SIYO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU•KWA SASA MIUJIZA NA UPAKO VINAUZWA MADUKANI 20M | Mch.Amiel Katekela
Вставка
- Опубліковано 2 лип 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Ubarikiwe mtumishi katekela, watu wamevutwa na upako wa
Shetani.
Najaribu kushare huu ujumbe kwa mamangu ila aelewi amefungwa na awa manabii adi kuomba siku izi anaomba hivi Mungu wa nabii 😢yani jina la Yesu limetoeka kinywani mwake kabisa, sijui ni lini neema ya Mwenyezi Mungu litaokoa mamangu
Mungu amsaidie mjulishe kuhusu hii channel ya promoverTV
Amini kua wewe ni daraja lake kumwamini Mungu aliye hai kama mama yangu pia alivyoanza kubadilika.. Mungu amsaidie Amina
Ukishasikia Mkristo anaongelea Madhabahu za manabii anajiungamanisha ujue basi ni Msukule,Mitume na manabii wote waongo sababu Nabii hajawahi Kuongoza Kanisa,Neno la Mungu linayoaha kuponya hauhitaji Mafuta wala maji wewe uendelee kumuombea tu ipo siku atakombolewa!
@@myself4128 yeah sitakata tamaa nitaomba ata kufunga Mam wangu ndio alinifanya nimjue Yesu kwa hiyo sipendi apoteswe na awa waongo
@@annkim2690 ata uwa na share ili azikilize mwenyewe ila unajua awa manabii sijui wakona na kifumba macho asikii kweli atakubali leo kesho unasikia ameenda uko 😭neema ya Yesu imkumbuke tu
Mnaompinga amieli kaeni kimya na BWANA wetu YESU kiristo wa nazaleti awakemee.
Sichokagi kumskiliza huyu mchungaji jmn hakika ww umetumwa na Mungu uokoe kondoo waliopotea Mungu akubarik sana🙏🙏
Yesu alisema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel je wewe nimuisrael??? Au haya maneno aliyo sema yesu niuongo ?? Alidanganya kwamba yeye hakutumwa Bali kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel???
@@zaidiissa3714 WE NAE TUPISHE SIE, KWANI HUO UISLAM WA BABAKO HUKO MAGWEPANDE? SI LIMUNGU LA KIARABU...NENO LINASEMA WAGALATIA 3:13-14 "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho Kwa njia ya aman".......
SISI TUPO BUSY TUNASKILIZA NENO WE UNACHOWAZA UFALA WAKO KUTAKA KUBISHANA, ILI MRADI TU KUTUVURUGA USHINDWE KWA JINA LA YESU...KACHEZE UNAKO CHEZAGA
Mch,Katekela mimi nakupata sana nikiwa Burundi,MUNGU akutumie zaidi hakika ww ninabiii wanyati zamwisho,Ee Tanzania mumebarikiw kuwapata watumishi kama katekela,karibu kwetu Burundi kabisa,Tanzania mumepata neema kuwapata watumishi wazuri kama hao na msipo pokea hiyo neema mtakuw mumelogwa sisi huku burundi tutaipokea tu!Katekelaaaaa YESU KRISTO abarikiw ndani yako,na penda hiyo mtu mzima hatishiwi nyauuu
Hongela mtumishi bendera chuma mulingoti chuma
Nakubariana ne waw 100% from Kenya 🇰🇪🇰🇪
mlete Mungu wa kweli mi naona kama haumleti Mungu wa kweli na kuonysha kwa watu m naona unawapromote
MTUMISHI UBARIKIWE SANA KWAKUFANYA LISAJI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NA KUWAUMBUA WATOTO WA SHETANI
Nabii, Bw Yesu asifiwe. Nimependa kipindi chako. Naomba msaada wako kwa familia yangu Baba
Yesu alisema Mimi yesu skutumwa bali wa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel jee haya maneno ya yesu kusema Mimi sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel niyauongo???
Ubarikiwe mno baba Mchungaji, nabarikiwa na mahubiri yako .Nakufuatilia kutoka Uholanzi.
Mungu wa isaka na yakobo akuinue sema sana mara sabin
Huwa nabarikiwa Sana kukusikiza kaka God bless you
Bendera chuma mlingoti chuma. Nimependa hiyo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki,injili kama hii kwa nyakati zetu inahitajika ili kurudisha waliopote,,
Nabarikiwa Babaa,maelfu ya watu wanaenda kuzimu kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi.
