BIASHARA ZINAZOTENGENEZA MATAJIRI WENGI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2024

КОМЕНТАРІ • 109

  • @kelvinkibenje
    @kelvinkibenje  5 місяців тому +10

    Asante sana kwa kutazama n ku_like video hii. Asante pia kwa kusubscribe ili kuendelea kujifunza juu ya Elimu ya Fedha na bishara kupitia video ninazopost hapa

  • @gaitandaudy8561
    @gaitandaudy8561 10 днів тому +1

    Nashukuru sana 🙏Brother kwa elimu yako unayotupa kiukweli unatusaidia sana vijana ambao bado tunajitafuta.
    Tunaomba mawasiliano kama ikitokea tunahitaji ushauri zaidi kuhusu biashara au hata E-mail yako ili tuweze kupata updates zako..

  • @mariaisaya7413
    @mariaisaya7413 4 місяці тому

    Asante sana,mi naomba unisaidie kwenye biashara ya urembo,nianzaje,machimbo yake na mtaji nisaidie nijue pakuanzia

  • @michaelmakaranga5877
    @michaelmakaranga5877 5 місяців тому

    Katika video bora za hamasa na maarifa mazuri ambazo nimeziangalia 2024 hii ni bora kwangu, umezungumza sehemu sensitive sana zote zipo kwenye malengo yangu. Nimetafuta mentor muda mrefu sana, lengo langu ni kuwa millionaire before 30.. Naomba mawasiliano yako uwe my life coach .. All the best kka una maarifa makubwa sana💥💥💥

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  5 місяців тому

      Karibu sana. Karibu inbox

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  5 місяців тому

      Au bonyeza hii link👇
      Www.instagram.com/kelvinkibenje

  • @twevetv7838
    @twevetv7838 17 днів тому

    Hongera sana kaka kwa ujumbe mzuri

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz 5 місяців тому

    Yes! Kwa idea hizi ni lazima kutoboa.. asante kwa elimu hii adimu sana💪

  • @LennySilas-jo3oj
    @LennySilas-jo3oj 3 місяці тому +1

    Asante sana kumbe sasa kuna wengine hatuna connection za kuagiza china😢

  • @JosephTogolai-wl2bw
    @JosephTogolai-wl2bw 22 дні тому +1

    Nashukuruuu but mm mwenyew nahitaji ushauri kwa sababu ndo natarajia kuanza biashara zangu wakati huo huo Nina mtaji mdogo

  • @user-mp5fk1qe2t
    @user-mp5fk1qe2t 5 місяців тому +1

    Shukrani sana mwalimu ..so many apreciation

  • @adamlukasofficialmusic
    @adamlukasofficialmusic 3 місяці тому

    asante kaka kwa ujumbe mzuri naomba nierekeze niwe naagiza mzingo china naanzaje

  • @MWL_LUPIMO
    @MWL_LUPIMO 5 місяців тому

    Pamoja, barikiwa sana 🤝

  • @user-kl8bs9nl4g
    @user-kl8bs9nl4g 5 місяців тому +1

    Natamani biashara ya mazao kununua na kuuza ila elimu zaidi Sina kuhusu hii biashara

  • @omanjalan582
    @omanjalan582 5 місяців тому

    Mr kelvin asnte sana naiman ntafanikiwa kwauwezo waAllah kupitia elmu hii

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 3 місяці тому +1

    Barikiwa sana

  • @user-rf9ey7ox6o
    @user-rf9ey7ox6o 5 місяців тому

    Hongera nimependa uwasilishaji wako ubarikiwe

  • @neemamoses291
    @neemamoses291 3 місяці тому

    Unamadini mazuri sana,tafazari naomba namba ako brother

  • @judithpaul-kz4ov
    @judithpaul-kz4ov 2 місяці тому

    Asanteee Ila naomba kusaidiwa kuusu mtaji naanza je?

  • @user-kl8bs9nl4g
    @user-kl8bs9nl4g 5 місяців тому +1

    Natamani biashara ya kununua mazao na kuuza ila natamani kupata elimu zaidi

  • @isacknicodem3262
    @isacknicodem3262 7 днів тому

    Naomba namba yako kaka

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 5 місяців тому

    thanks brother for your lesson

  • @JamesKimela
    @JamesKimela 5 місяців тому +1

    Asante.binafsi kitambo naangaika kujua,na kuingia ktk biashara ya usafirishaji ila nakwana kutokana na kujuana na tabia za ukabila,.naomba nisaidie kwa hilo ukiweza..naweza kukutafuta inbox,ukinikubalia

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  5 місяців тому +1

      Changamoto zipo kila mahali na wafanyabiashara wakubwa ni kujua tu namna ya kukabiliana na hizo changamoto

