Ila Hawa wananchi wenye hasira Kali ni wa kitambo na hawzeeki nguvu wanayo na wap kila sehem kama sahv wapo Arusha ila iba dar uone wanavyokuja kama jet 😂😂
We Gladness,vipi kuhusu sisi ambao tumetoka tupo kwenye mikoa mengine na tutaibiwa?mm hapa nilisafiri wamevunja nondo dirishani,wamefanikiwa kuniibia pikipiki,mtungi wa gesi na tv,walitokea mlangoni,wakachukua mafuta Lita 3 wakamimina kwenye gril na wakawafungia vijana wangu kwa nje. Yaan huwezi kuelewa maumivu ya kuibiwa mpaka uibiwe nakuambia
Uwii mimi jamani naumia nilikwapuliwa pochi na hawa binadamu nililia kama mtoto mdogo ada ya mwanangu iliondoka nililia nilipaaza sauti jamani unajua mimi ni mjane kweli napata wapi hela nyingine jamani kha Mungu awarehemu
duuhh siku hz hadi kibaka ni jambazi daah... hv kweli jambazi aache kutembeza risasi kadhaa hapo waandishi mnafanya tusiwaamini sasa wekeni kichwa cha habari kulingana na tukio husika arusha vibaka ndio wanaosumbua raia na wanatakiwa kuisha jambazi kitu kingine mzee
Sasa unaomba like umefanya nn kwenye hii video hapo umeshiriki kuchoma hao wezi au na ww ni miongoni mwa hao wezi kwahyo umenusulika ndo maana unaomba like ujipongeze 😮upuuzi tu
kila cku huwa nawambia machali w a arusha mtachomwa moto wote sababu mnakula bangi mnqjikuta nyinyi n nyinyi akati cc tunakula bangi alafu tunafanya kazi kwenye mikoa ya watu kama iv nko zangu mbeya natafuta pesa asee myie makumathan achen wizi wa kizaman mnaifedheesha arusha yetu makuzi nyie
Wizi Mazuri Africa ni kuiba kwa kalamu. Wezi wa kalamu ni hao vijana tuwaua leo. Damu yao bado iko juu yetu. Wameiba hawakua, adhabu ya kifo ni kifo. Mahakama zipo wazi?, mm damu za ovyo mtaani?
Kazi zipo kwa nini hawazioni?. Bahati mbaya hoja hii imeifanya Africa na tz kudumaa. Sema kuna vibarua ndugu. Kama wewe unazo rasilimali bikira unasemaje kazi zipo?. Kwa nini tusiwe na hoja kwamba ukosefu wa umahiri wa kuzindua fursa za kazi ni tatizo. Jamii zote duniani kuna watu Mungu kawapa kipaji cha kubuni fursa na watu wengine wakaja kuajiliwa. Hatutaki kugusha hapo kwa sababu kubwa kipande hicho ni sehemu ya kazi uongozi. Uongozi wa Africa umezembea wana hapo hivyo utumia propaganda kama hivyo ili ujilaumu mwenyewe usidai. Kimsingi ni kazi serikali kubuni, kuhamasisha uwekezaji kwa kuzingatia vipaumbele. Kila mwaka wa fedha nchi hii hatuwezi kujenga kiwanda kimoja kwa ubia Kati ya raia, wbinafsi na serikali?. Nini kiumbele chetu. Vifo kama hivi ni hile methali Mficha ndwele kilio kitamuumbua. Hatufanyi inavyopaswa kupunguza njaa kwa watu wetu. Biashara ya boda nayo wengi hailipi kama mwanzo. Machinga na kodi. Turudi viwandani kwa kufa na kupona. Hao vijana wadokozi na walevi hatapotea.
Vijana wa Arusha ni wa ovyo bangi tu sasa mwizi kumuuwa ndiyo sheria ya wapi ni sheria ya arusha au vipi? Na wenyeji pia na wa ovyo kuuwa ndiyo maana yake nini?
