ALIVYOVAA TU SIWEZI KUWA NAE, ANAONEKANA MUONGO, HANIFIKII KWA PESA - HELLO MR. RIGHT
Вставка
- Опубліковано 8 гру 2023
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Розваги
Nampenda sana luludiva anajielewa sana huyu dada❤❤❤❤❤
Acheni utoto jamani, you can make him what you like, change him as you wish, mwamume wako unamtengeneza wewe vile unataka awe, , wewe mwenyewe hujui hata kuvaa, na your motions is like umeambiwa mguu tembea...gwaride, kuvaa hakuhusu kabisa ukimpenda utambadilisha. Ninyi ndio mnaotaka vinavyong'aa , waume za watu ambao wametengenezwa na wake zao mkiwaona mnafikiri hao wake zao waliwakuta hivyo? Noo ..unaanza kitengeneza mwenyewe, na mwingine si kama hana hela, anazo ila ndio hivyo wengine walivyoumbwa, km ambavyo pia kuna mabinti wasiojua kuvaa wanasaidiwa na wapenzi wao wakiume..kwa kutumia hela zake hizo hizo unamfanyia shopping ya nguo unazotaka wewe sasa avae, acheni ujinga, nikija hapo nitawapa fimbo
Yani nimecheka utawachapa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂mbona fimboo😂😂😂
true
Point, wadada wengi apo ni watoto hawana future walanini wanatafuta mtu wa kumuumiza tuu kwa kutumia kipato chake. Upendo wa kweli haujali muonekano wala kazi
😂😂😂😂😂
Napenda sana hiki kipindi yani vle ambavyo mnafanya kazi yenu miye yanifurahisha tu.... Nina matamanio ya kukutana na huyo Mc ili nami awe mentor wangu... Napenda vle anavyoendesha kipindi hicho mpaka tamati yake... Ila miye Mkenya lakini ckipendi hicho cha Kenya kwa vile wanavyoendesha Mr Right yao.... Yote tisa kumi ni kwamba muendelee vivo hivo... Salamu zangu zifikie Mc tafadali... Shukran
Maswali yenu yanawafanya mr light kukataliwa mnachokonoa sana punguzeni kuchokonoa mtakosa watu wa kuja
Zarish, pata mume upate heshima, wacha ujinga, angalia siku hazigandi your not growing younger but older...be carefully
Uyu Jamaa Amejawa Tamaa Asitaili Kabisa Kuoa Kwasababu Gani Alipoona Uyo Demu Kitako Kinene Kidogo Akili Zake Zote Zimeamia Kule Kwenye Makalio Hana Msimamo Uyo Malaya Wa Kiume Afai
Hio mnashushia na soda nimeipenda❤🇧🇮
Season hii mna wasichana wa HOVYO ambao hawawezi kujenga Hoja.
Nakipenda sana hichii kipindiiiii mubarikiwe sana🙏🤲❤❤❤❤
Ani huyo jamaa Pimbi Kichizi Ase hana Msimamo hamna Kitu kizur km upatr mwanamke anaekupendaa Anamuachaje dayana Kitu dabo difu Ikoo..😂😂😂😂😂
Yaani jamaa kazingua sana kamdharilisha sana Dayana.. Nimefurahi kakosa
Mc kuna namna una disappoint yaanunazingua unashindwa kuficha emotion zako juu ya mr.right unamachaguo yako na unataka hao wadada waendane na mtazamo wako, waahe wachague don't interfere, don't show your emotion, fanya kaz ako
Ni kweli na anaumiza kisaikologia siyo poa Kikweli!!
