EXCLUSIVE: MJUE ALBERT CHALAMILA TOKA ENZI ANASOMA,Akiwa MWALIMU MPAKA kuwa MKUU wa MKOA WA DAR
Вставка
- Опубліковано 30 чер 2024
- #simulizinasauti #wasafimedia #cloudsmedia #efm #millardayo #exclusive #santzmedia #dullysantz #ccm
FUATILIA HISTORIA INAYOSISIMUA KUHUSU MAPITO MAGUMU YA MHS; ALBET CHALAMILA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM KWASASA - Розваги
Namjua vizur tumetoka Kijiji kimoja nimtu makin sana alitwambia wahehe tufanye Kaz tusiwasingizie wenzetu wabena wachawi Yuko saf sana
Hujui historia yake, naomba nyamaza mimi nimesoma nae darasa moja.
Nilitaraji utamwelezea kiundani lakn hujafanya Ivo... Wakati mwingine twambie Hadi shule walizosoma , pia vujiji walivyokilia lakini kazi tunaenjoy keep on doing Broo.
Ahsante. Kwa maoni yako Rafiki 🙏
@@Santzmedia 🙏🙏
Umemjua juzi 2021 ndipo unakuja kutudanganya yani tarehe za matukio zmeanza kuonekana 2021,huko nyuma unasema alikua mwalimu tuambie ni mwaka gan had mwaka gan na ktk shule zipi?chalamila ni mtunzi na mwimbaji hata you tube yupo mbona hujaonesha kwenye historia?umekurupuka jipange
Msimuliaji ni mvivu wa kutafuta historia ya mtu, amesoma while gani
Usitoe historia ya mtu bila kuonyesha details indeed..... Unasema kasoma shule ya msing,sekondar,chuo,kazaliwa Kijiji Cha iringa.... IRINGA inakijiji kimoja brother?
Ahsante kwa maoni yako!!!?
Nimjue wa nini?
Chalamila ni kiongozi wa kuzaliwa kuongoza watu sio mlala njaa ana stahili kuwa kiongozi
Fatilia history yake vizuri ndo useme unaferi
Ok. Ahsante kwa maoni yako
Kazaliwa mwaka gani?
😥
Huu ni uongo wa wazi kateuliwa kua mkuu wa mkoa wa mbeya 2018 iweje mpk 2021 atumikie miezi mi4 tu akiwa mbeya? Usikurupuke kijana
Kama utakuwa Makini na hiyo simulizi Ulikuwa Huna haja ya kutukana!!! Mzee
Suruhu
Maelezo hayajajitosheleza
Mhehe tu.
🤩🤩🤩
Tujue habari zake kwa manufaa gani?
Amekukosea nini Kwan?
Hajanikosea lakini kuna faida gani watu kujua habari zake ?
Hizo taarfa zako sio sahihi huyu chalamila ambaye namjua mmi mbna huyu jamaa akili zake zina mutosha ye mwenyewe
😆😆😂 Embu Tuambie Zinamtoshaje!!?
KUFAULU MTANGAZAJI BHANA NA SIO KUFAURU
🙏🙏💔
😢😢😢 the worst history in my history of history telling....haujafanyia research umechukua tu videos na fikra zako ukatusimulia tu. Jipange unaharibu future yako ....una sauti mzuri ila hauna material kichwani ...
Baba huyu angekuwa komed angefaa sana tena timu yao ingekuwa timu Hananja na chalamila wangeuza sana
😂😂😂
Ni mwanamuziki Ata Ivo Sema now haimbi😂
wewe ni hujafanyia reaserch habari yako ndo maana fupi ka mavi ya mwishoni
Fupi kivipi rafiki
@@Santzmedia huoni ilivyo..uchambuzi haujajitoshereza