Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mm sijawahi ona hawa watu wa dufu kupigia ndani ya msikiti!!
shehe manara shukran
Huyu ni mtu wa hovyo alafu anasimama mbele ya waislamu kuzungumza…nyinyi mashekhe. Mnajielewa kweli
Hakuna maulid
Kweli huuu ninuzushi wanamtanguliza misemaji ya mipira na watu wa klabu😢
Huyu ni mtu niwa mambo ya hovyo kabosaaa.nyie mashekhe. Mkoje
Ibada za uzushi bwana kuna wakati wanaogopa kufanyia hata ndani ya msikitini😂😂😂
Mzeee we unawasiwasi gani na peponi utaingia peke yako waache na uzushi wao we ushajua we sio mzushi sa wazushi wanakushughulisha vipi
Ndugu yangu kama kweli wewe ni mkweli tumia ukweli wako kuwapiga vita wale wanaopiga vita uislam sio waislam wenzio
Acha unafiki wako kuna watu wanacheza mpira uchi tena wanawake je ushasema hayo au kuongozwa na wanawake si uislam je umesema hayo ila wanaomswalia mtume ndio maaduwi zako acha unafiki hizo ndio hazitakiwi
Jamani Hawa mawahabi ni maadui wa Mtume Hawa.Sasa kama tyr mshajiona mmeipata Pepo bas ya nini kufuatilia fuatilia mambo yasiyowahusu?
Wewe inakuhusu nini??? FUATA YAKO NA WAISLAM WAACHE WAFANYE IBADA YAO...
Mm sijawahi ona hawa watu wa dufu kupigia ndani ya msikiti!!
shehe manara shukran
Huyu ni mtu wa hovyo alafu anasimama mbele ya waislamu kuzungumza…nyinyi mashekhe. Mnajielewa kweli
Hakuna maulid
Kweli huuu ninuzushi wanamtanguliza misemaji ya mipira na watu wa klabu😢
Huyu ni mtu niwa mambo ya hovyo kabosaaa.nyie mashekhe. Mkoje
Ibada za uzushi bwana kuna wakati wanaogopa kufanyia hata ndani ya msikitini😂😂😂
Mzeee we unawasiwasi gani na peponi utaingia peke yako waache na uzushi wao we ushajua we sio mzushi sa wazushi wanakushughulisha vipi
Ndugu yangu kama kweli wewe ni mkweli tumia ukweli wako kuwapiga vita wale wanaopiga vita uislam sio waislam wenzio
Acha unafiki wako kuna watu wanacheza mpira uchi tena wanawake je ushasema hayo au kuongozwa na wanawake si uislam je umesema hayo ila wanaomswalia mtume ndio maaduwi zako acha unafiki hizo ndio hazitakiwi
Jamani Hawa mawahabi ni maadui wa Mtume Hawa.Sasa kama tyr mshajiona mmeipata Pepo bas ya nini kufuatilia fuatilia mambo yasiyowahusu?
Wewe inakuhusu nini??? FUATA YAKO NA WAISLAM WAACHE WAFANYE IBADA YAO...