SIYO KILA MUUJIZA NI WA MUNGU•KWA SASA MIUJIZA NA UPAKO VINAUZWA MADUKANI 20M | Mch.Amiel Katekela

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лип 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

КОМЕНТАРІ • 169

  • @ReubenMbanga
    @ReubenMbanga 3 дні тому +2

    Ubarikiwe mtumishi katekela, watu wamevutwa na upako wa
    Shetani.

  • @faithe4063
    @faithe4063 19 днів тому +38

    Najaribu kushare huu ujumbe kwa mamangu ila aelewi amefungwa na awa manabii adi kuomba siku izi anaomba hivi Mungu wa nabii 😢yani jina la Yesu limetoeka kinywani mwake kabisa, sijui ni lini neema ya Mwenyezi Mungu litaokoa mamangu

    • @annkim2690
      @annkim2690 19 днів тому +4

      Mungu amsaidie mjulishe kuhusu hii channel ya promoverTV

    • @IbrahimMgimba
      @IbrahimMgimba 19 днів тому +2

      Amini kua wewe ni daraja lake kumwamini Mungu aliye hai kama mama yangu pia alivyoanza kubadilika.. Mungu amsaidie Amina

    • @myself4128
      @myself4128 19 днів тому +2

      Ukishasikia Mkristo anaongelea Madhabahu za manabii anajiungamanisha ujue basi ni Msukule,Mitume na manabii wote waongo sababu Nabii hajawahi Kuongoza Kanisa,Neno la Mungu linayoaha kuponya hauhitaji Mafuta wala maji wewe uendelee kumuombea tu ipo siku atakombolewa!

    • @faithe4063
      @faithe4063 19 днів тому

      @@myself4128 yeah sitakata tamaa nitaomba ata kufunga Mam wangu ndio alinifanya nimjue Yesu kwa hiyo sipendi apoteswe na awa waongo

    • @faithe4063
      @faithe4063 19 днів тому

      @@annkim2690 ata uwa na share ili azikilize mwenyewe ila unajua awa manabii sijui wakona na kifumba macho asikii kweli atakubali leo kesho unasikia ameenda uko 😭neema ya Yesu imkumbuke tu

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 19 днів тому +6

    Mnaompinga amieli kaeni kimya na BWANA wetu YESU kiristo wa nazaleti awakemee.

  • @RachelEmid-jq6eo
    @RachelEmid-jq6eo 7 днів тому +2

    Sichokagi kumskiliza huyu mchungaji jmn hakika ww umetumwa na Mungu uokoe kondoo waliopotea Mungu akubarik sana🙏🙏

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 4 дні тому

      Yesu alisema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel je wewe nimuisrael??? Au haya maneno aliyo sema yesu niuongo ?? Alidanganya kwamba yeye hakutumwa Bali kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel???

    • @lilyg2134
      @lilyg2134 4 дні тому

      @@zaidiissa3714 WE NAE TUPISHE SIE, KWANI HUO UISLAM WA BABAKO HUKO MAGWEPANDE? SI LIMUNGU LA KIARABU...NENO LINASEMA WAGALATIA 3:13-14 "Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kuchukua laana hiyo kwa ajili yetu, kwa maana imeandikwa, “Mtu anayetundikwa msalabani amelaaniwa.” 14 Lakini alitukomboa ili baraka aliyo pewa Abrahamu iwafikie na watu wa mataifa mengine kwa njia ya Yesu Kristo. Na kwa kutegemea imani, sisi tupate kupokea Roho Kwa njia ya aman".......
      SISI TUPO BUSY TUNASKILIZA NENO WE UNACHOWAZA UFALA WAKO KUTAKA KUBISHANA, ILI MRADI TU KUTUVURUGA USHINDWE KWA JINA LA YESU...KACHEZE UNAKO CHEZAGA

  • @Bénigne-k4x
    @Bénigne-k4x 16 днів тому +5

    Mch,Katekela mimi nakupata sana nikiwa Burundi,MUNGU akutumie zaidi hakika ww ninabiii wanyati zamwisho,Ee Tanzania mumebarikiw kuwapata watumishi kama katekela,karibu kwetu Burundi kabisa,Tanzania mumepata neema kuwapata watumishi wazuri kama hao na msipo pokea hiyo neema mtakuw mumelogwa sisi huku burundi tutaipokea tu!Katekelaaaaa YESU KRISTO abarikiw ndani yako,na penda hiyo mtu mzima hatishiwi nyauuu

