Natamka kufunguliwa kwa watoto wangu,sijazaa mataahira Wala watoto wasioeleweka,watoto wangu wataitwa heri katika jina la Yesu kristo wa Nazareth,Amen🙏🏿
Natamka kufunguliwa kwangu na kwa watoto wangu kwa jina la Yesu. Ninapokea nyakati mpya za maisha yangu. Natamka nyakati mpya kwa watoto wa uzao wa tumbo langu. Kwa jina la Yesu
Asante Yesu kwa mtumwa wako kunipa chakula cha uzima, nami nakataa maneno yote mabaya niliyowahi kutamkiwa mahali popote na pia nakataa kila hila zozote za kichawi na kiganga zilizowahi kufanyika kwangu katika jina na Yesu amen
Ninafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa mimi, mume wangu na watoto wetu ninayafuta kwa damu ya Yesu hayatasimama na wala hayatakuwa katika Jina la Yesu, Amen
Aamen mtumishi wa Mungu. Kuanzia leo nayafuta maneno yote mabaya waliyonenewa na watu yashindwe kwa jina la Yesu. Watoto wangu wataitwa Heri,Eee Roho yangu songa mbele kwa nguvu niliyo
Amina Amina mchungaji hayo yapo na ninaomba katika maisha yangu damu ya yesu ifutilie mbali maneno mabaya niliyotamkiea na ninayo tamkiwa washindwe na walegee Kwa jina la yesu Amina
Nafuta Kwa Jina la Yesu Kristo maneno yoote mabaya yaliyonenwa au kutamkiwa juu yangu, juu ya watoto wangu, na familia yote Kwa Jina la Yesu Kristo........ Amen Amen.
Ameeeeeeen, Nimezaa Star ,mtoto wangu utaitwa Heri na mbarikiwa hatakuwa mkia atakuwa kichwa hata feli bali atafaulu kwa Jina laYesu Kristo. Naziwe nyakati mpya kwenye masomo naimaisha yake
YES I believe my shattered dreams and destiny is restored miraculously.. Asante Yesu na sifa Kwa Yesu.. Gideon's financial breakthrough is my portion and abundance is truly my answer and divine solution.Amen
Natamka baraka na kufunguliwa kw watoto wangu ..mme wangu na maisha yangu maneno yote yaliyonenwa kwetu ..niliyoyasikia na ambayo sikuzikia kwa damu ya yesu kristo napokea uzima wa Familia yangu uzao wangu utaitwa heri kwa takatifu la kristo aketiye enzini patakatifu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu. Vilivyofungwa na mwovu vikafunguliwe kwa jina na damu y Yesu Kristo wa Nazareth mwana wa Mungu aliye hai, ubarikiwe kwa ujumbe huu wa kuvusha Mchg wetu mpendwa
Ktk Damu ya Yesu na kwa neno la Mungu kupitia mtumishi wake ninafuta kila neno la manuizi ya kufisha ktk uzao wangu,na ziwe nyakati mpya kwa Jina la Yesu,Amina
Bwana Yesu naomba nisamehe pale nilipotamka neno baya lolote kwa watoto wangu, au neno lolote lilonenwa na mtu yeyote ambaye amenena au kunuiya maneno juu😂ya familiya😂yangu mume wangu na watoto wangu au😂hata mimi mwenyewe nafuta ardhi isikie na Mbingu isikie kwa Jina la Yesu kristo ame😢eeh Mungu naomba tusaidie Amen
Kwa maombi haya nina kirI kuwa maneno yote mabaya niliyotamkiwa mimi na watoto wangu na mambo yote mabaya na ya kishirikina niliyowahi fanyiwa mimi na familia yangu hayatakuwa wala hayatasima Isaya 7:7 Watoto wangu ni HERI na BARAKA AMEN AMEN AMEN.
