KICHWA CHA HABARI NI TOFAUTI NA KILICHOMO NDANI, Kwa kweli Shekh wa mkoa amezungumza vizuri sana ktk clip hii , ni faraja kuwa na shekh mwenye elimu ktk mkoa wetu. Allah amhifadhi
Maulidi ni jambo lenye kuziswa Maswahab Allah awaridhie ni wajuzi zaid wa kuijua dini ya Allah. Na ndiyo watu wenye pupa zaid wa mambo ya kheti Na ndy watu walimpenda zaid mtume Na ndiyo walioshikamana zaid na sunna za mtume Na pamoja na yote hayo hawakusherehekea mazaxi ya mtume Yangelikuwa yana kheri wangetutangulia juu yake
** Mashallah sheikh nampenda anaxungumza vizuri ila ANGEMALIZIA NA HAPO KWA WANYAMA KUXUNGUMZA LUGHA FASAHA YA KIARABU, ANGETUSAIDIA SANA TUJUE NI MAJAZI AU MASHAIRI***
Ndugu yangu jambo la wanyama kuzungumza lisikushtuwe maana ikiwa Mungu ameweza kufanya wanyama wakazungumza na Nabii Suleiman.Swali je itashindikana kwa Mtume Muhammad kuzaliwa kwake ? Kimsingi Mungu anaeza kufanya jambo likawa kun faya kun. Nukta muhimu mitume sio kama sisi daraja zao ziko juu kutuliko sisi.
@@bafagih93lakini kumbuka kuwa Nabi Suleiman Allah alimpa ufahamu wakuskia lugha za wanyama na sio vile unafikiria wewe na Allah alimjalia yeye pekee kuskia sio kilam2. Ila hapo kwa wanyama kuongea kiarabu faswaaa 😅😅😅😅😅😅😅 na mengi kuongezea juu ya mtume. Fanyeni maulidi Ila hakuna kitu maulidi kwa uislam. Sisi nikinani kufanya maulidi wakati maswahaba hawakufanya Kisha huyo munaye mfanyia maulidi mwenyewe alikua akifunga siku yakuzaliwa kwake. Mbona musifuate Sunna basi kumpenda mtume mifunge na nyinyi kwani mpaka kukusanyika kwenu mupige magoma na kucheza . Allah akupeni ufahamu IN SHAA ALLAH.
@@omarabdallah372 wanishangaza sana brother sasa ikiwa mtume hakufanya kitu wakati wake wewe ndio wapima ni bidaah basi kuna mangapi yakupima ambayo ni bidaah ukianza na calendar ya kiislamu wakati wa mtume ilikuwa hamna ? Lakini cha muhimu unafaa kuelewa kama jambo ni bidaah na ni bora kwa uisilamu basi bidaah hio huwa ni katika bidaah inayofaaa ...umuhimu unafaa kuelewa wakati wewe utataka kuelewa. Hapa hatushindani bali tunaelimishana.
Siipendi malumbano katika hili lakini naomba niseme ," Ispokua walioamini na kutenda amali njema" Al assir- Jee miongoni mwa amali njema ni zipi? Na kama tusisome haya maulidi basi tuambieni tufanye nini ili kwamba ibaki tu dunia ijue kwamba hii sku kuna jambo kwa waislam duniani kote? Kwasababu tukisema tuache kusoma hyo maulidi unaufikiria tutafanya nini kutofautisha hulka za Zetu na Makafiri
@@alsharif456 funga kila j3 na alhamis, watendee wema wazazi wako, simamisha swala, toa zaka, nenda hija kama unaweza, na mengine mengi ukifanya haya makafiri wote na dunia watajua wewe unampenda mtume
KAMA MAULIDI KWENYE QUR'AN HAYAJA TAJWA BASI HAYAPO NAJE MWENYEWE BWANA MTUME S.A.W HAJA YAFANYA BASI MAULIDI HAYAPO HADITHI ZIMETUNGWA TUTOLEENI MAULI KWENYE QUR'AN TUKUFU JAMANI MWATUCHANGANYA SISI WENYE ELMU NDOGO
@@Abdallah-e7o Mbona unamwita mwenzio jina la kumtoa katika uislamu ?? UNAYO DALILI JUU YA HILO ?? AU UNAJISEMEA TU KAMA MTOTO WA BACHO ? Anapoambiwa athibitishe analeta balbala tu hadi akakimbia ..
Sh walidi samahani sikusudii kukukosoa mmi ni mtafutaji wa Elim hii وربك يخلق مايشاء ويختار، ،،،،،، ipoh surat Al qasas aya ya 68 kama nimekusikiavizuri umesema Al anam mmi nailiwahi kuihifadhi aya hiyo katika suratul qaswas 668
المشترك الأكبر والأقوي والأظهر هو اجتماع الصوفية والشيعة معًا ليس فقط في تقديس أوليائهم وأئمتهم، ولكن في إعداد الحدث والتاريخ وجعله في خدمتهم ولصالحهم بحسب رؤيتهم وإن نحروا المنهجية التاريخية والعلمية أيضًا على قربان التقرب إليهم، ولو زيفوا الوقائع. إن من يطالع القصائد الحارة فى مراثي النبي صلى الله عليه وسلم من كافة المسلمين على اختلاف عصورهم ومشاربهم، سيتكشف له أن قصائد الشيعة غالبًا ما يكون مفتتحها مدح أو رثاء الرسول بينما غايتها الكامنة هى مديح أو رثاء آل البيت والمعصومين من أئمتهم، يشهد بهذا الدكتور محمود على مكي حيث يقول : (على أن ما نلاحظه على شعر السيد الحميري، وغيره من شعراء الشيعة، أن تناولهم لجوانب من سيرة الرسول صلى الله عليه وسلم لم يكن مقصودًا لذاته، بل هو موظَّف لخدمة عقائدهم فى آل البيت، فهو مجرد منطلق لهم لكي يبسطوا قضيتهم وحججهم لأحقية أئمة آل البيت فى الخلافة) [المدائح النبوية، ص73]. ذلك في الوقت الذي يتجرد فيه أهل السنة من هذا النَّزق؛ فمبتدأ رثائهم ومدحهم وخاتمته هو خالص محبتهم للرسول صلى الله عليه وسلم، وإن بدت قصائدهم ـ للوهلة الأولى ـ أقل لوعة وحرقة واشتياقًا لأنها تقوم على العقل أو ما يسمى الرشدنة، بينما يفتقد الصوفية هذا الرشد فتبدو قصائدهم أكثر حرارة وموجدة لأن محبتهم دعائمها العاطفة المحمومة غير الرشيدة التي تستمد سخونتها من الأحاديث الضعيفة والموضوعات والقصص الموضوعة المدسوسة على سيرة رسولنا الكريم صلى الله عليه وسلم. ومع هذا فلا يستطيع منصف إلا أن يشهد بأن المتصوفة خالفوا الشيعة من حيث كون مدحهم للرسول صلى الله عليه وسلم ومراثيهم فيه إنما غايته حب الرسول ذاته دون أن يخلطوا به حبهم لمشايخهم وأقطابهم وأبدالهم، وهي نظرة تتفق مع أهل السنة حينًا ثم لا تلبث أن تفارقها حين تتبنى مفهوم أزلية الوجود المحمدي وأن هذا الوجود أول شيء خلقه الله وأن كل موجود يستمد منه، فهو مبدأ الوجود والحياة وأن نوره تجسم في صورة آدم وصور الأنبياء من بعده. وهو يتجسم بعد الرسول في صور الأولياء من أقطاب الصوفية الذين يصلون منه إلى مرحلة الذوبان بما يسمى بالفناء الكلي فى الذات العلية، لتجد أنهم ما كادوا يلامسون أهل السنة حتى يميلوا كل الميل تجاه الشيعة فيتجاوز حبهم لمشايخهم وأقطابهم حبهم للرسول صلى الله عليه وسلم، وهذا عندهم أصل الأصول للقربى والوصول فيسبحوا بعيدًا عن مرفأ النهج النبوي القويم وإن ظنوا المثول
Mobana hatuoni wadudu , paka ngurue ,simba , samaki papa jodar king siku ya rabiul awal kukusanyika ku sherehekea mazazi yamtume, na hawo wanyama nibwawo wakuwanza ku pongeza hongera mimba ya mtume
Nitangulize kusema binafsi si shabiki wa maulid toka utoto na huwa siendi. Ila kamwe siwezi kaa na kutukana wanafanya maulid. Sabb nimepata kusoma kiduchuuu kwa sheikh wakubwa (horizontal vs vertical learning approach). Wanaofanya wanahoja zao ziheshimu kama huzipendi waachie kama utashindwa kuwavuta upande wako. Kipindi tunakua mwanza, maulid ilikuwa ni kuchanga na kujenga msingi wa walau darasa moja
Huu wingi wa mashek sio mzuri . Kumbe wanajua kuhusu barzanj na uongo kwenye kitabu chake na bado wanasisitiza maulidi . Kwani shida iko wapi mkisema ukweli??
Kisha kuhusu mtume s.a.w alifunga sikuwaiga mayahudi ila alifanya kwakuwa musa hakuwa muyahudi alikua muislam sawa. Na nyinyi mwawaiga mashiya wala hamuigi mtume kuwa hakufanya maulidi siku yake kuzaliwa.
Ikiwa nafsi yako inasita ukitaka kufanya Ibada basi jua Ibada hiyo Allah anaipenda kwa ivo Ibilisi lazima atafute Mwanya wa kukuzuia, Allah atusaisie sote
Kama mpaka leo wasema tumeshindwa maana yake wewe ndio umeshindwa kwasababu hata leo hapa tulipo ukiulizwa swali huwezi jibu,na Lau ukipewa dalili pia huwez amini kwasababu wewe una TAASUBI.
Kasome elmu kwanza ndio uongee. Uzushi wa barzanji ni nini eleza. Hio bachu wenu yeye alijibiwa swali lake mbona yeye ameshindwa kujibu swali aloulizwa. Jana ajuwalo huyu maneno mengi tuu. Nenda u google uone vile huyo bachu anatolewa makosa .
MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa, SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ? Nakupa Highlight: Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO) Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ. Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi? Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi kwenye DARAI NNUBUA inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ? swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO) Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ? mi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR. Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث wamesema wamesahihisha hadith kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia. SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU akamwambia hii uloleta ni hadith lazima tutudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako.. SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH?? Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa مصطلح الحديث
Hizo aya unavyo zitafasir ndivyo walivyo zitafasr wanazuoni wabobez w tafasr y qur..n, au unatujulisha kua wewe pia ni mwanafunz w alie kua mnajim w afrik mashark, kumbe hukuchukuatu sent, kil wik bali uliisom kwake elim y ramli na nyot, duh huu ni mtihani mwingine!!!!
Tatizo masheikh angalieni tusiwafuate manaswara wanao hadhimisha siku ya kuzaliwa Issa bin Mariam. Yapo mambo 35 yanayo yaramisha hio Maulidi.toeni dalili za kuhalalisha maulidi
Maulid Ni uzushi na hakuna atakae mfunza Nasoro Bachu,hivi hawa watu wa maulidi hua wakiobgea uzushi hua wanajiskiza kweli SUfi hamko pamoja na mtume msijisumbue
Baatwill haiwezi kuishinda HAQQI hata siku moja, ukweli utabaki kuwa ukweli tu kwamba MAULIDI NI UZUSHI TU Nna hakuna hata SWAHABA MMOJA ALIYEFANYA HUU UZUSHI ETI WA MAZAZI YA MTUME...YAANI NI AJABU KWAMBA MASUFI NA MASHIA WANAUJUA UISLAM KUWASHINDA MASWAHABA...
Hivi vita vya maulidi bado vyaendelea tu...haya mambo kuanzia 1960's....huyu mtoto bachu elimu yake ndogo ukilonganisha na hao wengine....hamaki nyingi za kitoto
Siku hizi ukitaka upate comments na views nyingi andika kichwa cha habari moto wa Bachu na weka picha yake kabisa maana ndie habari ya mjini😂 Simbaaa😂😂😂 ana kichwa kimoja ila kama ana vichwa 1000 anaitwa milles têtes kwaki faransa😂
Kwa kusema Kuna siku nuksi ktk hi Dunia ilo limekatazwa kwa adithi ya mtume swalallahu alayhi wasalam aliyeipokea abuu huraira radhiyallahu anhu amesema allah ananiuzi Bin adam anaetukana masiku akika allah ndio masiku na yeye ndie ubadirisha usiku na mchana na ktk riwaya nyingine Wala usitukane siku akika allah yeye ndio masiku) soma kitabu al mukhalasu sherehe kitabu tawhidi ukurasa 339 mpaka 341 20:17
Kwahio na nyinyi ndio hamtatoa hio itifaki Hadi aseme hajui,akisema hakuna hamtoi?kwahio mmko radhi mbanie hio elimu hata kwa masufi wenzenu, Haya sisi kwa niaba yake twasema hajui wewe saidi haya tuambie kama IPO endapo angesema hajui,nakupa hii challenge
Hebu tuambie taraweeh Mtume hajaiweka kwa muda mskitini. Kuogopea isifanywe ni faradhi. Sasa tukiswali taraweh mskitini si ni bid a pia. Mnaona maulid tu Tutayasoma mpaka kufa
@@mwanakheri2880 Usituchekeshe ,huwez fananisha maulidi na taraweeh ukafanya qiasi,taraweeh Ina asli kwny dini hadithi zipo wazi,mtume ameiswali na masahaba,Kisha badae ndio akaogopea isije faradhishwa kwsbb wahyi unaendelea yupo hai,lkn Omar ndio akaiendeleza kwsbb ana mashikio na walimsikia mtume aliiacha kuswali msikitini kwsbb moja,na hio sababu ishakatika kwakuwa kashakufa na wahyi haushuki,hajazusha asli Bali ameendeleza Sunna,je nyinyi Wana maulidi mtume na masahaba waliwahi hata mara moja au mlijitungia Karne za baadae kw hoja za kutunga tunga,
Bidaaa moja wapo ni tarawehe mnayoswali ya rakaa nane zile alizo swali Mtume swala llahu alayhi wassalam kwa lisaaa tu wakati Mtume swala llahu alayhi wassalam alikuwa anaswali hizo rakaa nane mpaka unamkuta wakati wa kula Daku ndio amalizia ya nane,sasa nyinyi huo uzushi wa kuswali saa moja ama kwa juzu moja tu na mwakimbilia kwenda kulala mmetoa wapi?? Hayo mashindano ya Qur'an mmetoa wapi???hiyo kuswali kwa pamoja tarawehe mmetoa wapi, wakati wa Mtume hakukuwa na fataha kasira dhuma Tee Theee bee n.k katika lugha ya kiarabu ambayo ndiyo leo HII twaisoma Qur'an hivi je kama wakati wa kipenzi chetu hazikuwepo leo sio bidaaa ???
Watu wa maulidi zingatieni hapa: IKIWA HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA KRISMASS (KUZALIWA YESU), hivyohivyo HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA MAULIDI (KUZALIWA MTUME MUHAMMAD SWALLALLAHU ALAIHI WASALLAM), Nyinyi na wakristo ni kitu kimoja Munafuata uzushi, Musiwasemange Wenzenu
Kabisa, Na Watu wa Maulidi kupinga wakristo kufanya Christmas na wao hawajielewi kama ndio wamewafanana nao, yaani hata sijui hawa watu wa Maulidi wanafikiria nini
Kama watu wanasherehekea kuzaliwa wavuta bangi na wanamuziki wa kizazi kipya kuna ubaya gani kwa mbora wa viumbe?(saw),hata kama ni bida"a,ni mapenzi tu.usithubutu kuingilia mapenzi unatafuta balaa,tunampenda saaana mtume wetu.
unaakili sana Allah akupe mwisho mwema inshaallah yani hakuna shida hata kama hakikufanywa na mitume sii mtu mitume wote lkn hupati dhambi mbn haina shida ufaham ndio hawana vitu vingine sio mpaka uwe na ilmu
Urongo wa kikao hicho chote. Waliyo hapo ni wazushi tu. Na uzushi wao wakupenda mtume. Angaliyeni huyu shk asema hapo alivyo vaa na hao wote wapendao mtume zaidi mavazi hayo mbona kwenye swala zote mwava kanzu mbovu bila koti bila juba bila kashida bila bakora bila miwani muvazo nyote fashion moja mbona mavazi mazuri hamuvai mbele ya mungu
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unamuita muumini mwenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa. يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM Allah سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha. hajo maneno uloyacommemt utakuja kuulizwa ndugu yangu
@@hassanrajab7147 mnajifanya kumsifu kuliko walikuwa nae maswahaba wapenzi wake, mumpende zaidi, tumamsifi sana daima sio mfungo huu pekee, mtume kazakiwa lini hakuna anae juwa hio siku ni Ile alikufaa subhanallah
Sisemi maulidi haramu lakni wakati wa masahaba ilikua hana maulid na kunamtu kakaa kayatunga mauld sio faradhi wa sio sunna mauli hafai kuyapa darja ya faradhi wa la kuyapadarja ya sunna
Unaposema maulidy uzushi unafaham wachokizungumza aw watoa kilma tu mrad maulid nen tafsir na maana ya maulidy kwasababu kuna attafsir wal,,maaani na istwilaah nipe maana ya na tafsr ya neno maulid so wasema tu maulid uzushi ko nawe pia ni uzushi swez laum pia maana elim na uelewa ni vitu viwili tofauty waeza kua na elim lakin huna uelewa allah atupen ufaham na ttawqir ktk kwely
Na lau maulidii ingalikuw n suunaa bs mtume asingali wacha kufanya kwn kuna mengi aliyaona kbla kufa kwk jeee aliona kutakuja wanazuwon waovu na waongoo ndio kma hawa wanaosapot maulidii
Mtoto wa Bachu na kuuliza elimu uliokwenda kuisoma ni ya kupinga maulidi pekee? Leo 6/10/23 mskiti Musa mombasa kuanzia mwanzo wa khutba ya ijumaa mpaka mwisho hakuna kitu umeongea Ila maulid kwani yanakuudhi sana? Msiba kweli
أما الشيعة فقد رأوا في علي ابن أبي طالب "الإمام الأول" بعد رسول الله صلى الله عليه وسلم وأثبتوا له الوصاية، وقداسة خاصة تأرجحت بين كونه معصومًا، ووصيًا، ووليًا، وإمامًا، ومهديًا، ونبيًا، وإلهًا، كما صوروه وبيده كرامات لا تقل عن المعجزات، وعددوها، وتكلموا عن بدء وجوده على الأرض حتى صار "محمد" هو النور المحمدي الأول، و "علي" ظلاله أو انعكاسه. هذا عن "علي" في حياته بحسب تصور الشيعة بعامة، أما عن مدفنه بالنجف قريبًا من كربلاء فعند الشيعة الإمامية المعتدلة أن سيدنا إبراهيم عليه وعلى نبينا الصلاة والسلام قد أنبأ أن هذا المكان سيكون قبر "علي" وعليه مشهد عظيم يفوز به سبعون ألفًا يدخلون الجنة بغير حساب ويشفعون لغيرهم! فكان القبر هو "وادي السلام" وهو جزء من جنة الله الباقية وإليه تحشد أرواح الشيعة، ويلتمسون من "علي" الشفاعة، ومن "قبره" الشفاء في الدنيا، فينادونه: (يا صاحب العصا والميسم.. يا قسيم الجنة والنار.. يا وارث النبيين". ومن العجيب أن الشيعة قبل أن يخطوا باب المشهد العلوي بأقدامهم يتجهون نحو يثرب مدينة الرسول صلى الله عليه وسلم، يصيحون: (أتأذن يا رسول الله أن أدخل على "علي" ابن عمك، وزوج ابنتك)، ولكنهم حين يتخطون الباب الخارجي لمشهد علي ويقفون أمام قبره يرددون: (السلام على الذات العليا، السلام على ذات الله القائمة بالسنن، السلام على المن والسلوى) [انظر "شجرة محمد" للدكتور علي سامي النشار، ومحمد شاكر]. وزيارة الشيعة لمدينة رسول الله صلى الله عليه وسلم تشهد بجلاء صحة ما ذهبتُ إليه أن رسول الله صلى عليه وسلم بالنسبة للشيعة وسيلة ليس إلا، وإنما الغاية فهو ابن عمه "علي" رضي الله عنه، وهو ما يثبت أن هذا نهج مركوز فيهم تبنوه عقيدة وشريعة، وأظهرت قصائدهم مكنون قلوبهم حين يفتتحونها بمدح أو رثاء الرسول صلى الله عليه وسلم على سبيل الوسيلة، بينما غايتهم ومقصدهم هي مديح أو رثاء آل البيت والمعصومين من أئمتهم وعلى رأسهم علي بن أبي طالب الذي حاولوا تلفيق وقائع التاريخ ليكون له مع الرسول صلى الله عليه وسلم في كل أوقاته ورحلاته صحبة ومشاركة وإن استلزم هذا نفي الأشخاص الذين شهدوا تلك الوقائع، ذلك أن العقل الشيعي يسمح بتجاوز ذلك كله وهضمه بمنتهى الأريحية.