Mahuti ni ile ya umilele. Tukizoea kumwaga ndamu ovyo. Kuna siku damu itatugeuka. Kuu mtu ni kitu rahisi ila ubinadamu wetu tuliumbwa kuogopa kufanya hivyo. Huo woga ukiondoka kwa raia madhara ni makubwa. Tunapata picha ipi kusikia mtoto kafa na kutolewa viungo?. Bila shaka ni zao la jamii iliyozea kutoa uhai. Kwa nini tusiongozane kuanzisha viwanda , biashara, mashamba, migodi, na huduma. Ili kupunguza njaa. Tunaweza kufanya kwa kufa na kupona?. Ubinafsi wetu tuudhibiti kiasi gani? . Hili ni zao la maisha ya dhuluma tunayoishi?. Hatuna moja mbele ya haki ni upendo. Tz tunapendana kiasi gani? . Vibaka ni zao letu wote. Kwenye uhai wa jamii hakuna kuchelewa, jibu ni fursa za kipato kwa kila mmoja wetu.
Hasira kali ndiyo nini mana yake? Aliyoibiwa atowe ripoti polisi hawo wenye hasira kali wameibiwa nini kama sio bangi tu ya arusha hata wakiongea utawachukia kabisa shame on you arusha
acheni ushamba makuma nyie unaiba cmu unaujanja gani kuiba cmu iba mamilion ya pesa kama ww n mjanja machali wa arusha wanaotamani vitu vidogo vudogo n makuma2 ndomana wanakufa kama nyie niwajanja nendeni bongo moshi Nairobi kama hamjala chuma wote makuma nyie
nyie machali mnajikuta wajanja huku mnaiba cmu pochi asa huo n ujanja gan ka c ukuma ndomana machali wa moshi tunafanikiwa sababu tunaiba mamilion ya pesa nyiingi asee acheni wizi wa vitu vidogo vidogo mtachomwa moto wote kumbukeni arusha hakuna folena wahaga tupo doria na chuma kiunoni
Waue wote Taifa mamlaka ya Raia haipo? . Nchi yetu imekamilika, mahakama siku ipi imefungwa au Rais hayuko ikulu. Ni kiwangu cha juu sana kukosea taifa kwa kutokufuta sheria. Ulinzi Mazuri ni wa sheria tu.
Ila Hawa wananchi wenye hasira Kali ni wa kitambo na hawzeeki nguvu wanayo na wap kila sehem kama sahv wapo Arusha ila iba dar uone wanavyokuja kama jet 😂😂
Du ila Arusha kuna vijana wa Ovyoo😂😂😂😂😂😂
Goooood kazi nzuriiiii
Dah, hongeren kwa kuwadhibiti
Last week, wamechomwa lakini hawasikii uwiii , jamani jamani vijana acheni tamaaa mbaya, ee mungu tusaidie.
Sijui Arusha nn shida vijana wamepotea jmn!!
Asbh pia wameuliwa wawili kwa mawe na fimbo kwa uwizi kuku.
Vijana wadogo sana!
Mungu tusaidie
We Gladness,vipi kuhusu sisi ambao tumetoka tupo kwenye mikoa mengine na tutaibiwa?mm hapa nilisafiri wamevunja nondo dirishani,wamefanikiwa kuniibia pikipiki,mtungi wa gesi na tv,walitokea mlangoni,wakachukua mafuta Lita 3 wakamimina kwenye gril na wakawafungia vijana wangu kwa nje.
Yaan huwezi kuelewa maumivu ya kuibiwa mpaka uibiwe nakuambia
Asante mpaka waishe
@@alutoolifestyle9319pole sana kwa kilichojitokeza kwako siyo kwako wapo kila mahali hapa Arusha ila kilio cha watu kimefika wataisha.