  • @wilsonkombeyeri4623
    @wilsonkombeyeri4623 2 дні тому +1

    Hongela mtumishi bendera chuma mulingoti chuma

  • @prosperousbuildingconstruc3500
    @prosperousbuildingconstruc3500 16 днів тому +9

    Nakubariana ne waw 100% from Kenya 🇰🇪🇰🇪

    • @israelimarco6465
      @israelimarco6465 8 днів тому

      mlete Mungu wa kweli mi naona kama haumleti Mungu wa kweli na kuonysha kwa watu m naona unawapromote

  • @EliasHamisi-uy7qo
    @EliasHamisi-uy7qo 12 днів тому +4

    MTUMISHI UBARIKIWE SANA KWAKUFANYA LISAJI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO NA KUWAUMBUA WATOTO WA SHETANI

  • @rishyatuni
    @rishyatuni 5 днів тому +1

    Nabii, Bw Yesu asifiwe. Nimependa kipindi chako. Naomba msaada wako kwa familia yangu Baba

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 4 дні тому

      Yesu alisema Mimi yesu skutumwa bali wa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel jee haya maneno ya yesu kusema Mimi sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel niyauongo???

  • @joycekaje8755
    @joycekaje8755 19 днів тому +6

    Ubarikiwe mno baba Mchungaji, nabarikiwa na mahubiri yako .Nakufuatilia kutoka Uholanzi.

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 19 днів тому +4

    Mungu wa isaka na yakobo akuinue sema sana mara sabin

  • @lusajomwakibinga6912
    @lusajomwakibinga6912 19 днів тому +11

    Huwa nabarikiwa Sana kukusikiza kaka God bless you

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 19 днів тому +4

    Bendera chuma mlingoti chuma. Nimependa hiyo,❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YudatadeyMassawe
    @YudatadeyMassawe 9 днів тому +1

    Mungu akubariki,injili kama hii kwa nyakati zetu inahitajika ili kurudisha waliopote,,

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 15 днів тому +1

    Nabarikiwa Babaa,maelfu ya watu wanaenda kuzimu kwa sababu ya kukosa mafundisho sahihi.

  • @makoti77
    @makoti77 17 днів тому

    Huyu ndo katekela tunayemjua sisi sasa,Wuuuuuh Hatari sana.. piga baba MUNGU yuko pamoja na wewe, na sisi tunakuombea.. maana hapa katikati ulianza kuwa na hekima flani unapozesha maneno, ila hii ndiyo dawa yenyewe imeingia...🙌🙌🙌🙌

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 19 днів тому +2

    Sema kweli mchungaji wenye masikio wasikie . Wenye macho waone wenye akili watatambua. Wabishi wataangamizwa tumepewa kuchagua uzima na mauti

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 3 дні тому +1

    Majini kila mahali, hatuko salamaa,

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 19 днів тому +12

    Kwakweli ulikuja kutuokiloa wengi ...mimi nimewahi kunywa mafuta ya upako ya nabii mmoja mpaka tulikua tunamwekea kaka etu kwa chakula ili kiu ya pombe na sigara ikate lakini haikukata....lakini namshukuru Mungu sana baada ya kukufahamu mch katekela alinifanya niokoke baada ya kusikia shuhuda zake kwa muda mrefu na alipokua matemela songea niliona analia na kusema mnakataa kuokoka ninyi aaah nililia na nikaokoka japo ilikua ngumu sana ...mpaka leo nimeokoka na namuona Mungu kwa viwango vya juu sana......Nasema mch katelela Mungu amekutuma kwaajiri yetu.....Naubarikiwe na Bwana kwa huduma

