KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"
Вставка
- Опубліковано 11 жов 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤
Yupo vzr sana Hyu kaka
Huyu ndo Diamond
Hatuitwi wabongo burebure...kweli BONGO ipo...akili.
@@juniorkamafa3391hapana uyo ndo zuchu
Kabisaa
Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa
Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar
Si ndio zao Kenge hao
Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo
This GenZ
Hayoo nimaongezi yakisomi anaonekana siokilaza huyuu ndio maanah wazaziwetu wanatupekashule maanayake ndohaya
One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako
Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜
Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...
Siyo jeuri ni muelewa
Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho
Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe
Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe
Waliharibu ule utaratibu JPM
BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!
Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana
Apewe mkuu wa mkoa😂😂😂
Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa.
Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉
ningekuwa Rais ningemfukuza kazi Chalamila nimuajiri huyu kaka nitumie his business experience to enhance revenue
Jamaa ni smart sana
Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!
Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..
Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi
ccm siku zote miaka 60 ni kandamizi mafala hawa
Hawa nasikia vibaya sana
nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa
Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.
Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.
Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true
Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.
Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.
@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli
Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo
Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond
ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏
Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake
Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.
Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮
😂😂😂😂😂
Hahahaha
Asubiri kipindi cha machafuko vita
Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu
Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana
Big up sana Bro👊👊👊👊👊
Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up
Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku
😅😅
Nj mwalimu wa chuo kikuu
😂😂😂
Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍
Hawa ndo staili ya Madiwani tuanaowataka wenye maono na ushauri yakinifu na adili
Sanaaaaa mama angemuona tuuuu
Kweli
Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.
Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤
Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.
Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima
Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅
Mkuu was mkoa no comedy😂
Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂
Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho
@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂
@@eliathomas8446 khaa 😂😂
Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa
Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..
Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅
Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani
Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.
Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---
Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr
Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana
Duuuuuh ww utakuwa nduguyake
😄
Huyu kijana sijamsikiliza mpaka mwisho lakini ana akili kuliko hilo limkuu wa mkoa.. linajibu kwa mihemuko!
Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂
Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪
Kijana kaongea busara mno.
very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up
AMBIENI RAÏS SAMIA AMLETE CHALAMILA CONGO DRC KWENYE MAPAMBANO GOMA,ACHE KUSUMBUWA WA BONGO.
Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA
Yani sijui analòho gani sijui anafuga kweli atakuku maana anaweza kuwachinja wote malamoja iposiku tu abadilike uyo
Safu sana elimu ndio kila.kitu tusomeshe watt wenu ni machinga lakin msomi anaongea kwa kujiqmini ¹elimu ndio kila kitu kichwa kimeshiba elimu anongea kwa.I vielelezo inatamanisha kuendelea kumsikiliza kweli elimu utoa ujinga si.lazima usome uwe biss ukisima ww ni boss pale ilipo aijalishi ❤
Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉
Kudos!!!
Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo
Chalamila amepata ukuu wa mkowa kwa nganga wa kienyeji ndo maana anajiamini kuliko kumwamini Mungufrom Mozambique 🇲🇿
Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini
Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.
Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
Mkinga unaona mbali sana
Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤
Hapa nipo utagundua machinga wengi wasasa n wahitimu wa vyuo vikuu
Hongera kijana ,Mungu akulinde.
hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana
Excellent 👍👍👍👍
Umetisha kijana
Yaan kaka ameongea pont sana maashallah kuliko huyo mkuu wa mkoa anafoka tu hafai hata kifuga kuku
Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!
kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake
Jamani Kuna vijana wanaudhubutu sana kijana Yuko vzr Hadi mwenye mtoto anajivunia
vijana wengine ni wasomi ila wamekusoma fulsa tu ya kuajiliwa wameamua kuwa wajasiriamali wadogo ,,,ukiangalia kwa makini hata anavyojieleza unaona kabisa huyu kijana ni msomi
Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa
Chalamila wewehufai kuwa kiongozi kabisa una majibu ya kijeurijeuri sana hufai hufai hufai
Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.
Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.
Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine
Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura
Umesema kweli
He is humble and yet smarter than the Haracee!😅
Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima
Hongera msomi
Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢
UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.
Kijana anajihamini na hana hofu. Ana stadi za uongozi kabisa.Safi sana
Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi
😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi
Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....
Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.
Smart dude.✊️
Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo
Safi sna kijana
Viongozi tafuteni kuheshimiwa sio kuogopwa heshima ukiijenga itakulinda ukiijenga hofu itakuangusha maana hofu ikitoweka haina mwisho mwema
Kama ni kufanya kazi Kwa mda ulio usema umefeli achia ngazi ya uongozi na ww kama ni vizuri
Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌
Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz
huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake
X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂
He sound like Fred Vunja bei😅
Very true
Its fair to give tax exemption for years kwa foreigners lakini sio kwa wazawa si ndio?Ebu na wao wawe wanakaa miaka mitatu maofisini tuone kama watatoboa.Hii nchi yetu sote ifikie kipindi wananchi wawe wanasikilizwa,kuna watu smart sana kuliko wanavyotuchukulia.Hii nchi saizi kila kiongozi ni ubabe tu
Wewe mkuu wa mkoa huna akili unaongea pombe tu tatizo mnaangalia matumbo yenu
Dogo hongera sana
Viongozi wetu jamani
Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU
Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂
Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth
Smart mind
Safi upo vizuri kaka sana
Hongera kaka umeongea vizuri sana
Safi sana kijana
Hivi mkuu wa mkoa hujaona hoja bado kwa huyu kijana? Mbona ulimwumiza sana kwa vitisho? nashauri viongozi mwe mnasikiliza ndipo mtoe hukumu.
Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi
Brilliant
Miaka mitatu una graduate, Kafie mbele du!
Imeponza midomo yetu kujitanganza miaka ya kuwepo kwenye eneo, ohh Niko hapa toka Elfu mbili na mbili ohh Nina miaka nane hapa, tujifunze kuacha kuropoka Siri zetu mbele ya viongozi
😂😂 maisha ni bahat anae faakua mkuu wa mkoa ni machinga na machinga ndo mkuu wa mkoa kama huna D mbili hunielew
Vizur