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Kaka kelvin hbar nawezaje kuagiza bidhaa kupitia alibaba or aliexpress kwa mimi ninae anza kufanyaa biashar naomba nisaidie please

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 5 місяців тому

    Amina Ujumbe Mzuri

  • @SalmaMmbaga-sp6hk
    @SalmaMmbaga-sp6hk 12 днів тому

    Naomba namba Yako pleas brother

  • @crispingerald3000
    @crispingerald3000 4 місяці тому

    Naomba namba nahitaji kitabu bro

  • @hawadijasini7213
    @hawadijasini7213 5 місяців тому

    Ahsante mkuu

  • @ImanueliMsafiri
    @ImanueliMsafiri 19 днів тому

    Kaka me naitwa I'ma Niko mkoa wa Kilimanjaro naomba namba yako nataman kufanya biashara ya vyombo vya umeme ila kutoka nnje ya nchi

  • @EstherCharless-uf5bh
    @EstherCharless-uf5bh 5 місяців тому

    Asante San nimepata kitu

  • @user-ec2wj1jo7s
    @user-ec2wj1jo7s 3 місяці тому

    Please naomba kuwa wanafunzi wako wa darasa la WhatsApp (naomba link )

  • @user-iy5bq6rh8l
    @user-iy5bq6rh8l 3 місяці тому

    🙏🙏🙏👐💞

  • @DamianaEmmanuel
    @DamianaEmmanuel 2 місяці тому

    Kitabu cha kilimo mim nahtaji

  • @ginzerakitojo
    @ginzerakitojo 6 днів тому

    Naomb number baba

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 5 місяців тому +1

    Wewe kaka nimeanza kukufatilia huu nimwezi wa 2 sasa yani nimejifunza mengi mnoo nakufunga kiakili mungu anibariki nijiunge ili niwe mwanafunzi wako umebarikiwa na mungu azidi kukubariki na akupe uhai mkubwa

  • @kitavicommunication
    @kitavicommunication 2 місяці тому +1

    Naitaji unisaidie machibo china

  • @user-xl1jg3pt5x
    @user-xl1jg3pt5x 5 місяців тому

    Kaka nahitaji na me kujoin kwenye group la wasap ili nijifunze zaidi

  • @HappyBarn-kv6yj
    @HappyBarn-kv6yj 2 місяці тому

    Msaada wa kuagiza chini

  • @JIENASJWILY
    @JIENASJWILY 2 місяці тому

    Naomb unisaidie kaka nawezaje kupat bidhaa za kutok china

  • @JIENASJWILY
    @JIENASJWILY 2 місяці тому

    Naomb namb Zak kaka

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 Місяць тому

    Nitumie namba yko kaka

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kujua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kijua supplier mzuri ilikuepuka namtapeli

  • @user-gc9wb2pv9mallya
    @user-gc9wb2pv9mallya 5 місяців тому

    link ya group my brother

  • @MathiasEliasi-xx4ue
    @MathiasEliasi-xx4ue 4 місяці тому

    Kaka namba yako

  • @user-qx4cy7bl3j
    @user-qx4cy7bl3j 2 місяці тому

    Naomba namba ya simu niagize kitabu

  • @AmusedCentaur-uf9us
    @AmusedCentaur-uf9us 5 місяців тому

    Nipatie no. Yako tuwasiliane

  • @VictoryParis-oy6op
    @VictoryParis-oy6op 3 місяці тому

    Kaka naomba unisaidiye niweze kuagiza mzigo china

  • @johnmurimi9831
    @johnmurimi9831 5 місяців тому

    Naweza penda kununua vitu China lakini niko Kenya unaweza nisaidia aje

  • @naimahmed8932
    @naimahmed8932 21 день тому

    namba zako kk

  • @ThomasLuginile
    @ThomasLuginile 3 місяці тому +1

    Naomb namb yak kak

  • @user-rn2wr9pe3c
    @user-rn2wr9pe3c 5 місяців тому

    Shida yangu kuagiza mzigo China

  • @user-rl6rd3yp2y
    @user-rl6rd3yp2y 2 місяці тому

    Naitaji kitabu

  • @user-rn2wr9pe3c
    @user-rn2wr9pe3c 5 місяців тому

    Naomba namba yako ya simu

  • @yohanasimbeye9458
    @yohanasimbeye9458 3 місяці тому

    Namba mawasiliano yà kawaida ama.wssap nitumie big

  • @InnocentGentil-qm9yh
    @InnocentGentil-qm9yh 4 місяці тому

    Kweli kaka

  • @sharifhamad9931
    @sharifhamad9931 2 місяці тому

    Namb yk

  • @upendolairumbe889
    @upendolairumbe889 5 місяців тому

    Nondo

  • @user-rg4ez3gx1g
    @user-rg4ez3gx1g 3 місяці тому

    Mimi nina biashara ya cafe ila maceshia wangu wanaingiza sana loss nimebaridisha watu kadha wa kadha lakini bado

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Місяць тому

      Biashara ya hoteli ni rahisi kuisimamia, kwa faida au hasara inajulikana siku hiyo hiyo. Ni ngumu kupata hasara kwa kuwa chakula linaweza kuhesabiwa na ukajua Leo chakula kiliuzwa kitaingiza sh kadhaa. Mfano baada ya wali wa kilo 5 kuiva hesabu sahani zote, hesabu mboga mpe muuzaji idadi ya sahani na mboga, hivyo hivyo kwenye vitafunwa.

