MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM
Вставка
- Опубліковано 15 січ 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim
Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....
Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !!
Hongera sana mama
BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.
Hata mm mwanzo nilizani Salim kikeke
Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge
Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.
Allahuma amiin❤
Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa?
Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake.
Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa.
Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake.
Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂
Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...
MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo
Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra
Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏
AMEEN AMEEN AMEEN YAARAB
آللهم آمین
Amin
Ameen Yarabb 🙏
اللهم امين يارب العالمين
Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah
Amiin
Ameen
Ammin🎉
Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako
M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.
Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah
Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.
Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah
Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif
Amiin Amiin yarrab
Allahuma aaamin yaa Rabb
Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭
kaondoka lakini bado atabaki kuwepo ndani ya mioyo yetu
Amiin yarrab
Mama tumekuelewa na pole
Sanaa na Tunamuomba allah
Amrehemu marehemu aliko
Akhera
ua-cam.com/video/LqTbbQPInMg/v-deo.html
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana
Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu
Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.
Masha Allah
Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!
Maa Shaa Allah
Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid
Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Mama anaongea vizuri
Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe
@@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma
Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri
Allah akupe nguvu mama hongera
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab
Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.
Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri
😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon
Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.
Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea
Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah
Maa Shaa Allah
Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family
Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali.
Aiseee........
Interview nzuri sana. Hongera mwandishi
Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏
BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana
Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote
ua-cam.com/video/EprbhEGwTPE/v-deo.html
INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu
Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉
mashAllah maam awena ni mtu wawap
Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin
Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.
@sheshi beshi umeshakula mirungi!!😅
Allah akupe kila la heri inshaa Allah🙏
Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa
الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون
Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah
Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi
Amiin
Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,
Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj
Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸
Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama
MashaAllah mungu akupe kila la khery mama
Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin
Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha
Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.
Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran
Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam
Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu
Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini
Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi
Vizuri siyo vizury
mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli
❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama
🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako
Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid
Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako
Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.
Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰
Pole sana mwalimu wangu
Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa
Pole sanaaa Mamaaa
Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.
Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki
Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa
Allahuma Ameen yaa Rabbi
Amin
Ameen
@sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa
@sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana
MashaaAllah
Nakupenda sana mama Awena
Allah akupe subra mama Awena
Ahsante mama
Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama
Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.
Mungu akubariki mkewe masrimu seif
Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif
Masha Allah
Dr mwinyi ni raisi mwenye mawazo naamini Atafkiria na kumpa Ajira biawena na kumsaidia inshallah nakujenga umoja na ushikamano zaidi
Ajira gani na huyo ni mke wa kiongozi wa juu kabisa na analipwa mpaka kufa kwake.
Mama Samia msaidie kazi huyu mama
Mh maa pole sana, mshkur mungu tu
Mama awena nakusalimia mashallah
Hongera mama
Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu
Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe
Pole sana Mama wa taifa
Mungu akusameh baba yetu
Mungu akupe nguvu mama katupa somo
Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....
Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana
Wewe mama unaongea vzur km mumeo mashaallah
Mama anaekima sana jaman tumuombe mung ampe maisha marefu
Mama umeeleza vizuri sana Kuna tofauti kubwa Kati ya mzanzibari na mpemba vitu viwili tofauti na ndio Maana kipindi hicho kulikua na Chama kinaitwa zppp lakini wapemba wengi hawalijui Hilo wafahamisheni walijue Hilo
Hujui lolote ww
Usitubague hakuna Zanzibar bila ya Pemba wala hakuna muungano wa Unguja na Pemba
Inauma sana ala Allh 🙏 atakulipa mama kwa vizazi vijavyo
Tena tunamkumbuka sana zaidi ya waliopo madarakani mungu amsamehe makosa yake ampe kheri na pepo njema
Amiin
Ameen🤲