ALIVYOVAA TU SIWEZI KUWA NAE, ANAONEKANA MUONGO, HANIFIKII KWA PESA - HELLO MR. RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 гру 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 294

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 5 місяців тому +6

    Nampenda sana luludiva anajielewa sana huyu dada❤❤❤❤❤

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 8 місяців тому +54

    Acheni utoto jamani, you can make him what you like, change him as you wish, mwamume wako unamtengeneza wewe vile unataka awe, , wewe mwenyewe hujui hata kuvaa, na your motions is like umeambiwa mguu tembea...gwaride, kuvaa hakuhusu kabisa ukimpenda utambadilisha. Ninyi ndio mnaotaka vinavyong'aa , waume za watu ambao wametengenezwa na wake zao mkiwaona mnafikiri hao wake zao waliwakuta hivyo? Noo ..unaanza kitengeneza mwenyewe, na mwingine si kama hana hela, anazo ila ndio hivyo wengine walivyoumbwa, km ambavyo pia kuna mabinti wasiojua kuvaa wanasaidiwa na wapenzi wao wakiume..kwa kutumia hela zake hizo hizo unamfanyia shopping ya nguo unazotaka wewe sasa avae, acheni ujinga, nikija hapo nitawapa fimbo

    • @evarlynekarisa2659
      @evarlynekarisa2659 8 місяців тому +1

      Yani nimecheka utawachapa🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 8 місяців тому

      😂😂😂mbona fimboo😂😂😂

    • @giddie_barnabas
      @giddie_barnabas 8 місяців тому +2

      true

    • @therealbrightonlyimo
      @therealbrightonlyimo 8 місяців тому +3

      Point, wadada wengi apo ni watoto hawana future walanini wanatafuta mtu wa kumuumiza tuu kwa kutumia kipato chake. Upendo wa kweli haujali muonekano wala kazi

    • @hawababy120
      @hawababy120 7 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂

  • @Un_dollar
    @Un_dollar 8 місяців тому +5

    Napenda sana hiki kipindi yani vle ambavyo mnafanya kazi yenu miye yanifurahisha tu.... Nina matamanio ya kukutana na huyo Mc ili nami awe mentor wangu... Napenda vle anavyoendesha kipindi hicho mpaka tamati yake... Ila miye Mkenya lakini ckipendi hicho cha Kenya kwa vile wanavyoendesha Mr Right yao.... Yote tisa kumi ni kwamba muendelee vivo hivo... Salamu zangu zifikie Mc tafadali... Shukran

  • @mussacharlesSongo-or4wn
    @mussacharlesSongo-or4wn 8 місяців тому +9

    Maswali yenu yanawafanya mr light kukataliwa mnachokonoa sana punguzeni kuchokonoa mtakosa watu wa kuja

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 8 місяців тому +11

    Zarish, pata mume upate heshima, wacha ujinga, angalia siku hazigandi your not growing younger but older...be carefully

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 8 місяців тому +3

    Uyu Jamaa Amejawa Tamaa Asitaili Kabisa Kuoa Kwasababu Gani Alipoona Uyo Demu Kitako Kinene Kidogo Akili Zake Zote Zimeamia Kule Kwenye Makalio Hana Msimamo Uyo Malaya Wa Kiume Afai

  • @hawababy120
    @hawababy120 7 місяців тому +5

    Hio mnashushia na soda nimeipenda❤🇧🇮

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 8 місяців тому +7

    Season hii mna wasichana wa HOVYO ambao hawawezi kujenga Hoja.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 8 місяців тому +5

    Nakipenda sana hichii kipindiiiii mubarikiwe sana🙏🤲❤❤❤❤

  • @raajabchaka8682
    @raajabchaka8682 7 місяців тому +2

    Ani huyo jamaa Pimbi Kichizi Ase hana Msimamo hamna Kitu kizur km upatr mwanamke anaekupendaa Anamuachaje dayana Kitu dabo difu Ikoo..😂😂😂😂😂

