JENGO LA GHOROFA 72 KUJENGWA ZANZIBAR

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 сер 2021
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 73

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 2 роки тому +2

    M.mungu atufanyie wepesi na kusimamia kwa uwezo wake kila ndoto inayotarajiwa Inshallah .Ikimarika Zanzibar wameimarika wazanzibari pia. M.mungu ibaraki zanzibar na watu wake pia🤲🏻

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Рік тому

    Mashaallah
    Allah sw awape Imani thabit juu ya Imani yenu hiyo ,nakuombeni kwa Allah SW awape mapenzi ya kweli juu ya nchi ya Zanzibar na awape mapenzi juu ya kuitumikia nchi yetu kwa mapenzi ya dhati kabisa na kujiepusha na rushwa au ufisadi na kupora Mali ya umma
    Amin
    Nakutakieni kheri pia Allah sw azifanye kauli zenu ziwe za kweli na ziwe za haki

  • @rizikisuleiman2139
    @rizikisuleiman2139 2 роки тому +6

    Hongera serekali yangu ya SMZ 👏❤

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 2 роки тому

      Acha kuwapongeza serikali ya SMZ, hawajengi wao hili jengo linajengwa na muwekezaji binafsi. Yawezekana hao SMZ wakamfanyia ukritimba na kutaka rushwa kubwa wakamkimbiza asijenge kamwe

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 2 роки тому

    Mashaa Allah Allah atubarik

  • @abdullkhamis5406
    @abdullkhamis5406 2 роки тому

    Fantastic, Tuzidi kuimarisha Zanzibar. Hongera kabisa.

  • @allyzillahi8315
    @allyzillahi8315 Рік тому +2

    Mimi nataka kujuwa litaaza lini kujengwa na litamaliza lini ?

  • @kageremagere5493
    @kageremagere5493 2 роки тому +5

    Daaah tulijua kua hii miaka 3 na miezi 9 lazima zanziba lazima itaongezewa baadhi ya vitu vya kigeni Africa na tulio sema hayo hapo make mhhhh

    • @samiralliy4214
      @samiralliy4214 2 роки тому

      hamna lolote hpo jamaangu vingi vimeshasemwa kama hivo ila ni homa tu

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 Рік тому

    Insha Allah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 роки тому +3

    Uchumi wa buluuu dar itakuwa Raha Sana

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 роки тому +1

    Nice good job znzb

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 2 роки тому +2

    Iwe kwel tu isije pita miaka mitano ikawa hatuoni kitu mana viongoz wetu ni wababaishaji sana

  • @pound_tz7248
    @pound_tz7248 2 роки тому +2

    verry nice

  • @ulipoulipotupo7564
    @ulipoulipotupo7564 2 роки тому +6

    Usiseme kisiwa sema nch ya zanzibar acha ujinga

  • @rajabumilanzi9231
    @rajabumilanzi9231 Рік тому

    Nijambo jema mungu awabaliki lkn pia msisahau kujenga daraja walau la bagamoyo Zanzibar .ilikuboresha utalii na maendeleo ya Zanzibar kiuchumi kwani mawasiliano ni muhimu..kwangu daraja ni muhimu sana kuliko hata hilo ghorofa refu.. kwasasa.

  • @saidmanzichinko1314
    @saidmanzichinko1314 2 роки тому +1

    Viva Zanzibar

  • @abdullatifsuleiman9310
    @abdullatifsuleiman9310 2 роки тому +1

    jamani na sie pemba je

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 роки тому +5

    hakuna jambo hapo , Ile bandari ilijengwa ? Mji mkongwe ulijengwa kikwazo nini.? ndugu zetu wa damu na hii itapita hivyo hivyo .

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 2 роки тому

    Safi Sana Tena Sana

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 2 роки тому +1

    Kazi endelee

  • @nev3093
    @nev3093 2 роки тому

    Wooooow

  • @denislazaro818
    @denislazaro818 2 роки тому +1

    Mjenge na dodoma

  • @tuma6557
    @tuma6557 2 роки тому +2

    Safi sana 🙏🙏🙌🙌

  • @abdulazizimohamad6946
    @abdulazizimohamad6946 7 місяців тому

    Mambo kama haya ndo tunataka itabadilisha manzari ya Zanzibar itakua ya kimataifa majengo kama hayo ndo yajengwe

  • @mohdhaji1935
    @mohdhaji1935 2 роки тому +3

    ilikuaje sasa tukawa tunaambiwa znz ni kisiwa cha kujenga si zaidi ya gorofa 7 tu

  • @mastertv7575
    @mastertv7575 2 роки тому +4

    Mmmh Sasa kwa biashara ganii

    • @ibrahimchole3951
      @ibrahimchole3951 2 роки тому

      Acha wivu subiria uwone kwanza

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      @@ibrahimchole3951 😄😄😄

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 Рік тому

    Mnajenga nchi nyingi mnaacha kujenga Dar es Salaam

  • @abdulkadirshafii3817
    @abdulkadirshafii3817 2 роки тому +2

    Wow n wakwanzaaaaa hahahahaha

    • @sharkbinaally3381
      @sharkbinaally3381 2 роки тому

      Tupo tunasubri maendeleo na ile bandari ya mpiga duru vip

  • @aadmsalua3658
    @aadmsalua3658 2 роки тому +1

    Allah ibarik znz yet

  • @kiatu
    @kiatu 2 роки тому

    Ndio priority ya wananchi au serkali?