    • @peterrulagora7403
      @peterrulagora7403 15 днів тому

      Mungu akutunze

    • @user-jw7uo5po4m
      @user-jw7uo5po4m 13 днів тому

      Mafundisho hayo ya mchungaji Katekela ni ya uongo kwa sababu watumishi hao wanakuambia uchukue maji yako ya nyumbani kwako unaomba nao na matokeo yanaonekana. Halafu toa mfano wako wewe wala sio watu waliokufa. Tunataka na wewe ufanye miujiza. Mbona unarukaruka tu?. Umesema miujiza ya Mungu haina formula, mbona unataka wote wafuate akina Moses kulola walivyokuwa wanafanya? Hata mkipiga MANENO hamuwezi. Mbona wagonjwa wenu wanakwenda kuponea kwao? Kinachofanya watu waende kwao ni kwa sababu ninyi hamna upako. Watu wanakaa kwenu na mizigo kama utasa hawapati matokeo. Rudini kwa Mungu Ili awape UPAKO. KULIKO kushambulia. Baada ya Kuwa mmekosa upako, Mungu amegeukia upande wao.

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 19 днів тому +14

    Ilikuwa mwezi wa11 nikiwa nimejifungua kwa opp na mwanagu nikampoteza yule nabii alinambia mpaka mwezi wa1 utakuwa umebeba mimba nayo itakuua sasa tuma sadaka nikukomboe walah alivonambia vile nikakata sim sikumtafuta tena ila mpaka sasa nipo na mimba haijawahi ingia namtukuza Mwenyezi Mungu tangu siku hiyo niliacha kusikiliza hawa wanajiita manabii

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya 19 днів тому +5

      Ukisikia tu neno tuma pesa nikuombee basiiiii kimbiaaaaa maombi hayauzwi. Sadaka ni hiari ya moyo. Kama ni Roho Mtakatifu anamuongoza mtumishi kusema utoe Huwa haiwi kama lazima. Manabii wa kweli wapo ila wachache sio kwamba hawapo. Lakin kuwajua LAZIMA uwe na Roho Mtakatifu ndani yako . Bila hivyo hutatofautisha. Ubarikiwe ulikata simu kabisa ndugu v

    • @sarahmaro215
      @sarahmaro215 19 днів тому +2

      Ubarikiwe, YESU akutunze na Huyo mtoto aje awe mtumishi wa MUNGU.

    • @LatiphaMwanga
      @LatiphaMwanga 18 днів тому +3

      Nafuu ulisanuka mapema maana alikuwa anataka kukufanya wewe kitega uchumi

    • @idrisajaphary8275
      @idrisajaphary8275 16 днів тому

      Unafikiri kwa nn manabii watu wanawapenda ni ule upako wa uponyjaji kufufua misekure na unajua hatima sasa uwezi sikia nabii ana mzungumza vibaya mchungaji

  • @EricMaingi-f8b
    @EricMaingi-f8b 12 днів тому +2

    Amina, mchungaji Amiel, Mungu amekupa Neema kuu.

  • @SelestinaHamis-dw1gs
    @SelestinaHamis-dw1gs 7 днів тому +1

    Amina Amina Mtumish injili isonge mbele kwa jina la YESU

  • @user-wq5zw9mj8o
    @user-wq5zw9mj8o 19 днів тому

    Mungu akubariki sana pastor katekela wewe ni mtumishi wa kweli na Mungu amekutuma ili utufungue kwenye uteka wa kuzimu

  • @lulungunda354
    @lulungunda354 19 днів тому +1

    Namufatilia sana sana ,ulinivusha mahali,.promover Yesu akutunze na timu nzima,

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen8533 19 днів тому +5

    MWENYE MASIKIO NA ASIKIE, ASANTE MUNGU KWA NENO HILI.

  • @JacksonMakuta
    @JacksonMakuta 4 години тому

    Mungu akulinde sana mtumishi

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k 11 днів тому +1

    Ameen,Mtumishi,ni kweli tupu tunayaona

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 18 днів тому +1

    Be blessed pastor amiel katekela am blessed more

  • @user-ww7jr4vm5u
    @user-ww7jr4vm5u 19 днів тому +1

    Ubarikiwe mchungaji karibu kwetu burundi ❤

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 19 днів тому

    Asante sana Mch Katekella nabarikiwa sana

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k 11 днів тому

    Mtumishi me nifanyeje,nimetumia sana Mafuta ya Mwamposa,kukanyaga,kunywa na kujipaka,mpaka saivi nina miaka 2,situmii lakini maisha yangu ni shida2

  • @BeniMsokile
    @BeniMsokile 3 дні тому +1

    Amieli anasema ukweli kabisa

  • @user-uk2cz3ws4k
    @user-uk2cz3ws4k 18 днів тому

    Ubarikiwe sana,Moses kulola wa baadae,Mungu akutunze

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ День тому

    Miujiza ni ya MUNGU, hiyo ambayo si ya MUNGU inaitwa MAZINGAOMBWE.

