Dah usimuone tu Niffer tu kafanikiwa? Asimulia stori yake hapa! Utatoka machozi! Kuuza Mitumba,

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 вер 2024
  • Alifukuzwa nyumbani kisa tu alishindwa kuuza Chakula! akaanza na mtaji wa Tsh 40,000/= kuuza MITUMBA! Baadae akawa anachukua nguo Kariakoo anauza kama dalali, leo hii anamiliki duka lake kubwa la nguo Niffer Fits na lina-trend sana, Sasa hivi yupo China anakuja na bidhaa zake mwenyewe na kafungua Niffer interiors. Stori hii ya Niffer lazima ikusisimue, unaweza kutoa machozi!
    Anngalia Part 1 hapa, kuna part 2 pia ambayo kaongelea mambo yote, Mahusiano yake, Kupewa mtaji na Mwanaume na kila kitu.
    Fanya ODA ya Big Boss Pizza 🍕 kwa website uletewe popote ulipo Dar bure + SODA KUBWA kwa Bei ya Offer Tsh 35,000/= tu, utatumia Promo Code ya BOSSLAO, Bonyeza link hii hapa, www.pizzahut.c...

КОМЕНТАРІ • 113

  • @natashasuleiman962
    @natashasuleiman962 Рік тому +12

    Role model wngu 💯💯 go go girl babygirl❤️ proud of u Niffer🥰

  • @MarthaGoodwin-t4m
    @MarthaGoodwin-t4m Рік тому +11

    Proud of her always pamoja ni mwana Yanga

  • @StephenWambua-qz1bb
    @StephenWambua-qz1bb Рік тому +2

    Am so proud of her,yaani kila kitu anasema,she ahad to focuse on,,

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 Рік тому +4

    I love you Niffer,I’m Christian but I like your 🧠 ❤

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 Рік тому +13

    Her natural beauty is everything ❤

  • @DeusdeditByebalilo
    @DeusdeditByebalilo 2 місяці тому +1

    Thank Niffer. its motivating story

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Рік тому +5

    She's amazing, Bk moja hakutokagi mjinga

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Рік тому +4

    Apa kizungu tutakijua tu sio Kwa point izo niffer❤

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Рік тому +4

    Wew mzuri niffer acha Mungu akubaliki zaidi sio binadamu

  • @SikuKimaro
    @SikuKimaro Рік тому +6

    Very Smart lady, hongera kwake sana sana ...

  • @IsHenryTz
    @IsHenryTz Рік тому +2

    Real talk than but humble plus hustle

  • @mujibumuskula1786
    @mujibumuskula1786 Рік тому +1

    Mungu akujalie, upo kama dada yangu Mwanaisha unajiamini💪💪💪

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 Рік тому +6

    Namkubali Niffer Tuletee shilole amefanyiwa interview sana ila hachoshi

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Рік тому +3

    Mashaallah nimejifuza mengi dd asante

  • @annethelias4351
    @annethelias4351 Рік тому +4

    Niffer una akili sana... Kuna kitu nimekipata kwako hongera sana

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 Рік тому +3

    Gogoooo gooooo girl, keep t up

  • @sayeedfellah4706
    @sayeedfellah4706 Рік тому +4

    Niffer keep it up we love from kenya 🇰🇪 👏

  • @fatumadiriye6162
    @fatumadiriye6162 Рік тому +2

    Well done niffer.

  • @shaanaseeb9423
    @shaanaseeb9423 Рік тому +4

    Mashaalah 😍

  • @TenglosNaaj
    @TenglosNaaj 5 місяців тому +1

    Mtaji w masikini n nguvu zak, Big up san

  • @SalimRashid-cq2pi
    @SalimRashid-cq2pi Рік тому +3

    Mashallah mdada mzuri

  • @bbsahl1242
    @bbsahl1242 Рік тому +2

    Haniffa nakukubali sana kila sku nakuangalia na kukubali umepambana sana siwez amini umejitoa sana zidi kupambana na jitahid kuwa karbu na Alwa

