Ijue familia ya Rais Samia Suluhu -mume, watoto na historia yake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 жов 2021
  • Katika makala hii tunakuletea wasifu wa mama Samia Suluhu Hassan tukitazama vyeo vyake vingine vya kijamii yeye kama mke, mama wa watoto na mwanafamilia kwa ujumla. Utawajua watoto wa samia Suluhu, mume wa Samia Suluhu na ndegu zake pamoja na anakotokea Kizimkazi Zanzibar.

КОМЕНТАРІ • 213

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s 2 місяці тому +1

    Nimekubali mama wetu mungu akubariki mahali ulipo

  • @faridaabdallah7620
    @faridaabdallah7620 2 роки тому +7

    Masha Allah mwenyezimungu akufanyie wepesi ❤❤♥️🤲

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 2 роки тому +3

    Hongera sana sana
    Mashaalah Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukulinda ili uzidi kutuongoza pamoja na kukupa afya njema.

  • @aminahamad1113
    @aminahamad1113 Рік тому +1

    Mama kama mama ❤️ hongera sais wetu mwanamke wa kwanz kua rais ni historia tunakupend sana rais weru🤩🤩

  • @LoyfridaMwesigaMartine
    @LoyfridaMwesigaMartine 10 днів тому +1

    Shikamoo mama, nakukupenda sana mama yangu

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 2 роки тому +3

    Mashallah insh allah umri Mrefu na afya kamili Love Frm Kenya 👍❤

  • @mwamvuamursali1390
    @mwamvuamursali1390 2 роки тому +7

    Mashallah mwanamke wa kwanza zanzibar,makamu wa kwanza mwanamke Tanzania na Raisi wakwanza mwanamke pekee Tanzania 🇹🇿 ni bahati kubwa sana aliyonayo nnauhakika ndie atakuwa Raisi pekee atakaeleta maendeleo makubwa sana. Allah amjaalie katika kila malengo yake yote ayafanikishe in shaa allah I love ❤ mama

    • @user-fi4lw9vi5k
      @user-fi4lw9vi5k 5 місяців тому

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 2 місяці тому +1

      Acha ujinga akuna rais aliyeleta maendeleo kama magufuri, sasa hivi viongozi wanaiba fedha akuna wa kuwazuia kipindi cha magufuri rushwa viongozi walikuwa wanaogopa na walikuwa wanapelekwa jela, sasa hivi viongozi kama mawaziri wakina mwigulu nchemba wanaiba fedha na hayupo wa kuwatisha, sasa ingekuwa marehemu magufuri thubutu kuiba fedha wangezitapika na siku hizi ukienda hospital madokta wanaanza kazi mdaa wanawotaka hakuna uwajibikaji acheni kusifia vitu ambavyo havipo magufuri ataendelea kukumbukwa kwa upendo wake kwa watanzania na alibana fedha kwa kutokusafiri wakati kuna balozi.

  • @shadhuriluambano7556
    @shadhuriluambano7556 2 роки тому +3

    My president you are a real definition of strong woman, I love you live long and stay blessed

  • @kursumsicobok5938
    @kursumsicobok5938 2 роки тому +1

    Kizimkazii kwa dolfing wakirukaa juu mashallah ndio maanaa allah kakuchaguu ufanyee maendeleo sio uwezowako ila ni allah fanya kszi kwaumanifu mjubwa mum hongeraa kazi njema

  • @boazmwashemele4937
    @boazmwashemele4937 2 роки тому +6

    Hongera mama kwa historian yako na uongoz

  • @wisdombase254
    @wisdombase254 2 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 2 роки тому +1

    Kazi iendelee my President #Ssh

  • @issashearer3505
    @issashearer3505 2 роки тому +3

    Mashaallah mama samia

  • @janneytemu1389
    @janneytemu1389 2 роки тому +3

    Mungu akujalie maisha marefu mama

  • @G.S985
    @G.S985 2 роки тому +7

    Nakupenda Muheshimiwa Mama Samia Suluhu,Mungu aendelee kulinda katika yote,Hongera Tanzania.