Huyu ndo katekela tunayemjua sisi sasa,Wuuuuuh Hatari sana.. piga baba MUNGU yuko pamoja na wewe, na sisi tunakuombea.. maana hapa katikati ulianza kuwa na hekima flani unapozesha maneno, ila hii ndiyo dawa yenyewe imeingia...🙌🙌🙌🙌
Sema kweli mchungaji wenye masikio wasikie . Wenye macho waone wenye akili watatambua. Wabishi wataangamizwa tumepewa kuchagua uzima na mauti
Majini kila mahali, hatuko salamaa,
Kwakweli ulikuja kutuokiloa wengi ...mimi nimewahi kunywa mafuta ya upako ya nabii mmoja mpaka tulikua tunamwekea kaka etu kwa chakula ili kiu ya pombe na sigara ikate lakini haikukata....lakini namshukuru Mungu sana baada ya kukufahamu mch katekela alinifanya niokoke baada ya kusikia shuhuda zake kwa muda mrefu na alipokua matemela songea niliona analia na kusema mnakataa kuokoka ninyi aaah nililia na nikaokoka japo ilikua ngumu sana ...mpaka leo nimeokoka na namuona Mungu kwa viwango vya juu sana......Nasema mch katelela Mungu amekutuma kwaajiri yetu.....Naubarikiwe na Bwana kwa huduma
Mungu akutunze
Mafundisho hayo ya mchungaji Katekela ni ya uongo kwa sababu watumishi hao wanakuambia uchukue maji yako ya nyumbani kwako unaomba nao na matokeo yanaonekana. Halafu toa mfano wako wewe wala sio watu waliokufa. Tunataka na wewe ufanye miujiza. Mbona unarukaruka tu?. Umesema miujiza ya Mungu haina formula, mbona unataka wote wafuate akina Moses kulola walivyokuwa wanafanya? Hata mkipiga MANENO hamuwezi. Mbona wagonjwa wenu wanakwenda kuponea kwao? Kinachofanya watu waende kwao ni kwa sababu ninyi hamna upako. Watu wanakaa kwenu na mizigo kama utasa hawapati matokeo. Rudini kwa Mungu Ili awape UPAKO. KULIKO kushambulia. Baada ya Kuwa mmekosa upako, Mungu amegeukia upande wao.
Ilikuwa mwezi wa11 nikiwa nimejifungua kwa opp na mwanagu nikampoteza yule nabii alinambia mpaka mwezi wa1 utakuwa umebeba mimba nayo itakuua sasa tuma sadaka nikukomboe walah alivonambia vile nikakata sim sikumtafuta tena ila mpaka sasa nipo na mimba haijawahi ingia namtukuza Mwenyezi Mungu tangu siku hiyo niliacha kusikiliza hawa wanajiita manabii
Ukisikia tu neno tuma pesa nikuombee basiiiii kimbiaaaaa maombi hayauzwi. Sadaka ni hiari ya moyo. Kama ni Roho Mtakatifu anamuongoza mtumishi kusema utoe Huwa haiwi kama lazima. Manabii wa kweli wapo ila wachache sio kwamba hawapo. Lakin kuwajua LAZIMA uwe na Roho Mtakatifu ndani yako . Bila hivyo hutatofautisha. Ubarikiwe ulikata simu kabisa ndugu v
Ubarikiwe, YESU akutunze na Huyo mtoto aje awe mtumishi wa MUNGU.
Nafuu ulisanuka mapema maana alikuwa anataka kukufanya wewe kitega uchumi
Unafikiri kwa nn manabii watu wanawapenda ni ule upako wa uponyjaji kufufua misekure na unajua hatima sasa uwezi sikia nabii ana mzungumza vibaya mchungaji
Amina, mchungaji Amiel, Mungu amekupa Neema kuu.
Amina Amina Mtumish injili isonge mbele kwa jina la YESU
Mungu akubariki sana pastor katekela wewe ni mtumishi wa kweli na Mungu amekutuma ili utufungue kwenye uteka wa kuzimu
Namufatilia sana sana ,ulinivusha mahali,.promover Yesu akutunze na timu nzima,
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE, ASANTE MUNGU KWA NENO HILI.