انا لله وانا اليه رجعون sjawahi kusikia tafsiri mbovu ya quran kama anayosema huyo mnaemwita shekh wa mkoa subhana llah eti KUNASIKU YA NUKSI ALLAH KAUMBA SIKU YA NUKSI HAWA MAGURAFI WAKO MBALI NA TAWHID.
Wewe ni hovyo hovyo kweli kabisa,sasa hapo unafuata dini ama Taasubi?? Kwani hii sio aya ?je hiyo tafsiri unayotaka ni ipi ?? { إِنَّاۤ أَرۡسَلۡنَا عَلَیۡهِمۡ رِیحࣰا صَرۡصَرࣰا فِی یَوۡمِ نَحۡسࣲ مُّسۡتَمِرّ } [Surah Al-Qamar: 19] Hii مُّسۡتَمِرࣲّ maana yake nini???
Jameni hili Jambo Nashidwa shida iko wapi. Watu waliitana kwenye mahojiano. Sasa huyu mmoja ndiye kakaa kioja. Swali ni mtu maulidi yake alikua akifanyaje, jibu alikua akifunga kila Jumatatu. Je waswahaba walikua wakimswalia vipi Mtume? Na Jambo kama ni munkar walizuia vipi? jibu ni mkono, ulimi kuchukia. Tuacheni maslah
Kuanzia leo nilikua wahabi nisharudi baada kuujua ukweli kuwa mawahabi ni watu hatari sana ktk dinu yetu yaani miwahabi ina sifa za ujuaju kisha tunafundishwa kuwabagua waislamu wenzetu tunaweza kuoisha na muuslamu mwenzako humsalimiii moaka umuine ana kikanzu kifupi na kafuga ndevu hatari na asie na ndevu tumbague jamani dini inapelekwa wapi na mawahabi
Tatzo sio kujibiwa hoja, hoja hujubiwa kwa utaratibu wa maelezo na maswali kama swali moja tu kakimbia unadhani hizo hoja zake mbovu zitajibiwa vp hata kule tanga alikua anakwepa kujibu maswali na kujifanya mjuaji
Hao wanaopnga maulid niwaongo tu man wanasema maulid nibidaa Mana Zama za mtume hayakuwepo VP hao hawatumii cmu na Kama wanatumia je Zama za mtume zilikuwepo
وكان وراء هذه البيئة الصوفية والبيئة الشيعية السالفة بيئة أهل السنة، لكنها لم تبنِ هذا الإجلال على أفكار المتصوفة والشيعة وما ذهبا إليه من قِدَّم النور المحمدي أو من قِدَّم الوجود المحمدي ولم تبنه أيضًا على أنه صورة الذات الإلهية وكل وجود مستعارٌ منه، وإنما بنته على قدسيته وأنه مَثَلٌ أعلى في الحياتين الدينية والخُلُقية، ومن أجل ذلك تعلقت بلألائه قلوب أهل السنة، ولهجوا بمديحه والثناء عليه بقصائد رنانة أكثروا فيها من الاستغاثة به. وكانوا إذا حجُّوا أو أدَّوا فريضة الحج زاروا قبره الطاهر في ذهابهم أو في إيابهم خاشعين متبتلين[دكتور شوقي ضيف، فصول في الشعر ونقده]. كما يتأكد اتفاق المشرب والمسلك والمنهج بين الشيعة والصوفية في حبهم وتوقيرهم ــ إلى حد المغالاة ــ الإمام علي بن أبي طالب وأولاده، ومشايعتهم له حتى زيفوا الحقائق التاريخية دون أن تجفل لهم عين؛ فقد احتل ابن عم النبي وصهره في عقائد أهل السنة والجماعة المكان الأول في الحياة الروحية للمسلمين ــ رفعه أهل السنة بلا استثناء، رفعوه "روحيًا" على مقام كل من أبي بكر وعمر ولكن وضعوه فقهيًا في النسق، رابع خلفاء محمد صلى الله عليه وسلم ــ أما الصوفية وهم في مجموعهم أهل سنة وجماعة .... فكان الإمام علي رأس سندهم، وقمة سلاسلهم وإليه نهاية الطريق ووضعوا على لسانه آثارًا ونسبوا إليه العلم اللدني ... وإلى علي يتشوف التصوف السني. أما الشيعة فقد رأوا في علي ابن أبي طالب "الإمام الأول" بعد رسول الله صلى الله عليه وسلم وأثبتوا له الوصاية، وقداسة خاصة تأرجحت بين كونه معصومًا، ووصيًا، ووليًا، وإمامًا، ومهديًا، ونبيًا، وإلهًا، كما صوروه وبيده كرامات لا تقل عن المعجزات، وعددوها، وتكلموا عن بدء وجوده على الأرض حتى صار "محمد" هو النور المحمدي الأول، و "علي" ظلاله أو انعكاسه.
Uhisiano Baina na masufi ولقد اتفق الطرفان الشيعة والمتصوفة على الزعم بأن للدين باطنًا وظاهرًا، في محاولة للاستعلاء بالعلم على العلماء من أهل الظاهر، باعتبارهم هم أهل الباطن والباطن هو المراد على الحقيقة, ولا يعلمه إلا الأئمة والأولياء بينما علم الظاهر هو المتبادر من النصوص ويفهمه العامة وغيرهم! وحجتهم في هذا، أن منهج النقل معارض للمنهج الذوقي الذي يأتي منه العلم مباشرة إلى القلب دون حاجة إلى رواية، وفي ذلك ما يقوله الصوفية للفقهاء: (أخذتم علومكم من ميت عن ميت، وأخذنا علومنا من الحي الذي لا يموت)، وهو ما يعبر عنه ابن الفارض بقوله في التائية الكبرى: فثمَّ وراءَ النقلِ علمٌ يدقُّ عنْ مَداركِ غاياتِ العُقُولِ السّليمَة أما المشترك الأكبر بينهما فيأتي في تقديسهم للأئمة والأولياء؛ فرفع الشيعة مرتبة أئمتهم فوق مرتبة الأنبياء عليهم السلام أو مثلها، فادعوا لأئمتهم العصمة من الزلل، فلا تجوز عليهم الكبائر ولا الصغائر، لا عمدًا ولا سهوًا، من طفولتهم إلى موتهم، كما يعتقدون فيهم الإحاطة بكل ما فيه مصلحة المسلمين [انظر: مقالات الإسلاميين للأشعري (21/1). شرح نهج البلاغة لابن أبي الحديد (12/7). عقائد الإمامية ص 51. الحكومة الإسلامية للخميني ص 91]. وانتهج صنيعهم الصوفية فأنزلوا صفات من صفات الخالق عز وجل على أوليائهم وأقطابهم وأبدالهم من التصرف في الكون، وتدبير شؤونه ونحو هذا. يلي تقديس الأولياء والأئمة، تقديس الموتى والقبور، والاستغاثة بهم؛ فتقديس القبور وزيارة المشاهد ركن من أركان المعتقد الشيعي، وهم أول من بنى المشاهد على القبور، وجعلوه شعارهم [رسائل إخوان الصفا: 4/119]. وأدركهم الصوفية فجعلوا أهم شعائرهم زيارة القبور, وبناء الأضرحة, والطواف بها, والتبرك بأحجارها والاستغاثة بأصحابها كما أسلفنا
Wanachonishangaza hawa watu...basi ili na sisi tuelewe basi wayajibu maswali ya Bachu ili tujue kuwa Bachu anatudanganya...mwisho wa siku wanakuna kufanya Raddi bila kujibu kilichoulizwa...
Sheikh bachu wallah yuko wazi na ameeleweka ila sasa masufi wamefungua mlango wa shari wacheni sasa watu waingie.kumbukeni yooote ni mas'ulia ya uovu unaofanyika kwenye mlango huo wa shari.
Soma itikadi za mawahabi kuhusu Allah wasikupumbaze kwa maulid tu ukaona ni jambo kubwa pasi na kujua itikadi zao juu ya Allah wakimfananisha na baadhi ya vitu
Hivi ww umeona bachu tuu ndoo yuko sahihi someni usifuate mkumbo na msihukum watu acheni mungu ahukum mbona wezenu wakiristo wana madhehebu mengi na hakushifia yy waslam mnamatatizo ngani km wao wana soma maulidi shida yako nn waallaah mawahabi yy wabishi sana na hilo jina walikuwa hamlitaki bachu akalikubali juzi kwenye munakasha wamombasa na mshauri bachu wenu mombasa hawawezi kwa elimu wako vizuri sana
@@iddimohamed254 kwani wee ulisikia wamekwambia maulidi ni ibaada km nguzo za kiislam wee ndio wale wale tangazeni uislm sio kupiga vita maulidi wee km hutaki acha mwezako asome kesho mungu atahukum yy mawahabi kinawawasha nn kwani kuna kitu wanakuja kuomba kwenu simkazane kusomesha vitabu ili watu waaelewe pia km hawataki sibasi yann kashifa wakati mtume anatukataza mmekazana maulidi maulidi lini mtasema issa sio mungu yani mawahabi sijui mkonje nasikuzote yy ndio wenye choko choko kaa
Mungu akujazi kila la kheri na baraka Aamiin Sheikh Walid nakupenda sana kwa ajili ya Mungu na Mtumi.