  • @munatwalib2808
    @munatwalib2808 2 роки тому +1

    Mashaallah mashallah

  • @zainabuibraimu2848
    @zainabuibraimu2848 2 роки тому +2

    Mashaallah tunamuomba Allah swt akulinde.

  • @mgalami
    @mgalami 5 місяців тому +1

    Hongera sana Mama.

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 роки тому +2

    Asante kwa somo hilo la our beloved President

  • @agustinofhoty5985
    @agustinofhoty5985 2 роки тому +2

    Rais samia alikua pis kali sana nimempenda bure mungu ambariki aishi maisha marefu dada yetu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Рік тому

    binti yake Suluhu wa Hassan. Mungu akubariki sana. twakuombea na majukumu yako. Mungu akupe afya uzima na wepesi. hekima na maarifa pia mama yetu

  • @bebbybebby655
    @bebbybebby655 2 роки тому +7

    Am in love with her dressing code. MashaAllah

  • @tunnuabdul5462
    @tunnuabdul5462 2 роки тому +1

    Mashallah mashallah 😍🥰😘

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 10 місяців тому +1

    Baba yake yupo wapi?na mama yake yupo wapi nataka kujua walio toa chombo hiki kizuri kilicho sheheni mambo mazuri tabia sura jamani mashallaa

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 роки тому +1

    Ahsante Kwa history zr,

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +1

    Historia nzuri Hongera.

  • @hassannasir4561
    @hassannasir4561 2 роки тому +8

    Maa shaa Allah Mwenyeezi Mungu akulinde Rais wetu mpendwa Mama wa Taifa

  • @lucymbalahami272
    @lucymbalahami272 2 роки тому +1

    Be blessed

  • @JasmineMushi-bs8pm
    @JasmineMushi-bs8pm Рік тому

    Ongera Sana mheshimiwa rais wetu hatutaacha kukpongeza mwanamke wa jembe mungu akuweke inshaallah

  • @nafuesaidi7387
    @nafuesaidi7387 2 роки тому +1

    Love mama sanaaa....

  • @RaphaelSemizigi-bn1wh
    @RaphaelSemizigi-bn1wh Рік тому

    Hongera mama Samia kila kitu kinawezekana,God bless

  • @halimajamaniamekuwamndeme9617
    @halimajamaniamekuwamndeme9617 2 роки тому +2

    Dada yangu Rais wangu yaani nakupenda sana dada yangu

  • @angle3600
    @angle3600 10 місяців тому

    Mashallah Ma Samia Mungu amekujalia nyota ya uongozi❤❤❤❤

  • @salahhddindasuvic6447
    @salahhddindasuvic6447 Рік тому

    Tunakupenda raisi wetu,mchapakazi ,muadilifu,mkweli na mwenye huruma na Imani Kwa watanzania.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 2 роки тому +2

    Safi sana samia rais wetu wa Tanzania kila lenye kheri kwako

  • @user-zr1iy1ss5y
    @user-zr1iy1ss5y 10 місяців тому

    Allah akusimamie Kila hatua rais wangu kiukweli Nakupenda sana rais wetu

  • @asebeassumanimtainga4015
    @asebeassumanimtainga4015 2 роки тому +1

    Allah akubariki sana mama

  • @lovenessferdinand3664
    @lovenessferdinand3664 2 роки тому +1

    Asante mwandshi kwa mkusanyiko mzr wa hbr Kuhusu rais wetu

  • @user-ku1qv4nt1y
    @user-ku1qv4nt1y Рік тому

    Mashaallah

  • @christalgrandberry9283
    @christalgrandberry9283 2 роки тому +1

    Safi-sana

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +2

    "Kumbuka shuka mapema" na uhakikishe kijini kwako hawajutii Kuwa na Wewe. Mtu kwao . Mungu aliyekupa Wewe Basi na Kijiji Chalo wakufaidi walau.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 2 роки тому

    Amina Amina

  • @sofiaahmad1926
    @sofiaahmad1926 2 роки тому +3

    Thanks for the informative video.