    • @godfreyzenda9027
      @godfreyzenda9027 3 місяці тому

      Yaani jamaa kazingua sana kamdharilisha sana Dayana.. Nimefurahi kakosa

  • @dobidotz3696
    @dobidotz3696 8 місяців тому +64

    Mc kuna namna una disappoint yaanunazingua unashindwa kuficha emotion zako juu ya mr.right unamachaguo yako na unataka hao wadada waendane na mtazamo wako, waahe wachague don't interfere, don't show your emotion, fanya kaz ako

    • @nanaritho6850
      @nanaritho6850 8 місяців тому +6

      Ni kweli na anaumiza kisaikologia siyo poa Kikweli!!

    • @marydavinembeki9482
      @marydavinembeki9482 8 місяців тому +2

      Nahisi kuwa ni space ilikuishia ungeendelea kuachapa qwa Maneno😂😂😂

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 8 місяців тому +2

      Nahisi umechelewa kujua

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 8 місяців тому +1

      No anatakiwa kuwashawishi maana lasivyo wataganda hapo kama visiki

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 7 місяців тому

      ​@@marydavinembeki9482🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-tp5vr3vv6v
    @user-tp5vr3vv6v 7 місяців тому +1

    ❤🎉the beat for hello Mr Right is so amazing fr❤❤💖

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 8 місяців тому +8

    Tuwekeeni na Sisi mr right hapa online utafute wenzaaaa❤😊

    • @ozuabrahamu8079
      @ozuabrahamu8079 8 місяців тому

      Niko hp Mr right wako

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 місяців тому

      @@ozuabrahamu8079 😊😊😊

    • @user-qh2ij3kj8s
      @user-qh2ij3kj8s 8 місяців тому

      Kwl watuekee n ss tupate

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 місяців тому

      @@user-qh2ij3kj8s kumbe mlioko single niweng😂😂😂🙌

    • @user-yp9vo4js9f
      @user-yp9vo4js9f 7 місяців тому

      Dorcas wataka mwenzaa yupo kaka yangu njoo akuoee😂😂

  • @lucylesso7920
    @lucylesso7920 8 місяців тому +6

    Big up Gwe uko mkweli kuhusu kipato chako

  • @emmyomary9640
    @emmyomary9640 8 місяців тому +11

    Hawa wasichana akili hawana haki tena

  • @mchellenmbunge55
    @mchellenmbunge55 8 місяців тому +5

    Diana nimempenda sana. Mwanaume haeleweki.

  • @carolinepokela5076
    @carolinepokela5076 7 місяців тому +9

    uyu kaka bado ana maumivu. lkn nilichokipenda zaidi kwake ni muwazi mnooo.hana uwongo kabsa

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 7 місяців тому +3

    Hata ningekuwa dayana ningemuacha. Msimamo hamna🙌

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 7 місяців тому +2

    Muongo huyo binti anachanganya mauzo na kipato..... 😊

  • @sauka9622
    @sauka9622 8 місяців тому +1

    Inapendezaa sanaa❤ mr right

  • @ashuramahali3410
    @ashuramahali3410 8 місяців тому +10

    Zaylish unatuchukuliaje mawakala😄😄😄 kwendraaaaaaa

  • @estermshana8081
    @estermshana8081 8 місяців тому +13

    Kipindi kizuri lakini kwan huku nje hakuna wachumba😂😂

  • @malichanda3146
    @malichanda3146 8 місяців тому +8

    Huyu dada muongo et kwa siku anaingiza raki tatu jamani acha ujinga kuwa na heshina dada

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 8 місяців тому

      Anaona laki tatu rahisi kuziingiza??

    • @ZuhuraallyMbawe-zi8hk
      @ZuhuraallyMbawe-zi8hk 7 місяців тому

      Ni ajabu sana

    • @lucylesso7920
      @lucylesso7920 6 місяців тому

      Anaweza akawa ni kweli anaingiza hiyo laki 3 sijakataa, wapo wanaoingiza hata million kwa ukweli inategemea mitego au biashara zako unazofanya inawezekana kabisa hilo, ila sasa Mr right anakosekana! Ndio mana wako hapo ili life ikamilike siku ya kumpata huyo Mr right. Pesa iko but lonely no Hubby no Bf and no life Patner, can you turn your 3 laki to be Mr right? The answer is a big no! So play your card very well, happy life it's not about a Man with lots of money definitely no!!!

