Mkasi | SO9E10 with Ali Kiba

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 сер 2014
  • Follow MkasiTV on
    Facebook : / mkasitv
    Twitter : @MkasiTV
    Instagram @MkasiTV
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 80

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 8 років тому +10

    good boy, hana majigambo wala sifa nampenda sana yupo simple, hivyo ndio maisha sio kila jambo ktk tv na magazeti,

  • @riobae8139
    @riobae8139 10 років тому +18

    i love alikiba..so humble. always been a fan. anajibu maswali vizuri sana..diplomatically.

  • @makunguiselele8768
    @makunguiselele8768 6 років тому +10

    Huyo nd king mi team wasafi lkn kiba kwa majb hayo ur xo intelligence congraturationx king

  • @jumamgunga6521
    @jumamgunga6521 5 років тому +4

    Kiukweli Alikiba ukimsoma nini anapenda na nini hapendi na ukalenga vitu nya msingi katika kumuuliza kwenye interview, Utampenda kwenye majibu,anakuwa mpole msikivu na mnyenyekevu na anakujibu kwa busara. Asanteni kwakumtambuwa kiba,, year baba.

  • @matildaalphonce8403
    @matildaalphonce8403 10 років тому +6

    ali kiba ni mtu mmoja anajielewa sana big up unajibu vzr maswali bila majigambo

  • @lelahassanali7373
    @lelahassanali7373 7 років тому +3

    Nakupenda sana ali yaani una tatu dredi uko very simpol and clear sijutii kukushabikia

  • @pelezi84
    @pelezi84 10 років тому +8

    Safi sana kumleta Ali Kiba, akaze boot maana sasa muzic upo na mabadiliko mengi.
    Asisahau kutumia media za mitandao ya kijamii kujitanga zaidi.
    But I will be happy if you will interview the Ya Motto Band hopeful they did some good music, itakuwa poa kuleta group lote hapo kwa saloon, au sit ni chache??/ teh teh

  • @raoulbyamungu3251
    @raoulbyamungu3251 6 років тому +6

    Alikiba is someone who has never wanted to show her self different but his different. his humble collaborating person he knows how to speeks with others and his respectable.

  • @paulmoster8842
    @paulmoster8842 6 років тому +3

    nakubali Sana kazi za kiba my king
    keep it up king kiba
    yaaaaaaaaaaaa#

  • @abdiaweso9296
    @abdiaweso9296 8 років тому +2

    Kaka kiba video ya galama ndio yenye maingizo mengi kwa sababu inakua nzuri na kuuza sana tuamshe mashabi wako video nzuri

  • @mikebarakaruwa737
    @mikebarakaruwa737 9 років тому +1

    Yeah alikiba ni mtu mwenye amestaarabika...Yuko simple sana anajibu maswali Bila kujigamba..one love alikiba

  • @thabithamis8918
    @thabithamis8918 10 років тому +1

    ali umeongea ya maana sana acheni kusikiliza maneno ya watu hua wanapenda sana pale mnapo gombana kama salama anavyosema watu hua wanaleta maneno mengi juu ya salama na dj fetty fanya yenu mkuu usisikilize wanafik big up ali

  • @shamsheryaj18
    @shamsheryaj18 6 років тому +3

    👑 nimekukubali mkali upo vzr

  • @fazilikumpun5206
    @fazilikumpun5206 10 років тому +2

    Nawafatilia sana mkasi najua uwezo wenu ni mdogosana katika uulizaji wa maswali nahii nadhani inachangia na nielimu ndogo swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 10 років тому +1

      Kaka Fazili Kumpun
      "swali la kwanza mwuachieni mtu ajitambulishe yeye kama nani anatokea wapi na anajishughulisha na nini na ana miradi gani" Fazili Kumpun introduction kama hizo, kwanza nikwayule chipukizi ambaye haja julikana katika game, pili, helewa kuwa ina tuboa sisi kama wasikilizaji kusikia superstar anajitapa au kuhongelea alikotoka kila interview anayofanya. Tafadhali helewa hilo. kama huja juwa wapi Ali katokea do what we call "flashback", so you will know where to start...
      Big up sana MKASI group.!