  • @maryjohn2580
    @maryjohn2580 16 днів тому

    Barikiwa Mtumishi, Roho Mtakatifu Asichezewe nimependa sanaaaaaaaa❤

  • @user-oj3on2hn9q
    @user-oj3on2hn9q 14 днів тому +1

    Ubarikiwe. Mtumishi. Kunifu gua. Mana,

  • @Bigborashots
    @Bigborashots 18 днів тому

    GOD BLESS U PR @katekela

  • @apostlejoshuadaniel2105
    @apostlejoshuadaniel2105 6 днів тому

    Ndugu hubiri injili iletayp toba iletayo ondoleo la dhambi.
    Hizo habari za kuzimu siyo lengo la Kristo

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 19 днів тому

    Unanibariki sana Katekela, karibu Tabora

  • @ASHIRAFMBARACK
    @ASHIRAFMBARACK 6 днів тому

    Ubarikiwe xana mchungaji katekela

  • @kennethchinguku
    @kennethchinguku 3 дні тому +1

    Barikiwa pastor watu wamefungwa watu wa Mungu wa kweli hawawataki ,hakuna mafanikio bila bidii (prophet Kenny mbeya

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 День тому

    Mungu amekuokowa.

  • @carolinemrosso9006
    @carolinemrosso9006 19 днів тому +4

    Sasa mtumishi wa Mungu kwa wale ambao tayari wameshakanyaga hizo madhabahu zao na kutoa sadaka zao pale wakiamini pana Mungu,, na mafuta wakakanyaga na kuyanywa na maji ya upako na keki ya upako wakala je watafanyaje wajiengue na hilo agano??

    • @bobutingababayo5047
      @bobutingababayo5047 16 днів тому

      Hakuna kinachoshindikana kwenye Toba
      Waombe toba ya kweli na kuacha kuendelea nayo kabisa na damu ya Yesu itamsafisha na kumuondolea vyote viliokuwa vimeingia ndani

  • @davidurasa6360
    @davidurasa6360 3 дні тому +1

    Amen

  • @josephjames4587
    @josephjames4587 16 днів тому

    MUNGU akubariki sana mtumishii mie ukwel unazidi kunifunguaa

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 14 днів тому +1

    Ezekiel 13:1 ( tusome tuelewe) mchungaji katekela ubarikiwe sana pamoja na promover Tv

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 19 днів тому +1

    Bwana YESU ATUSAIDIE TUU ni ukweli wanatoa watu sacrifice sana sana

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 День тому

    Wenye tunaishi mbari tunateswa na nguvu za giza, mnayunyima number ya mchungaji ili tumelezee shida zetu. Sasa mchungaji ni wa wenyeji wa kitanzania tuuuu????????

  • @user-ql4qw3ow4r
    @user-ql4qw3ow4r 7 днів тому

    Asante sana Mchunqaji

  • @israelimarco6465
    @israelimarco6465 8 днів тому

    wananchi na WA Tanzania wenzangu ngoje nikwambie kitu hebu tufuatilie vzr injili ya kristo. injili ya kristo ilitembea na nguvu na miujiza Sasa hebu katikela watu wengi wanahitaji misaada ya mwili mpe mtu miujiza ya kweli na watu watakifuata wenyewe watanzania wanahitaji msaada

  • @DevothaBenedictor
    @DevothaBenedictor 17 днів тому

    Nakukubali sana mungu akubaliki sana, 12:44

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 День тому

    Jamani kwa nini wajitwishe thambi yakudanganya watu? Mungu atawalaani

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 День тому

    Hauwezi pata number yake mimi ninateswa na kufanya tendo la ndowa usiku kukabwa usiku, kujiona niko cooni kukanyaga kwenye kinyesi, kula nyama mbichi. Nimezikosa

