Haika Lawere: Kutoka kufanya kazi ya kuchambua barua Posta UK hadi kuwa CEO wa Mbezi Garden Hotel

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 31

  • @user-ou2sl1eg5c
    @user-ou2sl1eg5c Місяць тому +5

    Watangazaji muna interrupt sana😮 mpaka mnaboa

  • @evergreenmushi2171
    @evergreenmushi2171 23 дні тому +3

    Kwani mwenye nyumba yuko wapi?! These people can interrupt 🙄🙄 kwakweli sijaifurahia labda Sky airudie kha!

  • @mssikaadam6909
    @mssikaadam6909 Місяць тому +6

    Kazi nzuri ila Mr Harris na Mwinuka mmetumia muda mwingi kuongea ninyi kuliko ...

  • @franklinbernard4367
    @franklinbernard4367 15 днів тому +2

    Yan watangazaji mmeboa leo! Yan watangazaji mnaongea sana kuliko mliyemualika😢

  • @stephennjama6828
    @stephennjama6828 Місяць тому +5

    Kipindi kizuri sana ila kuna namna kwa hio flow ya huyo mama interruptions za ndugu harris na mwenzie zimekua nyingi.

  • @user-tg7qy7es4i
    @user-tg7qy7es4i Місяць тому +5

    Hawa jamaa sijawaelewa labda kama nitawazoea huko mbeleni wanaongea sana wana interrupt sana

    • @sophiakayumba5974
      @sophiakayumba5974 Місяць тому +1

      Nadhani ni kwamba ufunguzi wao wa kipindi kabla ya kumkaribisha mgeni ni mrefu sana ( yani wanaongea muda mwingi sana wakati wa kumsubiri mgeni kwahiyo inawaboa wapenzi wasikilizaji , kwasababu wasikilizaji wanakuwa na shauku ya kumsikiliza mgeni, nadhani hicho tu, lakini kipindi kiko sawa, labda wangepunguza muda wa wao kufungua kipindi isiwe ni muda mrefu sana ili tusiboreke kusubiria sana mgeni)

  • @ronniemalima6325
    @ronniemalima6325 Місяць тому +1

    Mngemuacha aelezee mara nyingi mumemu interrupt sana imekuwa inaharibu flow! Afu she is a fast speaker iliwabidi mumsome mapema saana ili kuenda nae vizuri

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Місяць тому

    I love chimbo school of thought ❤ keep up 🎉😊 sns only the best for us.

  • @johnmunishi255
    @johnmunishi255 Місяць тому

    She sounds very strong and smart 👏🏽👏🏽👏🏽 Congrats Haika.

  • @jacqueisaac8155
    @jacqueisaac8155 Місяць тому +1

    What a brain!!!. Nimepata madini ya kutosha inabidi nichukue hatua

  • @user-qp4fz1jw5r
    @user-qp4fz1jw5r Місяць тому +1

    Nimejifunza sana kwa huyu mama

  • @saidkhalfan8207
    @saidkhalfan8207 Місяць тому +1

    Nice

  • @user-tg7qy7es4i
    @user-tg7qy7es4i Місяць тому +1

    Wanaongea utafikiri wapo redioni wajue kutofautisha na podcast kwa hawa jamaa sky embu fanya kitu

  • @janetmagiri7511
    @janetmagiri7511 Місяць тому

    Haika umeongea the reality ya immigrants wengi kwenye hizi nchi

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie 15 днів тому

    Mnaongea sn vitu havina maana . Nlitaka kumskiliza huyo mama kama kipimdi cha sky cha bismnes duary ila mnaboa sjui mnaongea nini .

  • @focus140
    @focus140 Місяць тому +1

    Maneno mengi,bundala huu mfumo badilisha

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Місяць тому

    Haika umanifundisha kitu kikubwa mno.Pesa najua kuitafuta kasheshe matumizi

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 16 днів тому

    MNAONGEA too much,its so unnecessary, mnaharibu mazungumzo, please badilikeni

  • @ereswidamoshi7404
    @ereswidamoshi7404 23 дні тому

    I wish sky angefanya hii enterview

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 Місяць тому

    Men don't like confrontation 😅😅😅

  • @kokusimabayona4179
    @kokusimabayona4179 9 днів тому

    Too much talking.... mpaka mnaboa aiseeeee

  • @faithnalitolela834
    @faithnalitolela834 Місяць тому

    Dah anaeleza madini muhimu sana ila mmemkatisha katisha sana sijui kwanini

  • @everinaanold8939
    @everinaanold8939 Місяць тому

    Nice story ❤❤

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Місяць тому

    Kurithisha watoto wa kiume , kiuasilia kiafrika wanasema mtoto wa kike anaenda kujenga familia ya ukoo mwingine kwa maana kwamba ataolewA na atapata watoto kwa mume wake na jina ni lingine siyo la huyo mwanzilishi

    • @haikalawere2002
      @haikalawere2002 Місяць тому +1

      Naelewa kwanini watoto wa kiume, wana-rithishwa....my point was....kama hawana uwezo....wa kuendeleza...hizo Mali zitapukutika tuuu! Ni Bora m-rithishe mwenye uwezo wa kuziendeleza na ziwanufaishe Familia yote , watoto wote hata kizazi cha 4....muhimu ni Proper sucess is succession za Wealthy regardless of Gender....hata km mwanamke ameolewa so what? Mali za familia ya Baba yake &Ndugu zake ....and this is what I'm doing na iko poa kbisaaa

    • @happyfashionista1325
      @happyfashionista1325 6 днів тому

      ​@@haikalawere2002Asante mama mimi pia ni mtoto wa kwanza.Asante kwa kunikumbusha kuwa sisi first born ni goal getter.Thanks dear mama