  • @lenaliz8037
    @lenaliz8037 9 років тому +7

    Ali KKiba, do u ever get mad? U r always smiling it seems.

  • @kentinakalantine1025
    @kentinakalantine1025 10 років тому +2

    wooooooooooooooooh ali kajibu maswali vizur am lovin the show sana i cant wait for zitto nxt show

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 6 років тому +2

    I watch now 2018 kumbe wasiojulikana walikuwepo tokea zaman doh pole king kiba pia nimegundua ww ndio ulimpa shavu diamond akakubalika up to now japo for now kama vile ana ku snitch...

  • @mohamedsuleiman7682
    @mohamedsuleiman7682 10 років тому +1

    Ali k uko juuuu,,, lovely maaan big up I see

  • @assanimkeyo5839
    @assanimkeyo5839 5 років тому +1

    Nakupenda sana mtu wangu king kiba

  • @saidndaki9783
    @saidndaki9783 2 роки тому +1

    only one king 2021

  • @ngallaali4154
    @ngallaali4154 10 років тому +1

    Nice one Ali umejibu mashwali vyema kabisa#salama nice interview 254 twakupenda sana.

  • @fatmaramadhan3035
    @fatmaramadhan3035 9 років тому +7

    yes yes kiba anaongea kama mwanaume

    • @levinahcaitygift1827
      @levinahcaitygift1827 9 років тому +3

      Bongezi sanaaaaaaaaaaa Alikiba wajua kuongea zaidi wwallai I salute u no one of them like Ali kiba.niite Lovy Lover from Kenya. I love you Ali kiba

  • @joanitarita1568
    @joanitarita1568 10 років тому +3

    haaaaaaaaaaaaa salama nomaa haaa nampenda sana

  • @mejubaraza8787
    @mejubaraza8787 6 років тому +1

    👑💞Sina usime ww ni wangu 4 really

  • @ramadhansaid5468
    @ramadhansaid5468 7 років тому +3

    dah kwel king kiba ulkua mapumzko maana ufalme wa bongo fleva ni wako, umerud mikataba hyoo ya rockstar. Ajee imeleta heshima kimataifa hadi mtvmamma

  • @dockaridk
    @dockaridk 9 років тому +1

    Salama for real you are good hauna maswali ya upuzi kama sporah.

  • @rosedamian7136
    @rosedamian7136 6 років тому +3

    safi sana

  • @emmykidoti8961
    @emmykidoti8961 10 років тому +6

    daa napend san nymbo zake

  • @mathewshedrack603
    @mathewshedrack603 6 років тому +3

    namkubal cna salam anauliza maswail yanayo takiwa hafich hata kidogg king nic cna

  • @timoyhymushi8116
    @timoyhymushi8116 10 років тому +3

    A good one

  • @alphoncmarthini3692
    @alphoncmarthini3692 6 років тому +1

    king big ahsate sana kiba

  • @sabrinaayoub7032
    @sabrinaayoub7032 6 років тому +1

    I love kiba

  • @vonkale8565
    @vonkale8565 10 років тому +3

    Saaaaaaanaaaaa

  • @japhethonundongiye3435
    @japhethonundongiye3435 2 роки тому

    Only one king

  • @zenaally9707
    @zenaally9707 5 років тому +2

    Keep it up king

  • @canny255
    @canny255 10 років тому +1

    Kiba for really
    I appreciate you much

  • @shengomaevodius4141
    @shengomaevodius4141 9 років тому +6

    ally kiba penda ww miaka 800.