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i 19 днів тому +1

    Ukweli kabisa ❤

  • @user-hg7np4ig9o
    @user-hg7np4ig9o 17 днів тому +1

    Simama Imara usirudi nyuma Katekela

  • @tausimwinuka
    @tausimwinuka 19 днів тому +1

    Nimepona Baba🙏

  • @StellaPaul-et9df
    @StellaPaul-et9df 19 днів тому +2

    Haya ndo mahubir

  • @RahelSalumu-pm9qx
    @RahelSalumu-pm9qx 14 днів тому +1

    Kama Paulo alivyohubiri mpaka krete🙏🏽

  • @patrickwasesa4495
    @patrickwasesa4495 19 днів тому +2

    kweli mwalimu nimeloweka kweli kwaujumbe yaani umenifungua akili kweli!

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 4 дні тому

    Mimi naomba yinyi wakristo mnijibu ili nijifunze yesu aloposema sikutumwa ila kwakondoo waliopotea wa nyumba ya Israel jee haya maneno niyauongu yesu kadanganya nakama kasema kweli nyinyi ni wana wa Israel????plz mwenye elimu anijubu nakama wewe sio muisraeli kwanini ufuate yesu natayali yeye kasha sema sikutumwa bali kwa kondoo waliopotea wanyumba ya Israel nawewe sio muisilaeli???? Je unafuata kwanjia gani au wapi alikuambia umfuate au nikujipendekeza mahali hujulijani

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 19 днів тому

    Wakristo tatizo tumelala sana tunaona ndugu zetu wanateseka tunachukulia poa

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 5 днів тому

    Bonney alikamatwa kit miaka wa nchi fulani akiwa na Madawa ya kulevya kit Yale maspika yake maziiito aliyo Tim Is kuhubiria. Ilikuwa no mzigo wa nguvu wa mabillion ya USD
    Akiwa Anatolia Malawi mwaka fulani alinikuta Mimi nikiwa nampitisha kama Customs Officer On duty miaka hiyo.Akaeeka kitu Jangwani Dar. Akaunguruma . Aliniachia zawadi yamakalenda yakeee.
    MIAKA 3 baadae nikasikia habari yake kukamatwa. Shida no MTAWALA WA DUNIA HOI NI SHETANI, NA HAL WANAO FANYA BIASHARA HIZO MBOVU NO MASHETANI WAKIBINADAMU, HAWA WEZI MUHUKUMU MUG KAMA MCHUNGAJI BNKEY

  • @MarysianaPeter
    @MarysianaPeter 14 днів тому

    Mungu baba tuepushe na manabii wa uongo

  • @user-rj1ef6je8k
    @user-rj1ef6je8k 11 днів тому

    Mpaka maji nimetumia sana na familia yangu

  • @user-gy2gm1qs1e
    @user-gy2gm1qs1e 14 днів тому

    Mungu abariki Neno lake

  • @ShazilMohamedi
    @ShazilMohamedi 17 днів тому +1

    Fact

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 14 днів тому

    SANAAAAA. KWA KWELI.

  • @silvanusjeremiah8256
    @silvanusjeremiah8256 15 днів тому

    Yesu yu karibu sana kurudi.
    Tuokoke jamani

  • @ShedrackMbata
    @ShedrackMbata 8 днів тому

    Balikiwa sana

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 19 днів тому +1

    Mtu mmoja anipee namba ya huyu mtumish tafadhali sana naomba kuogea nae ju ya maradhi yasio na tiba

    • @mwaminimwangaza
      @mwaminimwangaza 19 днів тому

      Unawezapata namba yake ukifuatilia zile ushuhuda zake promover TV na hata ukimwita kumpata ni shida sana maana watu ni wengi sana wanao mtafuta

    • @carolinemrosso9006
      @carolinemrosso9006 19 днів тому

      Jaman tupeni namba zake uwiiiii mafuta na maji na keki tumezila saana na sadaka tukatoa lakin tupo vile vile na zaidi sana tumezidi kupoteza na kuharibika

  • @user-pk1hz4zs5k
    @user-pk1hz4zs5k 6 днів тому

    Tanzania Kwa nini inazidi uofu uku África

  • @user-zq6rx8es1o
    @user-zq6rx8es1o 18 днів тому

    Kuna namna nakuelewa mchungaji❤

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576 19 днів тому

    🔥🙏🙏💪

  • @aliissa-je6gt
    @aliissa-je6gt 10 днів тому

    njaaa ni nomah duh

  • @PrinceCharlz-vv1zs
    @PrinceCharlz-vv1zs 18 днів тому

    ni kweli tuoneshe Muujiza wako wa ukweli kama wezako wanafanya ya miujiza ya uongoo