Mungu anifungue mm pamoja na watoto wangu watoto wangu wakawe kichwa dalasani na sikia maneno ayatosimama wale waliowanenea vibaya kielimu watoto wangu ni vipngozi Amina
Natangaza kufunguliwa kwa watoto wangu sijazaa bumbuazi nimezaa watoto walobarikiwa mungu kawainuwe wanangu katika masomo yao wafunike kwa damu ya yasu kwristo wanazaleti kwa Jina la yesu AMEEN
naondoa Laana ,maneno yote mabaya yaliyotamkw juu yangu na familia yangu ktk jina la Yesu kristo Amen 🙏
Navunja maneno yote yaliyotamkwa juu ya uzazi wangu na maisha yangu kwa jina la Yesu kristo wa nazareth
Maneno yote niliyotamkiwa mabaya juu yangu na familia yangu kwa kusikia na kutosikia nayafuta kwa jina la Yesu...Amen
Natamka kufunguliwa kwa watoto wangu,sijazaa mataahira Wala watoto wasioeleweka,watoto wangu wataitwa heri katika jina la Yesu kristo wa Nazareth,Amen🙏🏿
Natamka kufunguliwa kwangu na kwa watoto wangu kwa jina la Yesu. Ninapokea nyakati mpya za maisha yangu. Natamka nyakati mpya kwa watoto wa uzao wa tumbo langu. Kwa jina la Yesu
E😊😊😊😊😊qqqqPPppQq@@annahmutinda1001
Napokea kuzaa watoto maprofesa wenye akili katika jina la Yesu maneno yote maovu natafuta kwa jina la Yesu
Watoto wangu wanalindwa na bwana
Natamka watoto wangu wawe vichwa na sio mkia katka jina la yesu
Kila neno lilotamkwa juu yangu kwa ajili ya uharibifu,kuanzia leo Hilo neno halitakua Wala halitasimama katika jina la Yesu🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙌🙌🙌
Nafuta maneno yaliyotamkwa kwa mwanangu kwa jina la yes aliye hai
watoto wangu wamefunguliwa kwa jina la Yesu,kila maneno waliyotamkiwa ya kiganga hayana mamlaka kwa.jina la Yesu.Amina
Asante Yesu kwa mtumwa wako kunipa chakula cha uzima, nami nakataa maneno yote mabaya niliyowahi kutamkiwa mahali popote na pia nakataa kila hila zozote za kichawi na kiganga zilizowahi kufanyika kwangu katika jina na Yesu amen
Ninafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa mimi, mume wangu na watoto wetu ninayafuta kwa damu ya Yesu hayatasimama na wala hayatakuwa katika Jina la Yesu, Amen
Kwa ibada hii natamka rasmi katika viapo vyote vilivyoapwa juu yangu vishindwe kwa jina la yesu na mungu akawasambaratishe katika maisha yangu.
Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu. AMEN
Amen. Napokea nyakati mpya katika jina la Yesu, roho yangu endelea mbele katika jina la Yesu. Amen
Amen pastor,nakataa maneno yote yaliyotamkwa kwaajili ya maisha yangu,watoto wangu watakuwa vichwa na c mkia.
Aamen mtumishi wa Mungu. Kuanzia leo nayafuta maneno yote mabaya waliyonenewa na watu yashindwe kwa jina la Yesu. Watoto wangu wataitwa Heri,Eee Roho yangu songa mbele kwa nguvu
niliyo
Naikataa Kila mikataba iliyofungwa kwenye maisha yangu na Kila maneno yanayotakwa ninayosikia na nisiyoyasikia naikataa Kwa jina la Yesu amen🙏🙏
Amen..na ziwe nyakati mpya .. nzuri kwenye maisha yangu..roho yangu endelea mbele kwa nguvu
Asante mungu kwa haya mafunzo nimefunguliwa kwa mipango yangu.❤❤❤❤❤
Amina Amina mchungaji hayo yapo na ninaomba katika maisha yangu damu ya yesu ifutilie mbali maneno mabaya niliyotamkiea na ninayo tamkiwa washindwe na walegee Kwa jina la yesu Amina
Nafuta Kwa Jina la Yesu Kristo maneno yoote mabaya yaliyonenwa au kutamkiwa juu yangu, juu ya watoto wangu, na familia yote Kwa Jina la Yesu Kristo........ Amen Amen.
Amen Amen Amen Amen Amen Amen I receive it in Jesus might Name Amen Amen 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🇹🇿
Ameeeeeeen, Nimezaa Star ,mtoto wangu utaitwa Heri na mbarikiwa hatakuwa mkia atakuwa kichwa hata feli bali atafaulu kwa Jina laYesu Kristo. Naziwe nyakati mpya kwenye masomo naimaisha yake
Ameeeen 🙏🙏🙏🙏naziwe nyakati mpya kwa watoto wangu wafaulu katika masomo na maisha yao nao wataitwa heri...nyakati mpya kwa mme wangu na kwangu
YES I believe my shattered dreams and destiny is restored miraculously.. Asante Yesu na sifa Kwa Yesu.. Gideon's financial breakthrough is my portion and abundance is truly my answer and divine solution.Amen
Natamka baraka na kufunguliwa kw watoto wangu ..mme wangu na maisha yangu maneno yote yaliyonenwa kwetu ..niliyoyasikia na ambayo sikuzikia kwa damu ya yesu kristo napokea uzima wa Familia yangu uzao wangu utaitwa heri kwa takatifu la kristo aketiye enzini patakatifu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Navunja maneno yote yaliyotamkwa juu ya wazaz wangu na maisha yangu katika jina la Yesu mtakatifu
Namini eee Mola wangu Kwa Yale yote mabaya niliyotamkiwa na binadamu yote iweze kushindwa katika jina la Yesu Christo amina
Roho yangu endelea mbele kwa nguvu katika jina la Yesu. Barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏💓
Kwa jina la YESU KRISTO nafuta na kukataa kila maneno yaliyotamkwa juu yangu na uzao wangu...Zikawe nyakati mpya kwetu AMEN
Amen amen barikiwa Rev kwa neno Hilo la ukombozi wa fikra zetu za rohoni na ziwe NYAKATI mpya kwetu kwa jina la Yesu...
