Nadhani ni kwamba ufunguzi wao wa kipindi kabla ya kumkaribisha mgeni ni mrefu sana ( yani wanaongea muda mwingi sana wakati wa kumsubiri mgeni kwahiyo inawaboa wapenzi wasikilizaji , kwasababu wasikilizaji wanakuwa na shauku ya kumsikiliza mgeni, nadhani hicho tu, lakini kipindi kiko sawa, labda wangepunguza muda wa wao kufungua kipindi isiwe ni muda mrefu sana ili tusiboreke kusubiria sana mgeni)
Mngemuacha aelezee mara nyingi mumemu interrupt sana imekuwa inaharibu flow! Afu she is a fast speaker iliwabidi mumsome mapema saana ili kuenda nae vizuri
Kurithisha watoto wa kiume , kiuasilia kiafrika wanasema mtoto wa kike anaenda kujenga familia ya ukoo mwingine kwa maana kwamba ataolewA na atapata watoto kwa mume wake na jina ni lingine siyo la huyo mwanzilishi
Naelewa kwanini watoto wa kiume, wana-rithishwa....my point was....kama hawana uwezo....wa kuendeleza...hizo Mali zitapukutika tuuu! Ni Bora m-rithishe mwenye uwezo wa kuziendeleza na ziwanufaishe Familia yote , watoto wote hata kizazi cha 4....muhimu ni Proper sucess is succession za Wealthy regardless of Gender....hata km mwanamke ameolewa so what? Mali za familia ya Baba yake &Ndugu zake ....and this is what I'm doing na iko poa kbisaaa
Watangazaji muna interrupt sana😮 mpaka mnaboa
Kwani mwenye nyumba yuko wapi?! These people can interrupt 🙄🙄 kwakweli sijaifurahia labda Sky airudie kha!
Kazi nzuri ila Mr Harris na Mwinuka mmetumia muda mwingi kuongea ninyi kuliko ...
Yan watangazaji mmeboa leo! Yan watangazaji mnaongea sana kuliko mliyemualika😢
Kipindi kizuri sana ila kuna namna kwa hio flow ya huyo mama interruptions za ndugu harris na mwenzie zimekua nyingi.
Hawa jamaa sijawaelewa labda kama nitawazoea huko mbeleni wanaongea sana wana interrupt sana
Nadhani ni kwamba ufunguzi wao wa kipindi kabla ya kumkaribisha mgeni ni mrefu sana ( yani wanaongea muda mwingi sana wakati wa kumsubiri mgeni kwahiyo inawaboa wapenzi wasikilizaji , kwasababu wasikilizaji wanakuwa na shauku ya kumsikiliza mgeni, nadhani hicho tu, lakini kipindi kiko sawa, labda wangepunguza muda wa wao kufungua kipindi isiwe ni muda mrefu sana ili tusiboreke kusubiria sana mgeni)
Mngemuacha aelezee mara nyingi mumemu interrupt sana imekuwa inaharibu flow! Afu she is a fast speaker iliwabidi mumsome mapema saana ili kuenda nae vizuri
I love chimbo school of thought ❤ keep up 🎉😊 sns only the best for us.
She sounds very strong and smart 👏🏽👏🏽👏🏽 Congrats Haika.
Nashukuru sana kaka!
What a brain!!!. Nimepata madini ya kutosha inabidi nichukue hatua
I'm happy to hear this💪👏👏👏
Nimejifunza sana kwa huyu mama
Asante sana !
Nice
Wanaongea utafikiri wapo redioni wajue kutofautisha na podcast kwa hawa jamaa sky embu fanya kitu
Haika umeongea the reality ya immigrants wengi kwenye hizi nchi
Mnaongea sn vitu havina maana . Nlitaka kumskiliza huyo mama kama kipimdi cha sky cha bismnes duary ila mnaboa sjui mnaongea nini .
Maneno mengi,bundala huu mfumo badilisha
Haika umanifundisha kitu kikubwa mno.Pesa najua kuitafuta kasheshe matumizi
MNAONGEA too much,its so unnecessary, mnaharibu mazungumzo, please badilikeni
I wish sky angefanya hii enterview
Ingekuwa poa zaidi
Men don't like confrontation 😅😅😅
Too much talking.... mpaka mnaboa aiseeeee
Dah anaeleza madini muhimu sana ila mmemkatisha katisha sana sijui kwanini
Nice story ❤❤
Kurithisha watoto wa kiume , kiuasilia kiafrika wanasema mtoto wa kike anaenda kujenga familia ya ukoo mwingine kwa maana kwamba ataolewA na atapata watoto kwa mume wake na jina ni lingine siyo la huyo mwanzilishi
Naelewa kwanini watoto wa kiume, wana-rithishwa....my point was....kama hawana uwezo....wa kuendeleza...hizo Mali zitapukutika tuuu! Ni Bora m-rithishe mwenye uwezo wa kuziendeleza na ziwanufaishe Familia yote , watoto wote hata kizazi cha 4....muhimu ni Proper sucess is succession za Wealthy regardless of Gender....hata km mwanamke ameolewa so what? Mali za familia ya Baba yake &Ndugu zake ....and this is what I'm doing na iko poa kbisaaa
@@haikalawere2002Asante mama mimi pia ni mtoto wa kwanza.Asante kwa kunikumbusha kuwa sisi first born ni goal getter.Thanks dear mama