ZOGO LA MASHA LOVE BAADA YA DALALI KUVAMIA NYUMBANI KWAKE NA MTEJA MPYA | HIVI NI KWELI
Вставка
- Опубліковано 3 лип 2023
- ZOGO LA MASHA LOVE BAADA YA DALALI KUVAMIA NYUMBANI KWAKE NA MTEJA MPYA | HIVI NI KWELI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
😏😏😏😏🤣🤣😂 wakusoma comments tujuane
Oya wadau,hii show imenitoa machozi.Masha ni chizi kinyama😂😂😂😂❤️❤️❤️
Masha love analea wadada wenye mimba hongera sana
Du Moo uko juu nimeipenda hii keep up the good job Man
Masha big up mwanangu yani nimekubali sio kw timbwili hili umetisha kinoma mwanangu one love wanawake lazima tuwe ngangar tusikae kinyonge
Aliemuona mond ukutani kwa masha love tujuane😀
Tuko hapa
Pia me nimeona
😂😂😂
🙌🙌🙌🙌
🎉😂😂
Huyo dalali ungempga na kitu kizito ....ungemuacha aingie ndani anamuonesha mpangaji unafanya yako.......umempenda sana kumfukuzia mlangoni ..Masha ❤
ah unaweza kaka 🙌🙌🙌
😂😂😂😂Aiseee masha hapo kweli wamekuweza dahhh
Naic wangekuacha kidiho tuu ungemgawanyisha kichwa mtu
This is what we call live show..❤
Eti, nikwambie kitu😂😂 niambiee😂😂
Santa Ana anamuoneaga sanaaa mashalove
Masha 😄🙌🙌🙌🙌nampenda
Si sawa
Pole sana Masha umepatikana
Mmmmmmmmmmmhhh!!! Mo hii ha leo mliipanga na Masha alikuwa anajua coz cjaona uhalisia wowote!!!!! Leo mmetupiga na kitu kizito
Siokweli
Bigap kwa mo kwakuweza kumuzuia maana mwanaume ni mwanaume tu bhana duuh😮❤
MO,NAKUFUATILIA KUTOKA KENYA, SHOW NI KALI VILE TUNAPENDA,,MAMA ANAITAKA NA BABA ANAITAKA PIA👍👍
Hujui ww masha ajui😅
Dalali ameweza sanaaaaaaaa big up
Wangapi tunasubiria party 2 😅😅
Gonga like apo😊
Kumbe ni prank 😂😂😂😂
Akiamka Cha kwanza anapiga mswaki 😂😂😂😂dahh sio kumshukuru mungu Kwa kuamka salama 🙌
Amen 🙏🏼🙏🏼
🤣😅
Khaaaaa Yan wew huna Akili wew,,
We unajuaje km hasemi au kwakua ajaongea hapo,wew unamshukuru Mungu
😂😂😂😂
Ila Masha mzurii
Saaana
Nasikia asilaaaaaaaaa😂😂😂
Wanapangana hawa before…. Hizi ni movie tu yani attention ya Masha inaonesha tu tayari alishapangwa hamna live bongo…. Ila kazi nzuri mmefanikiwa kuteka attention ya mashabiki👍👍👍
We nae mpaka useme si tuache tu enjoy ??😂😂😂😂😂
Hajapangwa mtu apo
Nakipenda iki kipindi saaana ❤
Umepatikana leo ....
Apa paa varangati nimeparudia zaidi ya mara 1000 masha wewe umewezwa leo😂😂😂😂😂😂😂
Sanya umetisha
100% kabisa
Masha love utamfukuza kazi dada wa kazi mwenye mimba au muache ajifungue kwanza 😅😅😅😅😅
Masha nikamachine chavita wallah😅😅😅
Kajiona mjingaa😅.. nipen like
🔥🔥🔥
🔥
We mooo nakupenda kweli
Pole dada
Mtakuja Mtiane Presha Mnatangaza hasara Na hizo challenge zenu Mnazo waletea watu 😂😂😂😢😢
Nilikuwa nilisha fahamu,because when she wanted to call landlord the man in a white shirt was refusing
❤❤❤❤ata mimi nikiona nikipindi ulipo mupokonya simu masha 😅😅😅😅😅asimu call mwenye nyumba
Kumbe na wew Star
Haswa atamim nilipenda sana hile ya Zuweena Yule jama alivo mzungumzia halafu akatokea apoapo nilicheka ilesijawaii kucheka 😂😅😅
Masha ana ruka kama mkizi. 😂😂😂
😂😂😂😂 sijui nimepatia
Mbona anaogopa sana kumuangalia sanya😂😂😂😂
Anampendaga🤣🤣🤣
😀😀😀anampenda
Part 2 pliz😂😂😂😂😂
Yani chibu anaroho mbaya sana ugomvi wote yy katulia mikono kichwani😂
Yani mbali na usanii wake,Masha sio mzima kiakili.Hyo nimwanamke alietoa fahamu kwenye maisha yke.Uongo mwingi kujikweza kwingi,kujipraudi yy.
