

    Hatuna spika hapo anatete uovu mpina wewe mwamba njoo upande wapili

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 9 днів тому +1

    " lt is very danger.." kiingereza cha Bashe.... Bashe say " lt is very dangerous........kweli watanzania hatujui kiingereza

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 днів тому +1

      😆😆

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 8 днів тому

      Bashe ndo anajiona sana anajua lugha ya malikia..mara kwa mara huwa anaongea maneno ya kiingereza bila sababu yoyote.. lakini hawezi kutengeneza sentence ya kiingereza

  • @yahayahussein3224
    @yahayahussein3224 9 днів тому +1

    Hana uzalendo wowote zaidi ya kuwa Fitina

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 9 днів тому

      😂😂😂fuvu lako halina uwezo wa kupima mambo ya kitaifa! Kula tu vya konakona

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 9 днів тому +1

    Hivo inatakiwakua kusimamia haki hata kama watatoa roho yako siku itafika yakitikea kama ya kenya utabaki salama wrwe na familia yako ole wa hao wachumia tumbo kitakua kilio na kusaga meno

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 8 днів тому +3

    Mpina keep on

  • @JmMsukuma-c8l
    @JmMsukuma-c8l 2 дні тому +1

    Mwanetu mpina kaza tuko nyuma yako

  • @al-bleproshooteur1922
    @al-bleproshooteur1922 7 днів тому +1

    😢

  • @AbdulMndizi-p8n
    @AbdulMndizi-p8n 5 днів тому +1

    Mpina ni mwamba pekee anaeishi

  • @janiaoma7093
    @janiaoma7093 7 днів тому +1

    Kelele nyigi mpina wataka nenda chadema mwazo msigwa hapedezewa ukaeda ccm na wewe hukupededezewa hamamia chadema usileie tabu mtu moja wewe nani

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 днів тому +2

    Uzalendo sio kutoa shutuma Kwa wenzio bila ushahid, Bunge sio sehem kuleta chuki, hasad, na wivu bila hoja, wako pale kuwakilisha Wananchi na kutunga Sheria sio majungu, adhabu aliopewa iwe fundisho Kwa wengine, leta hoja zenye mashiko sio mihemko, maana jamaa bado anaota awamu ya tano tu

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 8 днів тому +2

      Ww ni pumba za mpunga hujui chochote maana Kama umeshindwa kuelewa hoja alizotoa mpina na ushahidi kautoa mbele ya bunge unataka ushahidi aina gani ww hata darasani unaonekana ilikuwa ziro

    • @JesusJesus-ny1sm
      @JesusJesus-ny1sm 8 днів тому

      Wapumbavu kama wewe ndiyo mmetufanya tuwe masikini maisha magumu Tanzania hii !!!! Km hujuwi kaa kimya, Pumbavu sana.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 9 днів тому +1

    Speaker dictator. Huyu mama amelibeba bunge hili kama mali yake. Huyu Bashe asituletee kiingereza chake cha Kenya.

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 6 днів тому +1

    acha uwongo wewe, sio university of scotland, hicho ni chuo kingine. alisomea univ of Strathclyde, Glasgow, scotland.

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 9 днів тому +1

    Agomee sasa urais.

  • @zacharialtd9519
    @zacharialtd9519 9 днів тому +1

    Mbona miaka mnamuwekea michache sana

  • @HabibuSaid-up5sn
    @HabibuSaid-up5sn 9 днів тому +2

    Mzalendo gani anauchungu atamani kurudiswa uwaziri tatizo ya watanzania munajisahau 2 SI alitesa Wa vuvi huyu igekuwa afaa magu asigemtoa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 днів тому

      😥

    • @joctanmtambi895
      @joctanmtambi895 9 днів тому

      Alikamata wavuvi washenzi anaovua kwa kutumia nyavu zenye sumu nakuzichoma Moto nyavu zote haramu​@@Santzmedia

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 9 днів тому

      ACHA KUPOTOSHA. KAMA HUELEWI NYAMAZA

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i 9 днів тому

      Wabunge wakipiga makofi" ndioooo" mnasema bunge la ndioooo, akipatikana mbunge KAMA MPINA, pia hamtaki, sasa msimamo wako ni upi????