  • @NASMEDIATV
    @NASMEDIATV 8 місяців тому +2

    😂😂😂😂weee zombi{Aaliya na Diamond❤} Mc Gara noma sana

  • @user-gq1mp9nu5q
    @user-gq1mp9nu5q 6 місяців тому

    Hahahaaa nimecheka sana Huyu mr right kajichanganya pakubwa et mlete golden girl mara abaki dayana.. so nice

  • @HalfanKimbay-re7zt
    @HalfanKimbay-re7zt 8 місяців тому +2

    Nice bive 🔥🔥🔥

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 8 місяців тому +3

    Gara B hadi huu msimu uishe asipoangalia atavunja nda yake, Aaliyah ni kazuri na ana kapersonality moja amazing sana

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 7 місяців тому +2

      😂😂 Ni mzuri Sana Aliyah, Lakini amfikii mke wa GARA ni mzuriiiiiiiii ntakuambia ni mzuriiii ukimuona live lazima useme....

    • @sarazacharia
      @sarazacharia 7 місяців тому

      @@faithfaith-zr6gz 😂😂😂

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 8 місяців тому +3

    Kwan mahusiano n biashara et kipato chake hakinikiz hiki kidada kinanyodo kwa staili hio utadoda😅 mwanaume akikupa hata kidg unatakiwa kulidhika bna

  • @mubaraqotyeno9061
    @mubaraqotyeno9061 7 місяців тому +3

    Wanawake wanaa OVYOOO Kunavitu vinTaka moyo sana

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 8 місяців тому +6

    Na mademu wanashida ila mr. Right mshenzi sana ety😢😢😢sasa unatafuta mtu na diana mzuri na kakupenda unaanza ushenzi wa golden girl koma mfyuu😏😏😏

    • @bestmilltz7071
      @bestmilltz7071 8 місяців тому +1

      Unapendwaje siku moja bhana, hii n business kama business zingine😁😁

    • @angelawillium
      @angelawillium 7 місяців тому

      Msenge uyu nae

  • @bahatielias6443
    @bahatielias6443 8 місяців тому +4

    Huyo demu mjinga sana, hajielewi hata kidogo

  • @mutundaaugustinaugustinmut8914
    @mutundaaugustinaugustinmut8914 8 місяців тому +1

    Nakubali 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f 8 місяців тому +1

    Amina na Mr right mmeendana ni mwendo wa kushushiaa tu

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 8 місяців тому +14

    Nyie hao wanawake amuwapi elim atutokuja hapo Mr light…..wapo kwa ajir ya pesa na sio mwanaume bora wa maisha…..wamejawa ujinga kichwani

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 8 місяців тому

      😊😊 njoo mr right wang kippato tutatumia changu kkuendeleza zaid

    • @alecheconradninje6183
      @alecheconradninje6183 8 місяців тому

      @@dorcaskidoti249 i have cash my dear….kitu pekee nisichokipenda kuegamia kwa ela za mwanamke uwaga kuna kamda heshim inapotea trust me or not cjuagi vijana wenzangu wanamudu vipi kwa mwanamke mwenye ela…..🤔 na wala sitaki kujua!! Nikikuchukua first trip Paris🤣🤣

    • @ananiamwatebela3159
      @ananiamwatebela3159 8 місяців тому

      Kwanza hajitambui

    • @aminamwivita7690
      @aminamwivita7690 7 місяців тому

      True 🎉🎉🎉❤❤

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 8 місяців тому +2

    Naona Mnyasa kajikanyaga

  • @AminaAminaa-ox7ft
    @AminaAminaa-ox7ft 3 дні тому

    Chimama chibaba 😂😂

  • @isunga1964
    @isunga1964 6 місяців тому

    Safi sana Diana kwa kumkataa huyu jamaa mwanamke akikupenda shukuru sana mtaka mawili moja humponyoka kuna mkaka aliulizwa aletwe Golden gir alisema kama hajanichugua achana nae safi sana Diyana

