KIJANA ALIYEAMBIWA ATAONDOKA NA MKUU WA MKOA ASIMAMA BILA UOGA NA KUTOA HOJA KWA CHALAMILA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 527

  • @Maliyatabutv
    @Maliyatabutv 2 місяці тому +201

    UYU KIJANA NDIO ANGEKUWA MKUU WA MKOA ,KWA SABABU ANA HEKIMA NA BUSARA TUNAOKUBALI GONGA LIKE❤❤

    • @GilbertObed
      @GilbertObed 2 місяці тому +1

      Yupo vzr sana Hyu kaka

    • @juniorkamafa3391
      @juniorkamafa3391 2 місяці тому +1

      Huyu ndo Diamond

    • @gts5007
      @gts5007 2 місяці тому +2

      Hatuitwi wabongo burebure...kweli BONGO ipo...akili.

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti Місяць тому

      ​@@juniorkamafa3391hapana uyo ndo zuchu

    • @neamusic2601
      @neamusic2601 Місяць тому

      Kabisaa

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 2 місяці тому +81

    Dah jamaa kaongea kijasiri sana japo Chalamila anamuuliza kwa hali ya utisho, safi sana kamanada umewakilisha jamaa

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 2 місяці тому +2

      Lipumbavu hilo sijui lina jambo gan na rais hadi kulipa nafas kama hio kama ni uproffesor wapo wengi sana wenye PHD + hekima. Na uongozi sio elimu. Ni hekima chunguza makonda anavyoongoza kwa akil na busara. Sio hii takakata hapa. Especially kwa mkoa mkubwa kama dar

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er 2 місяці тому +2

      Si ndio zao Kenge hao
      Mawazo yao ni WTZ wa Nyerere bado wapo
      This GenZ

    • @ConfusedFlashlight-zc9vg
      @ConfusedFlashlight-zc9vg 3 дні тому

      Hayoo nimaongezi yakisomi anaonekana siokilaza huyuu ndio maanah wazaziwetu wanatupekashule maanayake ndohaya

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 2 місяці тому +31

    One love Brother ulicho nifurahisha mpaka kikao kimekwisha sija sikia majibu yako
    Hiyo nondo umepiga kwenye kipanda uso Kaka ww ni Machinga number one💪🏽🙏🏼😜

  • @msafirihaule9921
    @msafirihaule9921 3 місяці тому +131

    Tunahitaji kuwa na vijana wenye jeuri ya kujenga hoja, mithili ya huyu. Kudos...

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 2 місяці тому +4

      Siyo jeuri ni muelewa

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 місяці тому +1

      Si jeuri huyo bali anajiamini, ujeuri maanayake ni ujinga ? mkemevu wa vitisho

    • @JosephatMachibya
      @JosephatMachibya 2 місяці тому +1

      Tatizo haujui biashara chalamila alichokise Yule bwana ndio biashara sio ww huo ni ubabe

    • @AgnesEphraim-jw6dv
      @AgnesEphraim-jw6dv 2 місяці тому +3

      ​Chalamia anajua kujibu jeuri tu lakini kakutana na kamanda mzoefu nayejua kuzungumza uyo kasoma lakini Tanzania yetu aina ajira kaamua ajiajiri mwenyewe

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 2 місяці тому

      Waliharibu ule utaratibu JPM

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 2 місяці тому +23

    BRAVO KIJANA....UMEZUNGUMZA KWA WELEDI NA HESHIMA KUBWA....MH. MKUU WA MKOA UNATAKIWA UTAFAKARI SANA MANENO YA HAWA WAJASIRIAMALI....MH. RAIS SAMIA PELEKENI HIZO KARAKANA NJE KIDOGO YA KATIKATI YA JIJI....KWA MFANO NJIA YA KBAHA....NJIA YA KILWA....NJIA YA BAGAMOYO!

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 3 місяці тому +103

    Huyo kijana ni tajiri wa kesho anajitambua sana

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 2 місяці тому +24

    Huyu kijana ni zaidi ya mkuu wa mkoa.
    Hongera kwa hoja zenye mashiko na ujazo wakutosha🎉

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 10 днів тому +1

      ningekuwa Rais ningemfukuza kazi Chalamila nimuajiri huyu kaka nitumie his business experience to enhance revenue

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 3 місяці тому +62

    Jamaa ni smart sana

  • @mossessimon2493
    @mossessimon2493 2 місяці тому +20

    Kijana yupo very composed and calm kwa kweli.. smart guy!