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Рік тому +6

    Hizi story bhana jaribu ushangazwe

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Рік тому +7

    Mungu mkubwa watu wanao kussema awakujuwi

  • @DamianAlphonce-ju4qw
    @DamianAlphonce-ju4qw Рік тому

    Keep on sister,you wanna be someone special in this world,promise you 🙏

  • @OrgenessMassawe
    @OrgenessMassawe 5 місяців тому +1

    Good

  • @issatwaha2768
    @issatwaha2768 Рік тому +2

    Nakupenda

  • @flackomasterbaddest4155
    @flackomasterbaddest4155 Рік тому +5

    😢pole walikupiga treadmill ni laki 2-3 china

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Рік тому +1

    Nikweli kabisa🎉🎉

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Місяць тому

    Real ommy unakitu, coz lilommy ni mwana sana lakin cjaona akitoboa pua, akivaa hereni.

  • @mujunvicta6379
    @mujunvicta6379 Рік тому +3

    Bukoba kwetu Kagera moja

  • @chany9950
    @chany9950 Рік тому

    Niffer una akiri mno👍🏽👍🏽👍🏽😘😘😘

  • @mgenikheri8006
    @mgenikheri8006 Рік тому +1

    Very smart

  • @farajamlonganile2601
    @farajamlonganile2601 Рік тому

    Dada mpambanaji hongera sana❤

  • @Incrediblejona
    @Incrediblejona 3 місяці тому +2

    Beautiful inside out

  • @charlesmasele8454
    @charlesmasele8454 Рік тому +1

    The #MVP

  • @gloryatv1779
    @gloryatv1779 2 місяці тому

    Nimemuelewa sana

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Рік тому +13

    Wadada WA bongo Kwa kubuni umri WA Miaka Yao hawajambo,but mashaaala ila mupunguze kudanganya Miaka yenu please

    • @mwanaidhamad8720
      @mwanaidhamad8720 Рік тому +2

      Haya unaejua umri wake sasa ila binadamu bwana unataka akudanganye ndo uujue ukweli

    • @hamed_nassoro
      @hamed_nassoro Рік тому +6

      Hajadanganya umri huyo, tumekua nae since mdogo na kweli ana 24 yrs

    • @davidkashaga5389
      @davidkashaga5389 Рік тому +3

      dada we waaajab kwa ulicho comment au umeenda age ww😂

    • @madinamahuba
      @madinamahuba Рік тому +1

      Kisura ukimuangalia nizaidi ya 24

    • @joyousjackson8352
      @joyousjackson8352 Рік тому +1

      @@madinamahuba nikwel yuko na hyo miaka

  • @carolinejosephmnyaga8869
    @carolinejosephmnyaga8869 Рік тому

    Good work.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому +1

    Nifffe nakupenda

  • @aznatfrida5577
    @aznatfrida5577 Рік тому +1

    Woooooooow wooooòw

  • @fadhiliradjab4860
    @fadhiliradjab4860 Рік тому

    Think about insurance

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation 2 місяці тому

    Kiswahili basi unawaelezea watu tofautitofauti tushajua umesoma mamii

  • @mtaakwamtaa4425
    @mtaakwamtaa4425 Рік тому +2

    Home boy najivumia sana kuwa na mnyamwezi mwenzangu pande za usafini na kila kona maana umetokambali hadi hapo ulipofika tangu CG fm

