HIZI NDIO FLYOVER ZINAZOJENGWA ZANZIBAR, MRADI WA BARABARA KILOMITA 109 ZA MJINI HAUJASITA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 28

  • @kassimsaid9316
    @kassimsaid9316 5 місяців тому +5

    Hongera sana Rashid kwa kutuletea habari zinazofurahisha mioyo yetu Wazanzibari. Tunapenda kuona maendeleo ya vitu pamoja na ustawi mzuri wa hali za kimaisha za wanachi wote. Allah azidi kumjaalia kheri raisi wetu DR HUSSEIN ALI MWINYI. AMEEN🙏

  • @Juma-om7ho
    @Juma-om7ho 5 місяців тому +4

    dk Husseein hongera sannaa upo vizuri

  • @ahmedissa1827
    @ahmedissa1827 2 місяці тому +1

    Mnganganieni vizuri kiongozi mliokua nae,hongera sana, maana hamumjui,ajae

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 місяці тому

      Wengi wao wazanzibari washazowea kudanganwa Mwinyi Zanzibar ameibadilisha na hao hao wanaobisha ndio watakao kuja kupiga picha maeneo mazuri kukuelewa muhimu sana

  • @alhajjkassim2648
    @alhajjkassim2648 5 місяців тому +1

    Hongera Sana Rais Mwinyi

  • @fakijecha
    @fakijecha 5 місяців тому +2

    Kwa nin barabara ya bububu kiyongozi ni shida viyongoz kubwa sana

  • @SalumMohammed-r8n
    @SalumMohammed-r8n 3 місяці тому

    Hongera sana mheshimiwa

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 5 місяців тому +3

    Ni maendeleo tunayoyaitaji kwa nchi yetu siyo tunayaona kwa nchi nyingine. Japo baada ya haya tunaomba taa zaidi na kamera zitakazo mlika uvunjifu wa sheria barabarani ili kupunguza usumbufu wa tarafiki

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 5 місяців тому

    Go go go MWINYI🙌🏼🙌🏼

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 5 місяців тому +1

    Barabara ya Fuoni Chunga tafadhali

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 5 місяців тому +1

    Pemba jamani mbna haijatajwa hapa

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 5 місяців тому +2

    Suala la kuboresha bara bara zanzibar nampongeza raisi ni suala zuri sana ila mbona wanabiresha tu hawaongezi upana ni ule ule ???

  • @mussachichajr
    @mussachichajr 5 місяців тому +2

    Yaani mmeacha barabara sumbufu kama BUBUBU

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 5 місяців тому

      Raisi ashajibu kua iyo pia imo

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 4 місяці тому

      Ile tunataka kuweka tram(mabasi ya umeme yatakayotumia njia yake pekee)

  • @SiabaFadhili
    @SiabaFadhili 5 місяців тому +1

    Sasa jamani ya bububu kwanini msianzie bububu polisi 👮 mpaka hapo ulipo sema kinazini bank 🏦 kwanini muamzie mtoni?au mnaogopa fidia itakua kubwa?

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 5 місяців тому

    Muheshimiwa mbona kama lami ziko zaifu kweli ubora upo kweli musikae mahofisini tu kakaguweni na ubora

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 5 місяців тому

    Mm nilitarajia utamhoji wakat yako njiani anakagua barabara kumbe yupo oficini

  • @Pemba680
    @Pemba680 5 місяців тому +2

    Chake mkoani mumeiyona????

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw 5 місяців тому

      Pemba hajazitaja Bara Bara lkn iyo pia imo kwenye mradi

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 місяці тому

      Nyie wote si hamtaki mji kujengwa Mwinyi anata Zanzibar yote akibadilishe ila nyie ninasikiliza porojo la wizi la ACT.lengo lau kukaa madarakani na kuiba Tu kama wale kina sheni na Amani.macho hamuna basi mpaka akili pia

    • @Pemba680
      @Pemba680 2 місяці тому

      @@hajiabdalla5772 huna akili wewe Wala hujielewi unaongea tu ukuma

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw Місяць тому

      @@hajiabdalla5772
      Unakusudia nini

    • @AbdulRahmanAliy-sr7gw
      @AbdulRahmanAliy-sr7gw Місяць тому

      @@hajiabdalla5772
      Nani hataki nchi ijengwe