Naitwa Mchungaji Yusuph Saimon nakufatilia vizuri baba mungu akutunze amen nimebarikiwa
Nayafuta maneno yote.ya laana ya ukoo .yaliotamkw juu.yangu.kwadamu.yayesu.Amina
Namuombea Binti yangu uzao wangu wa kwanza akafunguliwe Kwa jina la yesu kristo Alie hai..ameni
Mungu nifungue na maneno mabaya niliyo tamkiwa na maapizo yote ya kiganga na kichawi kwajina la yesu kristo wanazareti aliyehai Ameen
Ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu. Vilivyofungwa na mwovu vikafunguliwe kwa jina na damu y Yesu Kristo wa Nazareth mwana wa Mungu aliye hai, ubarikiwe kwa ujumbe huu wa kuvusha Mchg wetu mpendwa
Ktk Damu ya Yesu na kwa neno la Mungu kupitia mtumishi wake ninafuta kila neno la manuizi ya kufisha ktk uzao wangu,na ziwe nyakati mpya kwa Jina la Yesu,Amina
Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu
Uzao wa Tumbo langu watto wangu wataitwa wabarikiwa
Watto wangu ni wajuuu
Watto wangu ni mastaa,ni vichwa kwa jina la Yesu
Watto wangu wataitwa Heri
I receive a new life in Jesus name..nainuka Tena..roho yangu endelea mbele kwa nguvu...
Amen Amen wewe roho yangu na Maisha yangu yamefunguliwa katika Jina la yesu
Navunja maneno yote niliyotamkiwa pamoja na watoto wangu kwa damu ya Yesu
Namuombea Mtoto wangu Assacki afunguliwe kwa jina la Yes.
Amen Mungu atusaidie wote tuliofungwa kwa maneno yasiambatane nasi wala kusimama kwa ajili yetu🙏🙏
Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa kwa jina la yesu
Natamka Leo ninafuta maneno mabaya na vifungo vyote vilivyofungwa kwenye uzao wa ngu na familia yangu kwa jina laYesu 🙏
Nakataa maneno yote mabaya niliyotamkiwa katika maisha yangu Kwa jina la yesu
Amina sana napokea kufunguliwa na kutoka kwenye matamko na maneno yote niliyotamkiwa kwa jina la Yesu kristo aliye hai
Navunja roho zote za kichawi zilizonenewa kwenye ndoa yangu na watoto wangu Kwa jina kuu la Yesu ....Amen
Naziwe nyakati Njema katika Maisha yangu kwa jina la Yesu
Na iwe nyakati mpya katika kona zote za maisha yangu katika jina la Yesu Kristo.
Na ziwe nyakati Njema katika Maisha yangu.
KTK JINA LA YESU ❤❤
Kila maneno mabaya yaliyo tamkwa juu yangu nilio yasikia na nisiyo yasikia nayafut kwa jina la yesu 🙏🙏
Ubarikiwe sana pastor. You are my spiritual father. Eeee roho yangu endelea mbele kwa nguvuuuu
Navunja maneno yote walionitamkia kwajina la Yesu.....
Naamini kwa msaada wa Roho Mtakatifu, nyumba😂yangu imefunguliwa kuanzia sasa kwa Jina la Yesu kristo Amen
Mimekataa laana, maneno mabaya yaliyo tamukwa na mababu zetu in the name of Jesus Amen
Bwana Yesu naomba nisamehe pale nilipotamka neno baya lolote kwa watoto wangu, au neno lolote lilonenwa na mtu yeyote ambaye amenena au kunuiya maneno juu😂ya familiya😂yangu mume wangu na watoto wangu au😂hata mimi mwenyewe nafuta ardhi isikie na Mbingu isikie kwa Jina la Yesu kristo ame😢eeh Mungu naomba tusaidie Amen
Maneno yote yariyo taamkiwa juu yangu yote na familiya yangu,nayafuta katikajina la yesukristooooooooooooooopooooooooooooooooooo Amenaaaaaaaaaa,
Amen, nimepokea kufunguliwa pamoja na familia yangu kwa jina la Yesu
Ninafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa kwa jina la Yesu..
Natamka.kwa jina la Yesu kila yaliyonenwa juu yangu Mimi na watoto wangu yashindwe kwa jina la Yesu wa Nazareti.