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 5 днів тому +1

    Amewahi kupima samaki na rula huyu.

  • @ChristinaWengae-ps5jr
    @ChristinaWengae-ps5jr 9 днів тому +1

    Hongera sana kaka yangu mung akusaidie

  • @salumnassornassor9733
    @salumnassornassor9733 9 днів тому +1

    Haiki itabakia kua haki uyo speaker atakiongea unajua kua anatetea uovu

  • @MsafiriKadege
    @MsafiriKadege 8 днів тому +1

    Ka mkubwa nakupenda mpaka naumwa na nataka kuwa kama wewe

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 5 днів тому +1

    HuyoMpina niakilinyingi naujuzi nyie hamutaki wenye akili? nimaajabu.

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt 8 днів тому +1

    Ila nyie

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 9 днів тому +3

    Wamebakia wachache sana hapa tanganyika

  • @user-sx3ys1gs9p
    @user-sx3ys1gs9p 9 днів тому +1

    Bashe alikua yule wa magufuri ila huyu wa Sasa hamna kitu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 9 днів тому +1

    Serikali ya CCM haitaki wabunge wasomi na wenye kuelewa. Wabunge wengi ueleo wawo ni mudogi sana. Kazi yao ni kukubali kila kitu kwa kusema NDIYO. Kwa kifupi watanzania hatuna wawakirishi. Na tuna chama cha siasa kimoja na demokrasia ya bandia.

  • @MatesoMatanga-bs3bt
    @MatesoMatanga-bs3bt 8 днів тому +1

    Bc two

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 8 днів тому +1

    Huyo ataka umarufu huyo mpina sio alikua waziri mbona alishindwa

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lf 9 днів тому

    Jemedali wakweli

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 9 днів тому +1

    Lkn uyu si alikuw wazir wa ccm

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 4 дні тому +1

    Elimu yake umechapia acha uongo.

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 8 днів тому +1

    spika na kisomari cha mchongo vyote ni panya road

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o 8 днів тому +1

    Mweshiwa mpina tunakupenda Sana, ww Ni mbunge mzalendo mungu atakulinda

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 9 днів тому +2

    MPINA ni bingwa aliyebeba sifa kubwa sana kwa wananchi kwa UHODARI , wewe msomali BASHE unazungumza kwa kuremba na kakiingereza , lakini MPINA wengi wamemkubali . SPIKA ameenda mbio mno kumhukumu na ameonyesha woga wa kuumbuka kwa washirika wake .

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th 9 днів тому +3

    bunge humo Kuna bunge au bunge la ccm

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6n 9 днів тому +2

    Luhaga Mpina Ni Mzalendo Wa Kwer Akutakiwa Kua Chama Cha Ccm Ccm Wezi Tu Hawapendi Wabunge Wanaowatetea WANANCHI MBONA WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA

  • @MartinYakobo-io1og
    @MartinYakobo-io1og 4 дні тому +1

    Muongo wwewe

  • @simonchristian6319
    @simonchristian6319 9 днів тому +1

    😂😂😂😂😂😂. Uonevu huoooo

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 8 днів тому +2

    Huo ushahidi aliouta mbona haukuwekwa wazi bungeni?

  • @jamesmboneko2952
    @jamesmboneko2952 8 днів тому +1

    Mpina uko juu sana. Watanzania tupo nyuma yako

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 9 днів тому +2

    Kila msema ukweli siku zote ni mbaya.

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es 9 днів тому +2

    Mpina wanamwanza tukopamoja nawewe muache spika awalinde wahalifu

  • @user-yr1dv2oq7r
    @user-yr1dv2oq7r 8 днів тому +1

    Mpina jembe

  • @mwinyisaruni8974
    @mwinyisaruni8974 7 днів тому +1

    Haya bwana jembe pambana ulibakia ukiwapambania Tz mungu akutangulie,

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 8 днів тому +1

    Mheshimiwa Mpina hatua wa(level of understanding) uelewa ni kubwa mno, ndiyo maana unapata shida wabunge kumuelewa, kwani wengi wale wa kujua kuso.a na kuandika tu.