Salama JABIR Alimchana Mwana FA kwenye Planet Bongo na FA alimind, ilikuwaje? Tazama Hapa
Вставка
- Опубліковано 24 сер 2016
- Hii ndo list ya ngoma 5 kali alizochagua Salama kwenye The Playlist, Aug 20. 2016
1. Malome - Cassper Nyovest ft Mahotela Queens
2. Love on the brain - Rihanna
3. Messing Around - Pitbull x Enrique Iglesias
4. Me Myself & I - G Eazy x Bebe Rexha
5. Inde - Dully Sykes x Harmonize
The Playlist ni kila Jumamosi Kuanzia Saa 6 hadi Saa 8 mchana kupitia 100.5 Times FM na Omari Tambwe (Lil Ommy).
Star wako anashuka kubonyeza ngoma 5 kali anazozikubali na mastori kibao. info zaidi follow @LilOmmy kwenye instagram na twitter na make sure una SUBSCRIBE channel hii ili uwe wa kwanza kunasa interviews zote za kibabe. #thePlaylist #TimesFM 100.5 - Розваги
salama ni mdada mwenye maono ya mbali mno akunagana kama huyo mtu hapa tanzania zaidi ya yeye mwenyewe love u salama
What I will take from this interview.
1. Hakuna kitu kibaya kama mtu kukuchukulia poa kisa mnapiga story.
2. Ukitaka kutoka, toka mlangoni na usipitie dirishani.
Salama you is a L E G E N D.
Wale wa buku 2 tukae humu#two genius in da house
Nawapenda Sana Hawa watu wawili God bless you guys
love you Salama hujawahi niangusha ommy ahsantee
Zaudat Makula hy
2018 kila nikipata time naangalia interviews zote ambazo sikuwahi ziona...Tambwe unajua Sana..am a big fan of u..tokea pande za 25flow..Kizazi Sana!
From Kenya luv u much daa Salama
I love you Salama
i love salama coz yuko real na anajijua ....
kuiga jambo zuri si kitu kibaya,na tusiogope kuigwa cha kuzingazitia unapokuwa unafanya jambo is to tune the highest level of uniqueness to be different
Salama J.... Like everything bout u since 2004...2005.. 2006... Na kipindi planet bongo... Mkasi pia... Great... Ile wee tomboy sana dah!!!!!!!? 🙈
Salama uko vizuri sana Mungu akufikishe mbali aisee
Maswali mazuri sana aliyokuwa anayajibu salama,thanx Ommy nakikubali sana kipindi chako
Dada salama regesha mkasi plzzzzzzzzzzzz
Salama nakupenda unajielewa Mungu akutunze my
Christina Msoka
Mashaallah, lovely Salama
salama nakukubali sana cos ww sio mnafki unasema ukweli kabisa hongera dada salama
Nakupenda sana da salama nitakupenda zaid ukirehesha kipindi cha mkasi
brazq wewe ni maana ya mtangazaji unaweza bro keep it up
I love u habbty kwel unajuwa hmn kitu kizr km kuwa mkwel na liwazo nakupenda sana salama
salama we sio wa nchi hii aisee ww n next level myn nakupenda ajabu.
nakupenda xan salma jabu😍😍😍😍😍
salama jabir i love you sooooo much dear ,you are one of the best of the best ladies in tanzania .kenya tunakuskiza hata kama kiswahili hatuelewi we keep on following you
ndundesz tommasz mmhh sio wote
Salama your the best big up sana, Ommy we ni nouma sana
video classic audio DOPE......big up ommy
Best interview ever, big up salama.
lilommytv nimekukubali aide we ninoma unauliza maswali vizuri kabisa kiasi ambacho hats msikilizaji au mtazamaji hujiskia furaha sana kufuatilia kipindi big cup sana bro lililililil ommyyyyyyyyy
nimejifunza mengi toka kwa salama
ubarikiwe
nakukubali sana salama mungu akuweke...kutoka 254
love it...
namuita sj daa washikaji wanatambua mchango wake kwanza huwa napenda interview zake yupo na confidence ya khali ya juu big up couse iknow kule tulipotoka kwenye ala za roho up to now its imazing
salama nimekubali na hiyo point yako.ukitaka kutoka tokea na malangoni usitokee na dirishani.ili ukitaka kuridi inakuarahisi kukaribishwa tena.
Salama unajibu maswali vizuri ongera sana
ece jay..nakuelewa sana
Nakukubar saana dada yangu.
nice interview I like it...keep it up lilommy nkkbali....
salama, ur mult talented
Interview nzuri sana,
Salama in this life time, I will love you alone, I will never change
i like u #eceyjay.. u sound gud points n all dat
I wish I see u my salama jabir
salama uko good sana my..
love u Omiy
salama love u
cool 😎
jabir
Tambweeeee!!!! Love you bro
Kizazi sana lilomy
Thanks
Penda sana ommyyy
yo d beast man
perfect salama😍😍😍😍😍😍😍😍
lilyommy upo vizur kaka
penda ww Sanaa salama
nakupenda salama
uko pw sana broo
om tem plz ...hyo kofia alikupa salama
bhnd de inteviu
Salama Jabir...
nice!
guuuuuud
sawa
ongera brazaaaaa
Nampenda salama
Full Swaggs... Kwny hii show yaani
oyeaah
yap yani iko pooa sana.
aiseeee namkubari sana uyo mwanadashost ongela sana
réal like 4 shoo....
@lilommytv very great show bro lilommy you are killing it with this show. Does anyone know what song plays at 5.12 (the song after paranoid) . Big up
MN
big brain salama 7
good
la kizazi sana
Salama nakubal sana ur so cul sister
💥💥💥💥
salam am from burundi ningependa nikuowe
💯
kidume???
nice interview
Mwebesa Frank
Salama jabili kafili mkubwa Sana mungu amlan zaidi ya hapo
amin kwamba
miguu juuu salama asi kwambie mtu
Oyeee
maisha ya gazeti hayatakiwi
salama ❤
Eric Kaemba
😘😘😘😘😘😘😘
salama jabir unajicho kali saaan kweny music kiukwel unaijua game saaan interview ya 2016 leo 2018 v.money tunamuona kweny leval zingine mnooo nakukubali saaan salama iko vizuri sis
penda sana wewe salama j
Bombay
Indian
Singeli sio mziki mziki gani
what a beautiful interview. she's an inspiration.
oyee oyee ndo nini sasa
tem men... abt hyo kofia
Mwanaume ao mwanamke ? Ndo kwanza namuona huyu ila nimempenda Sana anavyo zungumza kistarabu
we jamaa napenda Sana kukusikiliza joh
Naamini salama unachangia vema katika sana rekebisheni na muwashari wasanii wetu wasiige mambo ya nnje wabaki na mitindo na dhana za kiafrika.
Goodluck Minja
Kizungu jamani, kimekuja nanani.
ommy don't keep moving your head too much its soooo disturbing to the viewer, good interview though
Salam, just sounds as talkative as just other females. Though she acts masculine.
she ain't acting...she is real...that's her...
shoo nihatari ile mbaya coz binafsi nimekipenda
pm up
pm so
Dada uko poa
Huyu csta Salama namkubali balaa any way ingawa hanijui!!!!!
good show going viral
Nawakubali kinomaaaa
I can mi yu _______🤐
Genius Sana salama
Tunaenda Afu Weumezeeka😂