MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 січ 2022
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim

КОМЕНТАРІ • 322

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 2 роки тому +32

    Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....

  • @hono1232
    @hono1232 2 роки тому +23

    Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !!
    Hongera sana mama

  • @dottieray5435
    @dottieray5435 2 роки тому +41

    BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.

  • @user-dh6uv5lw6c
    @user-dh6uv5lw6c 5 місяців тому +4

    Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 роки тому +18

    Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.

    • @mustafa-wh8gi
      @mustafa-wh8gi Рік тому

      Allahuma amiin❤

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 5 місяців тому

      Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa?
      Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake.
      Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa.
      Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake.
      Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂

  • @raykhalamour3666
    @raykhalamour3666 2 роки тому +4

    Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 2 роки тому +9

    MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo

  • @sprettysalim4659
    @sprettysalim4659 2 роки тому +7

    Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 роки тому +56

    Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 роки тому +44

    Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona4427 2 роки тому +21

    Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 роки тому +6

    Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako

  • @user-nd9fk9gb8s
    @user-nd9fk9gb8s 5 місяців тому +4

    M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 2 роки тому +12

    Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah

  • @bakarali9657
    @bakarali9657 2 роки тому +5

    Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.

  • @fatmaalsharge3257
    @fatmaalsharge3257 2 роки тому +12

    Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +24

    Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 2 роки тому +26

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 роки тому +24

    Mama tumekuelewa na pole
    Sanaa na Tunamuomba allah
    Amrehemu marehemu aliko
    Akhera

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 2 роки тому +12

    Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana

  • @DamianDavid-hz5gp
    @DamianDavid-hz5gp 3 місяці тому

    Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah5497 2 роки тому +7

    Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 роки тому +10

    Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 2 роки тому +1

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 роки тому +7

    Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!

  • @mustafa-wh8gi
    @mustafa-wh8gi Рік тому +5

    Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 2 роки тому +18

    Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 2 роки тому +3

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

    • @msuyarashid9482
      @msuyarashid9482 2 роки тому +1

      Mama anaongea vizuri
      Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe

    • @kassimally5515
      @kassimally5515 2 роки тому

      @@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma

  • @yahyaburhan4798
    @yahyaburhan4798 2 роки тому +6

    Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 2 роки тому +11

    Allah akupe nguvu mama hongera

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 2 роки тому +7

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab

  • @chamchuuconsult4682
    @chamchuuconsult4682 2 роки тому +3

    Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 5 місяців тому +5

    Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Рік тому +2

    😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon

  • @sophiafaith4750
    @sophiafaith4750 4 місяці тому

    Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.

  • @ashachanja8087
    @ashachanja8087 2 роки тому +2

    Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian6933 2 роки тому +11

    Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 2 роки тому +4

    Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 2 роки тому +3

    Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali.
    Aiseee........

  • @allymwatima5401
    @allymwatima5401 5 місяців тому +1

    Interview nzuri sana. Hongera mwandishi

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Рік тому +3

    Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital5011 2 роки тому +12

    BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 2 роки тому +10

    Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 3 місяці тому

    INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 10 місяців тому

    Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 3 місяці тому

    mashAllah maam awena ni mtu wawap

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Рік тому +3

    Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 2 роки тому +6

    Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 2 роки тому +4

    Allah akupe kila la heri inshaa Allah🙏

  • @user-wo2mm1rr7w
    @user-wo2mm1rr7w 3 місяці тому

    Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 3 місяці тому

    الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون

  • @aishakh5046
    @aishakh5046 2 роки тому +1

    Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital5011 2 роки тому +4

    Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 2 роки тому +11

    Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi

  • @goodluckriwa3425
    @goodluckriwa3425 8 місяців тому

    Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,

  • @allykingu6954
    @allykingu6954 2 роки тому +1

    Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 2 роки тому +3

    Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸

  • @assumptamuzima2745
    @assumptamuzima2745 4 місяці тому

    Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 2 роки тому +1

    MashaAllah mungu akupe kila la khery mama

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw 2 роки тому +1

    Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 6 місяців тому +1

    Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha

  • @gracejulius3966
    @gracejulius3966 2 роки тому +10

    Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.

