KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 бер 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @user-cb7sm8ts2z
    @user-cb7sm8ts2z 2 місяці тому +7

    Dada umegusa nnapopataka nataman sana na mm nifnye icho kitu unachofanya ww shukran sana kwa kuntia moyo nimejifunza🙏

  • @ereswidamoshi7404
    @ereswidamoshi7404 25 днів тому +3

    Mdada smart , watangazaji mnaboa

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 Місяць тому +2

    Smart Brain ❤❤❤ historia yako inasisimua na mafunzo

  • @jscatherine29
    @jscatherine29 16 днів тому +2

    Kuweza kuongea na hao waandishi kashafanyia kazi ualimu wake 😂🤌

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri 11 днів тому +1

    woow very smart. Hongera sana dear...

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 21 день тому +1

    Waandishi hovyoo kabisaa. Mkiuliza swali muacheni anaeulizwa aongee mpaka mwisho. Pia ulizeni maswali bora.

  • @vapromamassawe8937
    @vapromamassawe8937 3 місяці тому +2

    young,beautiful,and smart 🔥🔥🔥

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg Місяць тому +1

    Hongera san kipenz

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 11 днів тому +1

    Naipenda sana hii biashara

  • @faustalymoonesmo4532
    @faustalymoonesmo4532 2 місяці тому +3

    Watangazaji wanaongea Sana lakini maswali ya msingi wanaacha kuuliza

  • @angelsultan9628
    @angelsultan9628 10 днів тому +1

    Aiseee watangazaji mnaboa, mwacheni mtu aleleze

  • @jaquilinekabadi37
    @jaquilinekabadi37 9 днів тому +1

    Watangazaji mmeboa👎

  • @victornkonjelwa
    @victornkonjelwa Місяць тому +3

    I wish ningemsikia huyu dada kwa watu ambao wako serious, watangazaji wameshindwa kujua namna ya kuhandle interview kulingana na nahudhui yake, full masihara, wanakatisha point muhimu, wanaongea kuliko muhusika, wanasafari kubwa ya kujifunza kuwa bora

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  Місяць тому +1

      Nipe 5 , ni kipindi cha masihara, ila ukikiangalia kwa makini hakuna masihara.

  • @witneynairas2803
    @witneynairas2803 Місяць тому +2

    watangazaji hovyo sana

  • @user-gq3pv4nm4g
    @user-gq3pv4nm4g 3 місяці тому +2

    Go valentina🙏🏿🙏🏿

    • @selinajohn3552
      @selinajohn3552 9 днів тому

      Nataman kuwa mfanya Biashara Sana nawazo Hilo lakn kuanza ndo nawaza

  • @AmosNhandi
    @AmosNhandi 2 місяці тому +2

    Shida mnaongea Sana watangazaji kuliko mhusika

  • @haidhautumwahawezikuisha8779
    @haidhautumwahawezikuisha8779 2 місяці тому +1

    Safi sana

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 2 місяці тому +1

    Nimependa jinsi ulivyohasi sana mwaya

  • @jakalajuma1625
    @jakalajuma1625 2 місяці тому +2

    Watangazaji masiala kibao dada yupo serious na majibu ya msingi

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  2 місяці тому +1

      Kaka hicho kipindi ni cha masihara.

    • @user-gk6et7yg3x
      @user-gk6et7yg3x 23 дні тому +2

      @@ganganainfochannelkama cha masihala msiweke vitu vya msingi waekeni kina bambo mje mfanye masihala

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  23 дні тому

      Naona umeamua kutupangia sasa😀

  • @MANJINZELLA
    @MANJINZELLA 2 місяці тому +1

    Good

  • @user-ki6vd4yj7h
    @user-ki6vd4yj7h 2 місяці тому

    Naomba no dada

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 15 днів тому +1

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg 11 днів тому +1

    Naomba namba yako pls

  • @MarianaDonarld
    @MarianaDonarld Місяць тому +1

    Vale anajibu kisomi, watangazaji sijui wanaogopa kuuliza maswali vzri? Valentine Gabriel Philimon Moi.