Mungu akulinde sana mtumishi
Ameen,Mtumishi,ni kweli tupu tunayaona
Be blessed pastor amiel katekela am blessed more
Ubarikiwe mchungaji karibu kwetu burundi ❤
Asante sana Mch Katekella nabarikiwa sana
Mtumishi me nifanyeje,nimetumia sana Mafuta ya Mwamposa,kukanyaga,kunywa na kujipaka,mpaka saivi nina miaka 2,situmii lakini maisha yangu ni shida2
Amieli anasema ukweli kabisa
Ubarikiwe sana,Moses kulola wa baadae,Mungu akutunze
Miujiza ni ya MUNGU, hiyo ambayo si ya MUNGU inaitwa MAZINGAOMBWE.
Barikiwa Mtumishi, Roho Mtakatifu Asichezewe nimependa sanaaaaaaaa❤
Ubarikiwe. Mtumishi. Kunifu gua. Mana,
GOD BLESS U PR @katekela
Ndugu hubiri injili iletayp toba iletayo ondoleo la dhambi.
Hizo habari za kuzimu siyo lengo la Kristo
Unanibariki sana Katekela, karibu Tabora
Ubarikiwe xana mchungaji katekela
Barikiwa pastor watu wamefungwa watu wa Mungu wa kweli hawawataki ,hakuna mafanikio bila bidii (prophet Kenny mbeya
Mungu amekuokowa.
Sasa mtumishi wa Mungu kwa wale ambao tayari wameshakanyaga hizo madhabahu zao na kutoa sadaka zao pale wakiamini pana Mungu,, na mafuta wakakanyaga na kuyanywa na maji ya upako na keki ya upako wakala je watafanyaje wajiengue na hilo agano??
Hakuna kinachoshindikana kwenye Toba
Waombe toba ya kweli na kuacha kuendelea nayo kabisa na damu ya Yesu itamsafisha na kumuondolea vyote viliokuwa vimeingia ndani
Amen
MUNGU akubariki sana mtumishii mie ukwel unazidi kunifunguaa
Ezekiel 13:1 ( tusome tuelewe) mchungaji katekela ubarikiwe sana pamoja na promover Tv
Rahel
Bwana YESU ATUSAIDIE TUU ni ukweli wanatoa watu sacrifice sana sana
Wenye tunaishi mbari tunateswa na nguvu za giza, mnayunyima number ya mchungaji ili tumelezee shida zetu. Sasa mchungaji ni wa wenyeji wa kitanzania tuuuu????????
Asante sana Mchunqaji
wananchi na WA Tanzania wenzangu ngoje nikwambie kitu hebu tufuatilie vzr injili ya kristo. injili ya kristo ilitembea na nguvu na miujiza Sasa hebu katikela watu wengi wanahitaji misaada ya mwili mpe mtu miujiza ya kweli na watu watakifuata wenyewe watanzania wanahitaji msaada
Nakukubali sana mungu akubaliki sana, 12:44
Jamani kwa nini wajitwishe thambi yakudanganya watu? Mungu atawalaani
Hauwezi pata number yake mimi ninateswa na kufanya tendo la ndowa usiku kukabwa usiku, kujiona niko cooni kukanyaga kwenye kinyesi, kula nyama mbichi. Nimezikosa
Ukweli kabisa ❤
Simama Imara usirudi nyuma Katekela
Nimepona Baba🙏
Haya ndo mahubir
Kama Paulo alivyohubiri mpaka krete🙏🏽
kweli mwalimu nimeloweka kweli kwaujumbe yaani umenifungua akili kweli!
fungukeni
Mimi naomba yinyi wakristo mnijibu ili nijifunze yesu aloposema sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel jee haya maneno niyauongu yesu kadanganya nakama kasema kweli nyinyi ni wana wa Israel????plz mwenye elimu anijubu nakama wewe sio muisraeli kwanini ufuate yesu natayali yeye kasha sema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel nawewe sio muisilaeli???? Je unafuata kwanjia gani au wapi alikuambia umfuate au nikujipendekeza mahali hujulijani
Wakristo tatizo tumelala sana tunaona ndugu zetu wanateseka tunachukulia poa
Bonney alikamatwa kit miaka wa nchi fulani akiwa na Madawa ya kulevya kit Yale maspika yake maziiito aliyo Tim Is kuhubiria. Ilikuwa no mzigo wa nguvu wa mabillion ya USD
Akiwa Anatolia Malawi mwaka fulani alinikuta Mimi nikiwa nampitisha kama Customs Officer On duty miaka hiyo.Akaeeka kitu Jangwani Dar. Akaunguruma . Aliniachia zawadi yamakalenda yakeee.