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 17 днів тому

      Wewe unataka muujiza gani kwani? Ama ulishaona mazingaombwe ndiyo unaita miujiza? Kumbuka muujiza hauonyeshwi kama mazingaobwe hata Yesu aliwajibu Mafarisayo waliotaka waonyeshwe miujiza. Nguvu za Mungu zinafuata haja ya moyo wa anayemtaka Mungu. Siyo wanaomwendea Yesu kama mganga wa kienyeji.

  • @eliasilwimba187
    @eliasilwimba187 15 днів тому

    Nimependa hapo hatuhubiri injili ili tupate hela!

  • @agnessangawe3844
    @agnessangawe3844 12 днів тому

    Mmezidi

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 19 днів тому +4

    Mtumishi wa Mungu unayosema ni ya kweli, ila mateso ya magonjwa watu wanayopitia ndio yanayowafanya waende huko.Mfano mimi nina imani sana, ila nateseka sana na magonjwa,niombee niponye,nimechoka na hospitali.Unadhani ukiniombea nikapona nitafikiria au kuwaza kwenda huko.Nimeombewa wee wapi siponi,mwishowe naambiwa sina imani hee.Hapana ile kwenda kukubali kuombewa tayari ni kama chembe ya haladari,vipi siponi? Tena nasali TAG nikitokea Lutheran nikiaminishwa kuwa kule hakuna nguvu za Mungu,nisaidie mtumishi nina magonjwa kama yote.Mimi nitatuma hata nauli uje kwangu uniombee.Naomba wee kwa Imani ila wapi.

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 17 днів тому

      Pole Maria Mimi ni mkristo kama wewe 2020 niliugua vidonda vya tumbo nilikuwa na hali mbaya sana ikizingatiwa nimesikia haviponagi. Niliamua kukiri neno la uzima katika biblia mfululizo ndani ya siku tatu tu sikujua ugonjwa ulipotelea wapi Hadi Leo mimi ni mzima

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 17 днів тому

      ​@@RubenMtuwaMungu-bz8ee.Ruben nateseka sio mchezo.

    • @mariakibwana3700
      @mariakibwana3700 17 днів тому

      Ruben ningekupa mateso ninayopita usingewexa

    • @anna19805974
      @anna19805974 9 днів тому

      Pole sana Maria. Katika Biblia kuna mwanamke ambae alishika vazi la Yesu akapona, Mama huyu aliugua kwa muda mrefu kwa kutoka damu akamaliza waganga lakini hakupona alijiambia nikishika vazi la Yesu nitapona. Ile imani ilimgusa hadi Yesu akagundua kuna mtu amemgusa akapona saa ile ile. Mimi nina imani yakuwa simama na hilo andiko weka imani vazi la Yesu iwe damu ya Yesu ikakuponye tafuta mafungu ya uponyaji katika biblia uyafanye yawe yako omba yakalete miujiza na ukapone ikawe shuhuda tukamtukuze Mungu.
      Mungu akuponye na magonjwa yote

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 17 днів тому

    Imeandikwa wapi kwamba Petro alitumia mafuta some I biblia itatuweka huru

  • @HenryTindwa
    @HenryTindwa 16 днів тому

    Kama hii lugha mfano labasinta labasanta, sikatela, sandalaba bababo, sikatela

  • @Elizabethmuronji
    @Elizabethmuronji 19 днів тому +2

    AMEEEN

  • @AshilatAbas-qe4fh
    @AshilatAbas-qe4fh 19 днів тому

    Tatizo wanga wa kuza miujiza wanatoa majibu kwa watu sisi wakirsito atutoi majibu kwa watu

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 17 днів тому

      Hakuna majibu kwa wenye mafuta wanachokifanya utaondolewa ugonjwa wao wataondoa Roho ya maombi ndani Yako.

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 19 днів тому

    Daah!?