  • @elizamichael8073
    @elizamichael8073 Рік тому +1

    Kwani hiii interview inafanyika ulaya mbn kizungu sn

  • @iddiali6982
    @iddiali6982 Рік тому

    ❤❤❤So smart

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Рік тому +7

    Kuna mtu nyuma yke anaye msapoti

  • @ZubedaMaulid
    @ZubedaMaulid Рік тому

    Wow it's amazing interview,I get something that can push me forward

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 Рік тому

    Niffer ni mmoja tu

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Рік тому

    Uki amuwa ku vaa stara va kisawasawa
    Mungu aendeleye kukusimamiya😘

    • @MtanzaniaTz-d2c
      @MtanzaniaTz-d2c 5 місяців тому

      I.
      Na me muuzaji wa vpoz nilifukuzwa kama ww iwish unisapot ni move on like u

  • @AbdulSalim-wu8wo
    @AbdulSalim-wu8wo Рік тому +1

    Ingia sasa ndio uone😭😭😭

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 Рік тому

    Naipenda story yako lakini kingereza kingiiiii, ila hongera tu

  • @josephinemosha5234
    @josephinemosha5234 Рік тому +5

    Hivi niffer kafanikiwa? Duhhh nchi ngum san hii

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +2

      😁😁😁😁😁🤔bongo mtu ukitrend tu tayari umefanikiwa🤣🤣🤣🤣

    • @priscamwabulanga5294
      @priscamwabulanga5294 Рік тому +8

      Mafanikio ni subjective, wewe unaweza kuona sio mafanikio kutokana na utofauti wa vision zako ila kwa wengine wanamuona amefanikiwa coz hawajafika alipofika. Kwahiyo kuwa positive mpongeze na wewe utapongezwa katika yako

    • @georgerichard4902
      @georgerichard4902 Рік тому +5

      @@priscamwabulanga5294 bora hata umemjibu vizuri mie ningemuwakia aisee sipendagi watu wasio apriciate moves za wenzao its not fair at all

    • @fatumakiwera7145
      @fatumakiwera7145 Рік тому +2

      @@priscamwabulanga5294 upo na akili kubwa

    • @irenekarume1470
      @irenekarume1470 Рік тому +3

      Amefanikiwaaa kuwa na watyu wanaomuamini na kusimama nae kwakila Hali hayo nayo ni mafanikio na sidhan khama hela aliyonayo we unayooo kafanikiwa alivokua zaman so sawa na saivi unatakiwa support na khama hutaki ungeachaa tyu usicomment

  • @bbsahl1242
    @bbsahl1242 Рік тому

    Nikija dar nataman nifike dukan kwako lkn sijui lipo wapi nifahamishe

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Рік тому

    Kwani omy wcb aliondoka

  • @mwanaherhussani7425
    @mwanaherhussani7425 Рік тому

    Sasa we so mtoto no jitu zima mbona

  • @Heisdivan
    @Heisdivan Рік тому +3

    GONGA LIKE TWENDE SAWA🎉

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Рік тому +1

    Mbona kama 30-32 ivo Wa bongo wanapenda miaka 24😂

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Рік тому +12

    Miaka 24ni mtu mzima huwez kusema mtoto wa miaka 24 sasa ulibadilisha kusema mwanamke nn 😅 kawaida niffer we ni mwanamke hatakama hujazaa bado

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +3

      anapenda kujiita mtoto sijui utoto gan? alionao🙄🙄 na hilo li mwili

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Рік тому +1

      @@sifatiiman hawataki kukua mbona Kama vile ana miaka 30?

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 Рік тому

      ​@@sifatiiman simpendi huyu mdada me Kwa misifaa

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 Рік тому

      ​@@joycenicodemus.2232 Jitu zima tu mbona

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Рік тому +1

      @@mwanaherhussani7425 😂😂😂😂umeona kila mara anapenda sana kujiita mtoto kwa utoto gan sasa

  • @oneclick2023
    @oneclick2023 Рік тому +1

    Civics, 🫱GS -General Studies,🫱DS -Development Studies tukae humo 🫴.

  • @ShadiahAtwasi
    @ShadiahAtwasi Рік тому +1

    N mbona huyu dada amekomaa uso hivyo alafu anasema anamiaka 24 khaaa😂😂😂😂

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Рік тому

      Me Nina miaka 25 ila ukiniona utadhani Nina 30 so ni Kweli asemacho

    • @joyousjackson8352
      @joyousjackson8352 Рік тому

      @@pendojeremiah1023 watoto wa sku hzi japo nkwel nmiaka yake sio mkubwa mm namfaham ila wanakomazwa mambo ya kikubwa mapema

  • @mmn7480
    @mmn7480 Рік тому +1

    intevw ya kinyama

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 3 місяці тому

    Sasa hivi anauza tako tu asitudanganye ana hasooo😂😂😂😂😂

  • @JacquelineMayowa-th3dm
    @JacquelineMayowa-th3dm 6 місяців тому

    Namsaidia anayejisaidia naomba hayo maandiko yako kitabu kipi katika biblia

  • @Babygirl758
    @Babygirl758 5 місяців тому

    Kumbe kana akili nyingi haka katoto, japo nimekazidi mwaka mmoja lakini kana maarifa