  • @slyla2565
    @slyla2565 8 місяців тому +5

    Shoga kaumbuka anatangaza anabiashara kibao lakini hatamaesabu hayapandi kiufupi hanahata biashara uyo

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 8 місяців тому +9

    Uyo Zaylish stupid muongo atuache😂😂😂

  • @BucensengeAlima-gr6ch
    @BucensengeAlima-gr6ch 7 місяців тому

    Galab leo umependeza sana❤

  • @jacklinekavishe4995
    @jacklinekavishe4995 8 місяців тому +2

    Hao warembo bado hwajajua Chenye wamefata Hey nawaliocha vitumbo njee 😅😅😅😅

  • @ZuhuraallyMbawe-zi8hk
    @ZuhuraallyMbawe-zi8hk 7 місяців тому +1

    Eeeh uyu mr light pimbi eeh😂

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 8 місяців тому +4

    Hawa mabinti nilichogundua ni kwamba wanatafuta ma bank teller😂😂 yani mtu anaechomokea anaingia ofisini na kutoka hata kama anapokea laki tatu na nusu...😂😂 Yani jinsi walivyo wakawaida nikajua basi vitakuwa na akili..😂😂..hivi hawamuoni Aliyah alivyo mzuri,with a career n still yupo humble

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 8 місяців тому +1

      Wachambe asa haoo😂😂😂

    • @neemaberny3598
      @neemaberny3598 8 місяців тому

      @@nahlahassan-fd6le Yani wanachekesha kweli mtu hata ajui anataka Nini eti nataka awe anafanya kazi analipwa laki sita Kwa mwezi🤣🤣 Sasa mtu anafanya biashara anaingiza 50k kwa siku anaona haitoshi🤣..yeye anakuambia anaingiza laki 3 kwa siku ...kaja Mr right kutafuta wa laki 6 Kwa mwezi...Huku muonekano wake wa aftatu🤣Yani anaingiza millioni 9 Kwa mwezi kaja kusaka bwana kwenye runinga🤣

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 7 місяців тому +2

    Uyu dem mshamba sana aisee wala hana patoilo

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 7 місяців тому +1

    sema mwanamke muyeyusho sana mmbea sana

  • @user-vj9nf4zs5l
    @user-vj9nf4zs5l 7 місяців тому +1

    Napenda sanaaa iki kipindi

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h 3 місяці тому +1

    Madada yanazingua majinga hayo . Fukuza hapo wakatengeneze wanaume wao

  • @janetnyanchera1252
    @janetnyanchera1252 7 місяців тому +1

    9million per month my gender can lie on the daylight 😢. Basi hata Our Kenyan president halipwi 9 million 😂

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 6 місяців тому

      Kaongo hako,aingize that much afu aje ahangaike kwa mr Right

  • @salummakenzi4846
    @salummakenzi4846 8 місяців тому +2

    Mr Right Ajielewi

  • @alfredrweyemamu7807
    @alfredrweyemamu7807 7 місяців тому +1

    Zalish simuamin hata kidogo yaani ni 300k kwa siku 😮 ila mchizi pambana mkali wanawake waliowengi ndio walivo so Mungu yupo asee pull up MINGWE

  • @user-ts8gp4nk4x
    @user-ts8gp4nk4x 2 місяці тому

    Aki lulu diva nakupenda tu sana mamam

  • @VoiceofVoctorytzVOV
    @VoiceofVoctorytzVOV 7 місяців тому

    Mh huyu muongo kwl😮😮😮 mbn anaongea kwa kujitetea san....na anaongea kam anataka kuonewa huruma, alf han msimamo ana tamaaa.......duh❤❤❤❤

