BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • #love

КОМЕНТАРІ • 937

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  Місяць тому +442

    TUNAWAPENDA SANA WATAZAMAJI WETU, ILI TUENDELEE KUFANYA VIZURI TUNAHITAJI SAPPORT YENU ,KUNA MCHANGO WA SHILI ELFU MOJA TU (1000) KWA AJILI YA USAFILI ILI TUWE TUNABADILI MAZINGIRA YAKUSHUTIA KUPITIA M-PESA NO +255744188105. KAMA UKO TAYARI KUTUSAPORT KWA GUSA HII LINK UJE WHATSAP KWA MAELEZO ZAIDI👇👇👇👇chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa

  • @user-fr4wf5sl2r
    @user-fr4wf5sl2r Місяць тому +33

    Jamani leo nimechelewa kwasababu yasafali ndefu kutoka 🇧🇮 burundi kwaiyo naomba hata like 10

  • @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk
    @SmilingEquestrianHelmet-mc7lk Місяць тому +22

    Kazi nzuri baba Joan mnatufurahisha Sana imekuwa ndefu Sana nimeipenda asanteni❤❤❤❤

  • @NelcyAfrica
    @NelcyAfrica Місяць тому +29

    Filamu ya baba joan iko na mafunzo mazuri sana. Naipenda kutoka Nairobi kenya

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Місяць тому +40

    Wa mwisho kutoka Mombasa Kenya🇰🇪🇰🇪likes hapa tukigojea episode nyingine❤❤❤❤

    • @Sheriann-pg5hq
      @Sheriann-pg5hq Місяць тому

      Utapata mingi sana lakini tafathali twakuomba chana hela yoyote❤❤

  • @MwanakombokoMohamed
    @MwanakombokoMohamed Місяць тому +91

    Wakwanza kutoka Kenya gonga like tukisonga,nawapenda nyote

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute Місяць тому +30

    Natamani sana kuwa mwana Sanaa ila sijui pakuanzia safi sanaaa kazi ni nzuri

  • @user-hb9eq2fo6z
    @user-hb9eq2fo6z Місяць тому +48

    Wapili jameni 😊😊😊 na sitaki like ya mtumimi, tutakosana tusiaribiane moods😊,,,, sitaki mchezo mimi😅😢

  • @MereTz-xv2vu
    @MereTz-xv2vu Місяць тому +49

    Kutoka USA nipeni like zangu guys Leo nimewayi ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SalmahBilally
    @SalmahBilally Місяць тому +43

    Kuna mie wa Kenya 🇰🇪 npe hata like kumi. Naona movie Ina Bamba kweli.

  • @maryamt594
    @maryamt594 Місяць тому +42

    Hee baba kalobo fanya basi umwambie mama kalobo akubandirishiye hiro shati❤❤❤❤

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m Місяць тому +6

    Woow sijui nipongeze aje Baba karobo filamu zako ni hatari Sana wacha mungu akusaidie usije mbali saidi ya hapo🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Місяць тому +136

    Watazamaji wa hii movie weka like kwa baba Joan 🎉🎉🎉

  • @user-oq5py5fv8t
    @user-oq5py5fv8t Місяць тому +4

    Watching from kenya hii movie ina funzo kubwa sana thumbs to the starring baba karobo 👏 👏 👏

  • @gracenyauma
    @gracenyauma Місяць тому +6

    Cjui wangapi , kutoka kenya 🇰🇪 ila nasubilia sana hadi mwisho akh❤ baba kalobo twakupenda sana n ukamtunze mwanao kalobo ❤❤❤❤

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 Місяць тому +116

    Kama unakubali Baba Joan ndie mtunzi bora wa filamu kwa sasa kama ninavyomkubali naombeni likes zenu

  • @dadsgirl7250
    @dadsgirl7250 Місяць тому +165

    Wale wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪pia Mimi hapa mlike my comment 😂😂😂❤

    • @MbekeKisaingu
      @MbekeKisaingu Місяць тому +5

      Hapa wa pili

    • @maryatieno9130
      @maryatieno9130 Місяць тому +4

      🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Aminasaloom-bm4el
      @Aminasaloom-bm4el Місяць тому +5