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 2 місяці тому +17

    Mungu ambariki huyu mfanyabiashara kaongea vizuri sana..

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 3 місяці тому +65

    Hongera sana kijana umeongea kwa busara. Kiukweli mkuu wa mkoa chalamila umekosea sana kuwatusi Wanabchi

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic 2 місяці тому +13

    nikimsikiliza jamaa ni kama fred vunjabei kwa sauti hata mpangilio wa maongezi yake .....safi sanaaa

  • @EliaoniTerry
    @EliaoniTerry 3 місяці тому +90

    Huyu kijana kama ukimtizama na kusoma body language unaona aliumia sana kwa jeuri na vitisho vya mkuu wa mkoa, lakini mungu akamuwezesha kushusha hasira yake na kutoa maelezo ya kimantiki, kama serikali haitajifunza kuanzia mipango yake kwa kushirikisha watu wa ngazi za chini itakuwa inazusha tafrani isiyo na msingi na pengine kuhatarisha amani. Sikia maelezo ya kijana yalivyoonyoka. Serikali iache kutumia mabavu kila mara. Inaonekana eneo hilo viongozi wake na wengi wa wanao fanyia biashara hapo wameelimika vizuri sana anzia mwenye kiti wao.

    • @geofreychitamu366
      @geofreychitamu366 3 місяці тому +10

      Huyu kijana ndiye alipaswa kuwa mkuu wa mkoa na mkuu wa mkoa kwa jinsi alivyojaa jazba alipaswa kuwa huyu kijana.ila walio madarakani hujisahau kwa kuwa wanajivunia mamlaka,polisi,tss nk.

    • @gasperymisungwi960
      @gasperymisungwi960 2 місяці тому +5

      Kijana kavaa busara ya kiwango cha juu sana, hata hivyo IQ yake ipo juu pia, utulivu ni kitu cha msingi sana. Viongozi wengi hawapend kuwa challenged wakiamini kwamba wao tu ndio wanauwezo, busara na hekima nyingi! The opposite is true

    • @KarumeKindamba-lk1px
      @KarumeKindamba-lk1px 2 місяці тому +2

      Ongela kijana maelezoyako yametulia na umeonyesha wamachinga ni jamii inayoweza kutoa Kodi.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 місяці тому +3

      Kweli Mkuu wa Mkoa anapayuka kama kachanganyikiwa, sidhani kama mtoto wake anaweza kuongea nae kwa style hiyo.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 місяці тому +3

      ​@@gasperymisungwi960Mtu yeyote Mpumbavu huwa hapendi kuambiwa ukweli

  • @raphaelnambombi3709
    @raphaelnambombi3709 3 місяці тому +47

    Huyu kijana anaakili sana kusimama mbele ya watu wengi hivi tena mbele ya uongozi wa mkoa na kwenye mgogoro na kuweza kuongea pointi zilizonyooka siyo kazi ndogo

  • @SarapiaMfoi
    @SarapiaMfoi 3 місяці тому +30

    Hongera sana kijana wangu una ujasiri uliopitiliza sikuamini kama ungeweza kuongea point kwa ujasir hivyo ubarikiwe sana mond

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Місяць тому +3

    ONGERA SANA IDDI .M. RAMADHANI KWA UJASILI NA KUONGEA VITU VYA MSINGI NA VYA MAANA KWA HEKIMA NA WELEDI MZURI👏👏👏🏆💯👑, MUNGU HATA WABARIKI NA KUTATUA CHANGAMOTO ZENU🙏

  • @CharlesMshana-c4o
    @CharlesMshana-c4o 3 місяці тому +20

    Hongera ssaana kijana ,umeongea kimantiki sana, tathimin ifanyike kila mmoja apate stahiki zake za kufanya biashara na serikali ipate kodi yake

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 3 місяці тому +24

    Kijana hongera sana.kwa pamoja tujenge Tanzania yetu kwa uzalendo mkuu.