Nahisi kuwa ni space ilikuishia ungeendelea kuachapa qwa Maneno😂😂😂
Nahisi umechelewa kujua
No anatakiwa kuwashawishi maana lasivyo wataganda hapo kama visiki
@@marydavinembeki9482🤣🤣🤣🤣🤣🤣
❤🎉the beat for hello Mr Right is so amazing fr❤❤💖
Tuwekeeni na Sisi mr right hapa online utafute wenzaaaa❤😊
Niko hp Mr right wako
@@ozuabrahamu8079 😊😊😊
Kwl watuekee n ss tupate
@@user-qh2ij3kj8s kumbe mlioko single niweng😂😂😂🙌
Dorcas wataka mwenzaa yupo kaka yangu njoo akuoee😂😂
Big up Gwe uko mkweli kuhusu kipato chako
Hawa wasichana akili hawana haki tena
Diana nimempenda sana. Mwanaume haeleweki.
uyu kaka bado ana maumivu. lkn nilichokipenda zaidi kwake ni muwazi mnooo.hana uwongo kabsa
Hata ningekuwa dayana ningemuacha. Msimamo hamna🙌
Muongo huyo binti anachanganya mauzo na kipato..... 😊
Inapendezaa sanaa❤ mr right
Zaylish unatuchukuliaje mawakala😄😄😄 kwendraaaaaaa
Hello my
Kipindi kizuri lakini kwan huku nje hakuna wachumba😂😂
Et hahahaha
😂😂😂😂hawachawaona eti ikabidi wajilete huku mbele
Waongo huko mitaani 😂😂😂
Huyu dada muongo et kwa siku anaingiza raki tatu jamani acha ujinga kuwa na heshina dada
Anaona laki tatu rahisi kuziingiza??
Ni ajabu sana
Anaweza akawa ni kweli anaingiza hiyo laki 3 sijakataa, wapo wanaoingiza hata million kwa ukweli inategemea mitego au biashara zako unazofanya inawezekana kabisa hilo, ila sasa Mr right anakosekana! Ndio mana wako hapo ili life ikamilike siku ya kumpata huyo Mr right. Pesa iko but lonely no Hubby no Bf and no life Patner, can you turn your 3 laki to be Mr right? The answer is a big no! So play your card very well, happy life it's not about a Man with lots of money definitely no!!!
😂😂😂😂weee zombi{Aaliya na Diamond❤} Mc Gara noma sana
Hahahaaa nimecheka sana Huyu mr right kajichanganya pakubwa et mlete golden girl mara abaki dayana.. so nice
Nice bive 🔥🔥🔥
Gara B hadi huu msimu uishe asipoangalia atavunja nda yake, Aaliyah ni kazuri na ana kapersonality moja amazing sana
😂😂 Ni mzuri Sana Aliyah, Lakini amfikii mke wa GARA ni mzuriiiiiiiii ntakuambia ni mzuriiii ukimuona live lazima useme....
@@faithfaith-zr6gz 😂😂😂
Kwan mahusiano n biashara et kipato chake hakinikiz hiki kidada kinanyodo kwa staili hio utadoda😅 mwanaume akikupa hata kidg unatakiwa kulidhika bna
Wanawake wanaa OVYOOO Kunavitu vinTaka moyo sana
Na mademu wanashida ila mr. Right mshenzi sana ety😢😢😢sasa unatafuta mtu na diana mzuri na kakupenda unaanza ushenzi wa golden girl koma mfyuu😏😏😏
Unapendwaje siku moja bhana, hii n business kama business zingine😁😁
Msenge uyu nae
Huyo demu mjinga sana, hajielewi hata kidogo
Nakubali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Amina na Mr right mmeendana ni mwendo wa kushushiaa tu
Nyie hao wanawake amuwapi elim atutokuja hapo Mr light…..wapo kwa ajir ya pesa na sio mwanaume bora wa maisha…..wamejawa ujinga kichwani