      𝑲𝒊𝒍𝒂 𝒎𝒂𝒉𝒂𝒍𝒊 𝒕𝒖𝒌𝒐𝒐𝒐𝒐🤣🤣

    • @Cynthia-t1u
      @Cynthia-t1u Місяць тому +3

      😂😂😂😂wacheka na ushahidi umeenda😅

    • @salehHassan-rl8bd
      @salehHassan-rl8bd Місяць тому +3

      😂😂😂😂😂😂🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @user-gg9wi7oi8h
    @user-gg9wi7oi8h Місяць тому +29

    Wanao fuatiria baba joani na house girl ya khai gonga like🎉

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w Місяць тому +10

    Wow congratulations tasha kwa kukamilisha ushahidi wote thank you very much wow team nasra kibanio na mumeo Nasra congrats guys❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MsafiryChitema
    @MsafiryChitema Місяць тому +5

    Aseeeh salute kwako kakaa baba joani this is great movie

  • @WilliamJoel-kz2jv
    @WilliamJoel-kz2jv Місяць тому +13

    Kazy nzur sana hatuchez mbar na baba kalobo❤

  • @user-lz8kb9ds8k
    @user-lz8kb9ds8k Місяць тому +62

    Kama wampenda baba karobo gonga likes hapa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PrettyRodah
    @PrettyRodah Місяць тому +27

    Kenya 🇰🇪 jmni leo nimewahia nipeni izo likes 😊

  • @mwanalimamwanlima198
    @mwanalimamwanlima198 Місяць тому +5

    Watching it from Imarat ..shuqrn sana baba karobo

  • @lilimoswambu9934
    @lilimoswambu9934 Місяць тому +8

    Huku ni kuomba tu like hakuna comment ya kuusu vilami jameni waaah😢 baba kalobo usijali kaka mungu Yuko na wewe utapona unaishi maisha magumu sana aki lakini hapa Kuna funzo penda mtu alivyo fumuliana Kwa shida na Raha roho yaniuma sana 😢😢kipindi baba karobo anapitia mengi

  • @IssaMusa-44
    @IssaMusa-44 Місяць тому +21

    I’m watching from USA 🇺🇸

  • @esterester3628
    @esterester3628 Місяць тому +4

    Baba Kalobo umenfurahisha Sana Kwa hio msimamo wako big up sana❤❤❤🎉

  • @pendoelias1792
    @pendoelias1792 Місяць тому +5

    Ni nzuri san hii move tunaomba muwe mnaiwahisha kidogo

  • @CarineJean-bi7sq
    @CarineJean-bi7sq Місяць тому +9

    Kaka hongera sana umeva uhusika kabisa umefanya nipende iyi filamu

  • @shilaanyango
    @shilaanyango Місяць тому +5

    Am enjoying the movie 🎥,,, from Uganda

  • @JaneWanjiru-g3c
    @JaneWanjiru-g3c Місяць тому +2

    Aki napenda karobo sana , mtoto ndogo mwenyewe akili zake zimezidi mtu mzima 🎉🎉🎉🎉❤❤much love karobo from Nairobi Kenya

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Місяць тому +1

      ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Місяць тому +4

    Baba Joan hongera sana kazi nzuri aisee na dakika za kutosha

  • @thomasmwita4586
    @thomasmwita4586 Місяць тому +14

    Leo mimi wa kwanza kutoka Kenya nipe like

  • @LayanLayan-np6qb
    @LayanLayan-np6qb Місяць тому +5

    Hongera sana Baba Joan 🎉🎉🎉kazi yako nzuri

  • @matronicsuzie4829
    @matronicsuzie4829 Місяць тому +8

    Nimeliwait sana hili film safi sana lakini mnatueka sana angalao kwa siku tuweke mbili tutashukuru moja haitoshi samahani ❤

  • @IyshaSaidi
    @IyshaSaidi Місяць тому +13

    Jaman ii mov n nzur Sana baba kalobo unatuburudisha

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 Місяць тому +60

    Wa ine kutoka Burundi
    Munigongeye likes ba brothers
    Tumuonyeshe upendo baba kalobo❤❤❤

  • @SamyBoudan
    @SamyBoudan Місяць тому +18

    Kwa Leo nime ji tahidi fika mapema 😅😅 naombeni like jamani

  • @user-bx1eo2wc4h
    @user-bx1eo2wc4h Місяць тому +5

    ❤❤ nzur Sana sema imechelewa kidogo Baba kalobo

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Місяць тому +9

    Sasha ukivaa baibui wapendeza MashaAllah, na design ya corecod mtu sio hii..