  • @boazikibuyu7457
    @boazikibuyu7457 2 місяці тому +18

    Chalamila afai kua kiongozi wa wananchi labda kiongozi wajeshi Tena wakati wa vita 😂😮😮😮

  • @AmanNdalu-m7q
    @AmanNdalu-m7q 2 місяці тому +11

    Kuna muda viongozi huwa wanaongea kama maisha ya chini ni Jadi yetu but Mungu awape maisha marefu

  • @johnmaganga44
    @johnmaganga44 2 місяці тому +6

    Jama yupo vizuri kwenye kujenga hoja na ana hekima kwa sabubu ana taarifa za kutosha kuhusu eneo husika na anaonekana amesoma na pia Anajua kujielezea na ameongea kwa Tone Nzuri Sana
    Big up sana Bro👊👊👊👊👊

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 2 місяці тому +14

    Huyu mwamba ameongea kitu kikubwa sana big up

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 2 місяці тому +31

    Huyu chalamila hata akipewa ualimu wa shule ya msingi anaweza ua watoto wetu kwani anahasira sana hvyo hafai kabsa kuongoza hata kuku

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5qu 3 місяці тому +21

    Mpe cheo huyu kijana Anakitu kichwani ila kukio😢na ni Fulsaa mpe kitengo 👍👍

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 3 місяці тому +2

      Hawa ndo staili ya Madiwani tuanaowataka wenye maono na ushauri yakinifu na adili

    • @celinapeter9474
      @celinapeter9474 2 місяці тому

      Sanaaaaa mama angemuona tuuuu

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 місяці тому

      Kweli

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 3 місяці тому +33

    Kiukweli Chalamila kuna namna hajui namna ya kuongea na hadhira kama Kiongozi.

    • @KattKangu
      @KattKangu 2 місяці тому +1

      Mkoa waarusha tumebarikiwa poul makonda weuweeeee❤

    • @rabsonmichael9720
      @rabsonmichael9720 2 місяці тому +3

      Hii ndio wanaita madaraka ya kulevya,ni kiongozi wavitisho vitisho kila siku.

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 3 місяці тому +24

    Uyu siyo mkuu wa mkoa hafai kuwa kiongozi unawakalipia kama watoto tumia hekima

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 місяці тому +48

    Kijana anautulivu wa akili kuliko Mkuu wa Mkoa 😅

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 2 місяці тому

      Mkuu was mkoa no comedy😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому

      Mku wa mkoa huyu angepelekwa Arusha😂 Makonda wetu mpole arud Dar😂😂😂

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 2 місяці тому

      Kabisa huyu mkuu mi namwonaga chenga anategemea vitisho

    • @eliathomas8446
      @eliathomas8446 2 місяці тому

      ​@@PaulinaSemindu-ob3de Arusha hatutaki vichaa coz tayar Arusha enyew Ina vichaa ni wengi...makonda wetu is the best...bakini na lichalamila lenu hatulitaki huku😂😂😂😂

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому

      @@eliathomas8446 khaa 😂😂

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x 3 місяці тому +27

    Chalamila mkuu wa mkoa wa hovyo kutoa

  • @liutapro
    @liutapro 2 місяці тому +7

    Huyu mkuu sio moja kwa moja anamaneno flani ya kibabe pia anadharau wananchi sana kiufupi Hata akiomba kura kuwa kiongozi wa nchi aisee yangu hapati..

  • @HusseinYahaya-q1z
    @HusseinYahaya-q1z 2 місяці тому +6

    Charamila alitaka kumtoa kwenye reli mwanzoni, Jamaa kameza mate kakaza shingo hajateteleka.. Good Job, Chalamila ikabidi akae kimya kijana akawa Anang'ata na kupuliza 😅Ilimradi Dawa Ingie Tanzania Tukiwa na vijana kama hawa 10000 tu.. Tanzania itaamka Hatutaki Machawa.😅😅

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 2 місяці тому +8

    Vijana wangesikilizwa Tanzania ingesonga kijana kaongea pointi tena kwa hekima tatua changamoto nchi yetu wote tuijenge kwa amani

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 2 місяці тому +2

    Hongera sana mwanangu. Una hekima sana kijana.

  • @akilihabibu5326
    @akilihabibu5326 2 місяці тому +2

    Kijana ❤ unaweza sana na unaakili sana uwezo ulionao ni zaidi ya ---

  • @Damian-tt8fv
    @Damian-tt8fv 2 місяці тому +2

    Hongera kijana mwenzetu kutuwakilisha vzr

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 3 місяці тому +10

    Excellent hapo mkuu umenyooka! Nimekuelewa sana

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 13 днів тому +1

    Huyu kijana sijamsikiliza mpaka mwisho lakini ana akili kuliko hilo limkuu wa mkoa.. linajibu kwa mihemuko!