Uwii mimi jamani naumia nilikwapuliwa pochi na hawa binadamu nililia kama mtoto mdogo ada ya mwanangu iliondoka nililia nilipaaza sauti jamani unajua mimi ni mjane kweli napata wapi hela nyingine jamani kha Mungu awarehemu
awataki kazi wauwawe💪 tulioibiwa tunamachungu sanaa😭
nakubal damu ang
Hiyo iwe fundisho kabisaa wanafahamu kuchoma weziyo visu na Kuiba leo nao wamepatikana acha niseme tu Asante Mungu
Kama ujawahi kuibiwa na kupigwa na vibaka uwezi kuelewa hasira za za waja 🚶♀️
😮 wiz sio nzuri achen wiz mtakufa
Safi sana ushirikiano kama huu ndo unatakiwa
Saiv ni kuchoma tu hakuna haja ya kusomeana kesi
Nimefurahi sana kwakweli kazi hii iendelee mpaka wapotee kabisa pumbavu.
Natamani na hii kitu wangekuwa wanafanya morogoro maana waizi sana huwa nawa mind kukwapua simu za watu
wajuba video nzima ninayo apa nime ipost share kila mahali iwe funzo
pia pipkiki zinazo chomwa moto ziwe zinaoneshwa namba zao za usajili maana zingine zimeibiwa
Hakuna kitu kinanipa furaha kama kusikia mwez kauliwa, yaan nafarijika saana Mungu anisamehe
NA M'BAKAJI ,MTEKAJI WOTE PIA WAULIWE TU.
Naona majambazi yamerudi tena,, rip jpm😭
Haosio majambazi ni vibaka jambazi haibi simu jamani! Japo wakiachwa ndo wanaenda kuwa majambazi nikumlizatu
Kwa leo wezi wanne safi sana maana tumewachoka japo inauma sana jaman maana ni huzuni kwa mzazi
Hata maeneo ya sakina arusha meet kwa juu tunaibiwa jamani dah🤔
Arusha watengenezewe sanamu lao
Hao ndo wanatubia mboga huku Tandale
Unaomba like za mauwaji😂
Wakichoma visu wanachomwa moto!! Dah ubaya ubaya!! Wananchi wenye hasira Kali hawazeekagi jamani?
duuhh siku hz hadi kibaka ni jambazi daah... hv kweli jambazi aache kutembeza risasi kadhaa hapo waandishi mnafanya tusiwaamini sasa wekeni kichwa cha habari kulingana na tukio husika arusha vibaka ndio wanaosumbua raia na wanatakiwa kuisha jambazi kitu kingine mzee
Naombeni like jamn wa kwanza mie
Mzifanyiaga nini hizo like
Ujue kuna mambo ya kijinga
Ongea point upewe like
Hzo znatosha
Huna akili
Sasa unaomba like umefanya nn kwenye hii video hapo umeshiriki kuchoma hao wezi au na ww ni miongoni mwa hao wezi kwahyo umenusulika ndo maana unaomba like ujipongeze 😮upuuzi tu
Kuibiw jaman kam ujawah kuibiw ujuw uchungu wak ila ambao tulishawah ibiw kam sis uku jaman ni maumiv mno
Arusha noma San nizaid ya San nyie watu wa arusha kama wakenya amuogopi
Arusha hatunaga show mbovu
Wezi wanarudisha nyuma sana maendeleo ya watu mtu anajinyima mwingine anawaza kuiba
kila cku huwa nawambia machali w a arusha mtachomwa moto wote sababu mnakula bangi mnqjikuta nyinyi n nyinyi akati cc tunakula bangi alafu tunafanya kazi kwenye mikoa ya watu kama iv nko zangu mbeya natafuta pesa asee myie makumathan achen wizi wa kizaman mnaifedheesha arusha yetu makuzi nyie
safi sanaaa tena sana hilo ni janga la nchi nzima
Wizi Mazuri Africa ni kuiba kwa kalamu. Wezi wa kalamu ni hao vijana tuwaua leo. Damu yao bado iko juu yetu. Wameiba hawakua, adhabu ya kifo ni kifo. Mahakama zipo wazi?, mm damu za ovyo mtaani?