KICHWA CHA HABARI NI TOFAUTI NA KILICHOMO NDANI, Kwa kweli Shekh wa mkoa amezungumza vizuri sana ktk clip hii , ni faraja kuwa na shekh mwenye elimu ktk mkoa wetu. Allah amhifadhi
Ndugu yangu Ally...Akhuuka Issa mie
Naam akhy. Shukran.
Allah awatoe waja wake kwenye baatwil na aweeka katika njia ya haki aameen.
We kweli zumbukuku, mpumbavu ktk WAPUMBAVU. Jaahili murakabu
Nawew uache kibri usome
Aamin
Maulidi ni jambo lenye kuziswa
Maswahab Allah awaridhie ni wajuzi zaid wa kuijua dini ya Allah.
Na ndiyo watu wenye pupa zaid wa mambo ya kheti
Na ndy watu walimpenda zaid mtume
Na ndiyo walioshikamana zaid na sunna za mtume
Na pamoja na yote hayo hawakusherehekea mazaxi ya mtume
Yangelikuwa yana kheri wangetutangulia juu yake
MashaAllah khutbah ya Hikma. Jazakallah khayr.
اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آل سيدنا محمد الطيبين الطاهرين
Sayadhakkaru mayyakhsha wayatajannabuhal ashaka
Allah akuweke muda mrefu wenye KHERI na baraka sheikh Walid
Mashaallah Allah akuzidishie elimu zaid
Mashaa Allah
باراك الله فيك
** Mashallah sheikh nampenda anaxungumza vizuri ila ANGEMALIZIA NA HAPO KWA WANYAMA KUXUNGUMZA LUGHA FASAHA YA KIARABU, ANGETUSAIDIA SANA TUJUE NI MAJAZI AU MASHAIRI***
Ndugu yangu jambo la wanyama kuzungumza lisikushtuwe maana ikiwa Mungu ameweza kufanya wanyama wakazungumza na Nabii Suleiman.Swali je itashindikana kwa Mtume Muhammad kuzaliwa kwake ? Kimsingi Mungu anaeza kufanya jambo likawa kun faya kun. Nukta muhimu mitume sio kama sisi daraja zao ziko juu kutuliko sisi.
@@bafagih93lakini kumbuka kuwa Nabi Suleiman Allah alimpa ufahamu wakuskia lugha za wanyama na sio vile unafikiria wewe na Allah alimjalia yeye pekee kuskia sio kilam2. Ila hapo kwa wanyama kuongea kiarabu faswaaa 😅😅😅😅😅😅😅 na mengi kuongezea juu ya mtume. Fanyeni maulidi Ila hakuna kitu maulidi kwa uislam. Sisi nikinani kufanya maulidi wakati maswahaba hawakufanya Kisha huyo munaye mfanyia maulidi mwenyewe alikua akifunga siku yakuzaliwa kwake. Mbona musifuate Sunna basi kumpenda mtume mifunge na nyinyi kwani mpaka kukusanyika kwenu mupige magoma na kucheza . Allah akupeni ufahamu IN SHAA ALLAH.
@@omarabdallah372 wanishangaza sana brother sasa ikiwa mtume hakufanya kitu wakati wake wewe ndio wapima ni bidaah basi kuna mangapi yakupima ambayo ni bidaah ukianza na calendar ya kiislamu wakati wa mtume ilikuwa hamna ? Lakini cha muhimu unafaa kuelewa kama jambo ni bidaah na ni bora kwa uisilamu basi bidaah hio huwa ni katika bidaah inayofaaa ...umuhimu unafaa kuelewa wakati wewe utataka kuelewa. Hapa hatushindani bali tunaelimishana.
Siipendi malumbano katika hili lakini naomba niseme ," Ispokua walioamini na kutenda amali njema" Al assir- Jee miongoni mwa amali njema ni zipi?
Na kama tusisome haya maulidi basi tuambieni tufanye nini ili kwamba ibaki tu dunia ijue kwamba hii sku kuna jambo kwa waislam duniani kote?
Kwasababu tukisema tuache kusoma hyo maulidi unaufikiria tutafanya nini kutofautisha hulka za Zetu na Makafiri
@@alsharif456 funga kila j3 na alhamis, watendee wema wazazi wako, simamisha swala, toa zaka, nenda hija kama unaweza, na mengine mengi ukifanya haya makafiri wote na dunia watajua wewe unampenda mtume
KAMA MAULIDI KWENYE QUR'AN HAYAJA TAJWA BASI HAYAPO NAJE MWENYEWE BWANA MTUME S.A.W HAJA YAFANYA BASI MAULIDI HAYAPO HADITHI ZIMETUNGWA TUTOLEENI MAULI KWENYE QUR'AN TUKUFU JAMANI MWATUCHANGANYA SISI WENYE ELMU NDOGO
Shukrani sana sheikh, mawahabi ni makafiri kabisa.
Jinga kubwa wew
Masha-allah
Mashaallah
Maa Shaa Allaahu
Wafuasi watume
صلى الله عليه وسلم
Allah akbar
Maulidi uzushi
Hata wewe umezuka haukuwepo wakt wa mtume🤣
Uzushi wa faida
Mbaya zaidi kuna wengine miaka ya nyuma walikuwa wakiyapinga Maulid lakini baada ya kupata vyeo wanayaunga mkono....Muogopeni Allah.
Walikuwa hawana elimu sasa wanayo.
YAANI MIMI YUSUPH BIN ABDALLAH,KUANZIA LEO SITAKAA NISHEREKEE MAULID AU KUWA SEHEM YA MAULID,ALLAH ANISIMAMIE....
Nani alikuradhimisha kusherekea maulid
Kuffar ww
Kaendeleee kukumbatia ila sisi tuachie Mtume wetu
Wala sisi hatukuhitaji wewe
😂😂😂😂
@@Abdallah-e7o
Mbona unamwita mwenzio jina la kumtoa katika uislamu ??
UNAYO DALILI JUU YA HILO ??
AU UNAJISEMEA TU KAMA MTOTO WA BACHO ?
Anapoambiwa athibitishe analeta balbala tu hadi akakimbia ..
Sh walidi samahani sikusudii kukukosoa mmi ni mtafutaji wa Elim hii وربك يخلق مايشاء ويختار، ،،،،،، ipoh surat Al qasas aya ya 68 kama nimekusikiavizuri umesema Al anam mmi nailiwahi kuihifadhi aya hiyo katika suratul qaswas 668
668 mbona sura hiyo haijafika aya hizo au na ww unasoma msahafu gani huo.
Mashallah sheikh walidi uko vizuri baarakallah fiyka
Nyie masufi ni mijitu mijinga sijapata kuona maulid ni bidaa kubwa hakufanya mtume wala maswahaba wake walio waongofuuu
Nyie mpeda wapi bidaa hi kubwaaa
@@awadhally1052 hapo ndo elimu yenu ilipoishia Mtume hakufanya basi hayo mengine tuachieni wenyewe hamujaitwa hapa pumbavu nyinyi
usiwatukane al akhy hao ni binaadamu nao
@@rukiaissa5878 🙏
Marahii alhamdulillaah tumepata haswaa shekhe wamkoa
Aya Za mungu twazijuwa bibi Mariyam ajulikana c Mada hiyo
Mnao coment kiubishani mnaocoment muwe makini RAKIBU/ ATIDU wanaandika matendo yenu nyie endeleeni kuchafuwana mtajuta siku ya mwisho Allah awasamehe😢
Mbaya zaid ukiandika comment leo itaishi mpaka Qiyama, Allah atuongoze
المشترك الأكبر والأقوي والأظهر هو اجتماع الصوفية والشيعة معًا ليس فقط في تقديس أوليائهم وأئمتهم، ولكن في إعداد الحدث والتاريخ وجعله في خدمتهم ولصالحهم بحسب رؤيتهم وإن نحروا المنهجية التاريخية والعلمية أيضًا على قربان التقرب إليهم، ولو زيفوا الوقائع.
إن من يطالع القصائد الحارة فى مراثي النبي صلى الله عليه وسلم من كافة المسلمين على اختلاف عصورهم ومشاربهم، سيتكشف له أن قصائد الشيعة غالبًا ما يكون مفتتحها مدح أو رثاء الرسول بينما غايتها الكامنة هى مديح أو رثاء آل البيت والمعصومين من أئمتهم، يشهد بهذا الدكتور محمود على مكي حيث يقول : (على أن ما نلاحظه على شعر السيد الحميري، وغيره من شعراء الشيعة، أن تناولهم لجوانب من سيرة الرسول صلى الله عليه وسلم لم يكن مقصودًا لذاته، بل هو موظَّف لخدمة عقائدهم فى آل البيت، فهو مجرد منطلق لهم لكي يبسطوا قضيتهم وحججهم لأحقية أئمة آل البيت فى الخلافة) [المدائح النبوية، ص73].
ذلك في الوقت الذي يتجرد فيه أهل السنة من هذا النَّزق؛ فمبتدأ رثائهم ومدحهم وخاتمته هو خالص محبتهم للرسول صلى الله عليه وسلم، وإن بدت قصائدهم ـ للوهلة الأولى ـ أقل لوعة وحرقة واشتياقًا لأنها تقوم على العقل أو ما يسمى الرشدنة، بينما يفتقد الصوفية هذا الرشد فتبدو قصائدهم أكثر حرارة وموجدة لأن محبتهم دعائمها العاطفة المحمومة غير الرشيدة التي تستمد سخونتها من الأحاديث الضعيفة والموضوعات والقصص الموضوعة المدسوسة على سيرة رسولنا الكريم صلى الله عليه وسلم.