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 місяці тому +4

    Mkuu wa mkoa anatufokea mwambieni atulie tumdikilize kijana aongee😂😂

  • @FrankNdubaa
    @FrankNdubaa 2 місяці тому +2

    Kweli kijana taifa la kesho 💪💪💪

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 місяці тому +21

    Kijana kaongea busara mno.

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 2 місяці тому +3

    very standard speech ,yani jamaa kaweka hoja kwa hoja hadi ukimya ukatawala.big up

  • @yahomeshopllc5950
    @yahomeshopllc5950 2 місяці тому +1

    AMBIENI RAÏS SAMIA AMLETE CHALAMILA CONGO DRC KWENYE MAPAMBANO GOMA,ACHE KUSUMBUWA WA BONGO.

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 2 місяці тому +6

    Dah! Inahitaji kuvumilia sana kumsikiliza CHA-LAMI-LA

  • @ABlg-h5h
    @ABlg-h5h 12 днів тому +1

    Yani sijui analòho gani sijui anafuga kweli atakuku maana anaweza kuwachinja wote malamoja iposiku tu abadilike uyo

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 місяці тому +2

    Safu sana elimu ndio kila.kitu tusomeshe watt wenu ni machinga lakin msomi anaongea kwa kujiqmini ¹elimu ndio kila kitu kichwa kimeshiba elimu anongea kwa.I vielelezo inatamanisha kuendelea kumsikiliza kweli elimu utoa ujinga si.lazima usome uwe biss ukisima ww ni boss pale ilipo aijalishi ❤

  • @JumaRamadhani-q6e
    @JumaRamadhani-q6e 2 місяці тому +2

    Jamaa ameongea pwent sana na kwa hisia kali sana! 😂🎉🎉

  • @catherinemoses8775
    @catherinemoses8775 2 місяці тому +1

    Kudos!!!

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 2 місяці тому +1

    Safi sana hakuna kumwogopa binadamu kwan yy ni mungu .na kwani ww ni mwalifu tunatakiwa tuwe na uhuru na confidence ya kujiekeza ukisha kuwa na hivyo vitu kuburuzwa ni uongo

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio Місяць тому +1

    Chalamila amepata ukuu wa mkowa kwa nganga wa kienyeji ndo maana anajiamini kuliko kumwamini Mungufrom Mozambique 🇲🇿

  • @majaliwasanga1741
    @majaliwasanga1741 2 місяці тому +8

    Suala la machinga KUPEWA miaka halafu anapisha wengine,iwe Kwa viongozi na watumishi wote serekali kuwa ukikaa Ofisin miaka mitatu wapishe wengine nao waajiliwe ili kupungua uhaba wa ajira Nchini

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 2 місяці тому

      Wazo zuri sana umetoa. Tatizo bingwa hujibu kulingana na matazamo wake na anapitisha bila hata kusema kusema watafanyia kazi wataalamu kutatua kero hizo.

    • @othmanjumaa2480
      @othmanjumaa2480 2 місяці тому

      Amesahau Kama rizki anatoa M/ mungu.....Asimalize maneno ajue kwamba utafutaji ni mgumu Sana,mtu umpangie miaka ya utafutaji kweli!!? Amakweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa.

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 2 місяці тому

      Mkinga unaona mbali sana

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 2 місяці тому +4

    Uyu kijana agekuwa mkuu wa mkoa mambo yagekuwa safi❤❤

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Місяць тому +1

    Hapa nipo utagundua machinga wengi wasasa n wahitimu wa vyuo vikuu

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 2 місяці тому +1

    Hongera kijana ,Mungu akulinde.

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze 2 місяці тому +2

    hi ni nzuri inatufanya tusijisahau na hivi ndivyo tutakuwa kiuchumi sis wafanya biashara wadogo tunajisahau snaaaaaaaana

  • @josephatmushi1140
    @josephatmushi1140 Місяць тому +1

    Excellent 👍👍👍👍

  • @KihozaAthuman
    @KihozaAthuman 2 місяці тому +2

    Umetisha kijana

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc Місяць тому +1

    Yaan kaka ameongea pont sana maashallah kuliko huyo mkuu wa mkoa anafoka tu hafai hata kifuga kuku

  • @mustaphajuma2292
    @mustaphajuma2292 2 місяці тому +6

    Sijaelewa alicho ongea naona ni pointless hanasifa za uongozi kwa ni hio kalakana nilazima ikae hapo mbona kibaha maeneo yapo mengi...hii NI TANZANIA ila huenda hii nchi ni ya Watu flani flani Sisi wengine tunaonekana ni wakimbizi. yani machinga astaaf baada ya miaka miwili!!!!