Afu Mo asha mzagamua masha 🤣
Hamwangalii uson kabsa 😂kwny interview
Crietivity 💯🙌🙌🙌
Nyie mna gombana mondi ana mwangalieni apo🤣🤣
masha sema woyoo 😂😅
😂 eti naskia hasiraaaaaa 😂😂😂
Huyo dalali amekosea nyumba ina mtu alafu unataka kuingia ndani kwanza hata kusalimia hata kama nyumba yake lazamaishima iwapo jamani nimekuja sasa huyu kalipa na wewe ni vipi mnaeleweshana lakini wewe unaingia tu alafu unataka uende chumbani hujui nani yupo hupo chumbani
Mwananguu moooo wewe nihatariii sanaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 nimeipenda
Kuna dada wa watu alikuwa afukuzwe kazii 😂😂
Huuu mchezoo nomaaa
Mashalove , nikiwa rais wa nchi hii nakupa wizara
😂😂😂acha ujinga basi faza faka
😄 🤣 😂 😆 😄 mmeweza
Make kwanza ncheke😂😂😂😂😂
Jamanii😂
😃😃😃😃😃banda la video wajipange😀😀😀😀😃
Hahaha hii ndio show kali sana ya mwez
Ame wakaaaaaaa 😂😂😂
Masha Kimemramba😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 mwijaku kakimbia watu wanawahi police mapema 😂😂😂😂😂
mo kipindi kizuri ila uyakuja umiza mtu kweli 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakubali sana kipindi hiki
Wewe nitakufukuza kazi, boss hahahaaaa
Nyumba zakupanga duuu nizawu sana lawama . Munajishebeduwa mjini kumbe mnaishi maisha yazarawu hivo ? Duu mujenge ili musiendeleye kuzalilishwa
Masha katetemeka 😄😃
Masha love full ugwadu mix upwiru dadeki anafujo kama mpiga debe
Dalali anataka sifa nanyi wapangaji waangalieni Sana madalali atawagombanisha
😂😂😂😂 ila mwijaku n nyokoo
😅😅😅😅😅nilichukia mlivyomshika nilitaka amng'ate mtu😅😅😅
ngoja nichukue cm nimpigie polisi
MOTOWN unatisha more creativity everyday haya BANDA LA VIDEO wajifunze kitu
Wazee twenzetu kwa nagwa….😊
Mashaa kapatikana 😂😂😂😂
Subhanallah madarari muwe nahuruma basi 😢😢
Masha anawafuga wasichana wa biashara jamani😢
We ujuwi maisha ya mjini sio anawafuga anawapa hifadhi
Niko tim masha love ktk hili,nimeumia sana
Wow 😂😂😂😂😂
Masha kapatikana nishawayi kutumika kila kitu apa duniani 😂😂😂😂
Masha 😂😂🥰
Naskiaa hasiraaaaaaaaaaaaaaaaaah 😀😆😆😆
Masha baada ya kugombana unamuona kabisa anamuwaza kwenda kugombana nao😅😅😅😅😅
Kwa mwijaku 😂🎉
Mmh na hao ambao wamevaa shati tu 😂😂😂😂
Prank 🔥🔥🔥😂😂jau
Kama ni ivo bac kuna nyumba za kukosea ila co ya masha yan hapo nikama ubalozi wa marekan io shengesha yake dah😅😅😅
Masha Leo wamekuchemsha
Hivi ni kweli huwa hawajui au mnatuigizia
Masha kazur
😅😅😅😅 nipepatikana na ujanja wangu wote......😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 MO... much respect 🫡
Hatar sana
Aloooh ni kweree
Dah hii clip imenitoa machozi😂😂😂
Nakupenda Mariam mke wa Ivan hahaha
Mbona akuna viti muzaa navingine? Kwani masha anakitanda sebuleni?😅
Hahahaha