  • @al-amoodysaid2859
    @al-amoodysaid2859 5 місяців тому

    Sauti iko juu sana haipendezi

  • @elnecemily1306
    @elnecemily1306 7 місяців тому +4

    kaka nimempenda huyu because anaongea ukweli

  • @sophiasimule2182
    @sophiasimule2182 7 місяців тому

    Waooh!❤❤❤❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 8 місяців тому +2

    Zarish😂😂😂😂milion 9 kwa mwez dada umevaa wigi halieleweki wigi la elf 80 hata lace frontal huna umevaa nguo ya elf 28000 kariakoo hebu tuache bwana🤣

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 місяців тому +1

    KUMBE MNAHANGALIA PESA NYINYI WANAWAKE SEHEMU ZA SITALEHE BONGO NI MLIMANI SITE TU MPUMBAVU JAMAA KAKOSA YOTE😂😂😂

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 8 місяців тому +5

    Amevaa vizuli ❤ Mashalah

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 8 місяців тому +2

    ⭐️⭐️⭐️⭐️❤️❤️❤️❤️

  • @Fabianomichael-f7i
    @Fabianomichael-f7i 6 місяців тому

    Mr Right amezingua ,, nimelia sana 😂😂😂

  • @alecheconradninje6183
    @alecheconradninje6183 8 місяців тому +2

    Ngwee kaferi kukubwa😂😂😂

  • @user-km7bn1si7t
    @user-km7bn1si7t 8 місяців тому

    😂😂ngweee bhna

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td 5 місяців тому

    Kunywa Soda yoyote et kwasababu ni Ofa ,,hii ni moja ya dalili za Umasikini😂😂😂

  • @modricnoma3686
    @modricnoma3686 7 місяців тому

    Duh! Huyo dada wa kwanza kweli ni chizi yani hajui hata nini anazungumza 😂😂😂

  • @yassingawaza5097
    @yassingawaza5097 3 місяці тому

    😂😂😂awa wanawak wengin mashetan daaaa ila gwee tafuta Ela 😢

  • @bonfacewitaba_official
    @bonfacewitaba_official 8 місяців тому +1

    Nelly ❤. Natazama kutoka 🇰🇪

  • @Samuellukumy
    @Samuellukumy 2 місяці тому

    Huyo ndio mwanamke

  • @wariamborambise651
    @wariamborambise651 6 місяців тому

    Hahaaa uyu kaka tulmaza chuo wote 2022 sijatarajia kumuona uku , na sijui kama alkosa wachumba wote wale jamani😀

  • @andrewpeter4321
    @andrewpeter4321 5 місяців тому

    Huyu demu Haji elew kwanza at mahesabu hajui 😂😂😂

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 8 місяців тому

    Uyu kweli mzaramooooo😂😂

  • @jacobshauri4799
    @jacobshauri4799 7 місяців тому

    The boy is still very young. Ndio maana hiki kipindi kimeenda hovyo... 23yrs ww n mtoto bro. Na wadada wenye wako hapo nao vitoto vya kipuzi. Wamekifanya kipindi kisivutie

  • @emanuelpetermachite
    @emanuelpetermachite 6 місяців тому

    Mr..lulu diva vipi ana mtu daaaa namuelewa sana.vipi nafasi naweza kupata hata nikazungumza nae

  • @user-lr7dc4zv8u
    @user-lr7dc4zv8u 7 місяців тому

    Woooi ngwe

  • @user-fy3cf1ri8m
    @user-fy3cf1ri8m 8 місяців тому +7

    Jamaa mbwa kweli unamuacha dayana unang'ang'ania neli atakupeleka wap uenda hata dayana hana biashara zake angekusevu kidog kwenye maisha yako 😮

    • @MtegekiKaijage
      @MtegekiKaijage 7 місяців тому +1

      Mr Ngwe kazingua mimi ningesepa na dayana no matter chaguo la kwanza limeshafeli. Dayana popote ulipo ukuje kwangu tupambane maisha yasonge