MIAKA 3 baadae nikasikia habari yake kukamatwa. Shida no MTAWALA WA DUNIA HOI NI SHETANI, NA HAL WANAO FANYA BIASHARA HIZO MBOVU NO MASHETANI WAKIBINADAMU, HAWA WEZI MUHUKUMU MUG KAMA MCHUNGAJI BNKEY
Mungu baba tuepushe na manabii wa uongo
Mpaka maji nimetumia sana na familia yangu
Mungu abariki Neno lake
Fact
SANAAAAA. KWA KWELI.
Yesu yu karibu sana kurudi.
Tuokoke jamani
Balikiwa sana
Mtu mmoja anipee namba ya huyu mtumish tafadhali sana naomba kuogea nae ju ya maradhi yasio na tiba
Unawezapata namba yake ukifuatilia zile ushuhuda zake promover TV na hata ukimwita kumpata ni shida sana maana watu ni wengi sana wanao mtafuta
Jaman tupeni namba zake uwiiiii mafuta na maji na keki tumezila saana na sadaka tukatoa lakin tupo vile vile na zaidi sana tumezidi kupoteza na kuharibika
Tanzania Kwa nini inazidi uofu uku África
Kuna namna nakuelewa mchungaji❤
Amen
🔥🙏🙏💪
njaaa ni nomah duh
ni kweli tuoneshe Muujiza wako wa ukweli kama wezako wanafanya ya miujiza ya uongoo
Wewe unataka muujiza gani kwani? Ama ulishaona mazingaombwe ndiyo unaita miujiza? Kumbuka muujiza hauonyeshwi kama mazingaobwe hata Yesu aliwajibu Mafarisayo waliotaka waonyeshwe miujiza. Nguvu za Mungu zinafuata haja ya moyo wa anayemtaka Mungu. Siyo wanaomwendea Yesu kama mganga wa kienyeji.
Nimependa hapo hatuhubiri injili ili tupate hela!
Mmezidi
Mtumishi wa Mungu unayosema ni ya kweli, ila mateso ya magonjwa watu wanayopitia ndio yanayowafanya waende huko.Mfano mimi nina imani sana, ila nateseka sana na magonjwa,niombee niponye,nimechoka na hospitali.Unadhani ukiniombea nikapona nitafikiria au kuwaza kwenda huko.Nimeombewa wee wapi siponi,mwishowe naambiwa sina imani hee.Hapana ile kwenda kukubali kuombewa tayari ni kama chembe ya haladari,vipi siponi? Tena nasali TAG nikitokea Lutheran nikiaminishwa kuwa kule hakuna nguvu za Mungu,nisaidie mtumishi nina magonjwa kama yote.Mimi nitatuma hata nauli uje kwangu uniombee.Naomba wee kwa Imani ila wapi.
Pole Maria Mimi ni mkristo kama wewe 2020 niliugua vidonda vya tumbo nilikuwa na hali mbaya sana ikizingatiwa nimesikia haviponagi. Niliamua kukiri neno la uzima katika biblia mfululizo ndani ya siku tatu tu sikujua ugonjwa ulipotelea wapi Hadi Leo mimi ni mzima
@@RubenMtuwaMungu-bz8ee.Ruben nateseka sio mchezo.
Ruben ningekupa mateso ninayopita usingewexa
Pole sana Maria. Katika Biblia kuna mwanamke ambae alishika vazi la Yesu akapona, Mama huyu aliugua kwa muda mrefu kwa kutoka damu akamaliza waganga lakini hakupona alijiambia nikishika vazi la Yesu nitapona. Ile imani ilimgusa hadi Yesu akagundua kuna mtu amemgusa akapona saa ile ile. Mimi nina imani yakuwa simama na hilo andiko weka imani vazi la Yesu iwe damu ya Yesu ikakuponye tafuta mafungu ya uponyaji katika biblia uyafanye yawe yako omba yakalete miujiza na ukapone ikawe shuhuda tukamtukuze Mungu.