  • @ChristabelShumira
    @ChristabelShumira Місяць тому +3

    Wooow 🎉movie mzuri sanaa baba kalobo,,yani ina mafunzo daaah

  • @adielndayishimiye2122
    @adielndayishimiye2122 Місяць тому +7

    Tunashukulu sanakwa move hiyi nikali sana be Gap 💪💪 🇧🇮🇧🇮

  • @mkasykhamisi2587
    @mkasykhamisi2587 Місяць тому +1

    Congratulations nawapenda sana baba Joan na team yako❤chukua maua yako bb Joan🌹🌹🌹💐💐

  • @user-wv3du7ld2p
    @user-wv3du7ld2p Місяць тому +2

    Yani Hulu kila MTU anaomba like nyie Vipi, anyway Baba karobo I was waiting ukweli ijulikane oooohbut anyway KAZI nzuri Sanaa keep it up

  • @PatrickPeter-ce9zn
    @PatrickPeter-ce9zn Місяць тому +42

    Wakwanza team baba Joan gonga like hapa tujuane

  • @FestoMgallah-l9j
    @FestoMgallah-l9j Місяць тому +6

    Baba joani me shabiki yako kutoka mozambique naomba ujitahidi kuwahisha kazi tunasubiria sana mpaka hamu yakufatilia inaisha jitahidi sana mashabiki zako tunaenjoy sana na kazi zako

  • @HarunaDanielmbanzeofficial
    @HarunaDanielmbanzeofficial Місяць тому +24

    Nimefika Kwa dakika5 Baba karobo kingereza kinakuchanganya jaman

  • @user-yg7zp3my9g
    @user-yg7zp3my9g Місяць тому +4

    Kazi nzuri keep up movie tamu keweli

  • @jollymunezero4629
    @jollymunezero4629 Місяць тому +25

    Kirundi sasa cakwetu nip like please

  • @MamabelindaBelinda
    @MamabelindaBelinda 7 днів тому +1

    Baba Joan hongera Kwa movie nzuri

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo Місяць тому +2

    Hongera baba Joan na team nzima ya baba yangu kipofu kwa kazi nzuri na yenye mafunzo M/Mungu azidi kuwainua❤❤❤ 🙏

  • @ruthwatitu89
    @ruthwatitu89 Місяць тому +5

    Watching from Kenya napenda vile munaigiza

  • @user-su9hn8es9n
    @user-su9hn8es9n Місяць тому +6

    🎉 ❤ kazi nzuri kutoka kenya

  • @user-qc9xc3ff3e
    @user-qc9xc3ff3e Місяць тому +2

    Indeed mama karobo mwanamke hofyo mbaya haezi hata oshea mwanamume wake nguo akabadilisha moja tu siku zote ghai sina ubaya watching from kenya🇰🇪🇰🇪♥️♥️

  • @Lilly-ec4bs
    @Lilly-ec4bs Місяць тому +2

    Whaaaa hivi mama unataka baba awendani kashakua gogoo chukuo maua kalobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Deborahdepsy-qh4rj
    @Deborahdepsy-qh4rj Місяць тому +16

    Nimechelewa ila likes mbili tu ya kunionyesha upendo tuuu

  • @karembo7082
    @karembo7082 Місяць тому +5

    Haya time baba karobo twendeninalo hadi tamati😂😂

  • @PentergonHonesty
    @PentergonHonesty Місяць тому +1

    Thanks too much babajoan struggle & ilove your work so much god be with you and to bless your works to grows away

  • @user-yc4tu1zy9i
    @user-yc4tu1zy9i Місяць тому +2

    Baba joani asante kwa kazi nzuri mungu awatangulie mumalize salama movie yenu

  • @mohammedikimbute
    @mohammedikimbute Місяць тому +14

    Good Mr kandibele

  • @AshaBinmorisho
    @AshaBinmorisho Місяць тому +8

    Leo nimekasirika sana kwanini wame mu iba simu

  • @LenaMasinga
    @LenaMasinga Місяць тому +1

    Njooo kwangu baba karobo❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MaestroRugamina
    @MaestroRugamina Місяць тому

