AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
Вставка
- Опубліковано 7 сер 2023
- AZIMIA NYUMBANI KWA DULLVAN / HUYU AKIFA NIFUNGWE MIMI | HIVI NI KWELI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Salute Kwa vullivany Kwa maswali yake,yupo vizuri sana kisheria
Sisi hasa tuna binaadam mwingi na huruma sana wakati mwengine wema una weza kuku zuru.
Sema Duli ana roho nzuri pia amefunzwa bhana
Jamani, Mwenyezi Mungu Atulindie Walinzi wetu woi... Kila Kesi mlinzi jamani
Mwanangu sana Mo town sanya , unawauwa sana , kazi nzuri kaka , HIVI NI KWELI BONGE MOJA LA SHOO❤❤❤
Nimefuatilia hii interview kwa ajili ya mwanetu Aliyezimia Nyau
Tulimuweza
Wanaopenda kipindi hichi naombeni like zenu
Ndomana mama hataki nikae mwenywe 😂😂😂😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Yan Sanya anavyouliza maswal kama sio yeye Allah akupe umri umrefu ila dull daaah kanywea😅😅
Mo town Sanya unaweza your are very creative my brother
Nipeni likes asee,nimekuwa wakwanza 👆👆👆
Sio shobo zetu
Eti Haya ni maswali ya police kesi hiyo😂😂😂😂😂
Kama umeipenda hii hayo ndo maswali ya polis gong like apa twende saw😂😂
Best tv shows ever
Daaaaaah nimechoka Sana dull kaogopa kinoma ila mshikaji anamoyo😆😆😆
Kaivaaa uhusika wa mwanamke hadi kwenye maisha ndo maana angalia hadi mikao yake
@@ahmadmohd3771😂😂😂
😂😂😂😂😂Daaah!!!!!!!!! Walinzi tuna kazi Sana Kwakweli changamoto ni nyingi mnooo 😂😂😂😂😂
Ww daaah
Hii ya leo mmezingua inaonekana kabisa mpango mlishaupanga so kama duli alikua hajui alikua anajua sema hii mmeyumba
Leo Dull Van kapatikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dull umefanana na rayvanny ukivaa mpama😂😂
Hii kipindi naipenda sana Moo keep it up Unafanya vizuri sana
Karipotini police SS akifa hapo
SKUHIZ HUACHI EXCLUSIVE TENA,,UNATUNGA KABISA
Hiv ni kweli au comed
Hiki kipindi 😂😂 kizuri kweli lakini kinamazara sana 😂ipo siku tu damu itawagika 😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mr Nyau umetisha sana my brother you deserve 🫡 bro
Thanks boss
Duly leo anavua kofia akivaa tu analiona joto leo😂😂😂
Ila van yuko peace sana
ulichokosea kimoja tu Ilitakiwa umpeleke hospitali kwanza.. hata kama kakosea, ubinadamu kwanza mambo mengine badae ...sasa wewe unaongelea ambayo yameshatokea badala ku solve tatizo lililopo
Dahhhh!!! Hii na ile ya Dotto ni kali. Dully yuko ametulia kwa maswali yaliokwenda shule
Hiyooo imeenda........
ISHI MIAKA MINGI HAPA DUNIANI PAMOJA NA FAMILIA YAKO SANYAAA HIVI NI KWELI NAIONA WORLD WIDE
Dula na ujanja wote kupatikana leo😂😂😂
Eti nimekujaje 😂 nandege 😂😂😂😂
Jamaa anapiga pesa wengine wanacheka hio ni nusu nusu Europe
Dulli kapatikana leo😂😂🔥🔥
😂😂😂😂😂
Ni career guys sio "carrier" hio mloandika maanake ni mide usafirishaji
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂MBA mbavu zangu jamanii
Kuna muda anasema mama ake ataki akae peke ake😂😂
Dula anaroho nzuri sana
Mbona hii prank mwisho mwisho nikutamu jamani😋😂😂😂hadi mm nika cheka😂😂😂😂😂
Watching u frm Kenya nawapenda
Mh mmejitahid wee ila waya wa mac kwa tumbo la mzimiaji umewatohoa😂😂😂😂😂 yani kazi kubwa waya uneharibu
Jamani Huyu si Nyau 😅😅😅
Najihisi nimekuwa wa mwisho kwa huu mda😂😂 naomben likes
Zitakusaidia nn
@@rosemahenge9071 zitanipa furaha ww je kureplay text yangu umepata nn kenge manyoya we😅😅😅😅
Aya!!! Kakaa kwenye sofa kabisaa😂 here!!