Mungu akuponye na magonjwa yote
Imeandikwa wapi kwamba Petro alitumia mafuta some I biblia itatuweka huru
Kama hii lugha mfano labasinta labasanta, sikatela, sandalaba bababo, sikatela
AMEEEN
Tatizo wanga wa kuza miujiza wanatoa majibu kwa watu sisi wakirsito atutoi majibu kwa watu
Hakuna majibu kwa wenye mafuta wanachokifanya utaondolewa ugonjwa wao wataondoa Roho ya maombi ndani Yako.
Daah!?
Apo sasa nawewe unawadanganya watu, ukae na rusifa kikao 😅😅😅 aahaaaah kua sieius kidogo ,ebu tuambie anafananaje anamapembe km tunavyochorewa kwenye picha au yupoje?
Elisha aliombea chumvi ikatibu maji yaliyokua yanazaa mapooza
Yesu alitumia tope kumponya kipofu
Ukisoma yakobo 5:14 kuna maelekezo ya kutumia, lakin pia hata samweli alimpaka daud mafuta, mafuta sio upako ila uthibitisho kwa ishara
Kama maji yanatumiwa kubatiza lakin hayo hayo unayasema hayafai zitakua hazimtoshi
Sisemi kua manabii wa uongo hawapo ila sometimes pia kila mtu anaposimama kusema jambo hua anakua na interest zake
Ni kweli ila haikuwa kanuni Kila Mmoja aliponywa Kwa kadri ya tatizo lako
❤
Balikiwa sana
Piga injili baba tupo nyuma yako kukuombea
Mtumishi mimi sijui roho yngu inakataa huu unenaji wa lugha ni sahihi kweli
Camera men umenikosea sana pale Katekela alipo anza kusema aina zamaji yamaiti mbona imeruka nikwanini?
Labda camera man anatumia
HALAFU KWANINI UNAKATA BAADHI YA MANENO YA MCHUNGAJI LENGO NI NIN??....UPLOADER UNATUKOSEA STOP THE NONSENSE
Bado na yeye night mchawi sababu hamna anayejua Kama amemuacha Lucifer
Anapiga hadithi tu dakika ya 16 hajanukuu hata mstari mmoja wa Biblia.
Kaa kwenye karama yako tu,sio sahihi sana,mbona nilichukua nikaweka mwamposa akiomba tunatoa bombani majibu yapo ttupe hapo inakuwaje
Kama hakuna formula kazi iendelee akili kichwani,elia alifanya nini ,kila mtuasmamie karama yake,omba lolote......hapo vipi
Yaan pamoja na mtu wa Mungu kusema ukweli hivi. Bado kuna watu hawataamini wanakimbilia mafuta. Jamaniiiiii kuwa makiniiii yaan manabii wengi wanatumikia shetaniiiiii usitishwe na unabii wanaoutoa
Acha tu jmn Mungu turehemu daaa
@@gracembando3872 yaan ni kukimbia hawafai hata kidogo. Na wanawatoa kafara waumini wao
🙄🙄🙄
Kristo atuangazie nuru ya uso wake!!!tuzidi kuombea kanisa!!!
Wakristo tusilumbane,zipo karama za miujiza,mchungaj kama Hana gipawa hicho awaache wenye vipawa vyao
Ukirogwa hata uhubiriweje huwezi kuelewa. Hivi kuna kipawa gani cha kucha na nywele? Kukanyaga mafuta maana yake ni nini? Mafunuo nje ya biblia ni uchawi
Wapendwa wenzangu,ziwa tanganyika ni kubwa.alakin wakienda kubatiza watu watu wanafunguliwa,je na maji ya tanganyika ni mauti
Tafathali rudia Aina ZA maji
Kusoma thioloji sio issue,jicho la rohoni,baba
Jiro la rohoni ndiko utapeli ulipo weka makazi yake.
Kolola wa mwaka gani.shetani wa kilola si wa kiboko ya wachawo baba, advancement of satanism eh,inahitaka nguvu kubwa,si kila jambo linawezekana au
Mbona sojakuelewa
Mim pia sijamuelewa @@shedrackmihale7329