ومع هذا فلا يستطيع منصف إلا أن يشهد بأن المتصوفة خالفوا الشيعة من حيث كون مدحهم للرسول صلى الله عليه وسلم ومراثيهم فيه إنما غايته حب الرسول ذاته دون أن يخلطوا به حبهم لمشايخهم وأقطابهم وأبدالهم، وهي نظرة تتفق مع أهل السنة حينًا ثم لا تلبث أن تفارقها حين تتبنى مفهوم أزلية الوجود المحمدي وأن هذا الوجود أول شيء خلقه الله وأن كل موجود يستمد منه، فهو مبدأ الوجود والحياة وأن نوره تجسم في صورة آدم وصور الأنبياء من بعده. وهو يتجسم بعد الرسول في صور الأولياء من أقطاب الصوفية الذين يصلون منه إلى مرحلة الذوبان بما يسمى بالفناء الكلي فى الذات العلية، لتجد أنهم ما كادوا يلامسون أهل السنة حتى يميلوا كل الميل تجاه الشيعة فيتجاوز حبهم لمشايخهم وأقطابهم حبهم للرسول صلى الله عليه وسلم، وهذا عندهم أصل الأصول للقربى والوصول فيسبحوا بعيدًا عن مرفأ النهج النبوي القويم وإن ظنوا المثول
قالت هو من عند الله ...
Sheikh alikosea
Masheikh Wanapenda Baatwili Kuliko Haqi
Mobana hatuoni wadudu , paka ngurue ,simba , samaki papa jodar king siku ya rabiul awal kukusanyika ku sherehekea mazazi yamtume, na hawo wanyama nibwawo wakuwanza ku pongeza hongera mimba ya mtume
Utawaona au utawaskia weww bwana. Tafta udhaifu wako wengne twawaskia😂😂😂😂
@@fahadusama2015 ebo ni masharti ya swala nigapi, ya kuyswadhi ni ngapi, saumu na haj nayo masharti nigapi tuanzie nchini
Selewi umeandika nini bwana
Nitangulize kusema binafsi si shabiki wa maulid toka utoto na huwa siendi. Ila kamwe siwezi kaa na kutukana wanafanya maulid. Sabb nimepata kusoma kiduchuuu kwa sheikh wakubwa (horizontal vs vertical learning approach). Wanaofanya wanahoja zao ziheshimu kama huzipendi waachie kama utashindwa kuwavuta upande wako. Kipindi tunakua mwanza, maulid ilikuwa ni kuchanga na kujenga msingi wa walau darasa moja
Ahsante Sana habiib, hayamaneno uliyoyasema wallaahi Allaah akubariki Sana Mzee, MWISHOWAKO uwemwema, namm mawazoyangu nikamayako kanakwamba tulizaliwapamoja
Yaani sawa umesema mimi sili nguruwe ila wanaokula sioni ubaya
Na je kama wanaofanya maulidi wanapotea 2endele kuwaacha kwasababu wanaa mlongo wao na sababu zao
@@saadomar2480 itabidi m2 akiwa anapotea aachwe apote kwasababu ashaamua kupotea kwann Umma huu umeitwa Umma bora ukijua ilo bc utakua ushajua kwann wa2 wanawakosoa wa2 wa maulid
Hata sisi hatujagawanya tauhid makundi matatu na hatujawaita mushrikina
Sh BACHU LETE USHAHIDI WAPI MTUME KALA UROJO...
Huu wingi wa mashek sio mzuri . Kumbe wanajua kuhusu barzanj na uongo kwenye kitabu chake na bado wanasisitiza maulidi . Kwani shida iko wapi mkisema ukweli??
Mashaallah ustaadh waliid maneno. Yako na akili yako kama ustaadh alhadi Allah amraham .tabaraka rahmani ndugu yangu Allah akuzidishie
Amin
Kisha kuhusu mtume s.a.w alifunga sikuwaiga mayahudi ila alifanya kwakuwa musa hakuwa muyahudi alikua muislam sawa. Na nyinyi mwawaiga mashiya wala hamuigi mtume kuwa hakufanya maulidi siku yake kuzaliwa.
Mashal ah
Ikiwa nafsi yako inasita ukitaka kufanya Ibada basi jua Ibada hiyo Allah anaipenda kwa ivo Ibilisi lazima atafute Mwanya wa kukuzuia, Allah atusaisie sote
Mimi naitaka pepo but sio nipate kwa kushiriki katika maulidi!!
Surat qasas hiyo sio anaam nakukumbusha tu. Inshaallah.
ALLAH ATUONGOZE ILA KWANI KUNA SIRI GANI KWENYE UZUSHI HATA TUKAFIKIA KUTOA UONGO KM NDIO DALILI KM
Uongo upi
Mnashindwa kite tea barazanji uzushi mtupu
Kasome acha ushabiki😂😂😂
Kama mpaka leo wasema tumeshindwa maana yake wewe ndio umeshindwa kwasababu hata leo hapa tulipo ukiulizwa swali huwezi jibu,na Lau ukipewa dalili pia huwez amini kwasababu wewe una TAASUBI.
Kasome elmu kwanza ndio uongee. Uzushi wa barzanji ni nini eleza. Hio bachu wenu yeye alijibiwa swali lake mbona yeye ameshindwa kujibu swali aloulizwa. Jana ajuwalo huyu maneno mengi tuu. Nenda u google uone vile huyo bachu anatolewa makosa .
MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
Nakupa Highlight:
Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR (KATOA HUKUMU YA HADITH HAPO)
Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini? na Tija ya تخريج ni ipi?
Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
BAADA YA MALUMBANO, Ustadh said akaamua atoe hadithi kwenye DARAI NNUBUA inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO (HADITH) HUITWA NI UONGO ?
swali lake lili gusa MTU au MUANDISHI au KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
Sheikh bachu akasema SIONGELEI SHEIKH JAFFARY BARAZANJI mi naongelea hadith
Ostadh said akamwambia mbona swali lipo pale pale… JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
mi nimekuja kutetea maneno ya sheikh jaffary barazanji, kutetea maneno yake kuwa sio uongo na video zako zote (sheikh bachu) una muitaga sheikh jaffary barazanji ni muongo na kitabu unakiita uongo na unamuita mshirikina. Ndo mana nimekuja kumtetea
SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO sio kwa MANENO YAKE ila maneno ya WANAZUONI WA مصطلح الحديث
akampa maneno ya WANAZUONI مصطلح الحديث wamesema wamesahihisha hadith kutumika ispokua HADITH MAUDHUI na pia hawaijasahihisha HADITH DHAIFU Kwenye HUKUMI WAL AKHAIDI ILA wamesahihisha kutumia HADITH DHAIF kwenye sira
na akamwambia tupo kwenye sira na HIKI KITABU CHA BARAZANJI NI SIRA ndo mana tunakitumia. SHEIKH BACHU UMESEMA hii hadith ni munkar na hadith munkar ni ipo kwenye kipengere cha HADITH DHAIFU
akamwambia hii uloleta ni hadith lazima tutudi kwa wataalamu wa hadith, je itifaki gani ya wanazuoni wa hadith walosema haya maneno uongo sio maneno yako..
SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
مصطلح الحديث
Hizo aya unavyo zitafasir ndivyo walivyo zitafasr wanazuoni wabobez w tafasr y qur..n, au unatujulisha kua wewe pia ni mwanafunz w alie kua mnajim w afrik mashark, kumbe hukuchukuatu sent, kil wik bali uliisom kwake elim y ramli na nyot, duh huu ni mtihani mwingine!!!!
Huyo n shekh wa mkoa bali sii shekh wa waislmu
Shekh walidi kaka yangu hapo umevuruga sana yani kuna siku ya nuksi Allah akukumbushe ktk haqqi
Kwani ni yeye au ni aya??
Hebu ichukue hii aya Watu hawasemi kwa matamanio yao tu'
{ إِنَّاۤ أَرۡسَلۡنَا عَلَیۡهِمۡ رِیحࣰا صَرۡصَرࣰا فِی یَوۡمِ نَحۡسࣲ مُّسۡتَمِرࣲّ (19) تَنزِعُ ٱلنَّاسَ كَأَنَّهُمۡ أَعۡجَازُ نَخۡلࣲ مُّنقَعِرࣲ (20) فَكَیۡفَ كَانَ عَذَابِی وَنُذُرِ (21) وَلَقَدۡ یَسَّرۡنَا ٱلۡقُرۡءَانَ لِلذِّكۡرِ فَهَلۡ مِن مُّدَّكِرࣲ (22) }
[Surah Al-Qamar: 19-22]
Hiyo nakhasin mustamir maana yake nini kwani mustamir si fiilu mudhwaar ambayo ni istimraar??
Maulidi ni bidaaaaaaaa
خير الهدى هدى محمد وشر الأمور محدثاتها
KAMA MWAJUA HILO BASI ACHENI KUTAJANA MAJINA SOTE TUBAKI NI WAGENI WA MTUME صلى الله عليه وآله وسلم
Hizi sherehe za maulidi hazina dalili mmejipangia wenyewe tu kama zile za crismas huo ndio ukweli,hata mkisirika mstahamili.
suratul qaswas aya 68 so an'aam
Tatizo masheikh angalieni tusiwafuate manaswara wanao hadhimisha siku ya kuzaliwa Issa bin Mariam. Yapo mambo 35 yanayo yaramisha hio Maulidi.toeni dalili za kuhalalisha maulidi
Maulid Ni uzushi na hakuna atakae mfunza Nasoro Bachu,hivi hawa watu wa maulidi hua wakiobgea uzushi hua wanajiskiza kweli SUfi hamko pamoja na mtume msijisumbue
وربك يخلق ما يشاء ويختار
Sio suratul an-ami ni suratu Al-qaswas ay 68
Kusahau kitu chakawaida. Tu, Wala usijalimzee
Kwahio katika aliyoyaongea ya karibia nusu saa, ulilofanikiwa kuliokota ni hilo tu😢
Baatwill haiwezi kuishinda HAQQI hata siku moja, ukweli utabaki kuwa ukweli tu kwamba MAULIDI NI UZUSHI TU Nna hakuna hata SWAHABA MMOJA ALIYEFANYA HUU UZUSHI ETI WA MAZAZI YA MTUME...YAANI NI AJABU KWAMBA MASUFI NA MASHIA WANAUJUA UISLAM KUWASHINDA MASWAHABA...
wewe hapo kumuadhimisha mzazi wako siku yake ya kuzaliwa na kufariki kwake ukaisoma tarehe yake na kisha kumuombea dua ni vibaya??