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic 2 місяці тому +4

    kila muda nayarudia maneno ya huyo jamaa ...yaani hachoshi kusikilizwa .......dah mwamba apewe maua yake

  • @leinaamos
    @leinaamos 3 місяці тому +4

    Jamani Kuna vijana wanaudhubutu sana kijana Yuko vzr Hadi mwenye mtoto anajivunia

    • @fredmbossa-kc3qn
      @fredmbossa-kc3qn 2 місяці тому

      vijana wengine ni wasomi ila wamekusoma fulsa tu ya kuajiliwa wameamua kuwa wajasiriamali wadogo ,,,ukiangalia kwa makini hata anavyojieleza unaona kabisa huyu kijana ni msomi

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 2 місяці тому +2

    Kijana mwenzangu kwel unajua kujieleza mi mwenyewe nimekuelewa ase yan uko vizur sanaaaaa

  • @bibibomba9799
    @bibibomba9799 2 місяці тому +1

    Chalamila wewehufai kuwa kiongozi kabisa una majibu ya kijeurijeuri sana hufai hufai hufai

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 місяці тому +2

    Kijana yupo vizuri,nikumsikiliza,anaijua ramani na mazingira ya biashara.

  • @neamusic2601
    @neamusic2601 Місяць тому +1

    Huyu kijana ana busara na sina shaka malezi yake mungu ambariki sana inshaallah.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 місяці тому +5

    Tatizo la sisi watanzania hatujielewi leo tunaumizwa kesho tunawapa kula wanarudi tena kutuumiza huu ujinga ndo unaotumaliza tuamue kuwakataa wote kwa pamoja tusiwape kula kbs tuwape kula wapinzani wakizingua na wao tunawapa nafasi wengine

    • @abumuhammad9615
      @abumuhammad9615 2 місяці тому

      Kwa kauli za kina NAPE ni ngumu kuiondoa ccm katika box za kura

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 2 місяці тому

      Umesema kweli

  • @elenzianjk5543
    @elenzianjk5543 2 місяці тому +1

    He is humble and yet smarter than the Haracee!😅

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 2 місяці тому +1

    Kijana mungu akuzidishie hekima umewakilisha kilio cha wengi nimeamini hekima haikai kwa wakuu au kwa wataalamu pekee hata kwa maskini kuna hekima

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 2 місяці тому +1

    Hongera msomi

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 2 місяці тому +4

    Hakuna mtu ambae hapendi kupanda kiuchumi machinga wengi mitaji cyo yao bht mby Hawa Viongoz wanaishi Kwa mishara huwa hawajui maumifu ya kukua kiuchumi 😢😢😢😢

  • @gililwise
    @gililwise 2 місяці тому +2

    UnA hekima sana kijana kuliko huyo mkuu wa mkoa Mungu azidi kukuinua.

  • @bashiruabdallah8666
    @bashiruabdallah8666 2 місяці тому +1

    Kijana anajihamini na hana hofu. Ana stadi za uongozi kabisa.Safi sana

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye Місяць тому +1

    Kamanda kijana yupo safi tena ar chuga maneno kidogo kazi kwa wingi

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 2 місяці тому +3

    😂😂ndio maana Mbeya ilimshinda huyu.. mgomo wa watu wa bajaji na dala dala tuu akaja kujibu shit za hivi hivi

  • @cisselamerverille5286
    @cisselamerverille5286 2 місяці тому +1

    Ukweli unauma ...ila huo ndio ukweli anaosema muheshimiwa ....leo hivi kesho vile sera zinabadilika ..ingawa inatuumiza ila huo ndio ukweli 😢😢😢....

  • @Burange666
    @Burange666 3 місяці тому +9

    Serikali hamna plani ikiwa ni hivyo ya miaka 3 hapo umechemsha hamjui mnachofanya.