    • @ZanzibarKamiliTV
      @ZanzibarKamiliTV  2 роки тому +1

      Thank you very much. We are happy that you find it informative 🙏

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Рік тому

    Maashaallah maashaallah

  • @zubedashabani7790
    @zubedashabani7790 2 роки тому +1

    Mashalwaa

  • @kassimbashir3899
    @kassimbashir3899 2 роки тому +1

    Hongera mama Tz

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 8 місяців тому

    Üzeni nchi yetu, Ahsanteni sana!

  • @azizaabdulkadir8821
    @azizaabdulkadir8821 2 роки тому

    Ahsante

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 Рік тому +1

    Allah akulinde akupe afya njema, hekima, uwaongoze ndugu zetu wa Tanzania, Kwa njia nzuri, Mimi ni mkenya nafurahi Sana, pongezi Sana mama yetu Samia

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 2 місяці тому

    Hongeraa sanaà mama angu nimekupendaa bureee mama

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 5 місяців тому

    Amina

  • @ludaba2323
    @ludaba2323 5 місяців тому

    Mama ssmia watanzania tunajivunia ushupavu wako.hongera mama❤

  • @hellenmaiyo2516
    @hellenmaiyo2516 Рік тому

    Heko sana,raise wa Tanzania Samia suluhu.

  • @mosesasai5784
    @mosesasai5784 Рік тому

    Sawa Mam samia umetish kinyam

  • @carolineseda4127
    @carolineseda4127 2 роки тому +1

    Mama mchapakaz., Ubarikiwe.

  • @JacquelineNdanga-nx5sz
    @JacquelineNdanga-nx5sz 5 місяців тому

    MES RESPECTS MAMAN SAMIIA NAKUPENDA SANA JUU UNAONESHAKA GISI MAMA ANAPASHWA KUJIKAMATA
    ASANTE SANA MAMA PRESIDENTI

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 5 місяців тому

    Nakupenda sana mama.

  • @salamaali4726
    @salamaali4726 6 місяців тому

    Hongera sana mama nasi tupo pamoja nawe

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 роки тому +7

    Anazingu tu bhana anazunguka tuu machinga tunanyanyasika Hana habali wanting yuko bize na matajiri tu RIP magufuli mungu akulinde

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s 2 місяці тому

    Napenda xana kazi unayofanya jaman

  • @abeidkhalfanabdalla1769
    @abeidkhalfanabdalla1769 2 роки тому +2

    Maashaallah mama wa taifa

  • @issaofficialvideo6375
    @issaofficialvideo6375 2 роки тому

    Nice

  • @salamashabani7922
    @salamashabani7922 2 роки тому +7

    HONGERA SANA MAMA WA TAIFA, MUNGU NISAIDIE NAMIMI KIZAZI CHANGU KIWE BORA ZAIDI YA MAMA WA TAIFA INSHAALLAH🙏

  • @hajihaji5296
    @hajihaji5296 Рік тому

    Yaaahh

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому +4

    "Nitaendelea kulinda heshima ya mwanamke wa Tanzania.". Mungu akujalie uyatekeleze hayo.

  • @magdarenamtenya1688
    @magdarenamtenya1688 2 роки тому +4

    Mungu nimwema ahsante Mungu nimwema ahsante Mungu kutupatia mama Samia suluhu

  • @AbassKhamis-lc3ts
    @AbassKhamis-lc3ts 10 місяців тому

    Mungu akusimamie ktk kuliongoza taifa letu mama yetu

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +3

    Nakumbuka Mazishi ya kiongozi mmoja alizikwa kijijini kwao alijisahau hata vifaa vya msikitini! Hapana viongozi jalini vikiji vyenu sio kuwekaweka mbele familia. Kijiji Cha kiongozi kifanane na hadhi yake. Msikubali aibu mkiwa mmeshanyamaza milele ( kifo)

  • @mauridichanndila9438
    @mauridichanndila9438 2 роки тому

    Ongera

  • @bibimpole9455
    @bibimpole9455 2 роки тому +3

    Hy Ndio Rais Wa Nchi Alopanga Mungu Mwanaadam Huwezi Kulipangua Ukitaka Kaa Tanzania Huwezi Hamia Marekani Bibi Upo

  • @ahmoha706
    @ahmoha706 3 місяці тому

    Kama mKenya, naskia wivu sana kutokuwa na rais kama mama Samia. MUNGU AKUHIFADHI.