  • @alexsulle9683
    @alexsulle9683 4 місяці тому +1

    nani anaangalia 2024

  • @gideonlewa8057
    @gideonlewa8057 6 місяців тому

    Alikiba ndo mwimbaji namba moja afrika

  • @emmanuelmoses6112
    @emmanuelmoses6112 6 років тому +1

    good broo Wa mie

  • @rahmayusuf6482
    @rahmayusuf6482 3 роки тому

    Napenda sna nyimbo zko kiba

  • @JuddyCharlz
    @JuddyCharlz 10 років тому +2

    Nyc

  • @sifapeter6957
    @sifapeter6957 10 років тому

    1st to comment! Haven't watch it yet ( I'll save & watch tomorrow)

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 8 років тому

    nice

  • @Kamkojr
    @Kamkojr 6 років тому

    Yeeees is #Kibaaaaaaaaa Tzking

  • @kijonalusay
    @kijonalusay 2 роки тому

    only one king

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Рік тому

    I love you alikiba my friends

  • @aaronmakaveli2062
    @aaronmakaveli2062 8 років тому +2

    kwenye interview muwe mnazima sim bwana hyo cm inayo vibrate inaboaa

  • @bahatimussacharlesmussango5678
    @bahatimussacharlesmussango5678 6 років тому +3

    Gdkiba

  • @ramadimwe1379
    @ramadimwe1379 6 років тому

    Good

  • @loveelaadam2517
    @loveelaadam2517 6 років тому +1

    Uko vizur king

  • @fatmaramadhan3035
    @fatmaramadhan3035 9 років тому +2

    my king

  • @tracycheptoo305
    @tracycheptoo305 9 місяців тому +1

    2023 mpo

  • @paulmoster8842
    @paulmoster8842 6 років тому +3

    it is Wiz dos tz

  • @ashalikata1417
    @ashalikata1417 8 років тому +1

    Napenda mziki wako alli unajielewa

  • @komborashid5891
    @komborashid5891 5 років тому +1

    jamaa mtu poa sana

  • @amisiokey8532
    @amisiokey8532 10 років тому +1

    Itabidi muongeza time atleast 40 mints time ni kidogo tena munatia ma advtirsment mingi sana

  • @davidmlami5515
    @davidmlami5515 6 років тому +1

    Imekaa poa xn

  • @ericbmamazing9173
    @ericbmamazing9173 2 роки тому

    12 /10/2021

  • @mejubaraza8787
    @mejubaraza8787 6 років тому +1

    Kutoka +254

  • @raziajolie7774
    @raziajolie7774 6 років тому +2

    Je suis folle de lui k

  • @zizamshindo4672
    @zizamshindo4672 3 роки тому

    King kiba km king kiba Nkbl

  • @sasabaadaye8828
    @sasabaadaye8828 10 років тому +1

    Kiba anatisha

  • @mainangatia1063
    @mainangatia1063 6 років тому

    Nichawa kiss sana

  • @airprint9753
    @airprint9753 9 років тому

    kiba kweli wewe ni mtu mzima umetulia cna katika kujieleza rispect br

  • @tulizobahati6085
    @tulizobahati6085 5 років тому

    * Munachekesha kweli Teap *

  • @mwljohnray1725
    @mwljohnray1725 2 роки тому

    Kumbe The Joint Walichukulia Idea huku

  • @boydantiz3714
    @boydantiz3714 5 років тому

    Watu wasiojulikan wana hatar kwel yan

  • @blackjack4241
    @blackjack4241 7 років тому

    asante

  • @flowila82
    @flowila82 9 років тому +2

    Hawa wote hawana uwezo wwt wa kuuliza maswali, ovyo ovyo tu kwanza hiki kidemu na huyu mzaire akiri zao pumba tu nyamafu

  • @chyladolson
    @chyladolson 9 років тому +1

    Pambe

  • @wambiliwamachalili7325
    @wambiliwamachalili7325 6 років тому

    u just stuck with diamond he's nothing at all salama kiba is deferent planet \/ bluffing super star ,along ago there is slim Ali(r.I.p) sorry salama u base one side / ur diamond side if t.v presenter don't tag one side( viper)

  • @emmanuelmoses6112
    @emmanuelmoses6112 6 років тому +1

    penda sana kibaa

  • @sasabaadaye8828
    @sasabaadaye8828 10 років тому +1

    Kiba anatisha

  • @paulmoster8842
    @paulmoster8842 6 років тому +2

    it is Wiz dos tz