FA hakuwah kukubalika muheza na hata sasa bado hakubaliki kwa nafas ya uwakilishi kwa jimbo la muheza... Alibebwa na waliokuwa wakimtaka makao makuu ya ccm...(kura alipata 290 dhidi ya baloz adadi mwana muheza mwenye uchungu na muheza kura 570...
Point ya albashir imekuja kwa sisi africa. Tuu coz mitaara yakuingiza nchi kule mnapangiwa kila chakuongea nadiasa inakua nyingi napesa inakua mbele kuliko raia asiekuwa ndugu y'ako mtaonana kipindi kifupi vhakura kanga batiki t-shirt zenye sura za watu kura zinakuja mambo yanaenda 5tena yamaumivu kkkk that's why I can't blv mwanasiasa...
Huyu mtangazaji ana skills sana🙌🏾🙌🏾 hii redio itafika mbali sana, in three years to come itakua redio namba moja🔥
Elimu kwa jamii. Safi sana
Jimmy🙌🙌🙌
FA hakuwah kukubalika muheza na hata sasa bado hakubaliki kwa nafas ya uwakilishi kwa jimbo la muheza...
Alibebwa na waliokuwa wakimtaka makao makuu ya ccm...(kura alipata 290 dhidi ya baloz adadi mwana muheza mwenye uchungu na muheza kura 570...
Acheni kingereza sana
My favorite redio ❤️🙏🏿
Siku yangu ime anza Vizuri kabisa
Point ya albashir imekuja kwa sisi africa. Tuu coz mitaara yakuingiza nchi kule mnapangiwa kila chakuongea nadiasa inakua nyingi napesa inakua mbele kuliko raia asiekuwa ndugu y'ako mtaonana kipindi kifupi vhakura kanga batiki t-shirt zenye sura za watu kura zinakuja mambo yanaenda 5tena yamaumivu kkkk that's why I can't blv mwanasiasa...