😊😊 njoo mr right wang kippato tutatumia changu kkuendeleza zaid
@@dorcaskidoti249 i have cash my dear….kitu pekee nisichokipenda kuegamia kwa ela za mwanamke uwaga kuna kamda heshim inapotea trust me or not cjuagi vijana wenzangu wanamudu vipi kwa mwanamke mwenye ela…..🤔 na wala sitaki kujua!! Nikikuchukua first trip Paris🤣🤣
Kwanza hajitambui
True 🎉🎉🎉❤❤
Naona Mnyasa kajikanyaga
Chimama chibaba 😂😂
Safi sana Diana kwa kumkataa huyu jamaa mwanamke akikupenda shukuru sana mtaka mawili moja humponyoka kuna mkaka aliulizwa aletwe Golden gir alisema kama hajanichugua achana nae safi sana Diyana
Shoga kaumbuka anatangaza anabiashara kibao lakini hatamaesabu hayapandi kiufupi hanahata biashara uyo
Kafeli😂
Uyo Zaylish stupid muongo atuache😂😂😂
Galab leo umependeza sana❤
Hao warembo bado hwajajua Chenye wamefata Hey nawaliocha vitumbo njee 😅😅😅😅
Eeeh uyu mr light pimbi eeh😂
Hawa mabinti nilichogundua ni kwamba wanatafuta ma bank teller😂😂 yani mtu anaechomokea anaingia ofisini na kutoka hata kama anapokea laki tatu na nusu...😂😂 Yani jinsi walivyo wakawaida nikajua basi vitakuwa na akili..😂😂..hivi hawamuoni Aliyah alivyo mzuri,with a career n still yupo humble
Wachambe asa haoo😂😂😂
@@nahlahassan-fd6le Yani wanachekesha kweli mtu hata ajui anataka Nini eti nataka awe anafanya kazi analipwa laki sita Kwa mwezi🤣🤣 Sasa mtu anafanya biashara anaingiza 50k kwa siku anaona haitoshi🤣..yeye anakuambia anaingiza laki 3 kwa siku ...kaja Mr right kutafuta wa laki 6 Kwa mwezi...Huku muonekano wake wa aftatu🤣Yani anaingiza millioni 9 Kwa mwezi kaja kusaka bwana kwenye runinga🤣
Uyu dem mshamba sana aisee wala hana patoilo
sema mwanamke muyeyusho sana mmbea sana
Napenda sanaaa iki kipindi
Madada yanazingua majinga hayo . Fukuza hapo wakatengeneze wanaume wao
9million per month my gender can lie on the daylight 😢. Basi hata Our Kenyan president halipwi 9 million 😂
Kaongo hako,aingize that much afu aje ahangaike kwa mr Right
Mr Right Ajielewi
Zalish simuamin hata kidogo yaani ni 300k kwa siku 😮 ila mchizi pambana mkali wanawake waliowengi ndio walivo so Mungu yupo asee pull up MINGWE
Aki lulu diva nakupenda tu sana mamam
Mh huyu muongo kwl😮😮😮 mbn anaongea kwa kujitetea san....na anaongea kam anataka kuonewa huruma, alf han msimamo ana tamaaa.......duh❤❤❤❤
Sauti iko juu sana haipendezi
kaka nimempenda huyu because anaongea ukweli
Waooh!❤❤❤❤
Zarish😂😂😂😂milion 9 kwa mwez dada umevaa wigi halieleweki wigi la elf 80 hata lace frontal huna umevaa nguo ya elf 28000 kariakoo hebu tuache bwana🤣
😂😂
KUMBE MNAHANGALIA PESA NYINYI WANAWAKE SEHEMU ZA SITALEHE BONGO NI MLIMANI SITE TU MPUMBAVU JAMAA KAKOSA YOTE😂😂😂
Amevaa vizuli ❤ Mashalah
⭐️⭐️⭐️⭐️❤️❤️❤️❤️
Mr Right amezingua ,, nimelia sana 😂😂😂
Ngwee kaferi kukubwa😂😂😂
😂😂ngweee bhna