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 17 днів тому

    Apo sasa nawewe unawadanganya watu, ukae na rusifa kikao 😅😅😅 aahaaaah kua sieius kidogo ,ebu tuambie anafananaje anamapembe km tunavyochorewa kwenye picha au yupoje?

  • @dericksteven6455
    @dericksteven6455 11 днів тому +1

    Elisha aliombea chumvi ikatibu maji yaliyokua yanazaa mapooza
    Yesu alitumia tope kumponya kipofu
    Ukisoma yakobo 5:14 kuna maelekezo ya kutumia, lakin pia hata samweli alimpaka daud mafuta, mafuta sio upako ila uthibitisho kwa ishara
    Kama maji yanatumiwa kubatiza lakin hayo hayo unayasema hayafai zitakua hazimtoshi
    Sisemi kua manabii wa uongo hawapo ila sometimes pia kila mtu anaposimama kusema jambo hua anakua na interest zake

    • @nurukasebele5433
      @nurukasebele5433 10 днів тому

      Ni kweli ila haikuwa kanuni Kila Mmoja aliponywa Kwa kadri ya tatizo lako

  • @ShedrackMbata
    @ShedrackMbata 8 днів тому

  • @judithminja770
    @judithminja770 15 днів тому

    Piga injili baba tupo nyuma yako kukuombea

  • @HenryTindwa
    @HenryTindwa 16 днів тому

    Mtumishi mimi sijui roho yngu inakataa huu unenaji wa lugha ni sahihi kweli

  • @tulianyota7040
    @tulianyota7040 19 днів тому

    Camera men umenikosea sana pale Katekela alipo anza kusema aina zamaji yamaiti mbona imeruka nikwanini?

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 4 дні тому

    HALAFU KWANINI UNAKATA BAADHI YA MANENO YA MCHUNGAJI LENGO NI NIN??....UPLOADER UNATUKOSEA STOP THE NONSENSE

  • @lusajojoram4522
    @lusajojoram4522 11 днів тому

    Bado na yeye night mchawi sababu hamna anayejua Kama amemuacha Lucifer

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 10 днів тому

      Anapiga hadithi tu dakika ya 16 hajanukuu hata mstari mmoja wa Biblia.

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 19 днів тому

    Kaa kwenye karama yako tu,sio sahihi sana,mbona nilichukua nikaweka mwamposa akiomba tunatoa bombani majibu yapo ttupe hapo inakuwaje

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 19 днів тому +1

    Kama hakuna formula kazi iendelee akili kichwani,elia alifanya nini ,kila mtuasmamie karama yake,omba lolote......hapo vipi

  • @HappyMwaigwisya
    @HappyMwaigwisya 19 днів тому +1

    Yaan pamoja na mtu wa Mungu kusema ukweli hivi. Bado kuna watu hawataamini wanakimbilia mafuta. Jamaniiiiii kuwa makiniiii yaan manabii wengi wanatumikia shetaniiiiii usitishwe na unabii wanaoutoa

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 11 днів тому

    Kristo atuangazie nuru ya uso wake!!!tuzidi kuombea kanisa!!!

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 19 днів тому +1

    Wakristo tusilumbane,zipo karama za miujiza,mchungaj kama Hana gipawa hicho awaache wenye vipawa vyao

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 17 днів тому

      Ukirogwa hata uhubiriweje huwezi kuelewa. Hivi kuna kipawa gani cha kucha na nywele? Kukanyaga mafuta maana yake ni nini? Mafunuo nje ya biblia ni uchawi

  • @daudiazizi8495
    @daudiazizi8495 19 днів тому

    Wapendwa wenzangu,ziwa tanganyika ni kubwa.alakin wakienda kubatiza watu watu wanafunguliwa,je na maji ya tanganyika ni mauti

  • @AmusedBeignets-kk9lc
    @AmusedBeignets-kk9lc 19 днів тому

    Tafathali rudia Aina ZA maji

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 19 днів тому

    Kusoma thioloji sio issue,jicho la rohoni,baba

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 2 дні тому

      Jiro la rohoni ndiko utapeli ulipo weka makazi yake.

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 19 днів тому

    Kolola wa mwaka gani.shetani wa kilola si wa kiboko ya wachawo baba, advancement of satanism eh,inahitaka nguvu kubwa,si kila jambo linawezekana au