Watafte pesa jaman dah 😭😭😭😭
Kazi zipo Kuna Saida fundi,gereji wanataka kula kiulaini
Kazi zipo kwa nini hawazioni?. Bahati mbaya hoja hii imeifanya Africa na tz kudumaa. Sema kuna vibarua ndugu. Kama wewe unazo rasilimali bikira unasemaje kazi zipo?. Kwa nini tusiwe na hoja kwamba ukosefu wa umahiri wa kuzindua fursa za kazi ni tatizo. Jamii zote duniani kuna watu Mungu kawapa kipaji cha kubuni fursa na watu wengine wakaja kuajiliwa. Hatutaki kugusha hapo kwa sababu kubwa kipande hicho ni sehemu ya kazi uongozi. Uongozi wa Africa umezembea wana hapo hivyo utumia propaganda kama hivyo ili ujilaumu mwenyewe usidai. Kimsingi ni kazi serikali kubuni, kuhamasisha uwekezaji kwa kuzingatia vipaumbele. Kila mwaka wa fedha nchi hii hatuwezi kujenga kiwanda kimoja kwa ubia Kati ya raia, wbinafsi na serikali?. Nini kiumbele chetu. Vifo kama hivi ni hile methali Mficha ndwele kilio kitamuumbua. Hatufanyi inavyopaswa kupunguza njaa kwa watu wetu. Biashara ya boda nayo wengi hailipi kama mwanzo. Machinga na kodi. Turudi viwandani kwa kufa na kupona. Hao vijana wadokozi na walevi hatapotea.
Dah yaani wanaenda kuiba mitaa ya shivaz, R.I.P
Katikati ya jiji kabisa
@@rumdeesonsoa1811shivazi kwa wajanja wakina marina wachaga walioiba miaka iyo tena mamilion ya pesa ase mmeinhia cha kike wazee
mnaennda kuiba shivazi mrina mtaa wa wachaga wezi walioshindika kimataifa asee wachaga n wezi ila wanaiba mamilion ya pesa
Safi sana wanatutesa tatu mzuka
Kaz nzur
Arusha vjanawamezd wizi wachawachomwe
Bora tyu ukiwamud bora kulik kuwaach wakiend jela wanarud mtaan ten daah bora kuchom moto
Vijana wafanye kaz ila wanawake wauze k
Nchi ngumu sana
Madada poa wanatetewa hawana kaz ila wez wanachomwa wakatafute kaz
Unataka kusema nn sasa
juz kat nimepita tabata sanene nimekuta mwiz kachomwa moto,,, aliiba pkpk
Mungu nisaidie
Wengi wao hapo walienda kununua K
Well done wananchi wa Arusha
Dah!!!! Ni balaa
Iwe funzo kwa wavivu hawataki kujituma wataka Short cut kwa life
siku hizi huwezi pitisha siku bila kusikia tukio baya Arusha
Dawa kiberiti tu wizi utaisha au kupoa
Arusha safeeee na kazi iendeleeeee
Jamani mnavyofanya siyo vizuri
Vijana wa Arusha ni wa ovyo bangi tu sasa mwizi kumuuwa ndiyo sheria ya wapi ni sheria ya arusha au vipi? Na wenyeji pia na wa ovyo kuuwa ndiyo maana yake nini?
Hakuna kabaya WANANCHIIIIII
Mshahara wa dhambi ni mauti saf sanaaaa 😂
Mahuti ni ile ya umilele. Tukizoea kumwaga ndamu ovyo. Kuna siku damu itatugeuka. Kuu mtu ni kitu rahisi ila ubinadamu wetu tuliumbwa kuogopa kufanya hivyo. Huo woga ukiondoka kwa raia madhara ni makubwa. Tunapata picha ipi kusikia mtoto kafa na kutolewa viungo?. Bila shaka ni zao la jamii iliyozea kutoa uhai. Kwa nini tusiongozane kuanzisha viwanda , biashara, mashamba, migodi, na huduma. Ili kupunguza njaa. Tunaweza kufanya kwa kufa na kupona?. Ubinafsi wetu tuudhibiti kiasi gani? . Hili ni zao la maisha ya dhuluma tunayoishi?. Hatuna moja mbele ya haki ni upendo. Tz tunapendana kiasi gani? . Vibaka ni zao letu wote. Kwenye uhai wa jamii hakuna kuchelewa, jibu ni fursa za kipato kwa kila mmoja wetu.
