Salam ww mzuri pia unakipaji na sana ila badilika kidogo dada hayo mavazi uliovaa leo ungevaa siku zote ungekuwa nice girl jaman umependez sana kuliko vile unavyowek kiduku
I hope anajua na kama hajui plz naomba ajue tunampenda sana ni mjanja na hana skendo za kishamba kutafuta kiki za ajabu na yuko kwenye game long time na atazidi kua
Gonga like Kama nawewe hayo mavazi ya salama ndio yamekufanya uje ucheki hii video😁😁
Alhamdulilah, Salama umeona hijaab umependeza mashallah usiwache mwenendo huo
Salama umetoka poa kweli dada umejihifadhi kichwa masha allah
Lidada lizurizuriii atareee,
We love you salama...
Nkikumbukaga na yale mambo ya BSS yanakufaa mnooo!!big up sissy
Kwel hamna wa kuzuia kipaji cha mtu... Get u well ccta salama💪
Ya kizazi sana ommy nakukubali sana mzee baba
Mwakan in sha allah Salama unamiaka 40 daaah nimekupenda kuweka waz umri wako nikuombee ukubal kuolewa😍😍😍
Thnks kuongea hilo.. mm naomba asiondoke bila kuacha mbegu yake duniani coz ni mkali ki idara zote.. coz mm sijasikia kama ana mtoto
Haaaaa mashallah mtoto salama so beautiful one kumbe duuuuh amekaa kama mtoto wa kiarabu
Salama anayo asili ya kiarabu mwenyewe aliwahi kujieleza
watching from kenya, ommy nipe like
Salama my dear u r so talented Maasha'Allah..keep doing what you do my dear sister..ur BIG fan from Toronto
nampenda sana salama kila cku namuombea dua Allah amuongoze na anijaalie niingie peponi pamoja nae
Hhhh
Salama mungu azidi kukuinua dada yangu
Wallah umependeza ila siamini kila nikiangaliya nazani mwanaume kava mtandio Allah akubadilishe inshaAllah salama
Nice interview ommy na salama jay
Hongera salama umeongea maneno mazuri sana
Salam ww mzuri pia unakipaji na sana ila badilika kidogo dada hayo mavazi uliovaa leo ungevaa siku zote ungekuwa nice girl jaman umependez sana kuliko vile unavyowek kiduku
Salama kweli unaweza kuzungumza Swahili bila kuchanganya
From zenj to bongo.. Tz tunavipaji
Those are goods words Salama 🙌🏾 up
Dah salam mamy mm nakupenda bureeee.! 😘😘😘
Mi nampenda zakia ❤️❤️❤️
@@Pedeshee01 enhhhhhhh asanteee
I get something,, Blessed you mamaa
Salama uko na vipaji sio kipaji mashallah
inspired ❤️👏👏👏
Salama umependeza mashaallah
eeeee dada mm mkiristo lkn nimekuja kukwambia ushungi umekutoa umependeza sijapata ona doo nahiyo rangi yako mwarabu koplait
Koplait ndo nn hiyo
Congrats dd salama jabir
Lil Ommy show zako ni Kizazi sana ❤
Omg she’s wearing hijab mashallah!!!!!
I love her Very very much..🥰😍
She is so natural beauty
For the first time #SALAMA become a woman 👩
Big up sana SisterInLawa mambo yanakuja tu..🙌🙌🙌
Nimeipenda interview ya Salana Mungu amlasishiee
Salama Jay😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘😘
Anae elewa km salama kumjibu hamo agonge like
da salama u look great
nampenda sana salama sana sana
Nampendaga tu jaman salama wangu
Mmmh salam Leo nmeipenda stayle yko
Never give up 👍
Salama umependeza lakini haishangzi binaadamu huenda mbele Na kuangalia nyuma ni maisha kweli mlango umefunguliwa.
