KUMEKUCHA HII NDIO KAULI YA DKT MWINYI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 47

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 3 місяці тому +3

    Masha Allah,,,,president good luck our president 👍👍👍👍

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 3 місяці тому +5

    Tukanunue gesi urusi gesi urusi rahisi kuliko Tanganyika

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 3 місяці тому +1

    Mashallah Asante Sana Dr Mwinyi

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 3 місяці тому +1

      Weye si mzanzibar ndio maaana kwenu ni bara unamshangirikia mbara mwenzako

  • @Yunussmuhsinmitii
    @Yunussmuhsinmitii 3 місяці тому +3

    Tunataka maisha mazur

    • @hajiiddi6728
      @hajiiddi6728 3 місяці тому

      Maisha mazur yatakuja bila miundo mbinu.. tembea ujifunze

  • @Yunussmuhsinmitii
    @Yunussmuhsinmitii 3 місяці тому +3

    Tunataka micheleipunguwe sio manene yagesi

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 3 місяці тому

      Unajua saiv bei ya mchele wa mbeya una anza bei gani au hujaowa bado hujui bei za michele unakua kwenu

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 3 місяці тому

    Zanzibar nilikuape wiki imepita watu njaa sana kuliko hapa kenya 🇰🇪 yani watu km wazee wote tafaut na miaka ile nakuja kuchukua nisshara Sasa me I don't understand maendeleo watu wakakufa kwa njaaa

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +1

    Tunataka nchi yetu haya mazungumzo ya habari hatuyataki

    • @mbaroukally8655
      @mbaroukally8655 3 місяці тому

      Chukua

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 місяці тому

      Si uichukue maana yani unaandika meseji kumikumi maana wewe ndo mzanzibar saaana kuliko yeyote , we ka humtaki huyo kuna wanaomtaka msitake fika mahala mkaona kuna walowanzanibar sana kuliko wengine we hizo hasira na jazba na ushasema unataka nchi yako nenda kamtoe ichukue kelele za nini sasa

    • @salyali7807
      @salyali7807 3 місяці тому

      @@fahadfaraj6474 wapo wanaomtaka wazanzibara .. wenye akili za slavery

    • @salyali7807
      @salyali7807 3 місяці тому

      @@fahadfaraj6474 tumechoka nae na usanii wake ... he has to go

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 3 місяці тому

      @@salyali7807 he can go when time comes, sio kwa kusema tu na hii hoja ya watu flani kuona wao wazanzibar kuliko wenziwao it is such an hypocritical akija mzanzibar mwenye asili ya kihindi tutasema atoke sio mzanzibar akija mpemba waunguja watamkataa kuna unafiki wa hali ya juu baina yetu ndo huo nsoutaka tuwe real na pasi unafiki na si kufanya personal attacks Kua huyu vile mara Hivi,

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +1

    Mdomo nyumba ya maneno ... msanii tu .. utaufunga mlango wa duka zanzibar ... kama ushaiona dhahabu zanzibar basi ni ya wazanzibari

    • @MuzneOthman-l7i
      @MuzneOthman-l7i 3 місяці тому

      KWANI HUYU MWINYI SI MZANZIBARI?. NA MZANZIBARI NI NANI?

    • @salyali7807
      @salyali7807 3 місяці тому

      @@MuzneOthman-l7i Mwinyi anajijua mwenyewe kwao ni wapi ... wengine wanajitia punguani tu

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 3 місяці тому

      Hakuna wazanzibar ,tumeshaondoa iyo wote nyinyi ni wakaazi ,na mumetengengezewa kitambulisho cha ukaazi ,kinaitwa kitambulisho cha Mzanzibar mkaazi.

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu 3 місяці тому +3

    Na ujenzi holela pia huchangia miti kupotea sio kwa kupikia kuni tu

    • @KhatibSalehKhatib
      @KhatibSalehKhatib 2 місяці тому

      Upinzani hatuupi nafasi kwasasa tumechoka malumbano waache watu wafanye kazii

  • @fanaualmazrui733
    @fanaualmazrui733 3 місяці тому +2

    Kibaraka wa Tanganyika 2025 utarudi kwenu mkuranga

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 3 місяці тому +4

    Wazanzibar wanataka nchi yao, tumeshahama huko kwenye siasa za ya maendeleo ya umeme na maji.. tunataka mamlaka yetu kamili

    • @TheOthmoney
      @TheOthmoney 3 місяці тому

      ukishapewa nchi. Chakwanza unafanya nini kwa mfano?

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 3 місяці тому +1

      @@TheOthmoney tukishapewa nchi yetu tutakua tumepewa utu, heshima, utaifa, na uhuru wetu.. huwezi kutudanganya na vipande vya karatasi(noti) hizo siasa zimepitwa na wakati Zanzibar

  • @SaidMohamed-k9h
    @SaidMohamed-k9h 3 місяці тому +2

    Huyu mtu anafanya kazi aisee

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu 3 місяці тому +1

    Nakukubali sana rais Mungu akuzidishie uwe hivyo hivyo maendeleo tunayaona mambo taratibu

  • @IddiKhamis-u6c
    @IddiKhamis-u6c 3 місяці тому +2

    Hatutaki maneno tunataka vitendo.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 місяці тому +4

    Yaaaan Dr mwinyi ungetutafutia mamalaka yetu tu basi tungefika mbali sana lakin baado unasiasa zilezile za zaman naona barabara ,maji, umeme halaf hatuoni cha maaana Ruto

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo 3 місяці тому +1

    Good rais wetu

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +4

    Mwinyi anakula pesa hao wengine wazanzibari wanapiga makofi kwa njugu tu wanazogaiwa

  • @binmakame3881
    @binmakame3881 3 місяці тому +1

    Hongera Dr.Mwinyi
    Ni mojawapo ya hatua ya kiuchuni nadhani bei ya ges inaweza kuwa ya chini

  • @salumhassanallymkurdistan7006
    @salumhassanallymkurdistan7006 3 місяці тому +1

    RAISI ANASTAHILI PONGEZI ZA ZATI KABISA ANACHAPA KAZI SANA NA KAZI INAONEKANA
    KAMA BANDARI
    BARA BARA
    MASKULI
    HOSPITALI
    NA AJIRA KWA WAZANZIBARI
    HONGERA SANA RAISI HUSSEN ALI HASSAN MWINYI

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 3 місяці тому

      Hakunaajira kwa wazanzibar anatoa ajira kwa wana ccm

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 3 місяці тому

      Umesema kweli maneno yako.

  • @delasdiego6537
    @delasdiego6537 3 місяці тому

    Commenter wote ni wa puuzi TU humu kwani mmeshajisahau kua ccm nyakat zao ni za mwisho ni nyinyi ndio mmesema huyu ndio fisadi

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 3 місяці тому

    Kafungua biasharangwa isafirishwe biashara ya wenyewe wenye nayo.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 місяці тому +2

    WAFANYAKAZI UWALETE KUTO TANGANYIKA KAMA ULIVYO WALETA BODABODA. MYINYI WEWE NI JAMBAZI RUDI KWENU MKURANGA AAA!! 👀👁️👁️

  • @karamahfoudh8
    @karamahfoudh8 3 місяці тому +1

    Kodi na faida na uwepo wake bado kama hatuna mamlaka kamili ni Bure hivo basi itakua n jambo lamsingi kufanya jitihada za lazima kuifanza zanzibar kua na mamlaka kamili ili wanufaike

  • @Yunussmuhsinmitii
    @Yunussmuhsinmitii 3 місяці тому

    Kila kwanza ngio gesi