Hivi vita vya maulidi bado vyaendelea tu...haya mambo kuanzia 1960's....huyu mtoto bachu elimu yake ndogo ukilonganisha na hao wengine....hamaki nyingi za kitoto
Siku hizi ukitaka upate comments na views nyingi andika kichwa cha habari moto wa Bachu na weka picha yake kabisa maana ndie habari ya mjini😂 Simbaaa😂😂😂 ana kichwa kimoja ila kama ana vichwa 1000 anaitwa milles têtes kwaki faransa😂
Dini imekua km biashara sasa 😢
😂da unachekesha sana subuhana llah
سورة القصص
Kwa kusema Kuna siku nuksi ktk hi Dunia ilo limekatazwa kwa adithi ya mtume swalallahu alayhi wasalam aliyeipokea abuu huraira radhiyallahu anhu amesema allah ananiuzi Bin adam anaetukana masiku akika allah ndio masiku na yeye ndie ubadirisha usiku na mchana na ktk riwaya nyingine Wala usitukane siku akika allah yeye ndio masiku) soma kitabu al mukhalasu sherehe kitabu tawhidi ukurasa 339 mpaka 341 20:17
Sikiliza usomeshwe wewe acha porojo
Nyie ndio mnaupotosha umati wa mtume Muhamad kwa hadithi munkar badae watakuja wengine wataweka ibada yao km hii ya maulidi
Kwahio na nyinyi ndio hamtatoa hio itifaki Hadi aseme hajui,akisema hakuna hamtoi?kwahio mmko radhi mbanie hio elimu hata kwa masufi wenzenu, Haya sisi kwa niaba yake twasema hajui wewe saidi haya tuambie kama IPO endapo angesema hajui,nakupa hii challenge
Hebu tuambie taraweeh Mtume hajaiweka kwa muda mskitini. Kuogopea isifanywe ni faradhi. Sasa tukiswali taraweh mskitini si ni bid a pia. Mnaona maulid tu
Tutayasoma mpaka kufa
@@mwanakheri2880 Usituchekeshe ,huwez fananisha maulidi na taraweeh ukafanya qiasi,taraweeh Ina asli kwny dini hadithi zipo wazi,mtume ameiswali na masahaba,Kisha badae ndio akaogopea isije faradhishwa kwsbb wahyi unaendelea yupo hai,lkn Omar ndio akaiendeleza kwsbb ana mashikio na walimsikia mtume aliiacha kuswali msikitini kwsbb moja,na hio sababu ishakatika kwakuwa kashakufa na wahyi haushuki,hajazusha asli Bali ameendeleza Sunna,je nyinyi Wana maulidi mtume na masahaba waliwahi hata mara moja au mlijitungia Karne za baadae kw hoja za kutunga tunga,
Eeeeh aje asome kwa sababu elimu hanaa huyo bachuu
Bidaaa moja wapo ni tarawehe mnayoswali ya rakaa nane zile alizo swali Mtume swala llahu alayhi wassalam kwa lisaaa tu wakati Mtume swala llahu alayhi wassalam alikuwa anaswali hizo rakaa nane mpaka unamkuta wakati wa kula Daku ndio amalizia ya nane,sasa nyinyi huo uzushi wa kuswali saa moja ama kwa juzu moja tu na mwakimbilia kwenda kulala mmetoa wapi??
Hayo mashindano ya Qur'an mmetoa wapi???hiyo kuswali kwa pamoja tarawehe mmetoa wapi, wakati wa Mtume hakukuwa na fataha kasira dhuma Tee Theee bee n.k katika lugha ya kiarabu ambayo ndiyo leo HII twaisoma Qur'an hivi je kama wakati wa kipenzi chetu hazikuwepo leo sio bidaaa ???
Sote watu wa Sunnah wafuasi khasa wa Bwana Mtume Muhammad Swallallaahu Alayhi Wasallama, tukiona hivi hua tuna sikitika kwa namna munavyo potea
Toa hadithi na aya sio mtazamo wako
@@yusuphrashidi-dr1kb Hahahaha, Shekh Muhammad Nassoro Bachu peke yake kawatoa mwijiko,hahahahahaha.
Mnataka nini tena?
Tatizo nyoyo zeny zisha kufa kwa uovu wa bid'ah ulivyo wafikisha mahala pabaya sana
@@omarally6819 Toa hadithi na aya sheikh unakimbia nenda kasome kwnz
Shida ya mawahabi wao labda washaletewa habari kuwa wameongoka na wataenda peponi. Tutasoma maulid kila mnavoyapinga
@@omarally6819😂😂😂masufi si watu wazuri, wamemsababishia mtoto wa watu hadi kakojolea kiti walichomkaribishia 😂😂😂😂
Watu wa maulidi zingatieni hapa: IKIWA HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA KRISMASS (KUZALIWA YESU), hivyohivyo HAKUNA ANDIKO KWENYE VITABU VITAKATIFU KUTHIBITISHA SHEREHE YA MAULIDI (KUZALIWA MTUME MUHAMMAD SWALLALLAHU ALAIHI WASALLAM), Nyinyi na wakristo ni kitu kimoja Munafuata uzushi, Musiwasemange Wenzenu
Kabisa, Na Watu wa Maulidi kupinga wakristo kufanya Christmas na wao hawajielewi kama ndio wamewafanana nao, yaani hata sijui hawa watu wa Maulidi wanafikiria nini
@@habibasalim3092 naam, wakielewa kwamba upande wa kushoto wamezua jambo la krismass basi na wao wamezua maulidi, ngoma droo
duuuu wewe nimjinga kunzia kichwani Hadi miguuni mwako wewe nimpumbavu mjinga usie jitambua
tatizo hamkusoma wajinga nyinyi
@@shabanimussa4269 Alaa! 🤣🤣🤣 Hayo matusi ni alama ya kushindwa hoja. Ukweli unauma sana Wallah
Kama watu wanasherehekea kuzaliwa wavuta bangi na wanamuziki wa kizazi kipya kuna ubaya gani kwa mbora wa viumbe?(saw),hata kama ni bida"a,ni mapenzi tu.usithubutu kuingilia mapenzi unatafuta balaa,tunampenda saaana mtume wetu.
unaakili sana Allah akupe mwisho mwema inshaallah yani hakuna shida hata kama hakikufanywa na mitume sii mtu mitume wote lkn hupati dhambi mbn haina shida ufaham ndio hawana vitu vingine sio mpaka uwe na ilmu
@@SharifeNuru-wu1jj kwaiyo ww umempenda mtume kuliko maswahaba???
Kwaiyo wewe umempenda mtume kuliko Binti yee fatwimaa,mkewe Aisha, swahib wake Aboukary kuliko ndugu yee Ally kuliko mkwewe omary na Othman??
Jinga kubwa hilo
Urongo wa kikao hicho chote. Waliyo hapo ni wazushi tu. Na uzushi wao wakupenda mtume. Angaliyeni huyu shk asema hapo alivyo vaa na hao wote wapendao mtume zaidi mavazi hayo mbona kwenye swala zote mwava kanzu mbovu bila koti bila juba bila kashida bila bakora bila miwani muvazo nyote fashion moja mbona mavazi mazuri hamuvai mbele ya mungu
Wallahi mtaulizwa qiama maswahaba wasijue nyie mashehe u bwabwa au waganga wa faraki mjue dunia imekwisha
Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu… USILAM UMEKATAZA KUITANA HAYA MAJINA YASIOFAA Surah Hujurat Aya 11 imetusihi mambo haya, unamuita muumini mwenzako SubhanaAllah, aya hii ilikuja kwa walioamini wote tusiitane kwa majina mabaya (ya kejeli), kwani ubaya wa sifa na jina ni utokaji nje wa maadili ya Dini, na yeyote yule asiyetubu (kutubia kwa tabia yake hiyo), basi hao ndio walio wadhalimu. ALLAH ametueleza kuwa “kuitana majina mabaya na utokaji nje wa maadili ya Dini, baada ya kuwa mmeingia kwenye Uislamu na mmeufahamu. basi watu wenyekufanya hivyo ndio watu waliozidhulumu nafsi zao kwa kuyatenda mambo haya yaliyokatazwa.
يا أيها الذين آمنوا لا يسخر قوم من قوم عسى أن يكونوا خيرا منهم ولا نساء من نساء عسى أن يكن خيرا منهن ولا تلمزوا أنفسكم ولا تنابزوا بالألقاب بئس الاسم الفسوق بعد الإيمان ومن لم يتب فأولئك هم الظالمون
Tumekatazwa hata kutukana na kuikejeri miungu isio kuwa ALLAH
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّهِ فَيَسُبُّوا اللَّهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ كَذَلِكَ زَيَّنَّا لِكُلِّ أُمَّةٍ عَمَلَهُمْ ثُمَّ إِلَى رَبِّهِم مَّرْجِعُهُمْ
فَيُنَبِّئُهُم بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
HAPO UMEEENDA KINYUME NA MAFUNDISHO YA DINI YA UISLAM
Allah سُبْحَانَهُ وَتَعَالَى ametuambia
إِنَّا نَحْنُ نُحْيِي الْمَوْتَى وَنَكْتُبُ مَا قَدَّمُوا وَآثَارَهُمْ وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ فِي إِمَامٍ مُّبِينٍ
Hakika Sisi tunawafufua wafu, na tunayaandika wanayo yatanguliza, na wanayo yaacha nyuma. Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari asli lenye kubainisha.
hajo maneno uloyacommemt utakuja kuulizwa ndugu yangu
😂😂😂😂😂 badala tukapigane na watu wasiopenda uwisilamu mnakazana na maulidi maulidi 😢😢
Jamanini mtetezi wa kitabu cha barzanji nafikiri hajazaliwa,ni mbembwe tu.
15:30 KUZURU KABURI LA MTUME SAW
Mijitu ya maulid kwa kujifanya inampenda mtume
kumbe asilmia kubwa ni watu wa kilevi cha mirungi
Birthday party
A.K.A mawlidi hayakubaliki
Alie elewa like hapaa
Asalaam Alaukum Sheikh Walid.Umetaja kuchangia DAMU swali likanijia. Quran inaruhusu binaadamu tuchangiane DAMU?