God bless you all
Waooh
Salama una 39 yrs. Duh. Una kamwili kazuri sana . You look 28
Natural lady huyo.. habfake uzuri wake
👏👏👏
Mmetemaa madinii sanaa humu ndani kizazii sanaa
Show ya Kizazi Sana Omy
Year
Salaama hivi unajua tunakupenda kiasi gani
I hope anajua na kama hajui plz naomba ajue tunampenda sana ni mjanja na hana skendo za kishamba kutafuta kiki za ajabu na yuko kwenye game long time na atazidi kua
Shumbana I like u so much
Utasubiri sana man u njo Liverpool💪💪💪
Salama uko sawa
Upo sawa salama
Good luck
Nadhifu kujistiri inshaallaah
Hongera sana da Salama
mmb najma
Nakupenda sarama
sema lilommy nakukubali sana una data za watu mpaka unatisha
Sana brooo. Yaan mpak anatisha
connection muhimu
Salama wa Kizazi sana
Finals
Big people
Upon vzr salama!
Salama ni noma sn, it's heavy weight interview. She is best
Mashallah salama usivue tena hijabu Allah amekuumba mzuriiii mno
Good
salama apo ulivyo vaa umependeza basi imba at a kashwida
Big talent
salama wewe nimlembo kumbe au?
Maashaallah leo umependezaa Salama
Basketballers nadhani mumemuelewa Dada salama.. Point guard.. My favorite post..
BADI FUNDI Alimaanisha Tmes fm
Salama umependeza sana
Ynwa
Kila nikimtizama salama na mshikaji wangu ommy sikuzote muda huwa hautoshi
Mm jamani umependeza kwili salama wetu wa zanzibar
Assalam alaykum zk
Kumbe salama kasimama mm nilijua kakaa..... duh! Hatari
Musa Nyamarige ni mfupi kichizi yaani kingwendu wala kiriku.
We salam fighter
Salama umependeza
Mashallah mzanzibari mwenzangu
Upo sahihi tunahitaji maelezo ya kiswahili. Lkn nina shaka naona unaongea sentensi za kiingereza sana.....sasa napata tabu
Radio e si imeanza juzi tu au alimaanisha hii timez fm
Onesmo Albin radio hii
dada mkubwaaa
Kisomi
Sister umeweza hijab.chorea zile mbaya mbaya
Salama...vaa skirt
Unapendeza ukivaa ivi yaani ndio mara yangu ya kwanza kukuona unavaa ivi
Nimempenda sana
Umri unamlazimu kujibadilisha staili anavyovavaa
Ungejitanda daily ,ingekuwaje
Mhhh leo afdhali umejifunga mtandio
Leo kakubali kuvaa kama wa kina maman umependezasana
Richard Ngendakumana genda kuryama
MMMH, MTOTO WA KIPEMBA HUYOOOOO.
Na penda uwe dem wangu how about that
Kuna watu hta wahojiwe mwezi mzma huchoki nakusikiliza
hongera cn
Dada mm faua kama unanipenda kama ninavyokupenda basi nichek kwenye namba,0717020982
Tweet for 10 years. ..?
inawezekana Twitter iko na miaka 13 sasa hakuna cha kushangaza kwa hiyo
Twitter iliibuka sana 2009 lakn kipindi hcho BBM ilkuwa inakimbiza mbaya
Kumbe ndo maana mfupi na mwingi wa vimbwanga!!! Kumbe umezaliwa 80?!
She is looking for a job somewhere ............
Nataka kukuowa salama jabir
Not that much clever
Salama usiweke sana sentensi za Kiingereza, utakuja bore ktk utangazaji wa huo mpira
Lakini wewe si msa gaji?
Salama unatakiwa ujijue uwe upande gani. Kuna siku ulitangaza kua unajivunia kua mkristo mara ramadhan upo. Which is which
Huyu ni muislam ila anapenda kujifanya tom boy
BJzee 19 unavyojua kujifunga hijabu umekaa kibinaadamu tena umetimia mwanamke lkni weee mwezi umalize
sa
F ila olewa dada umri umefik utafut n a akher sas
Siamini macho yangu salama
Kumbe unawezaga kuva ivyo hongera
Na hilo ndio liwe vazi lako m2wangu
Bgp