SHEIKH WALID USINGENISOMESHA UNGENIACHA TU KWENYE MAMBO YA MPIRA, NIACHE TU NITAMBE.
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2023
- HAPA UTAPATA ELIMU PAMOJA NA HEKMA,
TAFADHALI SUBSCRIBE.
.
Please Like, Comment and Do not forget to Subscribe to Our Channel (ua-cam.com/channels/hJb.html...)
....
Also Connect with Us on Social Media Platforms
Like our Page on Facebook : / sanatvtz
...
Follow us on Instagram: / sanatvtz
...
Find us on Tiktok: / sanatvtz
...
#SANATVTZ #SANATV
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Allah atuongoze katıka haki na atujalie mwisho mwema
Wewe ndio upo kwny Haki wengine wanakosea au Acha kuhukumu watu ww bado sana
Fanyeni yote ila tmbueni Quruan ni mwongozo wetu ,na mtambue bado mwongozo watu awa ufwati watu awa ukumiani kupitia kuruani .
Tunaposhindiwa sisi ni pale tunapozungumza maneno matupu pasina Qur aan.pale tunapo mzungumzia mtume Muhammad swala llaahu alayhi wasallaam.
Ama pale tunapoleta adhkar zetu
Nisieleweke vingine mimi ni mtu NINAEIPENDA MAULIDI
masufi na matwarika na story zao za kujambiana
Ahal Al Bidaa!!
Wewe mwenzetu ushabashiriwa Pepo Tuache sie watu wa Bid'aa
@@HuzeifaMsomali17 Ahal Al Bidaa
Minafiiki hio ime kutana wanaojiita waislamu
Na ww Muislamu gani unawaita wenzako Wanafki huo ujasiri umeutolea wapi?
Basi msijisifu Usafi kwani Allah anamjua sana aliemsafi. Qur'an 53:32
Usifuate jeneza la watu bidaa
Sawa mwenzetu ushabashiriwa Pepo na Mtume
Naomba nipewe hii ilmu kwanza nataka kujua tofauti yakusherehekewa raisi kuzaliwa na kusherehekewa Raisi kuingia kwa mji fulani zote zinakua ni sherehe za kuzaliwa Rais?
Nenda darasan
Humu huwez someshwa
Tamam inshaallah jawabu sahihi kabisa njoo darasani tukufundishe
Sijui wangekuwa wanaelimu Kama wanachuoni wenye kuzingatiwa ingekuwaje majigambo yake.Kila siku mnatetea majambo yenu ya kizushi hakuna dalili ya quraan Wala hadithi za Mtume swalalahu ghalayhi wasalam
Ungeona hapo majigambo yake naa ss twatetea hatuna dalili na ww unae pinga tupe dalili ama dalili zako ni shekhe kasema shekhe kasema
Kama hutaki mtume kutangazwa na kusifiwa tuachie ss tumsifu na tutamsifu mpaka kufa,
Maa shaa ALLAAH Ila na wewe pia una elimu usijidharau na elimu yako yaonyesha wazi hapo uliposema 👉 GHALAYHI. Kwanza inatakiwa kila mtu ajishughulishe na mapungufu yake kwanza kisha ya wengine. ALLAH ATUONGOZE SOTE AAAMIIYN
Lete hoja
Mjinga mmoja huyu