Kwani Quran inaruhusu unywe panadol 😂
Kwani walid ni nabii pia yy uko kwenye maslah kaburi kila mtu atakuwa pekee yake, Allah atufanyie wepesi Ameen
Ww kama hutaki mtume asifiwe kaa kandoo
@@hassanrajab7147 mnajifanya kumsifu kuliko walikuwa nae maswahaba wapenzi wake, mumpende zaidi, tumamsifi sana daima sio mfungo huu pekee, mtume kazakiwa lini hakuna anae juwa hio siku ni Ile alikufaa subhanallah
Saut
Sisemi maulidi haramu lakni wakati wa masahaba ilikua hana maulid na kunamtu kakaa kayatunga mauld sio faradhi wa sio sunna mauli hafai kuyapa darja ya faradhi wa la kuyapadarja ya sunna
Unaposema maulidy uzushi unafaham wachokizungumza aw watoa kilma tu mrad maulid nen tafsir na maana ya maulidy kwasababu kuna attafsir wal,,maaani na istwilaah nipe maana ya na tafsr ya neno maulid so wasema tu maulid uzushi ko nawe pia ni uzushi swez laum pia maana elim na uelewa ni vitu viwili tofauty waeza kua na elim lakin huna uelewa allah atupen ufaham na ttawqir ktk kwely
Sas mtume yup shekh munaemfuata mana kama ibada Muhammad hajafundisha au kasahau hii
Kwani vita vikubwa vinavowakabili waislamu karne hii ni maulidi sio? Inna lillahi wainna ilaihi rajiun
Na lau maulidii ingalikuw n suunaa bs mtume asingali wacha kufanya kwn kuna mengi aliyaona kbla kufa kwk jeee aliona kutakuja wanazuwon waovu na waongoo ndio kma hawa wanaosapot maulidii
Kasome wwe Kwanza kama uko naelimu usingemzushia mtume .ama nikutafute nikuelimishe kuvaa kanzu tayari wajiona shekhe
Masufi hawana kheriii
Kheri zenu zipi? Maadui wa Mtumi
Kupata rizki kwa utapeli ni Haramu,,,Kichwa cha habari tofauti na maneno yasemwayo
Mtoto wa Bachu na kuuliza elimu uliokwenda kuisoma ni ya kupinga maulidi pekee? Leo 6/10/23 mskiti Musa mombasa kuanzia mwanzo wa khutba ya ijumaa mpaka mwisho hakuna kitu umeongea Ila maulid kwani yanakuudhi sana? Msiba kweli
أما الشيعة فقد رأوا في علي ابن أبي طالب "الإمام الأول" بعد رسول الله صلى الله عليه وسلم وأثبتوا له الوصاية، وقداسة خاصة تأرجحت بين كونه معصومًا، ووصيًا، ووليًا، وإمامًا، ومهديًا، ونبيًا، وإلهًا، كما صوروه وبيده كرامات لا تقل عن المعجزات، وعددوها، وتكلموا عن بدء وجوده على الأرض حتى صار "محمد" هو النور المحمدي الأول، و "علي" ظلاله أو انعكاسه.
هذا عن "علي" في حياته بحسب تصور الشيعة بعامة، أما عن مدفنه بالنجف قريبًا من كربلاء فعند الشيعة الإمامية المعتدلة أن سيدنا إبراهيم عليه وعلى نبينا الصلاة والسلام قد أنبأ أن هذا المكان سيكون قبر "علي" وعليه مشهد عظيم يفوز به سبعون ألفًا يدخلون الجنة بغير حساب ويشفعون لغيرهم! فكان القبر هو "وادي السلام" وهو جزء من جنة الله الباقية وإليه تحشد أرواح الشيعة، ويلتمسون من "علي" الشفاعة، ومن "قبره" الشفاء في الدنيا، فينادونه: (يا صاحب العصا والميسم.. يا قسيم الجنة والنار.. يا وارث النبيين".
ومن العجيب أن الشيعة قبل أن يخطوا باب المشهد العلوي بأقدامهم يتجهون نحو يثرب مدينة الرسول صلى الله عليه وسلم، يصيحون: (أتأذن يا رسول الله أن أدخل على "علي" ابن عمك، وزوج ابنتك)، ولكنهم حين يتخطون الباب الخارجي لمشهد علي ويقفون أمام قبره يرددون: (السلام على الذات العليا، السلام على ذات الله القائمة بالسنن، السلام على المن والسلوى) [انظر "شجرة محمد" للدكتور علي سامي النشار، ومحمد شاكر].
وزيارة الشيعة لمدينة رسول الله صلى الله عليه وسلم تشهد بجلاء صحة ما ذهبتُ إليه أن رسول الله صلى عليه وسلم بالنسبة للشيعة وسيلة ليس إلا، وإنما الغاية فهو ابن عمه "علي" رضي الله عنه، وهو ما يثبت أن هذا نهج مركوز فيهم تبنوه عقيدة وشريعة، وأظهرت قصائدهم مكنون قلوبهم حين يفتتحونها بمدح أو رثاء الرسول صلى الله عليه وسلم على سبيل الوسيلة، بينما غايتهم ومقصدهم هي مديح أو رثاء آل البيت والمعصومين من أئمتهم وعلى رأسهم علي بن أبي طالب الذي حاولوا تلفيق وقائع التاريخ ليكون له مع الرسول صلى الله عليه وسلم في كل أوقاته ورحلاته صحبة ومشاركة وإن استلزم هذا نفي الأشخاص الذين شهدوا تلك الوقائع، ذلك أن العقل الشيعي يسمح بتجاوز ذلك كله وهضمه بمنتهى الأريحية.
iyo ni bidaa,haina dalili hata moja katika ulimwengu wa ilmu
Kutumia yutubu nisinna pia mtume katumia
Kwanza tafuta elimu ya dini ili ujuwe maana ya bidaa na jiya zake
Wachawi
Haki umetukuka
تَمْهِيدٌ فِي مَذْهَبِ مَالِكٍ فِي ذَلِكَ:
كَانَ الْإِمَامُ مَالِكُ بْنُ أَنَسٍ مِنْ أَشَدِّ عُلَمَاءِ السَّلَفِ تَشْدِيدًا فِي اتِّبَاعِ السُّنَّةِ، وَتَدْقِيقًا فِي إِنْكَارِ الْبِدَعِ وَالْمُحْدَثَاتِ فِي الدِّينِ، حَتَّى إِنَّهُ أَنْكَرَ عَلَى عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ مَهْدِيٍّ - وَنَاهِيكَ بِعِلْمِهِ وَهَدْيِهِ - وَضْعَ رِدَائِهِ فِي مَسْجِدِ النَّبِيِّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ مِنَ الْحَرِّ وَالصَّلَاةِ عَلَيْهِ. وَأَنْكَرَ عَلَى مَنِ اسْتَشَارَهُ فِي الْإِحْرَامِ مِنْ مَسْجِدِ الرَّسُولِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ مِنْ عِنْدِ قَبْرِهِ وَنَهَاهُ عَنْ ذَلِكَ وَأَمْرَهُ بِالْإِحْرَامِ مِنَ الْمِيقَاتِ، فَلَمَّا أَلَحَّ الرَّجُلُ قَالَ لَهُ: " لَا تَفْعَلْ فَإِنِّي أَخْشَى عَلَيْكَ الْفِتْنَةَ " فَقَالَ الرَّجُلُ: وَأَيُّ فِتْنَةٍ فِي هَذَا؟ إِنَّمَا هِيَ أَمْيَالٌ أَزِيدُهَا. قَالَ: وَأَيُّ فِتْنَةٍ أَعْظَمُ مِنْ أَنْ تَرَى أَنَّكَ قَدْ سَبَقْتَ إِلَى فَضِيلَةٍ قَصَّرَ عَنْهَا رَسُولُ اللهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ؟ إِنِّي سَمِعْتُ اللهَ يَقُولُ: (فَلْيَحْذَرِ الَّذِينَ يُخَالِفُونَ عَنْ أَمْرِهِ أَنْ تُصِيبَهُمْ فِتْنَةٌ أَوْ يُصِيبَهُمْ عَذَابٌ أَلِيمٌ) (24: 63) وَمِنْ أَجَلِّ كَلَامِهِ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ: مَنْ أَحْدَثَ فِي هَذِهِ الْأُمَّةِ شَيْئًا لَمْ يَكُنْ عَلَيْهِ سَلَفُهَا فَقَدْ زَعَمَ أَنَّ رَسُولَ اللهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ خَانَ الدِّينَ وَفِي رِوَايَةٍ: الرِّسَالَةَ؛ لِأَنَّ اللهَ يَقُولُ: (الْيَوْمَ أَكْمَلْتُ لَكُمْ دِينَكُمْ) فَمَا لَمْ يَكُنْ يَوْمَئِذٍ دِينًا لَا يَكُونُ الْيَوْمَ دِينًا اهـ.
انا لله وانا اليه رجعون sjawahi kusikia tafsiri mbovu ya quran kama anayosema huyo mnaemwita shekh wa mkoa subhana llah eti KUNASIKU YA NUKSI ALLAH KAUMBA SIKU YA NUKSI HAWA MAGURAFI WAKO MBALI NA TAWHID.
Maftahmusa ubongo ndio m'bovu kabisaaa . Huwezi kuwa umeshasikia kila kitu acha ujinga
Uwahabi ni tawi la ukristo
Wewe ni hovyo hovyo kweli kabisa,sasa hapo unafuata dini ama Taasubi??
Kwani hii sio aya ?je hiyo tafsiri unayotaka ni ipi ??
{ إِنَّاۤ أَرۡسَلۡنَا عَلَیۡهِمۡ رِیحࣰا صَرۡصَرࣰا فِی یَوۡمِ نَحۡسࣲ مُّسۡتَمِرّ }
[Surah Al-Qamar: 19]
Hii مُّسۡتَمِرࣲّ maana yake nini???