  • @rehemageofrey1246
    @rehemageofrey1246 8 місяців тому +3

    Zarishi punguza mashauzi , sura mbovu ka bakuli la bati lililopondwapondwa

  • @estermwakafwila9890
    @estermwakafwila9890 6 місяців тому

    Yoooh huyu zarish duuh😂😂

  • @ashufaaali2731
    @ashufaaali2731 8 місяців тому +1

    Hana lolote huyo dada 😂😂😂

  • @fistonnibigira167
    @fistonnibigira167 5 місяців тому

    Big mistake my brother love the one you love you🇧🇮🇿🇦

  • @catherinecharlz2814
    @catherinecharlz2814 7 місяців тому

    Mc gara b umenichekesha vile umeitaa jina lake et ngwee😂😂😂

  • @AbdulAdam-mh8km
    @AbdulAdam-mh8km 8 місяців тому +1

    Mmmmh Diana ni buitifuli daah

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 7 місяців тому

    We zarish😅😅😅😅 Boss lady kabisaaaa...

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 8 місяців тому +5

    Masha allaah mnajishushia na masoda❤❤😅

  • @user-nn3ll5fr7s
    @user-nn3ll5fr7s 8 місяців тому

    Ngwe anakihereher😂😂

  • @EmJesho
    @EmJesho 7 місяців тому

    Daah wambea nyie😅😅😅😅😅😅

  • @RoseNyasa-zi3fr
    @RoseNyasa-zi3fr Місяць тому

    Hahahaha zarishi hamnazo

  • @niyonzimaraissa9497
    @niyonzimaraissa9497 8 місяців тому

    Garabi ww chizi 😅eti ngwe😂😂

  • @BucensengeAlima-gr6ch
    @BucensengeAlima-gr6ch 7 місяців тому

    Ngweeee😂😂😂😂😂garab walahi unanicekesha😂😂😂😂😂 ngweeee

  • @BrenderMartin-eb2on
    @BrenderMartin-eb2on 7 місяців тому +1

    Huyu zai muongo sanaaaa

  • @user-id4it1wz8m
    @user-id4it1wz8m 8 місяців тому +5

    Demu anasura mbaya kama uji ulio lala

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 6 місяців тому

    Huyo dada na mahela yote hayo kwa mr right unatafuta nn jomoni mtaani huko ungepata wa level zako bana! Unazingua!

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 8 місяців тому +2

    Zarishi Hana kipato hicho muongo kbs

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 8 місяців тому +2

    Huyu kaka kanichekesha spo kwenye chimama

  • @kennedjohn5785
    @kennedjohn5785 8 місяців тому +5

    Hizo soda mngeweka take away ingependeza zaidi na kuleta comfortability katikka kuishika/kuibeba na kuepuka kuvunjikabkwa hao walioweka kwenye podium

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 5 місяців тому

    Kwani hawa wadada hawana kwao mbona sielewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣😊

  • @user-uz4ex5bs2v
    @user-uz4ex5bs2v 8 місяців тому +1

    Mbona ngwee anatuchanganya

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel8947 7 місяців тому +2

    Mr ukiulizwa tena kihusu mtoto we sema sina! Haina haja ya kujieleza san

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 7 місяців тому +1

      Ķabisa

    • @YFM-rq9td
      @YFM-rq9td 5 місяців тому

      Jamaa ana changamoto kisaikolojia ,,si wote wanaojua kuchanganua yapi ya kusema na yapi ya kumeza,,,,

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen8198 8 місяців тому

    Its this real😂😂😂

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu 7 місяців тому

    Huyu mzaramoo 😂😂😂nataman kungekuwa na voice note 😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 8 місяців тому +1

    Chimama chibaba ya wema na wozii huyoooo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @YFM-rq9td
    @YFM-rq9td 5 місяців тому

    Jina tu 😂😂😂😂,,,kama anakamua maziwa ya Fisi😂😂😂 ila wazazi wakati mwingine huwa wanatukosea sana,,,wawe wanasubiri tuwe wakubwa tuchague majina😂😂😂