    • @ummusamira3518
      @ummusamira3518 2 роки тому +2

      Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 2 роки тому +3

      Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 2 роки тому +3

      Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 роки тому +2

    Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini

  • @barakambilinyi2507
    @barakambilinyi2507 2 роки тому +11

    Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 2 роки тому +10

    mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli

  • @Hassanali-sq2dm
    @Hassanali-sq2dm Рік тому

    ❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 5 місяців тому

    🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako

  • @yussufdarus
    @yussufdarus 6 місяців тому

    Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid

  • @jafaribori5428
    @jafaribori5428 2 роки тому +1

    Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r 4 місяці тому

    Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 роки тому +3

    Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 2 роки тому +3

    Pole sana mwalimu wangu

  • @magwinahimself7316
    @magwinahimself7316 2 роки тому +6

    Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa

  • @anawa4326
    @anawa4326 2 роки тому +2

    Pole sanaaa Mamaaa

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 роки тому +1

    Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.

  • @abduliauni8048
    @abduliauni8048 2 роки тому +1

    Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 2 роки тому +9

    Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 2 роки тому +1

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

    • @kiri5807
      @kiri5807 2 роки тому +1

      Amin

    • @activetravel7412
      @activetravel7412 2 роки тому

      Ameen

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 2 роки тому

      @sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu 2 роки тому

      @sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 2 роки тому

    MashaaAllah

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp Рік тому +1

    Nakupenda sana mama Awena

  • @rajabseifabdalla710
    @rajabseifabdalla710 5 місяців тому

    Allah akupe subra mama Awena

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 2 роки тому +2

    Ahsante mama

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj

    Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama

  • @mohamediamil3365
    @mohamediamil3365 2 роки тому +8

    Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.

  • @bonylove6192
    @bonylove6192 2 роки тому +1

    Mungu akubariki mkewe masrimu seif

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 2 роки тому +2

    Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif

  • @issaofficialvideo6375
    @issaofficialvideo6375 2 роки тому

    Masha Allah

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed1347 2 роки тому +1

    Dr mwinyi ni raisi mwenye mawazo naamini Atafkiria na kumpa Ajira biawena na kumsaidia inshallah nakujenga umoja na ushikamano zaidi

    • @khamissalim3701
      @khamissalim3701 Рік тому

      Ajira gani na huyo ni mke wa kiongozi wa juu kabisa na analipwa mpaka kufa kwake.

  • @geraldtarimo2550
    @geraldtarimo2550 2 роки тому +4

    Mama Samia msaidie kazi huyu mama

  • @user-qu1iu7fl9v
    @user-qu1iu7fl9v 4 місяці тому

    Mh maa pole sana, mshkur mungu tu

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 роки тому +2

    Mama awena nakusalimia mashallah

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 роки тому +2

    Hongera mama

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem5650 2 роки тому +3

    Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 2 роки тому

      Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 2 роки тому +2

    Pole sana Mama wa taifa

  • @sheikhsaid4108
    @sheikhsaid4108 2 роки тому +1

    Mungu akusameh baba yetu

  • @benjaminsteven4818
    @benjaminsteven4818 2 роки тому +3

    Mungu akupe nguvu mama katupa somo

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 роки тому +1

    Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 роки тому +1

    Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana

  • @user-hp3kj1bu6b
    @user-hp3kj1bu6b 4 місяці тому

    Wewe mama unaongea vzur km mumeo mashaallah

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Рік тому

    Mama anaekima sana jaman tumuombe mung ampe maisha marefu

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 2 роки тому +3

    Mama umeeleza vizuri sana Kuna tofauti kubwa Kati ya mzanzibari na mpemba vitu viwili tofauti na ndio Maana kipindi hicho kulikua na Chama kinaitwa zppp lakini wapemba wengi hawalijui Hilo wafahamisheni walijue Hilo

    • @hemedalawy6527
      @hemedalawy6527 Рік тому

      Hujui lolote ww

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Рік тому

      Usitubague hakuna Zanzibar bila ya Pemba wala hakuna muungano wa Unguja na Pemba

  • @jamesdizanzibar2075
    @jamesdizanzibar2075 Рік тому

    Inauma sana ala Allh 🙏 atakulipa mama kwa vizazi vijavyo

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 роки тому +5

    Tena tunamkumbuka sana zaidi ya waliopo madarakani mungu amsamehe makosa yake ampe kheri na pepo njema