Shida yako ni little knowledge bro kasome
@@mohamedrashid7864usufi ni ukafiri, Bora niwe mkristo kuliko kuwa kafir
Maulidi tumeyazoweya tu . Hayana dalili katika kitabu cha mweyezimungu wala Suna za mtume wala tabii tabiina...Ni hoja za kupamba pamba tu)NAKSHI)
Jameni hili Jambo Nashidwa shida iko wapi. Watu waliitana kwenye mahojiano. Sasa huyu mmoja ndiye kakaa kioja. Swali ni mtu maulidi yake alikua akifanyaje, jibu alikua akifunga kila Jumatatu. Je waswahaba walikua wakimswalia vipi Mtume? Na Jambo kama ni munkar walizuia vipi? jibu ni mkono, ulimi kuchukia. Tuacheni maslah
Kuanzia leo nilikua wahabi nisharudi baada kuujua ukweli kuwa mawahabi ni watu hatari sana ktk dinu yetu yaani miwahabi ina sifa za ujuaju kisha tunafundishwa kuwabagua waislamu wenzetu tunaweza kuoisha na muuslamu mwenzako humsalimiii moaka umuine ana kikanzu kifupi na kafuga ndevu hatari na asie na ndevu tumbague jamani dini inapelekwa wapi na mawahabi
Bachu akiulizwa swali gumu, utasikia asema "ILO SIO SWALI" "SWALI ILO HAKUNA"
Nani alianza kumuuliza swali mwenzake
😂
Nyinyi mawahabi mnaharibu dini na hamuwezi kuishi kama mtume waongo saana
MAJIBU YA JOJA 19 MPAKA SIKU YA KILELE CHA MAULID HAYAJAPATIKANA KAZ KUSEMA MTOTO HAJUI HAJUI MTUJUZEE HIZO HOJA SAID HAJATETEA HATA MOJA
Tatzo sio kujibiwa hoja, hoja hujubiwa kwa utaratibu wa maelezo na maswali kama swali moja tu kakimbia unadhani hizo hoja zake mbovu zitajibiwa vp hata kule tanga alikua anakwepa kujibu maswali na kujifanya mjuaji
Njoo darasanii wewe...huna elimuuu njoo usomeee
Bwana wenu kakimbia swali moja tu
Wewe mwenyewe ni bidaa umezushwa na mungu halafu hutaki bidaa ni ajabu sana
Astaghfirullah,kivip kuwa mwanadamu ni bidaa
@@thetycoon9478sababu mmekuja baada ya Mtumi😂
Hao wanaopnga maulid niwaongo tu man wanasema maulid nibidaa Mana Zama za mtume hayakuwepo VP hao hawatumii cmu na Kama wanatumia je Zama za mtume zilikuwepo
Jaafar barzanji ni liongo limemzulia mtume ushirikina
Sawa wee uliekua mkweli huna KITABU hata kimoja Cha dini kutuonyesha juhudi yoyote katika dinii...acha ujinga
وكان وراء هذه البيئة الصوفية والبيئة الشيعية السالفة بيئة أهل السنة، لكنها لم تبنِ هذا الإجلال على أفكار المتصوفة والشيعة وما ذهبا إليه من قِدَّم النور المحمدي أو من قِدَّم الوجود المحمدي ولم تبنه أيضًا على أنه صورة الذات الإلهية وكل وجود مستعارٌ منه، وإنما بنته على قدسيته وأنه مَثَلٌ أعلى في الحياتين الدينية والخُلُقية، ومن أجل ذلك تعلقت بلألائه قلوب أهل السنة، ولهجوا بمديحه والثناء عليه بقصائد رنانة أكثروا فيها من الاستغاثة به. وكانوا إذا حجُّوا أو أدَّوا فريضة الحج زاروا قبره الطاهر في ذهابهم أو في إيابهم خاشعين متبتلين[دكتور شوقي ضيف، فصول في الشعر ونقده].
كما يتأكد اتفاق المشرب والمسلك والمنهج بين الشيعة والصوفية في حبهم وتوقيرهم ــ إلى حد المغالاة ــ الإمام علي بن أبي طالب وأولاده، ومشايعتهم له حتى زيفوا الحقائق التاريخية دون أن تجفل لهم عين؛ فقد احتل ابن عم النبي وصهره في عقائد أهل السنة والجماعة المكان الأول في الحياة الروحية للمسلمين ــ رفعه أهل السنة بلا استثناء، رفعوه "روحيًا" على مقام كل من أبي بكر وعمر ولكن وضعوه فقهيًا في النسق، رابع خلفاء محمد صلى الله عليه وسلم ــ أما الصوفية وهم في مجموعهم أهل سنة وجماعة .... فكان الإمام علي رأس سندهم، وقمة سلاسلهم وإليه نهاية الطريق ووضعوا على لسانه آثارًا ونسبوا إليه العلم اللدني ... وإلى علي يتشوف التصوف السني.
أما الشيعة فقد رأوا في علي ابن أبي طالب "الإمام الأول" بعد رسول الله صلى الله عليه وسلم وأثبتوا له الوصاية، وقداسة خاصة تأرجحت بين كونه معصومًا، ووصيًا، ووليًا، وإمامًا، ومهديًا، ونبيًا، وإلهًا، كما صوروه وبيده كرامات لا تقل عن المعجزات، وعددوها، وتكلموا عن بدء وجوده على الأرض حتى صار "محمد" هو النور المحمدي الأول، و "علي" ظلاله أو انعكاسه.
Uhisiano Baina na masufi
ولقد اتفق الطرفان الشيعة والمتصوفة على الزعم بأن للدين باطنًا وظاهرًا، في محاولة للاستعلاء بالعلم على العلماء من أهل الظاهر، باعتبارهم هم أهل الباطن والباطن هو المراد على الحقيقة, ولا يعلمه إلا الأئمة والأولياء بينما علم الظاهر هو المتبادر من النصوص ويفهمه العامة وغيرهم! وحجتهم في هذا، أن منهج النقل معارض للمنهج الذوقي الذي يأتي منه العلم مباشرة إلى القلب دون حاجة إلى رواية، وفي ذلك ما يقوله الصوفية للفقهاء: (أخذتم علومكم من ميت عن ميت، وأخذنا علومنا من الحي الذي لا يموت)، وهو ما يعبر عنه ابن الفارض بقوله في التائية الكبرى:
فثمَّ وراءَ النقلِ علمٌ يدقُّ عنْ مَداركِ غاياتِ العُقُولِ السّليمَة
أما المشترك الأكبر بينهما فيأتي في تقديسهم للأئمة والأولياء؛ فرفع الشيعة مرتبة أئمتهم فوق مرتبة الأنبياء عليهم السلام أو مثلها، فادعوا لأئمتهم العصمة من الزلل، فلا تجوز عليهم الكبائر ولا الصغائر، لا عمدًا ولا سهوًا، من طفولتهم إلى موتهم، كما يعتقدون فيهم الإحاطة بكل ما فيه مصلحة المسلمين [انظر: مقالات الإسلاميين للأشعري (21/1). شرح نهج البلاغة لابن أبي الحديد (12/7). عقائد الإمامية ص 51. الحكومة الإسلامية للخميني ص 91].
وانتهج صنيعهم الصوفية فأنزلوا صفات من صفات الخالق عز وجل على أوليائهم وأقطابهم وأبدالهم من التصرف في الكون، وتدبير شؤونه ونحو هذا.
يلي تقديس الأولياء والأئمة، تقديس الموتى والقبور، والاستغاثة بهم؛ فتقديس القبور وزيارة المشاهد ركن من أركان المعتقد الشيعي، وهم أول من بنى المشاهد على القبور، وجعلوه شعارهم [رسائل إخوان الصفا: 4/119].
وأدركهم الصوفية فجعلوا أهم شعائرهم زيارة القبور, وبناء الأضرحة, والطواف بها, والتبرك بأحجارها والاستغاثة بأصحابها كما أسلفنا
Wanachonishangaza hawa watu...basi ili na sisi tuelewe basi wayajibu maswali ya Bachu ili tujue kuwa Bachu anatudanganya...mwisho wa siku wanakuna kufanya Raddi bila kujibu kilichoulizwa...
Soma usisubiri watu wajijishane ili uelewe kwani nawew utakuja kuulizwa muda wako umeutumiaje
Yule mtoto kakaa kooni wanasema hana walimu cha ajabu maswala yake 19/30 wameshindwa kuyajibu duniani .. mteteeni barzanji
Musimtukane dogo
Sheikh bachu wallah yuko wazi na ameeleweka ila sasa masufi wamefungua mlango wa shari wacheni sasa watu waingie.kumbukeni yooote ni mas'ulia ya uovu unaofanyika kwenye mlango huo wa shari.
Soma itikadi za mawahabi kuhusu Allah wasikupumbaze kwa maulid tu ukaona ni jambo kubwa pasi na kujua itikadi zao juu ya Allah wakimfananisha na baadhi ya vitu
Hawana hoja ndio maana wanabweka tu..kwa hili la barzanji ata Walid hamuwezi bachu.
Hivi ww umeona bachu tuu ndoo yuko sahihi someni usifuate mkumbo na msihukum watu acheni mungu ahukum mbona wezenu wakiristo wana madhehebu mengi na hakushifia yy waslam mnamatatizo ngani km wao wana soma maulidi shida yako nn waallaah mawahabi yy wabishi sana na hilo jina walikuwa hamlitaki bachu akalikubali juzi kwenye munakasha wamombasa na mshauri bachu wenu mombasa hawawezi kwa elimu wako vizuri sana
@@jamilahjamilah4157 uwezi elewa mpaka uwe unatafta haki maulidi sio ibada.Mombasa hatutaki maulidi na bachu tunamkubali upende usipende.
@@iddimohamed254 kwani wee ulisikia wamekwambia maulidi ni ibaada km nguzo za kiislam wee ndio wale wale tangazeni uislm sio kupiga vita maulidi wee km hutaki acha mwezako asome kesho mungu atahukum yy mawahabi kinawawasha nn kwani kuna kitu wanakuja kuomba kwenu simkazane kusomesha vitabu ili watu waaelewe pia km hawataki sibasi yann kashifa wakati mtume anatukataza mmekazana maulidi maulidi lini mtasema issa sio mungu yani mawahabi sijui mkonje nasikuzote yy ndio wenye choko choko kaa