Ndio baba chapa kazi waache waseme tuu kazi iendelee mbele hizo za maneno kawaida binaadam shukurani zetu ni ndogo kama hukufanya maendeleo watasema na pia unafanya maendeleo wanasema wewe baba yapotezee songa mbele ijenge zanzibar mpya baba yajayo yanafurahisha baba 😍👌👌👌
Wasomi wa uislam( mufti Menk) wanatuambia wakati wa kuandika In Sha Allah lazima uache nafasi tatu na siyo kuandika in Sha Allah kwa neno moja cause inaleta maana kinyume na iliyokusudiwa Jifunze kuacha space wakati wa kuandika neo in Sha Allah share na wengine wapate faida
Ndio baba chapa kazi waache waseme tuu kazi iendelee mbele hizo za maneno kawaida binaadam shukurani zetu ni ndogo kama hukufanya maendeleo watasema na pia unafanya maendeleo wanasema wewe baba yapotezee songa mbele ijenge zanzibar mpya baba yajayo yanafurahisha baba 😍👌👌👌
safj baba chapa kazi
Ahsante mipasho
Malengo mazuri ...rais wetu hongera!..ila wasipigwe ovyo wananchi japo wanongea hovyo !
baraka shamte anahitaji zawadi kwa ukweli
Fungua njaa juu kwanz hatushibi
Inshaallah tuseme
Wasomi wa uislam( mufti Menk) wanatuambia wakati wa kuandika In Sha Allah lazima uache nafasi tatu na siyo kuandika in Sha Allah kwa neno moja cause inaleta maana kinyume na iliyokusudiwa
Jifunze kuacha space wakati wa kuandika neo in Sha Allah share na wengine wapate faida
Kiarabu ambalo ni asili yake neno in Sha Allah yako matatu pia ان شاء الله