    Mungu azidi kukupa maisha marefu iliuendelee nakutu burudisha nakutupa mashauri zaidi baba kakupenda kweli❤🎉🎉

  • @FrenkiManizo-bx1ut
    @FrenkiManizo-bx1ut Місяць тому +6

    Safi kabisa nimekubali sana

  • @user-qv9ju5jc7u
    @user-qv9ju5jc7u Місяць тому +9

    shetani anaona wivu kwajili ya mamakarobo😅😅😅😅😂😂

  • @user-kt3er8th9l
    @user-kt3er8th9l Місяць тому +1

    😂😂😂😂 baba joan!!! eti mama karobo ni mbaya hadi shetani anamuonea wivu noma sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 pokea upendo wa dhati kutoka kenya, sisi ni maandamano tu.

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Місяць тому +1

    Kazi nzuri baba joan🎉🎉🎉🎉 ushauri wangu apo kwa kurecord wakt mwengine mboreshe...kwasababu kwa hali ya kawaida hio simu ilivyoshikwa mtu anaezashuku kama anarekodiwa

    • @winnieWangechi-gb7zz
      @winnieWangechi-gb7zz Місяць тому

      Nimekuwa nikimtafuta hii comment tell them again apo nimewapa 10%

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 Місяць тому +8

    Nikooo hapaaa wa kwanzaa🥰🥰🥰🥰

  • @SetianKarino
    @SetianKarino Місяць тому +10

    Jamàni nimefika kwa wakati nipeeni like ❤

  • @user-vs7hs5fy7p
    @user-vs7hs5fy7p Місяць тому +2

    Nawapenda sana kutoka 🇰🇪 Mungu azidi kuwabariki sana maana munatupa mafunzo ya kimaisha ❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Місяць тому +2

    Nataka wanangu wawe na akili ya kalobo nakupenda sana kalobo,,,uko wapi nikupe zawadi yako mtoto mzuri

  • @Joharishaban-ji5em
    @Joharishaban-ji5em Місяць тому +17

    Wakwanza jaman kutoka oman jamn kama tupo pamoja like kumi tu ♥️

    • @JoriJori-es2re
      @JoriJori-es2re Місяць тому +1

      Tuko pamoja kabisa❤

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Місяць тому

      upo Oman sehem Gani habibty

    • @phyilicereanson4975
      @phyilicereanson4975 Місяць тому

      Oman wanalipa ngapi habibty

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Місяць тому

      @@phyilicereanson4975 kutokana na nyumba utakayopata kama ni kubwa bhc na mshahara unakuwa mkubwa

    • @user-vh9lx6zo7x
      @user-vh9lx6zo7x Місяць тому

      @@phyilicereanson4975 na kama ulishawahi kuja kwa mara ya kwanza ukarudi tena yaan namaanisha ex gulf hao hela yao Huwa ni kubwa hata kama nyumba ni ndogo kwa sababu wanajua kila kitu

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Місяць тому +3

    Hiloo jina aisee mbona refuuuu hivyoo tena jina lakuchanganyaaa🤣🤣🤣🤣🤣wakuitee tuuu baba karobo baba Joan halafuu Mr jacob

  • @user-ff6ez9zp3g
    @user-ff6ez9zp3g Місяць тому +1

    Huyo demu anaye kufukuzia aiseee ungemuona namzimia kinyama pole sana daah kumbe huoni big up wewe ni moto wa kuotea mbali

  • @MwaliSuleih
    @MwaliSuleih Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤ahsante xan wadau Masha'Allah kazi inazid kubamba jamn hongereni xan Mungu azid kkuza vipaji na mnazidi kutufunza jamn ❤❤❤❤❤❤❤❤ mzidi kuendlea