    • @FabianTebeka
      @FabianTebeka 2 місяці тому

      Acha ujinga sisi tunaangaika alafu wewe unasema rais mzuri, mda wote anasafiri pasipo na faida kwa fedha za wananchi

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 2 роки тому +1

    😎👀

  • @bibianamassawe4731
    @bibianamassawe4731 4 місяці тому

    Kazi iendelee

  • @user-fi4lw9vi5k
    @user-fi4lw9vi5k 5 місяців тому

    Sawa

  • @naishiyemollel
    @naishiyemollel 5 місяців тому

    Safi sanà
    Mama Samia

  • @nemertmarie1891
    @nemertmarie1891 5 місяців тому

    😮😮

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 місяці тому

    Watanzania tuliiheshimu katiba yetu na hakika tumedhihirisha uungwana wetu. Tuendelee na uungwana.

  • @aishamusamusa9089
    @aishamusamusa9089 Рік тому

    Mashaallahmamasamiamwenyezimungunaakuweke

  • @maikoandrew58
    @maikoandrew58 2 роки тому +2

    Dada huyu ameunga unga sana mpaka akapata elimu, nilijua tu Samia ameunga unga sana, hapo tujifunze kuwa hakuna mafanikio bila maangaiko huyu dada ame struggle Sana

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    Toeni historia za Waheshimiwa na picha za maisha ya wanavijiji wao. Zingine aibu tupu. Msahau kwao hawezi kutunza kwa wenzake.

  • @mariamseff5722
    @mariamseff5722 2 роки тому

    Mashallllah naic mashalllah

  • @Big-Lunya
    @Big-Lunya 5 місяців тому

    huyu mama namkubali sana asee

  • @queenkkd8121
    @queenkkd8121 2 роки тому +6

    Mashallah mabrouk mama samia

  • @moreenonesmo-jz2ws
    @moreenonesmo-jz2ws 7 місяців тому

    Furaha ya Mama

  • @HudayjumaTaalib
    @HudayjumaTaalib 27 днів тому

    Mungu humpa amtakae achauchoyo

  • @aishamusamusa9089
    @aishamusamusa9089 Рік тому

    Munguamulazepenyewemamzeemagufuli

  • @AminaSaid-kp4gc
    @AminaSaid-kp4gc Рік тому

    Ft

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 10 місяців тому

    Ulaaaaniwe😊

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 2 роки тому +1

    Asee juzi tu ✍️

  • @hadijaiddy3166
    @hadijaiddy3166 2 роки тому

    Koo

  • @user-zk6hl8fe1s
    @user-zk6hl8fe1s 2 місяці тому

    Naomba kwa. Eshima na sisi usitusahau kabisa nahishi okokola kijiji cha okokola

  • @bugybenga5093
    @bugybenga5093 2 роки тому +1

    MWENYEZI MUNGU NDIYE MWENYE MAAMUZI YA MWISHO!

  • @ausonjustinian2080
    @ausonjustinian2080 2 роки тому

    Mdg waandishi nashauli mpate jp picha zake za utotoni km mlivyofanya kwa maraisi wengine.

  • @kursumsicobok5938
    @kursumsicobok5938 2 роки тому

    Aslm mum wa taifa za ramathan uposalama za mdaa shikamoo mum uposalama hukoo dar

  • @helencasmir5457
    @helencasmir5457 5 місяців тому

    We mean the Transcript

  • @bibimpole9455
    @bibimpole9455 2 роки тому +3

    Wewe Ester Una Roho Mbaya Kwa Kuwa Hy Anaitwa Samia Umeumia Engekuwa Anaitwa Magdalena Ungesema Bwana Yesu Asifiwe

  • @biddii1972
    @biddii1972 2 роки тому

    Niijuevili iweje

  • @abilahirufai8269
    @abilahirufai8269 5 місяців тому

    Mmetoa history nzur ya Rais Samia lkn sijasikia majina ya wazazi wake

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 2 роки тому +10

    RIP Saint Magufuli

  • @FabianTebeka
    @FabianTebeka 2 місяці тому

    Hakuna kitu chochote anachofanya zaidi ya kusafiri pasipo kuwa na faida