Amen ❤❤🎉🎉 napokeya sehemu yangu kwa neema ya YESU Kristo
Kwa maombi haya nina kirI kuwa maneno yote mabaya niliyotamkiwa mimi na watoto wangu na mambo yote mabaya na ya kishirikina niliyowahi fanyiwa mimi na familia yangu hayatakuwa wala hayatasima Isaya 7:7 Watoto wangu ni HERI na BARAKA AMEN AMEN AMEN.
🎉Amina watoto wangu wawe vichwa kwa jina la Yesu Amina
Ahsante mtumishi naamini kwa neno hili nimefunguliwa kwa jina la yesu
Na ziwe nyakati mpya kwny maisha yangu na familia yangu ktk jina la Yesu kristo 🙏
Na ziwe heri katika maisha yangu mateso na manyanyaso kazini hayatasimama kwangu kwa jina la Yesu Kristo Amen
❤asante mungu kwa kuwajaza watumishi wako nguvu 1:36
Roho yangu endelea mbele kwa nguvu,familia yangu imefunguliwa kwa Jina la Yesu Amina.
Nyakati mpiyaa zikainuke juu yang mwakaa huu 2024❤❤❤
Amina kwa jina la Yesu, nyakati mpya na za furaha nazikaribisha kwenye maisha yangu kwa Jina la YESU
Natamka kufunguliwa kwa Watoto Wangu sijazaa matahila wala Watoto wasio eleweka, Watoto wangu wawe vichwa na si mkia,,kwa jina la Yesu kristo Ameeen 🙏
Mungu anifungue mm pamoja na watoto wangu watoto wangu wakawe kichwa dalasani na sikia maneno ayatosimama wale waliowanenea vibaya kielimu watoto wangu ni vipngozi Amina
Aminaa
Ameeeen naziwe nyakati mpya kwenye maisha yanguu.loho yangu endelea mbelee Ameeeen👏👏🙏
Ninafuta maneno yoyote mabaya niliyotamkwa juu yangu kwa kusikia au kwakutokusikia nayafuta kwa jina la yesu
Amina kubwa mtumishi Ubarikiwe Na Mungu 🙏
Na ziwe nyakati mpya katika uzao wangu MUNGU BABA NITETEE.DAMU YA YESU ITUFUNIKA
Amina pastor 🙏
❤❤, maneno ya faraja
Ooooh,yesu naona umenifungua pia namuona Mme wangu mbele yangu
Natangaza kufunguliwa kwa watoto wangu sijazaa bumbuazi nimezaa watoto walobarikiwa mungu kawainuwe wanangu katika masomo yao wafunike kwa damu ya yasu kwristo wanazaleti kwa Jina la yesu AMEEN
Maneno yote yaliyotamkiwa watoto wangu waharibikiwe au kazi zangu kutokuzaa kuanzia leo nayavunja kwa jina la Yesu, watakuwa vichwa na si mikia
Na ziwe nyakati mpya kwangu na uzao.....tunainuka tena Katika Jina La Yesu Amen
Kwa neno hili lifungue familia yangu kwa jina la yesu Amina
Na ziwe nyakat njema na mpya katika maisha yangu hadi kizazi changu🙏🙏
Nakataa maneno yote mabaya yaliyo tamkiwa ju yangu mim katika jina la Yesu amen napokea katika jina la Yesu amen 🙏 🙌 👏
Hallelujah naamini na wewe baba mchungaji
Na vikafunguliwe vifunguliwe vifungu vyote juu yangu na familia yangu katika jina la yesu kristo wa Nazareth
Roho yangu endelea mbele kwa jina la Yesu. AMEN
Ameeeeen Ameeeeen Mchungaji wangu ubarikiwe na Bwana
Nafuta maneno mabaya yote yaliyotamkwa kwangu na kwa watoto wangu katika jina la yesu kristu
Ameeeni naivyo kwa familia yangu maneno mabaya yaliotamkwa kwa.ngu nayafuta watt wataitwa sitaa ameeeni
Nabatilisha maneno yote walioninenea kwa jina la Yesu
Naziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu na familia yangu na uzao wa tumbo lang Amen 🙏🙏🙏
Amina kubwa na I we nguvu kubwa yeny maombi na maono 🙏🙏🙏🙏🙏
Neema ya Mungu itusaidie BABA Mchungaji.
Nafuta kila neno baya katika familia yangu kwa jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai
Ee roho yangu endlea mbele kwa jina la yesu,roho ya kujiua,roho ya kukata tamaa,ishindwe Kwa jina la yesu
Maneno yote mabaya niliyonenewa nayafuta katika jina la Yesu
Amen barikiwa sana mchungaji.
Kila maneno mabay yaliyo tamkwa juu yangu na familia yangu nayafuta kwa jina la yesu
©Asante Rev.ubarikiwe na Bwana
Amen, napokea nyakati mpya kwa jina la yesu