  • @Madamlizzytz
    @Madamlizzytz 5 місяців тому

    Tunashukuru

  • @OmyDear-vc8rc
    @OmyDear-vc8rc 3 місяці тому +1

    Hiv broo km ntak kifungua kaz ya uwakal

  • @user-qx4cy7bl3j
    @user-qx4cy7bl3j 3 місяці тому

    Type namba ya simu

  • @khalidahyaan
    @khalidahyaan 5 місяців тому +1

    na mim

  • @MaryMarwa-tw7od
    @MaryMarwa-tw7od 2 місяці тому +2

    Nahitaji kujifunza kuagiza vitu nje

    • @ddontz
      @ddontz Місяць тому +1

      Ipo video inaeleza hatua zote za kuagiza vitu nje ya nchi

    • @JosephTogolai-wl2bw
      @JosephTogolai-wl2bw 22 дні тому

      Mm natakaaa niongee vzr na wewe nisaidiae namna ya kufanya ili nianze biashara zangu

  • @user-sl6rl6oq9b
    @user-sl6rl6oq9b 5 місяців тому

    Hakika

  • @fruitsofholyspirit9142
    @fruitsofholyspirit9142 3 дні тому

    Naomba number yako

  • @edakalinga1104
    @edakalinga1104 5 місяців тому

    Mimi naomba unisaidie jinsi ya kwenda china na machimbo ya bidhaa napataje,kwa mfano nataka vipodozi au nguo nafanyaje Ili niyafikie

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  5 місяців тому

      Uzuri upo kwenye Darasa la whatsapp. Utajifunza

  • @JohnTarimo-xr5ff
    @JohnTarimo-xr5ff 5 місяців тому +1

    Nahitaji icho kitabu mkuu napataje

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  5 місяців тому

      Kipo softcopy na Hardcopy . Hardcopy ni Tsh 20,000. Na softcopy ni Tsh 10000. Kukipata softcopy tuma Tsh 10000 kwenda lipa number 5122948 voda au Mpesa 0762815104 kisha tuma mesage WhatsApp kwa number hiyohiyo upate kitabu chako

    • @joycekatangwa8263
      @joycekatangwa8263 3 місяці тому

      Ninahitaji hicho kitabu nakipataje?

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 місяці тому

    Kama kuchukua biashara china tupe na kiasi cha mtaji ambacho naweza anza kuagiza bidhaa china

    • @kelvinkibenje
      @kelvinkibenje  4 місяці тому

      Katika agiza unaweza anza na kiasi chochote kutegemea na aina ya bidhaa na idadi. Kwenda ndio gharama kidogo

    • @RaelYeko
      @RaelYeko 4 місяці тому

      ​@@kelvinkibenjenaomba number Yako bro

  • @user-ek5kh6lk2o
    @user-ek5kh6lk2o 3 місяці тому +1

    Naomba msaada wa biashara ya dry cleaner ipoje

  • @MarcoSalala
    @MarcoSalala 22 дні тому

    nimekupata

  • @thebatafly9376
    @thebatafly9376 5 місяців тому

    Mimi nitakutafuta

  • @user-ec2wj1jo7s
    @user-ec2wj1jo7s 3 місяці тому

    Namba link ya WhatsApp please

  • @VictoryParis-oy6op
    @VictoryParis-oy6op 3 місяці тому

    Kaka naomba namba zako za Whatsapp

  • @neemamoses291
    @neemamoses291 3 місяці тому

    Naomba namba yako brother ya WhatsApp

  • @maikosanga-ql8wi
    @maikosanga-ql8wi 4 місяці тому

    Whatapp number kak mkubwa naomba

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kijua supplier mzuri ilikuepuka namtapeli

  • @MathiasEliasi-xx4ue
    @MathiasEliasi-xx4ue 4 місяці тому

    Nitumie namba yako kaka

  • @aminaibrahim3656
    @aminaibrahim3656 Місяць тому

    Nakipataje

  • @user-ec2wj1jo7s
    @user-ec2wj1jo7s 3 місяці тому

    Namba link ya WhatsApp please

  • @AshaKahuya
    @AshaKahuya 25 днів тому

    Nanitawezaje kijua supplier mzuri ni yupi ilikuepuka namtapeli