Kunywa Soda yoyote et kwasababu ni Ofa ,,hii ni moja ya dalili za Umasikini😂😂😂
Duh! Huyo dada wa kwanza kweli ni chizi yani hajui hata nini anazungumza 😂😂😂
😂😂😂awa wanawak wengin mashetan daaaa ila gwee tafuta Ela 😢
Nelly ❤. Natazama kutoka 🇰🇪
Huyo ndio mwanamke
Hahaaa uyu kaka tulmaza chuo wote 2022 sijatarajia kumuona uku , na sijui kama alkosa wachumba wote wale jamani😀
😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu demu Haji elew kwanza at mahesabu hajui 😂😂😂
Uyu kweli mzaramooooo😂😂
The boy is still very young. Ndio maana hiki kipindi kimeenda hovyo... 23yrs ww n mtoto bro. Na wadada wenye wako hapo nao vitoto vya kipuzi. Wamekifanya kipindi kisivutie
Mr..lulu diva vipi ana mtu daaaa namuelewa sana.vipi nafasi naweza kupata hata nikazungumza nae
Woooi ngwe
Jamaa mbwa kweli unamuacha dayana unang'ang'ania neli atakupeleka wap uenda hata dayana hana biashara zake angekusevu kidog kwenye maisha yako 😮
Mr Ngwe kazingua mimi ningesepa na dayana no matter chaguo la kwanza limeshafeli. Dayana popote ulipo ukuje kwangu tupambane maisha yasonge
Zarishi punguza mashauzi , sura mbovu ka bakuli la bati lililopondwapondwa
😂😂kabisaaa😅
Huyo dada hata hesabu hajui anajishaua mpaka anaharibu
Yoooh huyu zarish duuh😂😂
Hana lolote huyo dada 😂😂😂
Big mistake my brother love the one you love you🇧🇮🇿🇦
Mc gara b umenichekesha vile umeitaa jina lake et ngwee😂😂😂
Mmmmh Diana ni buitifuli daah
We zarish😅😅😅😅 Boss lady kabisaaaa...
Masha allaah mnajishushia na masoda❤❤😅
Ngwe anakihereher😂😂
Daah wambea nyie😅😅😅😅😅😅
Hahahaha zarishi hamnazo
Garabi ww chizi 😅eti ngwe😂😂
Ngweeee😂😂😂😂😂garab walahi unanicekesha😂😂😂😂😂 ngweeee
Huyu zai muongo sanaaaa
Demu anasura mbaya kama uji ulio lala
😂😂😂😂😂wanajiona humu afu wa hovyo tu
Hawajielewi kabisaa
😅😅😅😅😅
Huyo dada na mahela yote hayo kwa mr right unatafuta nn jomoni mtaani huko ungepata wa level zako bana! Unazingua!
Zarishi Hana kipato hicho muongo kbs
Huyu kaka kanichekesha spo kwenye chimama
Hizo soda mngeweka take away ingependeza zaidi na kuleta comfortability katikka kuishika/kuibeba na kuepuka kuvunjikabkwa hao walioweka kwenye podium
Kabisa yaani ikiteleza hapo😂
Ili mtu akikataliwa asijekurusha chup😂
Kwani hawa wadada hawana kwao mbona sielewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣😊
Mbona ngwee anatuchanganya
Mr ukiulizwa tena kihusu mtoto we sema sina! Haina haja ya kujieleza san
Ķabisa
Jamaa ana changamoto kisaikolojia ,,si wote wanaojua kuchanganua yapi ya kusema na yapi ya kumeza,,,,
Its this real😂😂😂
Huyu mzaramoo 😂😂😂nataman kungekuwa na voice note 😂😂
Ale kichambo Cha moto mshenzi sana 😂😂😂😂
Chimama chibaba ya wema na wozii huyoooo 😂😂😂😂😂😂😂
Wozii tena🙄🙄🙄🙄
Jina tu 😂😂😂😂,,,kama anakamua maziwa ya Fisi😂😂😂 ila wazazi wakati mwingine huwa wanatukosea sana,,,wawe wanasubiri tuwe wakubwa tuchague majina😂😂😂