  • @waltergodwin2529
    @waltergodwin2529 2 місяці тому

    Smart dude.✊️

  • @johnhery-wh4lq
    @johnhery-wh4lq 2 місяці тому +2

    Huyu kijana ameongea vizuri sana kuliko kiongozi wake.....tena ameongea kwa hekima za hali ya juu kuliko huyoooooo

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 2 місяці тому +1

    Safi sna kijana

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i 2 місяці тому +1

    Viongozi tafuteni kuheshimiwa sio kuogopwa heshima ukiijenga itakulinda ukiijenga hofu itakuangusha maana hofu ikitoweka haina mwisho mwema

  • @kahamagloryofgod5852
    @kahamagloryofgod5852 2 місяці тому +1

    Kama ni kufanya kazi Kwa mda ulio usema umefeli achia ngazi ya uongozi na ww kama ni vizuri

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Місяць тому +1

    Ivi chalamila umewahi kufikiria ety miaka mitatu mfumo ukutene ebu wekeni sheria na uongozi ni miaka mitatu tu ila hiii selikal 🙌

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 2 місяці тому +2

    Well spoken kijana wakipatkana mia kama huyu kijana we chala watakungoa apo ulipo you are a disgrace to our presdent and Tz

  • @Topcentclassic
    @Topcentclassic 2 місяці тому +2

    huyo mkuu wa wilaya asiejitambua anafanya nn hapo pembeni ....anaulizwaga maswali anatujibu kama nchi ya babaake

  • @nwntz
    @nwntz 2 місяці тому +1

    X uliemkataa hyu kijana umekataa madini mwenyewe😂😂

  • @mcgabby
    @mcgabby 2 місяці тому +6

    He sound like Fred Vunja bei😅

  • @JacksonGunje
    @JacksonGunje 2 місяці тому +1

    Its fair to give tax exemption for years kwa foreigners lakini sio kwa wazawa si ndio?Ebu na wao wawe wanakaa miaka mitatu maofisini tuone kama watatoboa.Hii nchi yetu sote ifikie kipindi wananchi wawe wanasikilizwa,kuna watu smart sana kuliko wanavyotuchukulia.Hii nchi saizi kila kiongozi ni ubabe tu

  • @IdiJuma-c1h
    @IdiJuma-c1h 2 місяці тому +1

    Wewe mkuu wa mkoa huna akili unaongea pombe tu tatizo mnaangalia matumbo yenu

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 2 місяці тому +3

    Dogo hongera sana

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 2 місяці тому +1

    Viongozi wetu jamani
    Na sisi ni watu msituone kama NYANI TUUUU

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 2 місяці тому

    Mhehe ni MHEHE TU. NAMI NI MHEHE 🙏🙏🙏🙏 Huyu Mwachalamila ni NOUMAH😂😂

  • @Magufulitanzania-d6e
    @Magufulitanzania-d6e 2 місяці тому +1

    Bia hujawaizasahau mnyalukoli 🎉 hatari mno but kama vijana weneed to open our mouth

  • @hajimsisi3095
    @hajimsisi3095 2 місяці тому

    Smart mind

  • @FernandesKalokola
    @FernandesKalokola 2 місяці тому

    Safi upo vizuri kaka sana

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 2 місяці тому

    Hongera kaka umeongea vizuri sana

  • @lovenesdickson1824
    @lovenesdickson1824 29 днів тому

    Safi sana kijana

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 2 місяці тому +1

    Hivi mkuu wa mkoa hujaona hoja bado kwa huyu kijana? Mbona ulimwumiza sana kwa vitisho? nashauri viongozi mwe mnasikiliza ndipo mtoe hukumu.

  • @KulwaMkomba
    @KulwaMkomba Місяць тому +1

    Dah! Ni udhuni sana yule aliepewa nafasi ya kuwa kiongozi kumbe alipaswa kuwa mfuasi

  • @hassanKaku-to7kd
    @hassanKaku-to7kd 2 місяці тому

    Brilliant

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 3 місяці тому +7

    Miaka mitatu una graduate, Kafie mbele du!

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 2 місяці тому

      Imeponza midomo yetu kujitanganza miaka ya kuwepo kwenye eneo, ohh Niko hapa toka Elfu mbili na mbili ohh Nina miaka nane hapa, tujifunze kuacha kuropoka Siri zetu mbele ya viongozi

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. 2 місяці тому +1

    😂😂 maisha ni bahat anae faakua mkuu wa mkoa ni machinga na machinga ndo mkuu wa mkoa kama huna D mbili hunielew

  • @JacksonNgilu
    @JacksonNgilu 2 місяці тому +1

    Vizur