  • @marthawanjiru6675
    @marthawanjiru6675 Місяць тому +3

    Karibu nilale ndaa nikapata episode 16 ipo wow baba kalobo❤❤❤🇰🇪

  • @user-md5xi3bi8g
    @user-md5xi3bi8g Місяць тому +5

    Hongera baba kalobo

  • @ininahazwedesire7834
    @ininahazwedesire7834 Місяць тому

    from Burundi nakufatilia sana movies zako unipa falaja mungu awabaliki 🙏🙏🙏

  • @sofiakinyia2734
    @sofiakinyia2734 Місяць тому +2

    Mungu nipe uhai nielew watoto wangu mwenyewe🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @EliezerIrakoze
    @EliezerIrakoze Місяць тому +3

    Congratulations. Good Job

  • @JoriJori-es2re
    @JoriJori-es2re Місяць тому +4

    Mapema kabisa😂😂😂 ndan ya baba karobo

  • @J74251
    @J74251 Місяць тому +2

    Nimechelewa Sana hata 😢😢😢ila ninaraha nimefika Kwa mda mzuri Sana 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤tamu sanaaa ❤🎉❤🎉❤

  • @BeltesaMuhasa-mo8ti
    @BeltesaMuhasa-mo8ti Місяць тому +1

    Asante sana kwa kazi ndugu yangu, hii kazi ni Noma sana , ni watakiye kazi njema baba

  • @user-lm7ny6gi4x
    @user-lm7ny6gi4x Місяць тому +4

    Wah daah nampenda baba joan

  • @zebedayonyataige6516
    @zebedayonyataige6516 Місяць тому +5

    Aste aste❤

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi Місяць тому +1

    Wooow karobo kapata mchumba😂😂😂😂😂😂😂😂🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣harusi tunayo hatuna 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RizikiNzalla
    @RizikiNzalla Місяць тому +1

    Baba Joani nakubalisana kazi nzury sana na nimeendelea kuwafatilia muda mlefu so kitu ambach nakiona mbeleyako ni utakuwa msanii mkubwa sana tanzania

  • @Aimable-o6r
    @Aimable-o6r Місяць тому +6

    Following you 5/5

  • @user-rt6fh1wf3t
    @user-rt6fh1wf3t Місяць тому +3

    Aki hii series ni tamu sana aki

    • @maylucson001
      @maylucson001 Місяць тому

      Tamu na tena ni tamu tena yaniii❤❤❤❤😂

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m Місяць тому +2

    Asanteni sana kwa story mzuriiii kz iendelee mwanzo mwisho,na mama nusu na kirobo ananifurahisha kauzu❤😂

  • @zephbaraka
    @zephbaraka Місяць тому +3

    Thanks for your concern..... following from Kenya
    Good work @babajoani

  • @user-qx2qj1li4q
    @user-qx2qj1li4q Місяць тому +1

    Jamani baba karobo utapata uponyaji kweli ila mungu yupo utapona tu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤❤❤❤❤🎉

  • @user-rf1ut3zc6l
    @user-rf1ut3zc6l Місяць тому +2

    ❤❤❤❤😂😂😂😂 naku miss kwakwel

  • @ZaynabShabani-bk8mu
    @ZaynabShabani-bk8mu Місяць тому +24

    Jamani mie nimekuwa wakwanza leo like zenu❤

  • @iyumva-jonas
    @iyumva-jonas Місяць тому +1

    Asante sana Mr Ntusubire. Tunawapenda sana, kutok Burundi

  • @judithmutindi1227
    @judithmutindi1227 Місяць тому

    Baba kalobo umeweza kabisaa ❤❤❤ toka pande za Kenya,,,oyeee babake

  • @swediPacificswedi
    @swediPacificswedi Місяць тому +3

    kweli wewe uko nafanya mzuri siku une tu umetowa nyingi ne 🎉🎉

  • @user-ti1ol3ti9j
    @user-ti1ol3ti9j Місяць тому +3

    Wa 🇧🇮 tujuwane baba karobo ❤❤❤❤❤

  • @jaliwacath
    @jaliwacath Місяць тому

    Yupo vizuri Kwa filamu zake na Wala hazichoshi 🎉🎉🎉❤

  • @user-vr4dz4jb2t
    @user-vr4dz4jb2t Місяць тому +1

    Uyo kalobo ilo shavu anakunywa sana maziwa au lakuzaliwa nalo😂😂😂😂😂😂😂