Ayo TV unazingua sana
Mhmhm Arusha poleni sanaaaaaa
Aaa-hhhh aseeeee
Jmniiii vijanaa ta futeniiii pesaaa
zamwizi zimeongezeka zimefika 54
Hasira kali ndiyo nini mana yake? Aliyoibiwa atowe ripoti polisi hawo wenye hasira kali wameibiwa nini kama sio bangi tu ya arusha hata wakiongea utawachukia kabisa shame on you arusha
Majambazi au wezi😂
Nanikwri,hao,sio,majambaz,nivibaka
Hapa CAG harusini wala time haiundwi
Saf sana
Chuga ujanja ukizid mnakuwa mafala
Rest in peace
Hii maisha😢
Hapo hata askari wamewasifu, maana wangewaacha wangeonekana wazembe
Saf sanaaa
Asaivi chuga tunapiga kinert
Wanakaribishwa mbinguni wakutane na jiko la gesi
Asee Baba Hassan ameenda dahaaa ....
Unamjua??
@@newgarden8036😢
Yes Papa Jana ameninulia lunch ni kiongozi wa bajaji pale friends Conner kwenye kilo mida ya jion hady usiku ..
@@chesterbrand6723 ndo yupi hapo
Ni vibaka sio majambazi
Rip Baba Hassan nyambuleti tutakuzika miembeni RIP Baba la Baba baik ni yako....
Unamjua
@newgarden8036 😢
Yes Papa Jana ameninulia lunch ni kiongozi wa bajaji pale friends Conner kwenye kilo mida ya jion hady usiku ..
Arusha mauji yamezidi sheria mkononi mwee
Arusha maisha magumu sana
Safi sana kazi nzuri sana wananchi
Maji ya chuga yanaharibu meno ya warembo
Dawa Yao kuwachoma moto
Kauli ya chalamila naiiona
Kama kazi yako dhambi unazani malipo nini
Safi uwa mbwa hao
Yani Kama huyu anae ongea ana takiwa afungwe kwa kesi ya mauaji
Safi sana
Arusha siyo tanzania aiseee
Kweli kabix yaan hatar
Kote tabu tu.
acheni ushamba makuma nyie unaiba cmu unaujanja gani kuiba cmu iba mamilion ya pesa kama ww n mjanja machali wa arusha wanaotamani vitu vidogo vudogo n makuma2 ndomana wanakufa kama nyie niwajanja nendeni bongo moshi Nairobi kama hamjala chuma wote makuma nyie
nyie machali mnajikuta wajanja huku mnaiba cmu pochi asa huo n ujanja gan ka c ukuma ndomana machali wa moshi tunafanikiwa sababu tunaiba mamilion ya pesa nyiingi asee acheni wizi wa vitu vidogo vidogo mtachomwa moto wote kumbukeni arusha hakuna folena wahaga tupo doria na chuma kiunoni
MWANAUME KAZI KAZI
Ttz Arusha vijana wa ovyo Sana wengi waoo
Sasa mnapopakia pikipiki bado inatoa moshi si mnahatarisha maisha na hiyo gari ya polisi inaweza kuungua
Kabisa ndugu
Duh
Mshahara wa zambi mauti
Uki ua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga
Uweni wote saf sana
Waue wote Taifa mamlaka ya Raia haipo? . Nchi yetu imekamilika, mahakama siku ipi imefungwa au Rais hayuko ikulu. Ni kiwangu cha juu sana kukosea taifa kwa kutokufuta sheria. Ulinzi Mazuri ni wa sheria tu.
@@GodfreyOswardhata wewe ukiiba tutakuua
Dawa ndo hiyo wamezoeya wafanye kazi waache janjajanja
wandishi wa habari mbadilike mjifunze kutofautisha mwizi, don dongo, kibaka,jambazi nisawa na skauti ,mgambo, polisi ,mwanajeshi,
Wote wezi hao hakuna kujali aitwaje
Arusha bana
Jaman😂😂😂😂
Kwakwel arusha awataki mchezo
Duu😂😂😂
Majambazi au vibaka 😏😏😏