Zanzibar nilikuape wiki imepita watu njaa sana kuliko hapa kenya 🇰🇪 yani watu km wazee wote tafaut na miaka ile nakuja kuchukua nisshara Sasa me I don't understand maendeleo watu wakakufa kwa njaaa
Si uichukue maana yani unaandika meseji kumikumi maana wewe ndo mzanzibar saaana kuliko yeyote , we ka humtaki huyo kuna wanaomtaka msitake fika mahala mkaona kuna walowanzanibar sana kuliko wengine we hizo hasira na jazba na ushasema unataka nchi yako nenda kamtoe ichukue kelele za nini sasa
@@salyali7807 he can go when time comes, sio kwa kusema tu na hii hoja ya watu flani kuona wao wazanzibar kuliko wenziwao it is such an hypocritical akija mzanzibar mwenye asili ya kihindi tutasema atoke sio mzanzibar akija mpemba waunguja watamkataa kuna unafiki wa hali ya juu baina yetu ndo huo nsoutaka tuwe real na pasi unafiki na si kufanya personal attacks Kua huyu vile mara Hivi,
@@TheOthmoney tukishapewa nchi yetu tutakua tumepewa utu, heshima, utaifa, na uhuru wetu.. huwezi kutudanganya na vipande vya karatasi(noti) hizo siasa zimepitwa na wakati Zanzibar
Yaaaan Dr mwinyi ungetutafutia mamalaka yetu tu basi tungefika mbali sana lakin baado unasiasa zilezile za zaman naona barabara ,maji, umeme halaf hatuoni cha maaana Ruto
RAISI ANASTAHILI PONGEZI ZA ZATI KABISA ANACHAPA KAZI SANA NA KAZI INAONEKANA KAMA BANDARI BARA BARA MASKULI HOSPITALI NA AJIRA KWA WAZANZIBARI HONGERA SANA RAISI HUSSEN ALI HASSAN MWINYI
Kodi na faida na uwepo wake bado kama hatuna mamlaka kamili ni Bure hivo basi itakua n jambo lamsingi kufanya jitihada za lazima kuifanza zanzibar kua na mamlaka kamili ili wanufaike
Masha Allah,,,,president good luck our president 👍👍👍👍
Tukanunue gesi urusi gesi urusi rahisi kuliko Tanganyika
Mashallah Asante Sana Dr Mwinyi
Weye si mzanzibar ndio maaana kwenu ni bara unamshangirikia mbara mwenzako
Tunataka maisha mazur
Maisha mazur yatakuja bila miundo mbinu.. tembea ujifunze
Tunataka micheleipunguwe sio manene yagesi
Unajua saiv bei ya mchele wa mbeya una anza bei gani au hujaowa bado hujui bei za michele unakua kwenu
Zanzibar nilikuape wiki imepita watu njaa sana kuliko hapa kenya 🇰🇪 yani watu km wazee wote tafaut na miaka ile nakuja kuchukua nisshara Sasa me I don't understand maendeleo watu wakakufa kwa njaaa
Tunataka nchi yetu haya mazungumzo ya habari hatuyataki
Chukua
Si uichukue maana yani unaandika meseji kumikumi maana wewe ndo mzanzibar saaana kuliko yeyote , we ka humtaki huyo kuna wanaomtaka msitake fika mahala mkaona kuna walowanzanibar sana kuliko wengine we hizo hasira na jazba na ushasema unataka nchi yako nenda kamtoe ichukue kelele za nini sasa
@@fahadfaraj6474 wapo wanaomtaka wazanzibara .. wenye akili za slavery
@@fahadfaraj6474 tumechoka nae na usanii wake ... he has to go
@@salyali7807 he can go when time comes, sio kwa kusema tu na hii hoja ya watu flani kuona wao wazanzibar kuliko wenziwao it is such an hypocritical akija mzanzibar mwenye asili ya kihindi tutasema atoke sio mzanzibar akija mpemba waunguja watamkataa kuna unafiki wa hali ya juu baina yetu ndo huo nsoutaka tuwe real na pasi unafiki na si kufanya personal attacks Kua huyu vile mara Hivi,
Mdomo nyumba ya maneno ... msanii tu .. utaufunga mlango wa duka zanzibar ... kama ushaiona dhahabu zanzibar basi ni ya wazanzibari
KWANI HUYU MWINYI SI MZANZIBARI?. NA MZANZIBARI NI NANI?
@@MuzneOthman-l7i Mwinyi anajijua mwenyewe kwao ni wapi ... wengine wanajitia punguani tu
Hakuna wazanzibar ,tumeshaondoa iyo wote nyinyi ni wakaazi ,na mumetengengezewa kitambulisho cha ukaazi ,kinaitwa kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi.
Na ujenzi holela pia huchangia miti kupotea sio kwa kupikia kuni tu
Upinzani hatuupi nafasi kwasasa tumechoka malumbano waache watu wafanye kazii
Kibaraka wa Tanganyika 2025 utarudi kwenu mkuranga
Wazanzibar wanataka nchi yao, tumeshahama huko kwenye siasa za ya maendeleo ya umeme na maji.. tunataka mamlaka yetu kamili
ukishapewa nchi. Chakwanza unafanya nini kwa mfano?
@@TheOthmoney tukishapewa nchi yetu tutakua tumepewa utu, heshima, utaifa, na uhuru wetu.. huwezi kutudanganya na vipande vya karatasi(noti) hizo siasa zimepitwa na wakati Zanzibar
Huyu mtu anafanya kazi aisee
Nakukubali sana rais Mungu akuzidishie uwe hivyo hivyo maendeleo tunayaona mambo taratibu
Hatutaki maneno tunataka vitendo.
Yaaaan Dr mwinyi ungetutafutia mamalaka yetu tu basi tungefika mbali sana lakin baado unasiasa zilezile za zaman naona barabara ,maji, umeme halaf hatuoni cha maaana Ruto
Good 👍kamanda
@@CholoNassor-h8r tunataka mamlaka kamil
Good rais wetu
Mwinyi anakula pesa hao wengine wazanzibari wanapiga makofi kwa njugu tu wanazogaiwa
Kivipi?
Hongera Dr.Mwinyi
Ni mojawapo ya hatua ya kiuchuni nadhani bei ya ges inaweza kuwa ya chini
Mjinga ww
RAISI ANASTAHILI PONGEZI ZA ZATI KABISA ANACHAPA KAZI SANA NA KAZI INAONEKANA
KAMA BANDARI
BARA BARA
MASKULI
HOSPITALI
NA AJIRA KWA WAZANZIBARI
HONGERA SANA RAISI HUSSEN ALI HASSAN MWINYI
Hakunaajira kwa wazanzibar anatoa ajira kwa wana ccm
Umesema kweli maneno yako.
Commenter wote ni wa puuzi TU humu kwani mmeshajisahau kua ccm nyakat zao ni za mwisho ni nyinyi ndio mmesema huyu ndio fisadi
Kafungua biasharangwa isafirishwe biashara ya wenyewe wenye nayo.
WAFANYAKAZI UWALETE KUTO TANGANYIKA KAMA ULIVYO WALETA BODABODA. MYINYI WEWE NI JAMBAZI RUDI KWENU MKURANGA AAA!! 👀👁️👁️
Kodi na faida na uwepo wake bado kama hatuna mamlaka kamili ni Bure hivo basi itakua n jambo lamsingi kufanya jitihada za lazima kuifanza zanzibar kua na mamlaka kamili ili wanufaike
Kila kwanza ngio gesi