  • @issakhamis6474
    @issakhamis6474 2 роки тому +1

    Heburekebishen huduma zaveti kwanz

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 10 місяців тому

    Dahh hatari sasa hiii

  • @issakhamis6474
    @issakhamis6474 2 роки тому +1

    Tushawazea nyinyi

  • @issakhamis6474
    @issakhamis6474 2 роки тому +5

    Sisi tunatak bandar hatutaki kiband

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 2 роки тому +1

    KwaNi ujenZi wA MajeNgo nDio uTauNuA uchuMi wA waNanchi ?
    MBonA ninYi seLikaLi yA zaNziBaL munaWaiBiA saNA wanaNchi weNu.
    MBonA waNanChi wA ZanZibAL ni maLoFA weNgi . Ni NinYi Tu nDio MunaoShiBA .
    WeZi waKubWa

  • @mawananasoro4405
    @mawananasoro4405 2 роки тому +1

    Zanzibar yawa dubai

  • @vanimagepro7405
    @vanimagepro7405 2 роки тому +2

    😪😭

  • @smartboytz4724
    @smartboytz4724 Рік тому

    Ilo gengo lijengwe dare ssalam

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 2 роки тому

    Pesa tutozwe kodi kubwa ilizijenge Zanzibar cndiyo

  • @zenaal-baalawy1953
    @zenaal-baalawy1953 2 роки тому

    👍

  • @Binfuad
    @Binfuad 2 роки тому +1

    Tutaona

  • @issakhamis6474
    @issakhamis6474 2 роки тому +2

    Kweli ndio hata saruji imeshuk bei asaiv ipo 25000 kweli tumekua kiuchumi

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm 2 роки тому +2

    Hamuna lolote acheni kupumbaza watu nyie. Hilo jengo linaweza kujengwa lakini litachukua miaka 50 kukamilika Unakumbuka uwanja wa ndege terminal 3.

    • @maryamaliy8509
      @maryamaliy8509 2 роки тому

      hahah wajenzi sio serikali ya mapinduzi

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      Ndugu una ongea ata hujui wanao Jenga ni nani

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      @@imash04tv20 ndugu mambo ya wazee yna kujaje apa

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 2 роки тому

      @@mudighurayra sorry

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      @@imash04tv20 👍

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 8 місяців тому

    Kwà hiyo akili yenu ipo kwenye utalii tu

  • @karthala6676
    @karthala6676 2 роки тому

    Vipi barabara na vibanda

  • @edwinmageto2170
    @edwinmageto2170 2 роки тому +2

    Sisi Kenya tunaendelea kujenga yenye ghorofa ,204

  • @mudathirsilima2336
    @mudathirsilima2336 2 роки тому +2

    Bandar hatujazion muje mujenge jengo hiloo hizoo ni ndoto

    • @mudighurayra
      @mudighurayra 2 роки тому

      Muekezaji uyo kaka ndio anae Jenga

  • @noahlarapho3411
    @noahlarapho3411 2 роки тому

    Safi

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 роки тому

    Belt ajabu vipi

  • @mwigaadam9076
    @mwigaadam9076 2 роки тому

    Why Zanzibar not Dar?

  • @holimpohvd5796
    @holimpohvd5796 2 роки тому +1

    👎👎👎🏼👐👏

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 2 роки тому +1

    Angalieni Mambo ya ajali nyie hamna hata Zima moto na I hili jengo karibu liguse ndege mbavu zangu niachieni😂 na mmoja kandika vibanda umaskin ulioko wala wao kwa wao nyoooni MTU mlo mmoja hatimizi eti wana Jenga mnara wao njugu ha you akiweza abedi karume peke take nyie visa via zee comedy tupisheni uko mnashindwa Zima moto munataka outta watalii sadaka 😂

  • @tamimtours6934
    @tamimtours6934 2 роки тому +1

    MUSIWAFANYE NAKUONA WATU MAHANISI NYINYI..MLISEMA MANGAPI MADOGO ZAID NAHAMKUFANYA HATA K1..
    MKIWA HAMNA LAKUSEMA BORA MUKAYEKIMYATU..AAH!

  • @user-fk4hq8yw9u
    @user-fk4hq8yw9u 2 роки тому +2

    Huu mradi utafanyika when if and only if .....
    beta ~ to zero only PCM/PCB holders at form six understand
    Miaka 800 ijayo😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee 2 роки тому

      Uyo muekezaji sio mzanzibar