Ana roho mbaya hata qwenye qiti asiqae alafu wanamtoa chooni bila awasaidie anarecod ivi qweli so poa😂
He is soo calm jmn😂😂😂
😂😂Dulvan alipatikana wallah
Sema kuigiza duli kashindwa😅kioa wakati ana smile anajizuia kucheka,mkisapanga hao wasanii waambien wawe serious iwe kama ni kweli
Hao hawapangwi,huwa wanashtukizwa.sema kinacho tokea ni kwamba anakuwa akirekodiwa yaani katikati ya interview
@@BoscoNtimba-jr2gzsasa kwani wasanii hawamjui Mo town Sanya au hawajui kipindi chake!?
Huo jamaa anaehojiwa mbna Kuna sehemu kakaa kma Yale yasemwayo yanamaana yke aisee ukaaji gani ? Hatuombei ila jamaa kma ni kweli Kuna nafasi ya kujirekebisha unaweza ukajirekebisha tu kwani tabia gani ? Inayoshindikana kujirekebisha
@@dunkchainz7237Mo alisema hivi vipindi alisharekodi vyote sasa hivi ndo wanaanza kuvirusha
@@kondoatown8765unamaanisha nn
Ila anaustarabu sana
Nimeipenda hiyo
Niende jela ama huyu afukuzwe kazi....?
😂😂😂 mwigizaji kakutana na mwigizaji lazima kiwake 🎉😅
😂😂😂😂😂 Jamani 😂 ahii! Usanii kazi eti mm na kukubali ivikweli upete kuuliza uliza ukishaonyeshwa undumbukie ndani?
Daaah aisee ni hatari sana😄😄😄
Hahaha hayo Ni maswali ya police jamn dullvan
Mbona ana maziwa dulvani
Wanamnyonyaaa wanaume weziwee
The best one😂
Dahhh noma sana
Piga picha na izo kamera zenu hhhh😂😂
Hii imekua movie😂😂😂😂😂
Kali
😅😅😅😅😅😅😅😅dullah uyoo yamekufika uelewi
Dull wamekuweza sana
Hata ungekua wew mo town ungepagawa apo itokee kwako
Ubunifu mzur😅😅😅 ila Dili kaza sauti we kidume
Hivi ni kweli hicho kipind cho mo sanya acha ujinga ww
Mchawi uyo ameishiwa nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣
shida mo town sanya ameishiwa content za prank kabla ya ku shoot anampanga mtu atakaye muhoji na mtu kuigiza ili ionekane kua ni kweli haikua planned mi ningeshauri usitafute watu maarufu ambao tayari wanajua unachokifanya kuwa mbunifu kama zamani
Bro hizi show zisharikodiwa zote na sasa ndio zinarushwa yaani hazijjapagwa
Bora umwambie°°
Nimecheka sana
Sullivan Haha jikojea kweli!!!
Hatari snaa
Hii story nikama Ile yajuzi zinafanana
🔥
Hawa wasanii hawapangwi lakini hata wakipangwa shida nini kama ni burudani tunapata ya kutosha na pia tunaona upande wa pili wa wasanii ambao tulikua hatuujui
Thanks unaweza nifollow Mimi mzimiaji.
@@nyauclassictv805😂😂😂kheeee
@@nyauclassictv805🤣🤣🤣🤣🤣
Safiiiiii😂😂😂😂😂😂
Dulla amejua kabsa hicho ni kipindi mpak anaongea na maik amna kitu hapo 😅😅😅
Me naisubiri ya gigy money tu😂😂😂
Duliii, eti Mama hapendagi nikae pekeangu hahahaaa
😂😂😂😂
Mmetisha saana
Ihi kali😀
Dullvani pole sana kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bonge la move 😊
Maskini kafazaika kajua maisha Ndio yashatoka umaikini mbaya
Hahahahaaaaaaaaa jamaa kajua kujilegeza bala
Lakini hivi vitu vimepangwa kapangwa mpka huyo dully
Kwisha habali yake😁😁😁😁
Naombeni like jamani😂😂
😂😂😂😂😂😂mlizi et umekuja na ndege khaaa 😂
Ah movie
Ila uyo dgo mwambien akaze sat ukike ushaanza kumkaa sasa
😂😂😂😂😂😂Nimechek
Leo kuna udhaifu kidogo Waya wa mic ulionekana
Nitarudi hapa, niko busy kwakweli
😂😂😂😂😂kwishaa jamanii😅😅😅😅💔💔
Mchaga OG nakucheki kutokea👉🇶🇦
Ila we sanya ni muuwaji😂😂😂😂😂
Nandege😂😂😂
😂😂😂😂maskini dull wanguu
Kawezaje kujikausha hivyoo lakini Mimi ningechekaaa siwezi ku fake kuzimia
Nilikuwa natamani kucheka ila ndo SANAA nilikuwa kazini
Hahahahaaa dulvani kanaswaa
Uwiii haya ni maswali ya police